Hmmm nichelewe nirogwe mungu Busati tv wasimamie katika kazi zao alafu TUNAOMBA kwenye muvie hii KAI wetu shemeji Yetu wa house girl asinyanyasike hapa asionew awe ni mtu wakucheka na sio kuwa mnyonge ni mimi kipenzi chenu Nawafwatilia ni kiwa Saudia
BUSATI TV FANS WHATSAPP
link 👇🏻👇🏻
chat.whatsapp.com/EXedjPddrA9C1XIkEg36JP
Kazi nzuli❤❤
Nzuri sana
Dahhh movie nzuri mnooooooooooooooo, busati mpewe mauwa yenu
Asanteeee sana
Maashaallah umependeza sana kai
Asante sana
@@busatitv karibu much love 💓
Tuko pamoja sana kaka jafari super kuwasapoti
Asante sana
Busati yetu hawapowi wapo moto moto asanteni n'a mnaislahili sifa sana tu Yani mpoo Japo naumwa nangaliya tu kwara nnavo wapenda
Get well soon ... Tunakupenda sana
Get well soon.. tunakupenda sana
Hongereni sana kwa kazi zenu nzur zenye mafundisho kwa jamii vipande vyenu hazifiki mwisho
Woyooo busati hatupowi tuko na penz la binamu sasa 😘😘😘
Balaa zito
Haus girl imeishia wapi
Sajjada mashaallah jina mzuri kai
🤣🤣🤣
Waoooo kitu kiko 👌👌
kai mm napenda san movie zako yaan unafanya na kesha you tube
Asante sana🙏
Ata mimi nakesha 😂😂jamani kai😂 nakupenda lakini sijapenda kwaubaya😂
haswa me mwenyew nakesh you tub
@@busatitv daaaah move zenu nzur san
Eeeeh hii ya moto san mamb ya 6 nyonyo😂😂😂😂
🤣🤣🤣
Mambo safi sana busati TV 🔥🔥
Asante sana
Jamni Kai hongera hapo umenenepa napenda San muv zako ❤❤❤❤❤
Mbna kai umenona sana sai umekonda
KAZI nzur Sana Kai lakn house girl ni mwisho
Na Kai umefanya mwili aky 🎉
Furaha ya ndoa Ni kupata mtoto. Jamani inauma mungu ondoa ugumba
Pole somo wangu movie nzuri inamafunzo ❤❤❤❤❤
Asante sana
🤣🤣🤣🤣🤣 kai huo ubonge jamanii had nilikuwa nimekusahau ila mko vzriii busat
Nawapenda bure tuu wana busati yaani sijui niseme nn kwa mambo 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥❤❤❤❤❤
Tunakupenda mnoo
Hapo Kawa bongeee Kai 🎉🎉
Safi sana, Kazi nzuri
Asante sana
Asante sana
Kweli kabisa huku kai kanenepa mno
Kaz nzur nawapend bure❤❤❤ pokeen maua
❤❤❤😍😍
Busati mnachelewa kutuwekea mzigo
Si sehemu ya kwanza tumeweka leo
@@busatitv jmn mutuketeeeeeee bas zuuuuu kule watu atulali mmetupa moja tu tumefanya paaa imeisha😢😢😢😢😢
Kai ukiwa mnene inapendeza sana
Hmmm nichelewe nirogwe mungu Busati tv wasimamie katika kazi zao alafu TUNAOMBA kwenye muvie hii KAI wetu shemeji Yetu wa house girl asinyanyasike hapa asionew awe ni mtu wakucheka na sio kuwa mnyonge ni mimi kipenzi chenu Nawafwatilia ni kiwa Saudia
Mbn umu muna nenepa sana kuliko série zote
Mbona Kai kwa hii move amenepa
Moto 🔥🔥🔥
🔥🔥
Kumbe kai akinene uhendsame wote unaenda yiii
Kazi nzuri
Kai mm napenda san movie zako yaan unafanya na kesha you tube❤❤❤❤❤❤
Asante sana🙏
Much Love and Respect🔥🔥🔥❤️
🙏🙏
Nc one ❤
🙏🙏
