Inapendeza-Maandamano Jubilei ya miaka 50 ya Upadre Jimbo katoliki Moshi 2024

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • MISA TAKATIFU YA JUBILEE YA MIAKA 50 YA DARAJA TAKATIFU YA UPADRE JIMBO KATOLIKI MOSHI.
    ▪︎Karibu tushiriki pamoja Misa Takatifu ya Miaka 50 ya Daraja Takatifu ya Upadre kutoka Parokia ya Mtakatifu Yoseph Mume wa Bikira Maria Longuo, Jimbo Katoliki Moshi.
    ▪︎Siku ya leo Mpadre Saba wa Jimbo Katoliki Moshi wanamshukuru Mungu kwa Jubilee ya Miaka 50 ya Daraja Takatifu ya Upadre.
    ▪︎Misa hii takatifu inaadhimishwa na Mhashamu Askofu Mkuu Isaac Amani, Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki.

Комментарии •