Ee Bwana fadhili zako zikae nasi

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 фев 2025
  • Composed by John Mgandu
    Ee Bwana, ee Bwana, fadhili zako zikae nasi
    Kama vile tulivyokungoja wewe
    Kwa kuwa neno la Bwana, neno la Bwana lina adili
    Na kazi yake yote huitenda kwa uaminifu
    Hupenda haki na hukumu, hupenda haki na hukumu
    Nchi imejaa fadhili za Bwana
    Tazama jicho la Bwana, li kwao wamchao
    Wazingojeeao fadhili fadhili za Bwana

Комментарии • 1

  • @dza3277
    @dza3277 Год назад +1

    Nice. It should hv been longer for at least 4 stanzas. We could hv used it as a Karioke music to sing along with. Anyways, Thankyou very much.
    I am from India.