OFFICIAL NAI ALIVYOFANYIWA FUJO DUKANI KWAKE ATAKA KIZICHAPA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 12 июн 2023
  • OFFICIAL NAI ALIVYOFANYIWA FUJO DUKANI KWAKE ATAKA KIZICHAPA
    www.youtube.com/@Wasafi_Media...
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 197

  • @Yo_tune-tb5sn
    @Yo_tune-tb5sn Год назад +10

    Aiseee mkewng mzuri sana namzarau bure uyu Dada anamiguu kama ndege inavunjika nyuma tushepu hamunaaa😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @madarakaempire4744
    @madarakaempire4744 Год назад +9

    Hii dzain ya show inavoanza kboko kzaz sana iko na swagz na inavutiasana nmerud ia mala tatu

  • @kalebumathias6435
    @kalebumathias6435 Год назад +3

    Jaman naipenda hii show

  • @nasonchisota6241
    @nasonchisota6241 Год назад +3

    Hao wano Wana AKA za unyama sana🙌🙌

  • @aminaasia-jl8fk
    @aminaasia-jl8fk Год назад +5

    Msichukue mda saana kumuweka mtu kwenyestresi fanyeni dakika chache mtakuja kufa nabastola

  • @farajamlonganile2601
    @farajamlonganile2601 Год назад +3

    Mmeamua kutu prank 😂😂😂😂 tukio which bana mmetu prank 😂 yani hata prank nazo mnaigiza duu 😂😂hamna reality yoyote 😂😂😂😂

  • @lissaseif4744
    @lissaseif4744 Год назад +2

    Kweli nai mrangiiii hiyoo miguuu sasa

  • @rahmaally4151
    @rahmaally4151 Год назад +1

    Mmetisha saf sana

  • @irenekarume1470
    @irenekarume1470 Год назад +8

    Me mzuri tatizo natumia Tecno😂😂

  • @rukiauwonde7062
    @rukiauwonde7062 Год назад +7

    Mnamnanga tu sema nzur bila filta❤

  • @shaddymutush2101
    @shaddymutush2101 Год назад

    Kali sana mwanangu

  • @peterbaton5251
    @peterbaton5251 Год назад +4

    Hiki kipindi Nakikibari Sana Hila kile Cha hamisi kupotexa Cm kwenye gari Mpk Leo Bhado Nacheka Maana lazima Nirudie Rudie kutazama🤣🤣🤣

  • @KamboyCEO
    @KamboyCEO Год назад +4

    INTRO YA MOTO. ⛽⛽⛽

  • @rahmalovelymakeup-xy1qp
    @rahmalovelymakeup-xy1qp Год назад +9

    Nai Ako Na Tumbo Na Hamsemi 😢

  • @mathiasmanonga3939
    @mathiasmanonga3939 Год назад +8

    Maisha ya ustaa magumu sana

  • @BONGOHOODTV
    @BONGOHOODTV 11 месяцев назад +10

    Walioona miguu membamba piga like😊

    • @oyay2821
      @oyay2821 11 месяцев назад

      Miguu iko sawa kabisa, inaendana na mwili wake

  • @aineskikoti9420
    @aineskikoti9420 Год назад +13

    I can tell ue something guys this is called a prank which means ue wanna see the reaction of someone after being acting different okay So ue may call prank and not "tukio" Just enjoy the pranks 😅😅😅😅 Aines here from Tanzania 🇹🇿🇹🇿

    • @queengee4154
      @queengee4154 Год назад +1

      yah its better they use it as prank it also sweet🤣

    • @aineskikoti9420
      @aineskikoti9420 Год назад

      @@queengee4154 I know in Tz 🇹🇿🇹🇿 many of them they're not doing it so it's so hard for them to know if that is called a prank 😅😅😅😅😅🤣🤣🤣🤣 they don know {Tukio}🤣🤣🤣🤣

