OFFICIAL NAI ALIVYOFANYIWA FUJO DUKANI KWAKE ATAKA KIZICHAPA
HTML-код
- Опубликовано: 12 июн 2023
- OFFICIAL NAI ALIVYOFANYIWA FUJO DUKANI KWAKE ATAKA KIZICHAPA
www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm Развлечения
Aiseee mkewng mzuri sana namzarau bure uyu Dada anamiguu kama ndege inavunjika nyuma tushepu hamunaaa😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
🤣🤣
😂😂😂😂simu zisiwadanganye jmn
Hii dzain ya show inavoanza kboko kzaz sana iko na swagz na inavutiasana nmerud ia mala tatu
Jaman naipenda hii show
Hao wano Wana AKA za unyama sana🙌🙌
Msichukue mda saana kumuweka mtu kwenyestresi fanyeni dakika chache mtakuja kufa nabastola
Mmeamua kutu prank 😂😂😂😂 tukio which bana mmetu prank 😂 yani hata prank nazo mnaigiza duu 😂😂hamna reality yoyote 😂😂😂😂
Kweli nai mrangiiii hiyoo miguuu sasa
Mmetisha saf sana
Me mzuri tatizo natumia Tecno😂😂
na hautokuwa mzur kamweeee🤣🤣🤣
Mnamnanga tu sema nzur bila filta❤
Kali sana mwanangu
Hiki kipindi Nakikibari Sana Hila kile Cha hamisi kupotexa Cm kwenye gari Mpk Leo Bhado Nacheka Maana lazima Nirudie Rudie kutazama🤣🤣🤣
INTRO YA MOTO. ⛽⛽⛽
Nai Ako Na Tumbo Na Hamsemi 😢
Tena kitambi kabisaa😀😀😀
Maisha ya ustaa magumu sana
Walioona miguu membamba piga like😊
Miguu iko sawa kabisa, inaendana na mwili wake
I can tell ue something guys this is called a prank which means ue wanna see the reaction of someone after being acting different okay So ue may call prank and not "tukio" Just enjoy the pranks 😅😅😅😅 Aines here from Tanzania 🇹🇿🇹🇿
yah its better they use it as prank it also sweet🤣
@@queengee4154 I know in Tz 🇹🇿🇹🇿 many of them they're not doing it so it's so hard for them to know if that is called a prank 😅😅😅😅😅🤣🤣🤣🤣 they don know {Tukio}🤣🤣🤣🤣
@@aineskikoti9420 you poor minded colonial minds, prank is an English word. Tz is a swahili Nation with its language. Tukio is a collective actions that's intended to see certain reaction without revealing its very meaning. Prank has the same meaning!
Wacheni dharau ninyi washamba who think English is a measure of smartness kumbe ni unoko tuu!
Piteni kushoto, you slaves with chains ⛓ of bondage in your narrow minded brains 🧠 😉
@@aineskikoti9420 tuna matukio tu sie🤣🤣🤣
@@queengee4154 In big percentage everything in Tz is so local 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Aah Sanya mbona kama hii show ilipagwa. Na Nai coz ni tofauti sana na show zingine
Imepangwa
Ndio show zote za sanya ni uongo mnachotwa tu akili hamjui
🔥
Jamani filter kumbe shepu hakuna😂😂😂
Na tumbo 😢
@@mwajumamwajuma55 ndio anaedit🤣🤣
Ndio nashangas
@@ziadasalimu1730 ni hatari shepu ya kubusti🤣🤣
,😂
Ila mzuri tu
Yooh
Watu wana msema nai akat wao wenyewe wana sura ngumu hatari 😅😅
Jmn hii bongo inazungua kwahawa mastaaa.Ila inafundisha kuwa daar sio pakuingia kichwa kichwa,Ujue kunamatapeli madalali daar.
Iyo migu sasa uwiii😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
Pindi nomaa
Yeye ndio anafanya fujo halafu anatoa taarifa za uongo Polisi hajui kama Ingekuwa kweli hii video Ingekuwa ushahidi ..
Chuga ushakula mabanzi mdaa
Unyama sana mtonya 😂😂
Filtas jamani 😂😂😂
Hiii mmeiga show ya zamani ya clouds Imekubamba
Ata clouds waliiga sehem so hamna jipya
Ata clouds waliiga sehem so hamna jipya
Nai duka lake na bado anakimbia kupigwa😂😂😂
Nai analilia kushoot😊😅😅😅
Shikamo filter, si ndo huyu nai kajaziaga kwa edit 😂😂😂🤣
😂😂😂😂😂😂😂.. hiyo taiti mbele ikoje 😂😂😂😂😂
😂😂😂😂 filter acha kabisa
Nilitaka nseme
Kanasura nzuri tu sema kwenye shepu tu me ngachoka😅😅😅kama yangu kumbe
Mwanamke SURA, Shepu ya nini? 🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣
Jaman mtakuja kuua watu siku moja😂😂😂
Hoii naonaga manzi yangu sio nzuri kumbe anawazidi ata hawa wa instagram 😂😂😂simuachiii ..miguu fito
🤣🖐
😂😂😂😂
😅😅😅😅😅 ila ww jmn daaah
Mm nmelia wallah 😂😂😂
Wa kwanza ku comment like kwangu ✊
Awa senge wana weza mamaae333
We kaka kuwa makin kuna watu madukan hawapend ubish ndni ya ofisi so unawez kutana na mtu ako na bastola atakutoa uhai so badilisha namna ya kipind watu wanastress wana madeni wana mawaz af unawapa hasira bro usichez tena kwa mwngn hivyo coz hiyo ni ofis ya mtu so kuwa makin bro sio kila mt ataweza kuhandle hizo prank.
