Leo Masterio: Nilitongozwa na Riyama.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 фев 2025

Комментарии • 61

  • @mwanaishasilima4483
    @mwanaishasilima4483 5 лет назад +2

    Maashaa Allah .Allah awape.umrimrefu.ameen

  • @jamilahrali1467
    @jamilahrali1467 5 лет назад +1

    I love you guys and you look good together,......

  • @hawaafrica803
    @hawaafrica803 5 лет назад +1

    Interview yako nimeipenda mkaka unajielewa nawatakieni maisha mema

  • @subirakathrin8944
    @subirakathrin8944 5 лет назад +9

    Mapenzi hayana mwenyewe unaweza penda kijana au mzee bora heshima

  • @hawaafrica803
    @hawaafrica803 5 лет назад +2

    Mwanaume kichwa kipo vizur sana mashaallah

  • @scollorpatrick7214
    @scollorpatrick7214 5 лет назад +2

    Aisee mnapendezeana sana jaman mungu awajalie sana

  • @judysnasambu3349
    @judysnasambu3349 4 года назад

    Nkupenda tangu kitambo

  • @mwanaiddaud4224
    @mwanaiddaud4224 5 лет назад +2

    😂😂😂😂😂😂Nimewapenda bure😘

  • @mashauzclassic7504
    @mashauzclassic7504 5 лет назад +1

    Mtangazaji mbea sana wacheni hayo nayo

  • @aliyahmduda7456
    @aliyahmduda7456 4 года назад

    Nawapenda jaman

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania9743 2 года назад

    Kumbe mme wa riama anajielewa hivo

  • @salhakhamis4629
    @salhakhamis4629 5 лет назад +1

    Jaman mjmependeza kwel

  • @mwanaidisalehe4563
    @mwanaidisalehe4563 5 лет назад

    Nimewapenda bule jaman 😀😀😀😀

  • @nassrapatrickpatrick5545
    @nassrapatrickpatrick5545 5 лет назад +4

    Huyu mwanaume anajielewa Sana dahaaa

  • @najmagudeh203
    @najmagudeh203 5 лет назад +3

    Nawapenda sana

  • @suleimanjuma7526
    @suleimanjuma7526 5 лет назад

    riama mume mwambie akate rasta.anapendezaaaaa

  • @aishamother9943
    @aishamother9943 5 лет назад +1

    Nimependa sana

    • @annamachota2661
      @annamachota2661 5 лет назад

      umenifanya na mimi niolewe na yule dogo penda sana nyie

  • @azzamahamdu7039
    @azzamahamdu7039 5 лет назад +1

    Riyama mtu mzma🤣🤣🤣pamoja na utu uzma wake lake analipa bbyface wameendana. Mungu awajalie watoto insh

  • @jacklinemollel9792
    @jacklinemollel9792 5 лет назад +1

    nawapenda bure

  • @daniellaurante1646
    @daniellaurante1646 5 лет назад +13

    Jaman mapenz hayana umri kweli ndo nimeamini na mapenz hayana macho nikama kipofu

  • @magrethkawa4841
    @magrethkawa4841 5 лет назад +4

    Life goes on doesn't matter what!!!!💖

  • @mariajohn1286
    @mariajohn1286 5 лет назад

    love your couple

  • @sashacute6304
    @sashacute6304 5 лет назад +2

    Riyama nakupenda

  • @rabeccashabani8785
    @rabeccashabani8785 5 лет назад

    I enjoy riama's interview always. I love you guys

  • @onairfrp5187
    @onairfrp5187 5 лет назад +7

    Mbona lio yuko kama chizi hiyo minywele

  • @aishamohamed7986
    @aishamohamed7986 5 лет назад

    Riyama nakupend xana jmn ww kaka endelea tu kumpenda

  • @sistersade9039
    @sistersade9039 5 лет назад +10

    jamani TZ kuna shida ya umri wa mwanamke? mpaka watangazaji hawawezi kuficha huu ujinga mpaka kumfanya mtu ajione anamapungufu kwajili ya age yake?...... munayo kazi

    • @rukaiyasalim1019
      @rukaiyasalim1019 5 лет назад +1

      Na kweli maana mtu unamwita mtu mzm mbele yake jambo sio zuri, kwani cha ajabu nini mtu kuolewa na kijana kwa ni sunnah

    • @nataemsuya
      @nataemsuya 5 лет назад

      Bora ukose Mali kuliko akili.... Yani ndio vitu vinanibore kujadili umri wa mtu

    • @floramsssawe8234
      @floramsssawe8234 4 года назад

      Ujingaaa

  • @annitabobo5438
    @annitabobo5438 5 лет назад

    Age is just a number just style up and move on with so called umri. They love each other that what matters

  • @rosedaniel1981
    @rosedaniel1981 5 лет назад +4

    Ahahaha hata me kuna mtu humu ndani namuelewa sijui nimwambie

  • @mwanahalimamwachili9679
    @mwanahalimamwachili9679 5 лет назад

    Mapenzi hayana mwenyewe unaweza penda kijana au Mzee,Pendaneni daa Riyama Penzi halina Umri.

  • @evelynmac4359
    @evelynmac4359 5 лет назад +1

    Kaka unajielewa hatar

  • @claveryboniphacemaingu9230
    @claveryboniphacemaingu9230 5 лет назад

    Naiyo ndio inayo yakiwa walimwrngu hawakosi lakusema hata kama Leo angekuwa mkubwa wangesema tu

  • @mumdecutymariammariammunga7501
    @mumdecutymariammariammunga7501 5 лет назад +1

    😂 Riyam a

  • @mathnasaeed3806
    @mathnasaeed3806 5 лет назад

    ata mtume alimuowa bi khadija Dada Riyama umepita mule mule dadaa waache na wivu wao na wakae wawasubir waliozaliwa nao pacha wafanane umri na watangazaji wa Tanzania mnagubu heee km umri tatizo na hayati muheshiwa mengi alimuowa mdada mdogo na kazaa nae mapacha mambo ndivyo yalivyo hivoo na vijisuna waislam tunavifata jamanii punguzeni gubu iloo

  • @mwakahassan8742
    @mwakahassan8742 5 лет назад

    Chezea majina ya riyama weee kwa kushushua

  • @azizaabdi1265
    @azizaabdi1265 5 лет назад +1

    Riyama jamanii hahaaahaaaaaa

  • @khadijaamani7292
    @khadijaamani7292 5 лет назад +2

    Hapo Sasa

  • @anithaflorian1157
    @anithaflorian1157 5 лет назад +5

    Wa kwanza Leo jaman

  • @mamakokukoku2318
    @mamakokukoku2318 5 лет назад

    kuluan raja

  • @racheldauson9471
    @racheldauson9471 5 лет назад +1

    Hahahhhhhhahha riyama

  • @andrewmakwi1415
    @andrewmakwi1415 5 лет назад +1

    Sjapenda japo namkubar ila kwa hili mmmh

  • @happyelias4536
    @happyelias4536 5 лет назад +2

    Lo! Majibu yako rihama umejua kunichekesha

  • @sashacute6304
    @sashacute6304 5 лет назад +2

    Hahahaaaa

    • @frolaevance604
      @frolaevance604 5 лет назад

      Sasha Cute mtangazaj nae kazid jmn duu,mtu mzima riyama kwahy alitak uyo kak awe naye yey???