Tony Sheltone Ft Mukufuu_Ugonjwa Official Song

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • UGONJWA
    Mmmmmm!
    Afadhali,wale walio aga,mi naiishi,ila kwa shida,shida!
    Ata mwezi hujapita tangu nipate nafu mwenzenu nimelazwa tena
    Ata wiki hujapita tangu nipate nafu mwenzenu nimelazwa tena
    Nina ugonjwa wa kuachwa mimi,wa kuachwa achwa
    Nina ugonjwa wa kuachwa mimi,wa kuachwa achwa
    Nikianza penzi,ni kama gari kuukuu
    Huanga ninarushwa rushwa,mwishowe ni ajali,Tunaachwa
    Mwenzenu Nikianza penzi,ni kama gari kuukuu
    Huanga ninarushwa rushwa,mwishowe ni ninaachwa
    chorus
    Hapa shida nimeshindwa,ata maasai amesema akuna tiba *4
    Ata mwezi hujapita tangu nipate nafu mwenzenu nimelazwa tena
    Ata wiki hujapita tangu nipate nafu mwenzenu nimelazwa tena
    Nina ugonjwa wa kuachwa mimi,wa kuachwa achwa
    Nina ugonjwa wa kuachwa mimi,wa kuachwa achwa
    Nikanyima hadi mother pesa yakutumia,nikasafisha hadi choo pesa nimtumie lakini sasa,Ameenda!Ameenda!
    Ameniacha hoi,nikanyoa hadi rasta,nikaanza Kwenda church,nikauza hadi woofer nikamnunulia poch lakini sasa?Ameenda!Ameenda!!
    Ameniacha hoi!Nikabuy hata pizza tukakula wote Lunch,tukapiga hata picha kwenye studio kubwa kubwa,lakini sasa?ameenda!Ameenda!
    Ameniacha hoi,ameenda!
    Ata mwezi hujapita tangu nipate nafu mwenzenu nimelazwa tena
    Ata wiki hujapita tangu nipate nafu mwenzenu nimelazwa tena
    Nina ugonjwa wa kuachwa mimi,wa kuachwa achwa
    Nina ugonjwa wa kuachwa mimi,wa kuachwa achwa
    Nikianza penzi,ni kama gari kuukuu
    Huanga ninarushwa rushwa,mwishowe ni ajali,Tunaachwa
    Mwenzenu Nikianza penzi,ni kama gari kuukuu
    Huanga ninarushwa rushwa,mwishowe ni ajali,Tunaachwa
    Hospitali kenyatta wanasema bado,Bado,Bado
    Ata waganga wa kitui wanasema bado,Hakuna tiba hakuna
    Hospitali kenyatta wanasema bado,Bado,Bado
    Ata waganga wa kitui wanasema bado,Hakuna tiba hakuna
    chorus
    Hapa shida nimeshindwa,ata maasai amesema akuna tiba *4
    Ata mwezi hujapita tangu nipate nafu mwenzenu nimelazwa tena
    Ata wiki hujapita tangu nipate nafu mwenzenu nimelazwa tena
    Nina ugonjwa wa kuachwa mimi,wa kuachwa achwa
    Nina ugonjwa wa kuachwa mimi,wa kuachwa achwa
    Thanks for watching Fam,show some love by liking,commenting and Subscribing For More Amazing Videos.Lotsa Love❤️🌹
    #Dr.TonySheltone
    #Dr.TonySheltone #Teerecords
    ©2020 Administered by Tony Sheltone
    © 2022Tony Sheltone

Комментарии •