MFAHAMU ASKOFU MTEULE WOLFGANG PISA WA JIMBO LA LINDI,MAISHA YAKE,WITO,AHADI YAKE KWA WANALINDI..

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • Karibuni sana katika Channeli hii inayomilikiwa na Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania {TEC}ikiwa ni moja ya chombo cha Uinjilishaji kwa njia ya Sauti na Video.Pia unaweza kutufuatilia kupitia mitandao yetu ya kijamii kama ifuatavyo.
    INSTAGRAM: / kanisa_katolikitz
    FACEBOOK: / barazamaaskofukatolikitz
    Whatsup: 0738 916 628...KANISA KATOLIKI TANZANIA
    Usisahau Kusubscribe,like na kushare maudhui yetu...

Комментарии • 23

  • @GevasTarimo-pw6et
    @GevasTarimo-pw6et Год назад +2

    Hongera sana Askofu Pisa, nakumbuka aliwahi kutuhudumia chakula mezani na kuhamisha vyombo pale msimbazi center akiwa mkuu wa shirika.. nilihofu mno

  • @seciliamaze451
    @seciliamaze451 2 года назад +1

    Hongera sana baba Mungu akuongoze katika utume wako.

  • @zephrindomicianlufurano6207
    @zephrindomicianlufurano6207 2 года назад +1

    Tumsifu Yesu Kristo, askofu mteule Wolfgang Pisa kwa kuteuliwa na Baba Mtakatifu Francis!
    Mungu akubariki Baba askofu mteule katika safari yako ya kichungaji ukiwa askofu wa jimbo la Lindi nchini Tanzania.

  • @edwinmbelle4207
    @edwinmbelle4207 2 года назад

    Tumsifu yesu kristo askofu mteule ! Kristo akusimamie ktk. utumishi wako.

  • @marymallya4172
    @marymallya4172 2 года назад +1

    Daima tunakuombea Baba tunakupenda na wanakwangulelo tutakukumbuka saana Mwenyezi Mungu akutangulie katika utume wako huko Lindi 🙏

  • @danstanpanga8490
    @danstanpanga8490 2 года назад

    Tumsifu Yesu Kristo Baba Askofu.

  • @shirimadativa4410
    @shirimadativa4410 2 года назад

    Aisee it's so good

  • @billgussy6099
    @billgussy6099 2 года назад

    Mungu akuongoze uweze kulichunga Kundi lake Amina🙏

  • @cesidilili6991
    @cesidilili6991 2 года назад

    Nakutakia utume mwema mungu ajutangulie

  • @kinandaregan2788
    @kinandaregan2788 2 года назад

    Utume mwema baba Askofu

  • @Kingdon8765
    @Kingdon8765 2 года назад

    Amina

  • @paulinmachlory9362
    @paulinmachlory9362 3 месяца назад

    Pongezi za dhati,wazazi.

  • @nangaypaul3795
    @nangaypaul3795 2 года назад +2

    Mwalimu wangu/ mshauri wangu kwenda Mgambo JKT! Aliniambia kama unaenda Mgambo JKT usisahau kwenda na kisu! Nikamwuliza cha kazi gani? Akaniambia hataki swali! Nunua kisu nenda! Nikanunua kisu cha kukunja sh 350! (1991/1992) kumbe kuna machungwa mengi! Unachuma machungwa tani yako unaenda kupima! Then unakula! Ubarikiwe binamu! Fr! Baba askofu

    • @kyaa006
      @kyaa006 2 года назад

      UMETISHA SANA ISSUE YA MACHUNGWA

    • @ambrosemtena1112
      @ambrosemtena1112 2 года назад

      Aisee tulikuwa mwaka mmoja!!! Nilikuwa coy C. Machungwa ndio ilikuwa kama chakula chetu. 😂😂

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 2 года назад +2

    Fikra pevu, falsafa kubwa..Tunakuombea wewe na Kanisa la Lindi,Mungu akutangulie

  • @tovelikibumuchauganga4732
    @tovelikibumuchauganga4732 2 года назад

    Ad laudem Domini Iesu Christi

  • @nangaypaul3795
    @nangaypaul3795 2 года назад +1

    Wakatoliki siwawezi! Unamwandaa mtu kuwa Askofu! Alafu anakuwa paroko msaidizi ila nyie!🤣🤣🤣!

    • @patrickdidas5818
      @patrickdidas5818 2 года назад +1

      kuwa msaidizi sio udogo Baba Pisa Alishahudumu na Tayari ni monsinyori hivyo alipunguziwa majukumu ila Kanisa limeona na unajua hekima na uwezo wake wa kufanya na kusema kwa hekima kumemfanya apelekwe kwenye ukuhani mkuu hakuna tatizo lolote la kiutawala

    • @Expedito2512
      @Expedito2512 2 года назад

      In the catholic church there is no such thing as lower position

    • @macharosandra9467
      @macharosandra9467 2 года назад

      Wako kiroho zaidi na sio madaraka ,maana kama ni Elimu hawa watu wamesoma, tofauti makanisa mengine wanangali elimu yako..

    • @kyaa006
      @kyaa006 2 года назад

      aliye Mkubwa yampasa kuwahudumia wengine..........Kanisa humwandaa Askofu kuwa mtumishi kwa wengine.............ukubwa na udogo si kipaumbele kabisa

  • @BeatusKLeon
    @BeatusKLeon 2 года назад

    Laudatur Iesus Christus