Tena upate mtu km mm hasira zngu hazijawah kuisha yan atakoma cku nyngne kuja hvo wallah naweza hata kumfunga khaaaaa
@@MaryamSuleiman-xs5ph kwahyo na sahivi unahasira🤣
Kweli kabisa hii kitu uwezi fanya America, kila mwenye duka yuko na bastola
Mutauwa mtu nyinyi kwa presha😂😢
Hivi ni kweli
Hii hata haibambi bhn ile ya mwanzo ya kumchukua msanii na kumuweka kwenye gari
Kwenye picha anaonekana mzuri kumbe kakawaida kabisa Hana shepu Wala nini
Filiter 😂😂😂
Uo usenge wenu kuna siku mtakosa msaada kwer maana ni wapuuzi sana
😂😂😂 mtauwa watu kwa presha
Mkurya mimi mbona ww kaka ungesimulia hata chupa ya soda haipo hapo nai umtwange kichwan azimie akiamka ndo muongee vizuri 😀😀😀😀😀😀😀😀😀
Aaaaa uwiii
Hongera sanya ila prank huchuaga mda mfupi tu.. Upande wko imechukua mda mrefu waeza fanya mtu asiye na subra afanye tukio.
Kweli
Idea nzur lakin bado reality ya hii show ni bdo haipo ht kdg.
Kame panic 😂😂😂😂kinoma
Mtauwa watu😅😂
Yupo km mm kumbe jmn hamna ule mkia wa instagram
Tupo Kwa hewa
Ila uyo kaka mvamiaji kanichekesha
Ila dah,siku ingne mtapgwa
kiki tu
Ila wanaume wa dar huyo ni mtu wa kuwatishia tishia hahhahahahaahahha mnashindwa kumkanda
Duuuh 15:14 😂
Shikamoo filter🤣🤣🤣🤣🤣
Kapatikana na miguu yake
Ugoko wa Nai 😂
😂😂naii miguu upunguze kuedit yan kama nakuona
Miguu kama ya diamond😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂
Haha jaman kumbe mm mzuri sema nilicho kosa n hela tyu haha
Kama mimo
😂😂😂😂 Daaa na shepu aipo🤣🤣 ila wasaniii bana
ana sugu
Cio pow ila filter nyie zinabeba watu san
Naomba siku imkute diamond
So kirahisi
Sasa nai si angetulia
Ila hiyo miguu imefanana na ya babangu 🤣🤣
😂😂😂🙌🙌🙌
🤣🖐
Ivyo vimguu Sasa kama vyangu nikajua anatisha kumbe wakawaida sana
Hatar 😂😂😂😂😂😂
Ile shep iko wapi kwan😅😅😅
MADEMU WANAONEKANA WAZURI MTANDAONI KUMBEEE😅😅😅😂
Haha me nina Pressure
Kipindi cha kipumbavu.
Ubunifu wakijinga
Mnamchanganya dada
Heee ndo Nai uyu
Amna shepu 😮kumbe filters 🤣🤣
NYIYEEE 🤣🤣🤣🤣
Qiqi
😂😂😂😂😂😂
Kumbe unatege ivy😮😮 na hausemi😅
Kwanini anatembelea Toothpicks?
Miguuuuuu hivi aliekundua filter mbinguni mtapasikia ty
Kadem nikaoga kinoma
www.youtube.com/@nancybungei9113 bila filters hatutoboi
Huyo mtu ni mshindani nae si atoke nje
Iyo kipande kama askari kua unamwambia asije muwe muna kata serikali haichezewi kwa usha uri
Ndo Mana nasemaga mi mzuri maana Kama filter ndo zinawabeba Ivo dah kumbe kabaya ivi
hapo mwishoni mbona nai kama alishaelewa mchongo 😅
Nai mbya kumbe anamatege akisimama afu pia anamilonjo duh filter hzi
leo qafichua siri bwanaaqe qatia hela 😂😂
Mbona munampea huyu mtu credt nikumchapa tu
nai muoga 😂😂😂
Baa ya bwana wake😂😂😂😂
😆😆😆😆
😂😂😂
Nai na uyu shem wake wa shati nyeupe mbn kama warangi
Nai ni mrang mamy napajua mpka kwao
@@aminaballong231 duh kumbe alikanaga et sio Mrangi ni mtu warusha alisema
Muongo hapendi kupaongela kwao anasema hapaendan nayy
Nai mrangi ila anakataaga urangi
Jmn kwasababu Ana miguu membamba au😂😂
😂😂😂😂😂😂😂
😂😂🤣🤣dah s mchezo