    • @sirialemmy37
      @sirialemmy37 Год назад

      @@aineskikoti9420 you poor minded colonial minds, prank is an English word. Tz is a swahili Nation with its language. Tukio is a collective actions that's intended to see certain reaction without revealing its very meaning. Prank has the same meaning!
      Wacheni dharau ninyi washamba who think English is a measure of smartness kumbe ni unoko tuu!
      Piteni kushoto, you slaves with chains ⛓ of bondage in your narrow minded brains 🧠 😉

    • @queengee4154
      @queengee4154 Год назад +1

      @@aineskikoti9420 tuna matukio tu sie🤣🤣🤣

    • @aineskikoti9420
      @aineskikoti9420 Год назад +1

      @@queengee4154 In big percentage everything in Tz is so local 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @barutiboniphace4335
    @barutiboniphace4335 Год назад +7

    Aah Sanya mbona kama hii show ilipagwa. Na Nai coz ni tofauti sana na show zingine

    • @Fatma-rp7be
      @Fatma-rp7be Год назад +1

      Imepangwa

    • @westcijosh
      @westcijosh 10 месяцев назад +1

      Ndio show zote za sanya ni uongo mnachotwa tu akili hamjui

  • @dayana5513story
    @dayana5513story Год назад +1

    🔥

  • @pendo8082
    @pendo8082 Год назад +27

    Jamani filter kumbe shepu hakuna😂😂😂

  • @user-vv3bn6yc7g
    @user-vv3bn6yc7g Год назад +1

    Ila mzuri tu

  • @EmmaReginald-eu6ml
    @EmmaReginald-eu6ml Год назад +2

    Yooh

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 Год назад +3

    Watu wana msema nai akat wao wenyewe wana sura ngumu hatari 😅😅

  • @dignakanje4508
    @dignakanje4508 11 месяцев назад

    Jmn hii bongo inazungua kwahawa mastaaa.Ila inafundisha kuwa daar sio pakuingia kichwa kichwa,Ujue kunamatapeli madalali daar.

  • @JoyAgbiano-wr5cz
    @JoyAgbiano-wr5cz Год назад +7

    Iyo migu sasa uwiii😂😂😂😂

  • @maniscamullah6282
    @maniscamullah6282 Год назад +1

    Pindi nomaa

  • @nikkimbishiunju2402
    @nikkimbishiunju2402 Год назад +4

    Yeye ndio anafanya fujo halafu anatoa taarifa za uongo Polisi hajui kama Ingekuwa kweli hii video Ingekuwa ushahidi ..

