SUMU | Ep 02 |.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 окт 2024
  • Mapenzi yana nguvu saana na ndio mpaka leo hakuna majibu sahihi ya maswali yote yanayohusu mapenzi..
    Binti alitaka kujenga ndoa yake kumbe jitihada zake mwishoni zilizuwa utata kabisaaaa 😔.
    Karibu kufatilia kisa hiki cha kusisimua.
    Follow us on INSTAGRAM 👇 www.instagram....
    Follow us on TIKTOK 👇
    www.tiktok.com...
    For Bussiness WHATSAPP ONLY
    +255 764 397 711

Комментарии • 43

  • @DonMooSTUDIO_Express
    @DonMooSTUDIO_Express 3 месяца назад +12

    Mimi ni fans namba moja wa CHIBU & BUTUA hao waheshimiwa napenda saaaannah kuangalia wanavyocheza na uhalisia wa script zao ❤ Kunawaigizaji nikianza kuangalia filamu zao naona ni wasanii chipukizi kabisa, lakini Chibu tangu nianze kumuona naona ni muigizaji mkubwa sana. 🙏 CHIBU & BUTUA ❤💥

    • @DonMooSTUDIO_Express
      @DonMooSTUDIO_Express 3 месяца назад

      Lakini CHIBU mkeo angevaa stara kama wewe unaenda msikitini na unamsimamo wa dini. Hata huyo mke wa pili ulitaka kumuongeza kama SUNNAH mbona faradhi anazotekeleza hakuna. Kuanzia stara ya mavazi na kauli!!!... Hilo ni tatizo Mr CHIBU ungezingatia vigezo vya dini filamu ingenoga na aingeleta ujumbe sahihi ktk hadhira kwa mujibu wa dini husika. Hao wengine kama wasingevaa stara sawa. Lakini mkeo na huyo anayetaka kuongezwa mke wangekuwa na stara.

  • @MariamOmary-tt3fo
    @MariamOmary-tt3fo 3 месяца назад +8

    Woyoooo namba mbili ya 🔥 🔥 saana 🎉 hongereni saaana team chibu ❤

  • @KITUFE
    @KITUFE 3 месяца назад +5

    Unyama huuu hapa🎉🎉🎉🎉

  • @Faizali-x9
    @Faizali-x9 3 месяца назад +5

    Wakwanza from Mozambique 🇲🇿 😍

  • @aishaomar2287
    @aishaomar2287 3 месяца назад +3

    Halima usilie umeepushiwa eda mwaya😢 ila bimkubwa maamuzi ya haraka kitakukuta kitu...team chibu unyama kama unyama 💪 humu tuuuuu🎉🎉🎉

  • @bongotamuonline3090
    @bongotamuonline3090 3 месяца назад +3

    Hauna baya team chiebway 🎉🎉🎉

  • @Masterstevemedia-kb5oc
    @Masterstevemedia-kb5oc 3 месяца назад +6

    kazi poa

  • @mishikesi7882
    @mishikesi7882 3 месяца назад +3

    So nice🎉❤

  • @wamboiwamboh
    @wamboiwamboh 3 месяца назад +2

    me as 1st wife tyipping😂😂😂😂anyway we love you guys watching from kenya❤❤❤❤

  • @fatumajuma9388
    @fatumajuma9388 3 месяца назад +1

    Wow❤Kaz nzr xna😊 much love from 🇰🇪🇰🇪

  • @TantineZuzu
    @TantineZuzu 3 месяца назад

    Kali sana ❤❤❤🇧🇮🇧🇮

  • @DaudWest
    @DaudWest 3 месяца назад

    Kijijini kuna pisi Kali sana ❤

  • @hutahuta1170
    @hutahuta1170 3 месяца назад +2

    Mima unalazimisha😂😂 ndoa

  • @Loidydaleobina784
    @Loidydaleobina784 3 месяца назад +1

    Kazi nzuri chibu ❤❤❤❤.

  • @faizamohamed6993
    @faizamohamed6993 3 месяца назад

    🔥🔥🔥❤️❤️❤️

  • @mahmoudnajad217
    @mahmoudnajad217 3 месяца назад +1

    DUH! Ata mm ningeachana na Mima maana so mzunguko uwo😋😍😘

  • @AllyJuma-hm8nu
    @AllyJuma-hm8nu 3 месяца назад +1

    🎉🎉 mashauallh

  • @MrsMariam-x2s
    @MrsMariam-x2s 3 месяца назад +2

    Ndowa hamna bibi we Mme karudi kwa mkewe Hadi Raha shangazi kaweza kabisa kumpa dawa Yama funzo sio dawa ya mitishamba jamani ukubwa dawa hhhhhhhh daa Mme akitaka kuowa inaumaga iyooo

  • @FredYassineCheia-di7yj
    @FredYassineCheia-di7yj 3 месяца назад +1

    Good job from Moz 🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @omarbosiomar8608
    @omarbosiomar8608 3 месяца назад +1

    much much love

  • @celestinkenga9212
    @celestinkenga9212 3 месяца назад

    Kz.nzur.wapendwa.much.love.watch.from.saudi

  • @VexMaizoOfficial
    @VexMaizoOfficial 3 месяца назад +2

    🧭🤳
    Wa mwisho kufika kutoka Msumbiji 🇲🇿 Mozambique PEMBA Carioca ✨✨ like zangu tafadhali jamani walau kumi

  • @devisrwekaza709
    @devisrwekaza709 3 месяца назад +1

    Umetisha mwqnangu

  • @RizikiZiki
    @RizikiZiki 3 месяца назад +1

    Uhuum mmmmh mwana kulitafuta mwana kuligeti chibu umewasha moto utakae kushinda kuzima haya yangu maco😅

  • @ZakiajumanneIngo
    @ZakiajumanneIngo Месяц назад

    Chibu nakukubali sana 🎉

  • @AllyYamkiwa
    @AllyYamkiwa 3 месяца назад +1

    ❤❤❤team chibu

  • @giselemauwa4477
    @giselemauwa4477 3 месяца назад +1

  • @DaudWest
    @DaudWest 3 месяца назад

    🎉

  • @fguy2687
    @fguy2687 3 месяца назад +1

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤

  • @MihamboJoseph-t1s
    @MihamboJoseph-t1s 3 месяца назад

    Fikir kabla ya kutenda

  • @SadaMohamed-xl9rc
    @SadaMohamed-xl9rc 3 месяца назад +1

    ❤❤❤❤

  • @Yusco_Rhynova
    @Yusco_Rhynova 3 месяца назад +1

    🌎🌎

  • @MrsMariam-x2s
    @MrsMariam-x2s 3 месяца назад

    Mme atakufa kweli awo minaona sio dawa ya kuuwa ndio mana kamwambiya ampe Ile sim masheji nao mh kumbe alikua natamani mwanaume wamwenziye duuu m

  • @mamyto_aziza5157
    @mamyto_aziza5157 3 месяца назад

    Hii camera imetumika hapa imefanya wasanii wote kuwa na magegeza … jamani nani mwengine ameona vile nimeona mm

  • @ldmfromkenya6273
    @ldmfromkenya6273 3 месяца назад +2

    Aki chibu hujafanya poa kabisa aki😢😢😢😢😢😢😢

  • @CHOMBOFCM24
    @CHOMBOFCM24 3 месяца назад +1

    𝐌𝐢𝐬𝐭𝐞𝐫 𝐂𝐡𝐢𝐛𝐮 𝐟𝐢𝐫𝐞 𝐬𝐚𝐧𝐚 𝐢𝐢𝐢 𝑺𝑼𝑴𝑼❤❤❤❤❤❤