jamani TZ kuna shida ya umri wa mwanamke? mpaka watangazaji hawawezi kuficha huu ujinga mpaka kumfanya mtu ajione anamapungufu kwajili ya age yake?...... munayo kazi
ata mtume alimuowa bi khadija Dada Riyama umepita mule mule dadaa waache na wivu wao na wakae wawasubir waliozaliwa nao pacha wafanane umri na watangazaji wa Tanzania mnagubu heee km umri tatizo na hayati muheshiwa mengi alimuowa mdada mdogo na kazaa nae mapacha mambo ndivyo yalivyo hivoo na vijisuna waislam tunavifata jamanii punguzeni gubu iloo
Maashaa Allah .Allah awape.umrimrefu.ameen
I love you guys and you look good together,......
Interview yako nimeipenda mkaka unajielewa nawatakieni maisha mema
Mapenzi hayana mwenyewe unaweza penda kijana au mzee bora heshima
Mwanaume kichwa kipo vizur sana mashaallah
Aisee mnapendezeana sana jaman mungu awajalie sana
Nkupenda tangu kitambo
😂😂😂😂😂😂Nimewapenda bure😘
Mtangazaji mbea sana wacheni hayo nayo
Nawapenda jaman
Kumbe mme wa riama anajielewa hivo
Jaman mjmependeza kwel
Nimewapenda bule jaman 😀😀😀😀
Huyu mwanaume anajielewa Sana dahaaa
Nawapenda sana
riama mume mwambie akate rasta.anapendezaaaaa
Nimependa sana
umenifanya na mimi niolewe na yule dogo penda sana nyie
Riyama mtu mzma🤣🤣🤣pamoja na utu uzma wake lake analipa bbyface wameendana. Mungu awajalie watoto insh
Aiseee da riyama umenishinda tabia,love u my dda
nawapenda bure
Jaman mapenz hayana umri kweli ndo nimeamini na mapenz hayana macho nikama kipofu
Na mm nawapendaga sana hawa watu jamaniii,, wanaheshimiana sana na wanapendana sana, mungu awalinde
Umeona Dani hee ni kweli kabisa mim mwenyewe nasemaga hilo
Ndio wanaheshimiana sana
Haha wanachekesha wanavituko
Hiyo picha imependeza haha ndio mtu ulisema mtu mzima wanasemaga hivyo nimemzaa nani
Life goes on doesn't matter what!!!!💖
love your couple
Riyama nakupenda
I enjoy riama's interview always. I love you guys
Mbona lio yuko kama chizi hiyo minywele
Zakubandika izo sio zake
Riyama nakupend xana jmn ww kaka endelea tu kumpenda
jamani TZ kuna shida ya umri wa mwanamke? mpaka watangazaji hawawezi kuficha huu ujinga mpaka kumfanya mtu ajione anamapungufu kwajili ya age yake?...... munayo kazi
Na kweli maana mtu unamwita mtu mzm mbele yake jambo sio zuri, kwani cha ajabu nini mtu kuolewa na kijana kwa ni sunnah
Bora ukose Mali kuliko akili.... Yani ndio vitu vinanibore kujadili umri wa mtu
Ujingaaa
Age is just a number just style up and move on with so called umri. They love each other that what matters
Ahahaha hata me kuna mtu humu ndani namuelewa sijui nimwambie
Mwambie au mm huyo!!!!!.,kama ni mm nicheki kwa number hii 0735 - 103040
Bora uniambie tu
Mwambie
Mapenzi hayana mwenyewe unaweza penda kijana au Mzee,Pendaneni daa Riyama Penzi halina Umri.
Kaka unajielewa hatar
Naiyo ndio inayo yakiwa walimwrngu hawakosi lakusema hata kama Leo angekuwa mkubwa wangesema tu
😂 Riyam a
ata mtume alimuowa bi khadija Dada Riyama umepita mule mule dadaa waache na wivu wao na wakae wawasubir waliozaliwa nao pacha wafanane umri na watangazaji wa Tanzania mnagubu heee km umri tatizo na hayati muheshiwa mengi alimuowa mdada mdogo na kazaa nae mapacha mambo ndivyo yalivyo hivoo na vijisuna waislam tunavifata jamanii punguzeni gubu iloo
Chezea majina ya riyama weee kwa kushushua
Riyama jamanii hahaaahaaaaaa
Aziza Abdi karibu
Hapo Sasa
Wa kwanza Leo jaman
apo sasa kamzaa nani oooh mtu mzimaa
kuluan raja
Hahahhhhhhahha riyama
Sjapenda japo namkubar ila kwa hili mmmh
Lo! Majibu yako rihama umejua kunichekesha
Hahahaaaa
Sasha Cute mtangazaj nae kazid jmn duu,mtu mzima riyama kwahy alitak uyo kak awe naye yey???