    • @jalackally
      @jalackally Год назад

      Chuga ushakula mabanzi mdaa

  • @mwananyamalaz4427
    @mwananyamalaz4427 Год назад +2

    Unyama sana mtonya 😂😂

  • @Emiliana97
    @Emiliana97 Год назад +1

    Filtas jamani 😂😂😂

  • @sylviamsumba2212
    @sylviamsumba2212 Год назад +2

    Hiii mmeiga show ya zamani ya clouds Imekubamba

    • @nancyg8664
      @nancyg8664 Год назад +1

      Ata clouds waliiga sehem so hamna jipya

    • @nancyg8664
      @nancyg8664 Год назад

      Ata clouds waliiga sehem so hamna jipya

  • @annaleonce3398
    @annaleonce3398 Год назад +2

    Nai duka lake na bado anakimbia kupigwa😂😂😂

  • @BONGOHOODTV
    @BONGOHOODTV 11 месяцев назад +1

    Nai analilia kushoot😊😅😅😅

  • @tiffanyakramJr822
    @tiffanyakramJr822 Год назад +11

    Shikamo filter, si ndo huyu nai kajaziaga kwa edit 😂😂😂🤣

    • @munirakiwamba1602
      @munirakiwamba1602 Год назад +2

      😂😂😂😂😂😂😂.. hiyo taiti mbele ikoje 😂😂😂😂😂

    • @msuo7215
      @msuo7215 Год назад +4

      😂😂😂😂 filter acha kabisa

    • @stacylukesha3174
      @stacylukesha3174 Год назад +1

      Nilitaka nseme

  • @safiyanirram-pf3sv
    @safiyanirram-pf3sv Год назад +3

    Kanasura nzuri tu sema kwenye shepu tu me ngachoka😅😅😅kama yangu kumbe

  • @abbashussein-hz4dr
    @abbashussein-hz4dr Год назад +8

    Jaman mtakuja kuua watu siku moja😂😂😂

  • @innocentpius8083
    @innocentpius8083 Год назад +13

    Hoii naonaga manzi yangu sio nzuri kumbe anawazidi ata hawa wa instagram 😂😂😂simuachiii ..miguu fito

  • @Rizikialiamechannel763
    @Rizikialiamechannel763 Год назад +1

    Mm nmelia wallah 😂😂😂

  • @EmmaReginald-eu6ml
    @EmmaReginald-eu6ml Год назад +2

    Wa kwanza ku comment like kwangu ✊

  • @rashdiyange7758
    @rashdiyange7758 Год назад

    Awa senge wana weza mamaae333

  • @user-rv7zt6tj3d
    @user-rv7zt6tj3d Год назад +4

    We kaka kuwa makin kuna watu madukan hawapend ubish ndni ya ofisi so unawez kutana na mtu ako na bastola atakutoa uhai so badilisha namna ya kipind watu wanastress wana madeni wana mawaz af unawapa hasira bro usichez tena kwa mwngn hivyo coz hiyo ni ofis ya mtu so kuwa makin bro sio kila mt ataweza kuhandle hizo prank.

    • @MaryamSuleiman-xs5ph
      @MaryamSuleiman-xs5ph Год назад

      Tena upate mtu km mm hasira zngu hazijawah kuisha yan atakoma cku nyngne kuja hvo wallah naweza hata kumfunga khaaaaa

    • @nancyg8664
      @nancyg8664 Год назад +1

      @@MaryamSuleiman-xs5ph kwahyo na sahivi unahasira🤣

    • @nafuwswedi2465
      @nafuwswedi2465 Год назад

      Kweli kabisa hii kitu uwezi fanya America, kila mwenye duka yuko na bastola

  • @MwanaishaHemed-xi6rj
    @MwanaishaHemed-xi6rj Год назад +8

    Mutauwa mtu nyinyi kwa presha😂😢

  • @bashirumaulidi9441
    @bashirumaulidi9441 Год назад

    Hivi ni kweli

  • @dijahmriri523
    @dijahmriri523 Год назад +2

    Hii hata haibambi bhn ile ya mwanzo ya kumchukua msanii na kumuweka kwenye gari

  • @msuo7215
    @msuo7215 Год назад +3

    Kwenye picha anaonekana mzuri kumbe kakawaida kabisa Hana shepu Wala nini

    • @pendo8082
      @pendo8082 Год назад +3

      Filiter 😂😂😂

  • @user-xi4dq3kb3m
    @user-xi4dq3kb3m Год назад +1

    Uo usenge wenu kuna siku mtakosa msaada kwer maana ni wapuuzi sana

  • @osbrotherosbrother6891
    @osbrotherosbrother6891 Год назад +3

    😂😂😂 mtauwa watu kwa presha

  • @bokekaone2516
    @bokekaone2516 Год назад

    Mkurya mimi mbona ww kaka ungesimulia hata chupa ya soda haipo hapo nai umtwange kichwan azimie akiamka ndo muongee vizuri 😀😀😀😀😀😀😀😀😀

  • @ZAINABUMASANGA
    @ZAINABUMASANGA Год назад

    Aaaaa uwiii

  • @shuuhamad3514
    @shuuhamad3514 Год назад

    Hongera sanya ila prank huchuaga mda mfupi tu.. Upande wko imechukua mda mrefu waeza fanya mtu asiye na subra afanye tukio.

