MASANJA na OSCAR NYERERE WAMUACHA RAIS SAMIA HOI KWA VITUKO VYAO...
HTML-код
- Опубликовано: 13 окт 2024
- MASANJA na OSCAR NYERERE WAMUACHA RAIS SAMIA HOI KWA VITUKO VYAO...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Lugha ya masanja sijaipenda wangapi wamechukizwa na lugha ya masanja,like nyingi
One
Usifurahie mateso ya wengine.vita.vimbunga.magonjwa nk huo ni ujingaaa sijapenda
Yani masanja kwa kujipendekeza anayaweza🙌🙌🙌
masanjaa mnafikiii sijapata onaa
Mwenzako siku inaingia na anajitengenezea fursa
Nchi hii kuna uzandiki, unafiki, ufala, ushenzi na upumbavu wa hali ya juu mpaka kwa watu na ndevu zao!...
Sana shida ni watanzania wengi hawana uelewa
Salute
Njoo Drc 🇨🇩
Kubwa jinga as person..
Sio kwamba ukiwa na jeshi imara na vifaa vya kivita vya kisasa ndio tupigane ..
Lilivyo jinga hili chawa halijui jeshi letu limefanya operations nyingi za
peace keeping .Congo,Juba South Sudan, Comoro.e.t.c
Mtumish ulitisha hongera sana
Huyu Mzee Nyerere ni hatariii... 😂😂😂
Hii nchi inavijana wa Hovyooo sanaaaaaaa ety
Dah Jpm baba endelea kupumzika kwa Aman
Alie mpa maiki Masanja mungu anamuona
Miaka 60 ya uhuru, nchi imeoza, watanzania hayupo huru, nchi haina democrasia, wala haki za binaadamu, huduma za jamii, vyombo vote va dola vinazidi kukandamiza raia maskini wa Mungu, WALA HUNA PA KULILIA.
Masanja mnafiki sana huyu jamaa , anajipendekezaga hatari
Na hili ninalo liona hapa ni fundisho sana ,kumbe mchongo ni kupambiana tu .
Ukijifanya mjinga ndio utafanikiwa !!hiyo n moja ya akili cz kesho yake anaiandaa 🤛🤛
@@josephatjordan5560 katika maisha jitahidi uwe na rangi moja na sio mbili , utafanikiwa . Watu wakisha kusoma unabadilika badilika km kinyonga utaishia kupiga debe tu. Trust me
@@iam_paul3279 Sio kweli ukweli ni kwamba katika MAISHA unatakiwa uende na Hali ya MAISHA inavoenda ili kijikidhi na kujiokoa binafsi lazima uende na upepo
@@iam_paul3279 Na hii hali ya kubadirika badirika ndo inayo lirudisha taifa nyuma .
Mko vizuri mnooo
Eti vifaa vya jeshi vinanuliwa havitumiki,kwamba tupashe na Rwanda-huyu Masanja ana akili kweli
Ni comedian boss mchukulie poa
Nimaraya tu huyu Masanj, uenda siasa analeta mahubuli
Hapo amechemka kusema tutest vifaa vya Vita eti vifaru mnhh
magufuli hakuweka sherehe hizi za kipuuzi hakuzitaka😢😢😢🇹🇿🇹🇿
Kabisa
Penye kutest vyombo hapo mm ndio macho..🙄🙄🙄
Bro hapo kwa mazige ulizingua. Wakenya wapo hapo. Uongozi haizuii maradhi wala nzige hivu kesho itakuaje?
...kuna maneno mabaya masanja amezungumza anatakiwa kuwa arrested!
Tutest na kagame daaahhhhh kazi kweli kweli huko kujipendekeza hulo
safina charchr
Madudu, mafunza na matakataka yamefanywa na masanja mpaka unafiki wenyewe umemkataa... Maisha marefu kwako mama Samia Mungu ndie ukujuze kweli katika uongozi wako achana na izo kelele za masanja
Sijui nimesikia vizurii, kuwa Mungu anatuheshimu!! Mungu akusamehe, kwani hizo nchi nyingine Mungu hazipendi!! Ni neema tuu, usilewe sifa hadi kuongea upuuzi
Nikweli kabisa kateleza
True amekosea 😭
Kuna kifungu kwenye biblia nilisoma kinasema ukimpenda MUNGU nakumuheshim ATAKUHESHIM SANA
Hivyo sijajua nia ya masanja lkn yupo sawa kama alimaanisha hivyo
Kwanza tutambuye ya kwamba huyo ni comedy ,tuache kuchukulia kila kitu silias,kaweka hapo ili achekeshe so no vema mno kuwasubiria viongozi wakiongea vya silias
1samweli 2:30 Mungu anaheshim mtu anaye muheshim hajakosea kauli yake labda sijajua dhamila ya masanja
Yan siamin kama masanja nimnafki hivo duh
Manzigee tunayaskia huko kwa wenzentu😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣acha kujipendekezaaaaa 😏😏😏
Kweli
Nice Love you
The video is hanging after very 5 or 6 seconds wasafi plz considers on that ndugu yenu from 🇸🇴
Uko vizuri !
