Ati ruto hamearibu uchumi,😂 kumbe mngenipea kura nikuwe DP wa ruto than Gachagua. Mm ninanunua unga na shs120 which ilikuwa 230, wengine sijui ni chuki ama nn? Wakikuyu Gachagua will lead you to wrong direction. Jameni kuweni wajanja mapema bure mtajionea wenyewe. Mtalia vizuri. Pepo ya ukabila ni mbaya. Hiyo kuaribiwa kwa biashara nafikiria ni biashara ya wakikuyu . That is why machungwa moja with diameter of 5cm cost shs 25.
Sasa wewe ruto unaona mwizi na hujioni unaimbia wakenya mchana Mimi sijakwambia nataka nyumba na unanikata pesa ya nyumba.mwizi kabisa wewe hata u don't feel guilty .God is watching you
The president has no problem with MT. Kenya. You are emotional. We have the biggest representation in the executive, Legislature leadership and Judiciary than any other region in Kenya. What actually can you accuse the president of against the community?
Eti logbook ni ya mount Kenya 🤣🤣🤣 Kumbe riggy G ni dwanzi kabisa😂😂
Sawa kiprotich
Ati ruto hamearibu uchumi,😂 kumbe mngenipea kura nikuwe DP wa ruto than Gachagua. Mm ninanunua unga na shs120 which ilikuwa 230, wengine sijui ni chuki ama nn? Wakikuyu Gachagua will lead you to wrong direction. Jameni kuweni wajanja mapema bure mtajionea wenyewe. Mtalia vizuri. Pepo ya ukabila ni mbaya. Hiyo kuaribiwa kwa biashara nafikiria ni biashara ya wakikuyu . That is why machungwa moja with diameter of 5cm cost shs 25.
Sasa wewe ruto unaona mwizi na hujioni unaimbia wakenya mchana Mimi sijakwambia nataka nyumba na unanikata pesa ya nyumba.mwizi kabisa wewe hata u don't feel guilty .God is watching you
Tafauti ya Ruto na Gachagua ni kuwa RUTO anaangalia mbele, naye Gachagua anaang😊alia mahali amesimama.
Ruto utakuja kujua hao wakabila Dio walikueka mahali uko
The president has no problem with MT. Kenya. You are emotional. We have the biggest representation in the executive, Legislature leadership and Judiciary than any other region in Kenya. What actually can you accuse the president of against the community?
Gachagua was right, truthful and wise man
Ruto sera ni rigg fanyia kenya kazi wachana na gachagua hayuko kwa serikali
Rutoh ulijiharakisha sana,utakuja kujua Riggi G,alikua mtu wa maana kwako
Sera ilikua Mzee wa nduthi mama mboka naona xaxa kishahili imepelekwa western waluhya mtapewa mpaka zembe mbila
Ungo tumekuzoea hakuna maendeleo yoyote
Et logbook itakua ni yenu,,, Tribal
Yes we are. So? Nobody can beat our votes. Mtalia ukabila mnybe muende kwa kasongo nonsense.
Wewe nyumba yenye uko na familia mnalipania rent ama wewe ndiye landlord anajua?
Rigathi hujui kunawatu hawana makao, wanaishi kama ndege, slums ni mingi hii kenya, wacha kutupotesha.
Vijaya elfu tatu kwa nyumba elfu mbili owners hatujui Ni akina Nani hii ndo kenya
Gachagua pumbavu shetwani wacha poteza wa Kenya
Waaaah kumbe logbook ina wenyewe
Ukabila hakuna Kenya wacha uongo mingi
Manyumba tumejichengea
Gachagua is a man of GOD wait the proval GoD with us
So there is Kenya ,,Laikipia and Mount Kenya😢
Mamboz😮
Apo sawa atuna stima side za kasikeu na pia maji around musaani aki gachagua ukifanya ivo utakua raising wa Kenya for 15years
Riggy nawe unajoma badala utengeze chama ya national unatuambia mambo ya logbook tena.unafikiria tribe yako Pelee watakupitisha
Sisi na nani na umetuumiza tumejoka na uongo yako
Bado hauja Wacha ukabila tutaona mwisho wako
Matusi ndio nyingi. Unafundisha vijana nini
Sisi utajua ni ss tulikuweka hapo
Ni sawa but no one is interested in manyumbas Bwn Rais
Ruto ni mpumbafu kabisa
2027 ruto must rule again mupende musipende
Kwani unaogopa Gachagua
Sio kila mtu anaweza jenga Nyumba wacha uwongo
Ata sikuskii wewe ata uwatusi
Rais tuwekee stima lodwer tunateseka
Notice how half the people are facing out. In other words, 50% of the people are security. What is Ruto so afraid of?
Gachagwa ni mkabila sana
So what. Saa hii ndio mtaongea. Enda somali.
Gachagua 100%
Wachana na gachagwa, bure kabisa wewe
Tribal ulikua unataka tree top tu.
Ruto hajui uongozi
Unatubeba kama lagano samo mwenye hii channel sheži wewe rigg g aogei kubafu
Logbook ni ya murima
Sasa serikali
Wamashare 😢
Gachagua is most least person even to mention Ruto
Wewe kasongo unajiganba sana tukutane kwa debe
My kingpin.
Shame on you ruto
Come to eastern and central kenya and utter those your words ,,tuone kama hutachomwa
He will come and if hamutamchoma nitakutukana umbwa ,am screenshoting your comment, utakuwa kihii kama hamtamchoma i promise you
Sisi sio lagano samo sheži
Sisi smo kazali samo shezi
Mm.na.shangaa.aki
Maneno tamutamu
Riggy G the chief mobilizer
Failed marriage