TAHARUKI!!! SHUHUDIA MAFURIKO Mwanza, watu wanasa majini
HTML-код
- Опубликовано: 11 янв 2024
- Malori yaliyosheheni bidhaa yamenusurika kusombwa na mafuriko yaliyotokana na mvua kubwa iliyonyesha katika maeneo mbalimbali ya jiji la Mwanza kwa zaidi ya Saa 4.
Poleni sana ndg zetu .
Acheni uzinzi. Ushoga mungu amechukia
Poleni sana
Alhamdulilah nilihama hili eneo niliteseka sana
Mungu awalinde wapendwa
Dah niatari sana
MUNGU wangu...
Hatari sanaa
Mungu tuhurumie na utusamehe
Polen sana
Kipindi cha nuhu lkn wala hatuna habari na mungu aliyetuumba🎉
Poleni sana ndg zetu kwa mafuliko
"Mafuliko" ni kitu gani wewe andika kiswahili kinachoeleweka la sivyo acha kabisa kupotosha😠
Mabatini hapo kawaida yake mafriko ni kawaida hapo ila watu huwa hawa sikii kuhama hawataki
Huwaoni na Misafara yao ya magari mengi na majibu yakuhamia Burundi vipindi hivi. Kazi ni kuzingatia wapinzani wanafanya nini.
Hatari sana
Daraja la Masai kanoni Mwanza tandamu la Mangarama Bunda pazuro
Mwanza sehemu gani?
Duh ni hatari xna
Mafuriko na mpira wapi nawapi huyu nae😂😢😢😢
Hii sijui kama siio mto mirongo
Sauti haisikiki wakt ni kituo kikubwacha habari
Jamani sasa hao waliosimama juu ukuta, wana uhakika gani kuwa uko imara.
Binfisi sina mashaka simba ni hi ushindi upo pale pale wapenzi longido tupo na timu yetu matumani yapo
Hapo inabidi kikosi cha uokoaji kiwahi haraka.
Hapo yaweza kuwa tatizo ni serikali.Lakini wananchi ndiyo tatizo kubwa.Hasa linapokuja swala la kujenga ,tunataka bila kujali,jasa maeneo hatarishi kama vilw karibu mito,karibu na mabonde, karibu na milima., karibu na baraba na hata kwenye mikondo ya maji (Ujenzi hole).Hatujali,hatushauriki na wala hatukatazwi.Pesa inatuwasha ,kiburi cha pesa.
Lakini wakati ujenzi unapoanaza Serikali huwa ipo kuanzia mjumbe wa nyumba kumi kumi, ukiacha hao manispaa zipo zina mainjinia waliosomeshwa na Serikali ambao wanapaswa kutoa ushauri wao Kwa wakuu wao wa kazi. Utakuta jengo linajengwa likifikia kwenye rinta ndo wanakuja kuandika kwenye nyumba "Simamisha ujenzi". Mitaro hukumbukwa kufanyiwa usafi pindi mvua zinapoanza. Watumishi watoke ofisini waingie site waache viyoyozi.
Mipango Miji amkeni. Fanyeni kazi zenu
Nchi gani duniani amba haipatwi na mafuriko?
Hat huko kweny miundombinu bora kuna mafuriko pia usisahau
Two wrongs does not make it a right
Yote tumwachie mungu
Uokowaji wako wapi?
Cjc
Mwanza sehem gani
Daraja la Masai
Hii hatar
Watengeneze dalaja wakati wanaona bola wafanye usafi
Daraja la masai
Huyu anaeishauri serikali mbona kama kaweka ugolo mdomoni😂
We unaangalia ugoro au unasikiliza ujumbe alioutoa?
Angalia ujumbe acha ushamba
Hii hatar