TAHARUKI!!! SHUHUDIA MAFURIKO Mwanza, watu wanasa majini

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • Malori yaliyosheheni bidhaa yamenusurika kusombwa na mafuriko yaliyotokana na mvua kubwa iliyonyesha katika maeneo mbalimbali ya jiji la Mwanza kwa zaidi ya Saa 4.

Комментарии • 42

  • @HappyEel-wg4qx
    @HappyEel-wg4qx 8 месяцев назад

    Poleni sana

  • @AkimuWaziri
    @AkimuWaziri 5 месяцев назад

    Acheni uzinzi. Ushoga mungu amechukia

  • @tirigimusiba3815
    @tirigimusiba3815 8 месяцев назад

    Poleni sana ndg zetu .

  • @luciasamweli9697
    @luciasamweli9697 8 месяцев назад +1

    Mungu awalinde wapendwa

  • @JoharikabonaKabona
    @JoharikabonaKabona 8 месяцев назад +1

    Alhamdulilah nilihama hili eneo niliteseka sana

  • @JoyceMigwata-lu9le
    @JoyceMigwata-lu9le 8 месяцев назад

    Polen sana

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 8 месяцев назад +1

    Mungu tuhurumie na utusamehe

  • @stemarcely7493
    @stemarcely7493 8 месяцев назад +2

    MUNGU wangu...

  • @HasaniShija-ye5xg
    @HasaniShija-ye5xg 8 месяцев назад

    Dah niatari sana

  • @SophiaLubinsha-g4m
    @SophiaLubinsha-g4m 8 месяцев назад

    Hatari sana

  • @barakaaman2668
    @barakaaman2668 8 месяцев назад

    Daraja la Masai kanoni Mwanza tandamu la Mangarama Bunda pazuro

  • @ThomasNdaki
    @ThomasNdaki 8 месяцев назад

    Poleni sana ndg zetu kwa mafuliko

    • @Mundi-oz7os
      @Mundi-oz7os 8 месяцев назад +1

      "Mafuliko" ni kitu gani wewe andika kiswahili kinachoeleweka la sivyo acha kabisa kupotosha😠

  • @florencemeza6540
    @florencemeza6540 8 месяцев назад +2

    Mwanza sehemu gani?

  • @suzyjohn6885
    @suzyjohn6885 8 месяцев назад

    Mabatini hapo kawaida yake mafriko ni kawaida hapo ila watu huwa hawa sikii kuhama hawataki

  • @ElishaSolomoni-kc4zk
    @ElishaSolomoni-kc4zk 8 месяцев назад +1

    Duh ni hatari xna

  • @BeatriceSaid
    @BeatriceSaid 8 месяцев назад +1

    Mafuriko na mpira wapi nawapi huyu nae😂😢😢😢

  • @omarysaidmangara3333
    @omarysaidmangara3333 8 месяцев назад +1

    Binfisi sina mashaka simba ni hi ushindi upo pale pale wapenzi longido tupo na timu yetu matumani yapo

  • @onesmombele2571
    @onesmombele2571 8 месяцев назад

    Watengeneze dalaja wakati wanaona bola wafanye usafi

  • @protusmushi7162
    @protusmushi7162 8 месяцев назад +1

    Hapo inabidi kikosi cha uokoaji kiwahi haraka.

  • @godlovemrosso5973
    @godlovemrosso5973 8 месяцев назад

    Hii sijui kama siio mto mirongo

  • @AthanaseKiyoja
    @AthanaseKiyoja 8 месяцев назад +1

    Hapo yaweza kuwa tatizo ni serikali.Lakini wananchi ndiyo tatizo kubwa.Hasa linapokuja swala la kujenga ,tunataka bila kujali,jasa maeneo hatarishi kama vilw karibu mito,karibu na mabonde, karibu na milima., karibu na baraba na hata kwenye mikondo ya maji (Ujenzi hole).Hatujali,hatushauriki na wala hatukatazwi.Pesa inatuwasha ,kiburi cha pesa.

    • @josephkulija293
      @josephkulija293 8 месяцев назад

      Lakini wakati ujenzi unapoanaza Serikali huwa ipo kuanzia mjumbe wa nyumba kumi kumi, ukiacha hao manispaa zipo zina mainjinia waliosomeshwa na Serikali ambao wanapaswa kutoa ushauri wao Kwa wakuu wao wa kazi. Utakuta jengo linajengwa likifikia kwenye rinta ndo wanakuja kuandika kwenye nyumba "Simamisha ujenzi". Mitaro hukumbukwa kufanyiwa usafi pindi mvua zinapoanza. Watumishi watoke ofisini waingie site waache viyoyozi.

    • @adelinelyaruu3036
      @adelinelyaruu3036 8 месяцев назад

      Mipango Miji amkeni. Fanyeni kazi zenu

    • @magigesabai8674
      @magigesabai8674 8 месяцев назад

      Nchi gani duniani amba haipatwi na mafuriko?

    • @aminatanzanya7475
      @aminatanzanya7475 8 месяцев назад

      Hat huko kweny miundombinu bora kuna mafuriko pia usisahau

    • @adelinelyaruu3036
      @adelinelyaruu3036 8 месяцев назад

      Two wrongs does not make it a right

  • @csato9415
    @csato9415 8 месяцев назад

    Jamani sasa hao waliosimama juu ukuta, wana uhakika gani kuwa uko imara.

  • @luciasamweli9697
    @luciasamweli9697 8 месяцев назад

    Yote tumwachie mungu

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 8 месяцев назад

    Hii hatar

  • @lilhydon452
    @lilhydon452 8 месяцев назад

    Uokowaji wako wapi?

  • @MilembeMagashi
    @MilembeMagashi 8 месяцев назад

    Mwanza sehem gani

    • @dee4144
      @dee4144 8 месяцев назад

      Daraja la Masai

  • @AnnaMunisi
    @AnnaMunisi 8 месяцев назад

    Cjc

  • @dee4144
    @dee4144 8 месяцев назад

    Daraja la masai

  • @edinamadebele973
    @edinamadebele973 8 месяцев назад

    Huyu anaeishauri serikali mbona kama kaweka ugolo mdomoni😂

    • @noelbryson7840
      @noelbryson7840 8 месяцев назад +1

      We unaangalia ugoro au unasikiliza ujumbe alioutoa?

    • @BeatriceSaid
      @BeatriceSaid 8 месяцев назад

      Angalia ujumbe acha ushamba

  • @pendopeter9075
    @pendopeter9075 8 месяцев назад +1

    Sauti haisikiki wakt ni kituo kikubwacha habari

  • @aliyuabdallah3210
    @aliyuabdallah3210 8 месяцев назад

    Hii hatar

  • @EmanuelMaliti
    @EmanuelMaliti 8 месяцев назад +1

    Hatari sanaa

  • @marymgimwa
    @marymgimwa 8 месяцев назад

    Kipindi cha nuhu lkn wala hatuna habari na mungu aliyetuumba🎉