  • @paulsasy4740
    @paulsasy4740 Год назад

    Idea nzur lakin bado reality ya hii show ni bdo haipo ht kdg.

  • @gboymrgreen6618
    @gboymrgreen6618 Год назад +2

    Kame panic 😂😂😂😂kinoma

  • @jerominalfonce
    @jerominalfonce Год назад +2

    Mtauwa watu😅😂

  • @maryamconstantine2232
    @maryamconstantine2232 Год назад

    Yupo km mm kumbe jmn hamna ule mkia wa instagram

  • @EmmaReginald-eu6ml
    @EmmaReginald-eu6ml Год назад

    Tupo Kwa hewa

  • @sarahtaste2876
    @sarahtaste2876 Год назад

    Ila uyo kaka mvamiaji kanichekesha

  • @jastinmbena1959
    @jastinmbena1959 Год назад

    Ila dah,siku ingne mtapgwa

  • @waupendosuleiph
    @waupendosuleiph Год назад

    kiki tu

  • @bokekaone2516
    @bokekaone2516 Год назад

    Ila wanaume wa dar huyo ni mtu wa kuwatishia tishia hahhahahahaahahha mnashindwa kumkanda

  • @muranisalim3572
    @muranisalim3572 11 месяцев назад +1

    Duuuh 15:14 😂

  • @fadhilasalimsalimshoo-hf3ju
    @fadhilasalimsalimshoo-hf3ju Год назад +1

    Shikamoo filter🤣🤣🤣🤣🤣

  • @nancyg8664
    @nancyg8664 Год назад

    Kapatikana na miguu yake

  • @delekalxon7221
    @delekalxon7221 Год назад +1

    Ugoko wa Nai 😂

  • @strawberryrachii12-xh5bq
    @strawberryrachii12-xh5bq 5 месяцев назад

    😂😂naii miguu upunguze kuedit yan kama nakuona

  • @user-wd9tp7eb7j
    @user-wd9tp7eb7j 11 месяцев назад +2

    Miguu kama ya diamond😂😂😂

  • @yasintafuraha6373
    @yasintafuraha6373 Год назад +1

    Haha jaman kumbe mm mzuri sema nilicho kosa n hela tyu haha

  • @queenlvbabe5079
    @queenlvbabe5079 11 месяцев назад

    😂😂😂😂 Daaa na shepu aipo🤣🤣 ila wasaniii bana

  • @swahibasaidi4669
    @swahibasaidi4669 Год назад +1

    ana sugu

  • @imanimagenda6329
    @imanimagenda6329 Год назад

    Naomba siku imkute diamond

  • @jamilajamila4572
    @jamilajamila4572 Год назад +1

    Sasa nai si angetulia

  • @bennamush4616
    @bennamush4616 Год назад +2

    Ila hiyo miguu imefanana na ya babangu 🤣🤣

  • @habisnasalum-nz4zo
    @habisnasalum-nz4zo Год назад

    Ivyo vimguu Sasa kama vyangu nikajua anatisha kumbe wakawaida sana

  • @haureyfeisal7854
    @haureyfeisal7854 Год назад

    Hatar 😂😂😂😂😂😂

  • @giddie_barnabas
    @giddie_barnabas Год назад

    Ile shep iko wapi kwan😅😅😅

  • @googleus4903
    @googleus4903 Год назад +2

    MADEMU WANAONEKANA WAZURI MTANDAONI KUMBEEE😅😅😅😂

  • @Officialkeeler
    @Officialkeeler 10 месяцев назад

    Haha me nina Pressure

  • @kingluca7330
    @kingluca7330 Год назад +1

    Kipindi cha kipumbavu.
    Ubunifu wakijinga

  • @aminaasia-jl8fk
    @aminaasia-jl8fk Год назад

    Mnamchanganya dada

  • @alaidertolatine4750
    @alaidertolatine4750 Год назад

    Heee ndo Nai uyu

