Tundu your the role model for patriots. you don't talk for your opposition but because your son of Tanzania,son of Africa. don't stop doing what your doing,your the voice of more than 45miln including the presiddnt Magufuli. bless you
Kwa kweli Lissu ni pasua maini. Akisimama tu kila waziri hukaa chonjo. Mambo haya ya kuweza kutumia utaratibu mzuri wa sheria na kunyoosha mambo ili yaeleweke ni kipaji sana. Hongera kwa kuwafumbua macho.
Kwenye hiz NONDO .wale jamaa wa taarifa huwez kuwasikia .jamaa n mwamba haswa !! Hapa unaona umuhimu wa kubadili baadhi ya sheria za jins ya upatikanaji wa wabunge. Mbunge lazma awe msomi. Bwana
Yusuph Ally asante mkuu tundu lisu kwa hutuba yako nzuri sana ya zanzibar dimani mkuu umeongea ukweli mungu akuwepe akupe uzima na afya njema hongera tundu lisu msema kweli
Mbali na elimu uliyonayo,ata uwezo bnafs umeonekana! Haijalish unalipwa kiac gan cha pesa...ucmamiz mzur na utetez wa haki za wengi (wanyonge) umekuwa tija na mchango mkubwa ktk ujenzi wa taifa hili
JPM hivi sheria zetu hazikuruhusu kuchagua upande wa pili???? wekeni hiyo sheria bana huyu mtu Tundu Lissu mweken pale kwenye Katiba na sheria wazili patanoga sana
mheshimiwa kikwete watanzania watamkumbuka saana kwasababu ya kuwa wise kuruhusu uhuru wa vyombo vya habari lakini kwa leo hii hakina kuona bunge live mna chujiwa ndipo muangalie hii si haki ina enda kinyume na haki za binadamu hapa kazi tuh kumbe hamna kitu
Yaani natamani tundulisu siku moja uje uwe raisi wa Tanzania tunakupenda sana mungu akulinde na akuepushe na wabaya
lissu is genius, I admire him
kwa mapendekezo yangu binafsi TUNDU LISU anafaa kuwa mwanasheria mkuu wa SERIKALI watanzania wote tunamuelewa vizuri
good
Hata asipokua raisa Lisu will always be remembered as a true patriot of modern Tz, a real gem
Kweli mh Lisu Watanzania tunaona umuhimu wako katk nchi hii we pray always for you be blessed
Vp
Your my choice brother you deserve to be genius
cjaona Kiongoz kama lissu yuko vzr sana yaan namkubali
Wale wanaojifanya mnamkejeli Tundu Lissu, embu njooni kwenye hoja hii kama mtaielewa na kuipangua... mbona hii hamumpongezi.
Mmmmh tundulisu munguu akusaidiee
Hakika ww ni Jembe!,Yaan natamani kujifunza mengi kutoka kwakoAllah akupe maisha mema Tundu lissu
Watakukumbuka Kwa uthubuti,una maarifa mpaka wananchi wanakukubali29/1/2021 mungu pekee akulinde.
mungu akuweke na akujaalie afya njema
Like 2022 kama unaangalia madini
Lisu ww ni mpango Wa mungu
Lissu jembe kweli kweli mungu mpe maisha marefu
Mungu aendelee kukutunza Lissu for presidential
Lissu you are real good in politics keep it up 4months ago
Tundu your the role model for patriots.
you don't talk for your opposition but because your son of Tanzania,son of Africa.
don't stop doing what your doing,your the voice of more than 45miln including the presiddnt Magufuli.
bless you
well said
+SOPHIA MWABENGA lieu ni jembe kwelikweli
Namuonakama chiriku manenomengi vitendohakuna
Dah!! Linapokuja suala la Sheria kiukweli #Lissu anaongea vitu mpaka na wao wanajiuliza hiki kichwa vipi wanaogopa hata kumjibu.
ee Mungu nisaidie siku moja niende bungeni nimuone lissu akichangia bungeni jaman
Utakumbukwa bungeni milele
Kichwa sana Mh Tundu Lissu
Bashe big up sana wakikuuwa
Watakutana na gharika la AALLAH tutafunga na mungu atajibu
lisu akisamam razima vijitabu vya katiba na sheria vishikwe kwa mawazir na spika
Generous
Long Live Tundu Lissu
Hahaha Kuna watu aisee mungu ameqabarik
Hizi ibara zimeeleweka?
Mungu akupe maisha marefu mheshimiwa tz inakuhitaji sana uitumikie
huyu mh lisu cjaona wa kumfananisha nae ktk viongozi wa tz kiukweli jamaa anajua anachokifanya cyo hao wa kina ndio mzee
Lisu Mungu akubariki sana.
Una kitu kikubwa Sana Ndugu ndani ya Moyo wako.
mungu katupatia wangu wasomi wote ila awa wenzetu wanatumia vyeo vyao.
Halafu mtu anataka kukuua hivi hivi tu!! Ndo maana walishindwa!!!