Kai hii movie ulikuwa mnen house girl umepungua sana ila nawapenda sana mna movie kal❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Asante sana🙏🙏🙏
Kumbe Kai ulinenepa sana kabla ya kuwa Baltazar 😂😂😂
Nice work jmaani
🙏🙏🙏
Alla kumbe tayari mpemba chakwanza nguvu zakiume Chapili jitume😊😊😊😊
🤣🤣🤣
kai kawa kibonge
🤣🤣
Waah kai kumbe ukona kitambi hivi mbona kwa house girl ume pungua❤❤❤from 🇰🇪🇰🇪
Unajuw at mm nashindw kuamin kbsa 😂 house girl n mwembamb
Kay kumbe ni chibonge wew😂😂 khaaa kwani nlkujua basi 😂😂❤❤much love
Huyu ni kai kweli
Kai wajua nakupenda san❤😂
waoooo jaman hii movie nzur
Asante sana🙏🙏🙏
Malizen ile ya da zuuuuu jamaniii tunasubili ndoaaaaaa
Ndo kufuatilia I kai❤❤❤❤
Kai mm Na subiri harusu ya wewe Na zuu
Kai bona umenenepa
Wanabusati munaanza michezo telee hamufiki pahali munaiacha njiani
Usijali utaipata mpaka Mwisho
Kai apa alikua mnene jmn😮
Mbn Kai Kawa kibonge
aaaaaah mbona umekua bonge😂😂
Huy jafary hatak kuachwa nyuma
❤❤❤❤nice one
😍😍😍
Jamn kai mbona hap kibonge san hiii ya mwaka gani??
Bonge kwel heri sai
Kai usinenep bhan unakuw kibongeee😂😂😂
Good job guys ❤❤❤❤❤
😍😍😍
Kai mbona hii movie ulikuwa mnene house girl umepungua sana why
❤❤❤❤ nice movie
🙏🙏🙏
Mbona Kai umu amekua bonge uyu nikai kweli au
Jamni mbona mtumwa anapenda kulia hivi 😂😂😂
Jamani masozi nilikua ni meku miss hatari
Weee
Hataari
Dukuduku lako
Mtumwa sasa mbona unalia saa zote jamani 😂😂😂alafu usivae dera alafu ujifunge leso tafadhali ukivaa dera vaa na chupi au baicka
🥸
Hii ndo tunaita binamu nyama ya hamu
Kabisaa
Kay umenenpa jaman
Kwani kwanini Kila movie mnampitia kitengo cha kulia tu mtumwa Jaman 😢😢😢😢😢
Kai umenenepa
🙏🙏
Mpemba kwa umbea ataacha lin
Kai amenenepa mh
Mpaka hapa Mimba ni yake😂😂😂
🤣🤣
Mbona kai umenona
🤣🤣
Fatuma uju kuati kulia kweli hadi mashabiki wanadodokwa machozi😢😢
😀😀😀
Sijapenda 😢😢
Why
@@busatitv jinsi anavyo nyanyaswa huyo dada
Sawaa
Nitamu
🙏🙏
Ndio nafika kuanglia ssa nipeni like ata tano😢
🤣🔥🔥
Aisee mbona Kai kanenepa sans huku
kai kanenepa
Busat tv familia
🙏🙏
Kai kwenye hii movie unaoneka bonge
Kai apo ulinenepa
Tumemchoka fatuma na kulia khaaa
Malizieni house girl sasa
Inaendelea
yaan
🙏
Tam😂😂😂😂😂😂
🤣🤣🥰🥰
Tumemchoka fatuma na kulia khaa
Hiii muvi ni nziri ila umekuwa bonge
Mshllh
Achana Kutuchangaya Tunasubiria Arusi Ya Da Zukuu Uku Mumeanza Nyengine Ata Mtaacha Nifiwasatilie
Ya zamani hiyo
Kweli hawa wanatuchanganya kwann wanafanya hivyo sasa huku haijaisha anaanza nyingine
Mtizame na muda iliopostiwa ii ya muda
Mbona huku Kai mnene
Eeeh
Mpemba hata hakufikishwa na kuchota maji,hataumepeleka umbea
🤣🤣
house girl mbona hamtoi
Huku vp pili mabonga alienda wapi.
Yupo
Hii Move wenzangu kwani ni mpya au niyazamani?
❤❤❤
❤️❤️❤️
🙏🙏❤❤🇧🇮
😍😍😍
😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤
❤❤❤🙏
Wewe bandala, fatuma, note wanafik, mnatuyayushasisi, bure bilashi.
😭