  • @epifaniasawaki3315
    @epifaniasawaki3315 Год назад

    Amna shepu 😮kumbe filters 🤣🤣

  • @rahmalovelymakeup-xy1qp
    @rahmalovelymakeup-xy1qp Год назад +2

    NYIYEEE 🤣🤣🤣🤣

  • @hassanbakari4525
    @hassanbakari4525 Год назад

    Qiqi

  • @estherminnahboaz6956
    @estherminnahboaz6956 Год назад +2

    😂😂😂😂😂😂

  • @Makole17Makole17
    @Makole17Makole17 Год назад

    Kumbe unatege ivy😮😮 na hausemi😅

  • @adamujuma7730
    @adamujuma7730 Год назад +2

    Kwanini anatembelea Toothpicks?

  • @agriparose3942
    @agriparose3942 11 месяцев назад

    Miguuuuuu hivi aliekundua filter mbinguni mtapasikia ty

  • @shodristvtv6121
    @shodristvtv6121 Год назад

    Kadem nikaoga kinoma

  • @nancybungei9113
    @nancybungei9113 Год назад

    www.youtube.com/@nancybungei9113 bila filters hatutoboi

  • @mummy-Ak
    @mummy-Ak Год назад

    Huyo mtu ni mshindani nae si atoke nje

  • @IsmailAhmed-hx3mn
    @IsmailAhmed-hx3mn 11 месяцев назад

    Iyo kipande kama askari kua unamwambia asije muwe muna kata serikali haichezewi kwa usha uri

  • @bennamush4616
    @bennamush4616 Год назад

    Ndo Mana nasemaga mi mzuri maana Kama filter ndo zinawabeba Ivo dah kumbe kabaya ivi

    • @neyney1907
      @neyney1907 Год назад

      hapo mwishoni mbona nai kama alishaelewa mchongo 😅

  • @stelaprompot5180
    @stelaprompot5180 Год назад

    Nai mbya kumbe anamatege akisimama afu pia anamilonjo duh filter hzi

  • @fauziasultanikilewa7602
    @fauziasultanikilewa7602 11 месяцев назад

    leo qafichua siri bwanaaqe qatia hela 😂😂

  • @deeruta9894
    @deeruta9894 Год назад

    Mbona munampea huyu mtu credt nikumchapa tu

  • @sakinahussein-ns4vu
    @sakinahussein-ns4vu Год назад

    nai muoga 😂😂😂

  • @BONGOHOODTV
    @BONGOHOODTV 11 месяцев назад

    Baa ya bwana wake😂😂😂😂

  • @yasintadavid1296
    @yasintadavid1296 Год назад +2

    😆😆😆😆

  • @Platformshow257
    @Platformshow257 Год назад

    😂😂😂

  • @dijahmriri523
    @dijahmriri523 Год назад +3

    Nai na uyu shem wake wa shati nyeupe mbn kama warangi

    • @aminaballong231
      @aminaballong231 Год назад

      Nai ni mrang mamy napajua mpka kwao

    • @dijahmriri523
      @dijahmriri523 Год назад

      @@aminaballong231 duh kumbe alikanaga et sio Mrangi ni mtu warusha alisema

    • @aminaballong231
      @aminaballong231 Год назад

      Muongo hapendi kupaongela kwao anasema hapaendan nayy

    • @lovenesssamson9932
      @lovenesssamson9932 Год назад

      Nai mrangi ila anakataaga urangi

    • @Kuruthumsaid
      @Kuruthumsaid Год назад

      Jmn kwasababu Ana miguu membamba au😂😂

  • @yasintadavid1296
    @yasintadavid1296 Год назад +2

    😂😂😂😂😂😂😂

  • @kagirasta1476
    @kagirasta1476 Год назад

    😂😂🤣🤣dah s mchezo