Njaa mbaya sana🥱
Ukiwa kwenye system lazima usifie kupitiliza, mchungaji halafu unapendelea sehemu 1
Masanja bwana yesu akuponye
SAFI
Yohana 16:
23 Tena siku ile hamtaniuliza neno lo lote. Amin, amin, nawaambia, Mkimwomba Baba neno lo lote atawapa kwa jina langu.
24 Hata sasa hamkuomba neno kwa jina langu; ombeni, nanyi mtapata; furaha yenu iwe timilifu.
*MAOMBI NDIO NJIA YETU YA KULETA NGUVU ZA ROHO WA MUNGU KATIKA ULIMWENGU WETU! MUNGU ANAFURAHIA KUJIBU MAOMBI YETU, HALELUYA!!!*
Amen
Daaaaaah watu n n wanafikii aseeee khaaaaaaa pesa hizi , huyu naye anaongea kijaluo cjuw nani kamwmbia amepatia, Masanja n mnafiki bora hat babalevo.
Nimechukia sana hayo mabarakoa tunayovaa.. Tumekuwa watumwa wa wazungu sana.. Walioleta ayo mabarakoa sasa hivi hata hawayavai.. Kama unafuatilia mpira ligi za ulaya utaona mashabiki jinsi wanavyojaa uwanjani na hawana hata ayo mabarakoa...
Wamechanjwa ndiyo maanahawavai
Kwan samia hajachanja?hao wasaidzi wake hawajachanja?mbona full barakowa.
@@eliaslazaro2809 nyie mnao enda hamja chanja Anaona Kama mtamuambukiza🤣🤣
Ni kweli kabisa ndugu yangu yani ni utumwa wa kiwango cha lami
Kwa sababuw mameshapata chanjo
Eti mchungaji, punguza kujipendekeza!!!
Good job masanja
Nihatari sanaaaaaaaaaaa,
Ni Tanganyika tu sio Tanzania.
Aaah mbona watu mnakua wanafki hivi tena mtumishi ?
masanja akili yake inaludi nyumaa yani nimnafikii
@@athumanimhanga2053 brother katika kitfuta ugalii lazma ujitoe akili,na anajua ukwelii
What kind of video is this??
Nimefurahi sana
Namkubari sana masanja lakin Kwa huu UCHAWA wake mi ananikera kwakwel,, kujipendekeza kumezud,, Njaa utoa akili
Mmmh km kweli nyerere
Kutest vyombo kwa Kagame mmmm??????😰
Lkn ihii nchi iv Nan alitufikisha hapa? Mbona sielewi
Masanja umefilisika kiakili kabisaaa, unatamani vita mpumbavu wewe, ulishuhudia vita ya Kagera wewe?
Unatamani nchi ipitie mabaya! Sijawahi kusikia mtu anatamani familia yake ipate maafa!
Na hapa tayari Mungu ameamua kukuangaza make unalitumia jina lake kama kitega uchumi baada ya kuona huku mitaani hakujakaa Sawa.
MUNGU WA REHEMA AKUREHEMU.....
Tochi
Acha unafiki unampamba bule
Eti ongea na Kagame tutest vyombo,🤣🤣🤣Tumbafu kwelikweli
Masanja Mkandamizaji....kwa Kazi Nzuri unayoifanya Katika kuinua kwa Vipawa vya Wengine.
kuna chawa hila huyu masanja chawa vip sana yani anataka kuwa chawa wa rais
Masanja mungu anakuonaaaaa
Hamna ktu hapo masanja,, Najua unampamba mh.samia ila kiukwel mama samia toka ushike madaraka hakuna ulchofanya
Wewe ndio huoni sisi ndio tuna ona mama anapiga kazi ndani ya miezi Minane wee baki na chuki zako hazitokusaidia
@@jovovichmedia9424 kafanya nini kwenye hiyo miaka mzee
@@jovovichmedia9424 vyote nivyamagufuli anamalizia 25 ndio aanze vyake sasa
@@زيتونتنزانيا sio vya kikwete
🤣🤣🤣
Aaaaaaaaaah masanjaaaaaa nawewe kakaa kweliii
Chawa wa Marais kwenye ubora wake😅🤣🤣🤣
Good sana
Big up
Toka huko 🤣🤣... Mbona utaki kukosoa
Sasa hapo kichwa cha samia anajikuta anajua sana kumbe hamna kitu rais gani hajui kuwa mungu yupo hovoooo kabisa
mungu wangu mbona vitu vya aibu jmn, yaaani ni aibuuuu, unafki tuuu
masanja kumsifia uongo huyo mam nimejiskia vby sn
Sio yeye shida Iko miguun angalia viatu kwanza😂😂😂
Ebu Tubadilikeni jamani hivi watu Kama Hawa wameandaliwa kwajili yakuongea maneno ya kijinga mbele Rais eti mazige na magonjwa tunayaskia kwajilan ..😥😥Mungu Tunasamehe kwajili ya haya Maneno ya kufuru ..