Sababu mungu alimshusha kwa ajili yetu
Safi sana
Kwa kweli Lissu ni pasua maini. Akisimama tu kila waziri hukaa chonjo. Mambo haya ya kuweza kutumia utaratibu mzuri wa sheria na kunyoosha mambo ili yaeleweke ni kipaji sana. Hongera kwa kuwafumbua macho.
safii
Uishi miaka 10000
Safi sana lissu
Hii n zawadi ya watanzania mungu katupa aseh raisi wa tls
Jembe
Lisu he is a lion
upo kwa ajili ya wanyonge Tindu hongera sana
Tupate wap mtu kama Tundu Lissu mwenye Roho ya Mungu ndani yake?Mwz 41:38
Waambie hao wanatoa macho 222222222
Lissu yaishe basi,utawaua hawa watu
Wabunge wa vyama vyetu vya upinzan wanakili na wanatumia sana katiba hawa wengne wanapiga makofi na ndo wako weng sasa jaman mungu utuhurumie sanaa
namkubali tundu lisu bila kujali upinzani huyu jamaa ninoma wabunge wote wangekua kama huyu nchi yetu ingefika mbali
Kwenye hiz NONDO .wale jamaa wa taarifa huwez kuwasikia .jamaa n mwamba haswa !! Hapa unaona umuhimu wa kubadili baadhi ya sheria za jins ya upatikanaji wa wabunge. Mbunge lazma awe msomi. Bwana
Tanzania tulihitaji Raisi kama huyu
Lisu wew nikichwa wew ni azina ya taifa letu ndiyo mahan wemeshindwa kukuuwa wew msema kweli,
tundu lissu jembe sana
Hatari
respect u!
Jembe la kazi
Fire
Uendelee kufunikwa na damu ya aliye juu, nimekukumbuka sana kamamda upone na uishi milele.
ThisManIsSoWise
"Huyu siyo Lisu peke yake ila ni Mungu ndani ya Lisu"
uko sawa tundu
LISU ✌✌✌
Mungu aendelee kukulinda
aise.
namkubal sana lisu
Yusuph Ally asante mkuu tundu lisu kwa hutuba yako nzuri sana ya zanzibar dimani mkuu umeongea ukweli mungu akuwepe akupe uzima na afya njema hongera tundu lisu msema kweli
tundulisu wewe MTU muhimu sana
gift mwinyi wewe.nijembe.mungu.akongezeye.siku.ziwenyingi.ameni
Huwa sichokagi kuangalia hiz clip za lissu hakika umeshushwa kwa makusudi
wewe ni mtu muhimu Tanzania Mungu akupe uzima na afya njema na uendelelee kututetea.
lisu ni Masada Kubwa xana
Tundu lisu ni jembe sana
Felix Mwakisale nakukubali unajiamin.
Namuona mrithi wa werema na mwakyembe kwa mbali!!
fanya kweli
Special one!!!!
Iman Stephew
Mbali na elimu uliyonayo,ata uwezo bnafs umeonekana! Haijalish unalipwa kiac gan cha pesa...ucmamiz mzur na utetez wa haki za wengi (wanyonge) umekuwa tija na mchango mkubwa ktk ujenzi wa taifa hili
Well said
bungee katan ahamad katan
Mh
Lissu no one like you
JPM hivi sheria zetu hazikuruhusu kuchagua upande wa pili???? wekeni hiyo sheria bana huyu mtu Tundu Lissu mweken pale kwenye Katiba na sheria wazili patanoga sana
Awawezi kumueka pale huyu jamaa
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌
Katiba iluusuhuu kuchagua ht mawaziri upande mwngn maan hili ni jemba🙈🙈🙈🙈🙈🙈🙈🙈
kwel
Usife kabisa ukae milele na usizeeke kaka
Deusdedit Joseph Hamka Deo tundu lisu
Hakika kama sheria inafuatwa Tanzania tungekuwa mataji
jembe LA ukawa hill
Kwel n noma
hakika upinzani wana jembe
Tanzania kama herode yupo. basi lipsu musa
Joseph Mwakosya kwë
nisawa
Upone haraka TL
Leo wamo kina babu tale, mwana fa na polepole🤣🤣 bunge la ovyo kabs
Kabisaaa hovyo
Yani eti babu tale🤣🤣🤣🤣
Tundu lisu ni jembe
mbona hapo hawaombi muongozo ,naona hapo wanasikilizatu wengine hawajui kinachoendelea
Mpango na Muongo😂
nakuaminia
Lisu una hekaheka ,wee noma sana
Hakika ukwel uko hapa
ni shidaa
huyu ni jembe
mheshimiwa kikwete watanzania watamkumbuka saana kwasababu ya kuwa wise kuruhusu uhuru wa vyombo vya habari lakini kwa leo hii hakina kuona bunge live mna chujiwa ndipo muangalie hii si haki ina enda kinyume na haki za binadamu hapa kazi tuh kumbe hamna kitu
Mahamud Ahmedy is
hatar
M
kiboko ya ccm
😂😂
jembe letu
Lisu ni jembe
Huyu jamaa hajawahi niangusha
Hee
kweli singida wana mbunge unafaa lisu safi sana
Wale wamiongozo mbona kimya hapo
majembe Ya Ukawa Nimekusoma Sana Lisu Kweli Wewe Nimsomi
L
????????????!!!!!!!!!!!!!!
huyu mtu ni msaaada mkubwa katk bunge letu