Kweliii huwezi kutumikia mabwana wawili
Azam tv
Masanja chawa wa maraisiii
Hao ni comedy achen kuweka kila kitu NI silias wamewekwa hapo ili wachekeshe watu,wanadamu mnapenda kuongea TU khaaaa
Amen amen
Masanja Kuma yako
Mmekaa na suti zenu na ombaomba wako mtaani afu mnasema Uhuru
Msanja kachemsha anasema ndani ya miaka 60 hakuna vita amesahau Kuwa kulitokea vita vya idi Amini baina ya Uganda na Tanzania
KABISA
cjawahi kukuelewa we mwehu😩😩😩
Halafu nae anajiita Mchungaji na anaamuita binadamu mwenzake kajitu🤣🤣🤣🤣
MASANJA acha unafki ckutegemea kama ungeongea hivo hamna point WORST WORST SPEECH
ww nae nakupenda kukusikilza lkn kwa utumbo huyu mama ananni hasa mambo yke ovyo hana lolote juu ya hhi nchi
Nice
Massanja Vita ya entebe uganda ,jinja ,kagera umesahau mkuu
Oscar sawa lakini Masanja hapana
WEWE KWELI UMEISHIWA UYU NDIO YULE MASANJA WA MIRADI
hii inaleta maana gani kwetu masanja kavuruga sana kuwepo hapo maneno yake ni shombo tu hio ni sehemu ambayo pana viongozi wote wa nchi wamekusanyika na wengine kutoka sehemu mbali mbali za nje ya nchi tunawaonesha nini mi nahisi jambo hili pia linaashiria kua hatupo sirias kila mtu kazi yake ni kusifu tuh.
Mungu anatuheshim? is this true
Hahaaaaaaaa tabia ya mtu haijifichi ukijifanya kuwa wewe ni wa kweli na sio utaumbuka, nahii ndio maana ya moyo kuwa mdanganyifu.
Ugari unatafutwa sana du
Oscar Nyerere katisha aisee🙌eeh hiki kipaji
Masanja ukumbuke WAJANE sio kupenda kwao ,hapo kuna wajane wa viongozi watajihisi vipi JIUZULU Uchungaji hufai
Kosa la aliyewaruhusu watoke kama walivyotaka.Nani kuvunjika mbavu kwa maneno makavu hivyo.
Hahahahahaha kupasha kidogo na kagame
Masanja we nj mtumishi wa Mungu ila kwa hili dah imenidisapoint sana
Kapashe Vita kwenye ukoo wako nyumbu wewe. Unaifahamu Vita wewe? Tunafurahia Amani na silaha hatuzijui. Nyumbu mkubwa. Eti mchungaji. Unachunga nini?. Ninaomba watu wa protocol wawe wana edit mambo ya kutapikwa na washenzi kama hawa. Hawafai.
Huyo ni comedian uwe unaelewa mbwa we
Eti mungu anatueshim wewe ninani ushimewe na mungu eti mchungaji
0000000 kabisaaaa siii mumwambiee 2 ukwelii
Woooow
mbona picha mchecheto 😆😆😆
We kiboko
Oscar wew ninoma hatar San unajua.
tatizo ni kushek kwa vidio
festooooos
Hawa wote wanafki tu.
Duh uyo oscar ni hatar sana
Mnafanya kaz njema
Nibora angeiyombea nchi kuhusu korona kama mchungaji kuliko huo upupu alioumwaga hapo
Masanja chawa mnafik mmoja wew shame on u🚶🚶🚶😏
😂😂😂😂😂😂😂😂😂kwa unafiki huu jua litakuwa kali sana kwa connection ngani labda unazo zisema we masanja kwan hawenzi kutuliya kwenye inchi yake kama wa2 wanataka hayo ma connection wata mfata sio yeye kuwa fata bongo ina zarauliwa kwasababu ya kujipendekeza pendekeza kwa2 abaoo hawataki ushirikiano naoo 😏😒😒😒😒 tz munalalamika kila siku hakuna umeme hakuna maji bado muna tafuta ma connection ya nn
Hahahahha aongee nn na kagame??😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃
Chawa aliye bobea