MASANJA na OSCAR NYERERE WAMUACHA RAIS SAMIA HOI KWA VITUKO VYAO...

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 окт 2024
  • MASANJA na OSCAR NYERERE WAMUACHA RAIS SAMIA HOI KWA VITUKO VYAO...
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 260

  • @khadijalambo2138
    @khadijalambo2138 2 года назад +32

    Lugha ya masanja sijaipenda wangapi wamechukizwa na lugha ya masanja,like nyingi

  • @mussakasela1937
    @mussakasela1937 2 года назад +36

    Yani masanja kwa kujipendekeza anayaweza🙌🙌🙌

  • @marcogodfreymboya7349
    @marcogodfreymboya7349 2 года назад +64

    Nchi hii kuna uzandiki, unafiki, ufala, ushenzi na upumbavu wa hali ya juu mpaka kwa watu na ndevu zao!...

  • @ernestmbwana6282
    @ernestmbwana6282 2 года назад +7

    Kubwa jinga as person..
    Sio kwamba ukiwa na jeshi imara na vifaa vya kivita vya kisasa ndio tupigane ..
    Lilivyo jinga hili chawa halijui jeshi letu limefanya operations nyingi za
    peace keeping .Congo,Juba South Sudan, Comoro.e.t.c

  • @BRIGHTNYUNDOPR
    @BRIGHTNYUNDOPR Месяц назад

    Mtumish ulitisha hongera sana

  • @ericklibaba1198
    @ericklibaba1198 2 года назад +13

    Huyu Mzee Nyerere ni hatariii... 😂😂😂

  • @ukumbushoadam5691
    @ukumbushoadam5691 2 года назад +4

    Hii nchi inavijana wa Hovyooo sanaaaaaaa ety
    Dah Jpm baba endelea kupumzika kwa Aman

  • @thomasmpemba4161
    @thomasmpemba4161 2 года назад +1

    Alie mpa maiki Masanja mungu anamuona

  • @hamadrajab8042
    @hamadrajab8042 2 года назад +8

    Miaka 60 ya uhuru, nchi imeoza, watanzania hayupo huru, nchi haina democrasia, wala haki za binaadamu, huduma za jamii, vyombo vote va dola vinazidi kukandamiza raia maskini wa Mungu, WALA HUNA PA KULILIA.

  • @iam_paul3279
    @iam_paul3279 2 года назад +24

    Masanja mnafiki sana huyu jamaa , anajipendekezaga hatari

    • @msetikebwasi7270
      @msetikebwasi7270 2 года назад +3

      Na hili ninalo liona hapa ni fundisho sana ,kumbe mchongo ni kupambiana tu .

    • @josephatjordan5560
      @josephatjordan5560 2 года назад +5

      Ukijifanya mjinga ndio utafanikiwa !!hiyo n moja ya akili cz kesho yake anaiandaa 🤛🤛

    • @iam_paul3279
      @iam_paul3279 2 года назад +3

      @@josephatjordan5560 katika maisha jitahidi uwe na rangi moja na sio mbili , utafanikiwa . Watu wakisha kusoma unabadilika badilika km kinyonga utaishia kupiga debe tu. Trust me

    • @fzafza6746
      @fzafza6746 2 года назад +3

      @@iam_paul3279 Sio kweli ukweli ni kwamba katika MAISHA unatakiwa uende na Hali ya MAISHA inavoenda ili kijikidhi na kujiokoa binafsi lazima uende na upepo

    • @msetikebwasi7270
      @msetikebwasi7270 2 года назад +1

      @@iam_paul3279 Na hii hali ya kubadirika badirika ndo inayo lirudisha taifa nyuma .

  • @martmstarabu4252
    @martmstarabu4252 2 года назад

    Mko vizuri mnooo

  • @fredymwanzi4448
    @fredymwanzi4448 2 года назад +10

    Eti vifaa vya jeshi vinanuliwa havitumiki,kwamba tupashe na Rwanda-huyu Masanja ana akili kweli

    • @josephstephen2047
      @josephstephen2047 2 года назад

      Ni comedian boss mchukulie poa

    • @josefinajemsi1726
      @josefinajemsi1726 2 года назад +1

      Nimaraya tu huyu Masanj, uenda siasa analeta mahubuli

    • @rizikinasetsi4155
      @rizikinasetsi4155 2 года назад

      Hapo amechemka kusema tutest vifaa vya Vita eti vifaru mnhh

  • @allyhamisi6394
    @allyhamisi6394 2 года назад +2

    magufuli hakuweka sherehe hizi za kipuuzi hakuzitaka😢😢😢🇹🇿🇹🇿

  • @aginiweyessayakyando1885
    @aginiweyessayakyando1885 2 года назад +4

    Penye kutest vyombo hapo mm ndio macho..🙄🙄🙄

  • @farouqbanda8656
    @farouqbanda8656 2 года назад +6

    Bro hapo kwa mazige ulizingua. Wakenya wapo hapo. Uongozi haizuii maradhi wala nzige hivu kesho itakuaje?

  • @dbarrik4108
    @dbarrik4108 Год назад +1

    ...kuna maneno mabaya masanja amezungumza anatakiwa kuwa arrested!

  • @enickosanga4921
    @enickosanga4921 2 года назад +1

    Tutest na kagame daaahhhhh kazi kweli kweli huko kujipendekeza hulo

  • @paulosayale868
    @paulosayale868 2 года назад

    safina charchr

  • @benedictomwangoka7425
    @benedictomwangoka7425 2 года назад +1

    Madudu, mafunza na matakataka yamefanywa na masanja mpaka unafiki wenyewe umemkataa... Maisha marefu kwako mama Samia Mungu ndie ukujuze kweli katika uongozi wako achana na izo kelele za masanja

  • @debramacha2747
    @debramacha2747 2 года назад +8

    Sijui nimesikia vizurii, kuwa Mungu anatuheshimu!! Mungu akusamehe, kwani hizo nchi nyingine Mungu hazipendi!! Ni neema tuu, usilewe sifa hadi kuongea upuuzi

    • @alimakame9215
      @alimakame9215 2 года назад

      Nikweli kabisa kateleza

    • @abaspaundy8081
      @abaspaundy8081 2 года назад

      True amekosea 😭

    • @edsonimkwama8745
      @edsonimkwama8745 2 года назад

      Kuna kifungu kwenye biblia nilisoma kinasema ukimpenda MUNGU nakumuheshim ATAKUHESHIM SANA
      Hivyo sijajua nia ya masanja lkn yupo sawa kama alimaanisha hivyo

    • @rahabumwakajoka6721
      @rahabumwakajoka6721 2 года назад

      Kwanza tutambuye ya kwamba huyo ni comedy ,tuache kuchukulia kila kitu silias,kaweka hapo ili achekeshe so no vema mno kuwasubiria viongozi wakiongea vya silias

    • @edsonimkwama8745
      @edsonimkwama8745 2 года назад

      1samweli 2:30 Mungu anaheshim mtu anaye muheshim hajakosea kauli yake labda sijajua dhamila ya masanja

  • @chikuabdallah9950
    @chikuabdallah9950 2 года назад +3

    Yan siamin kama masanja nimnafki hivo duh

  • @neemaruben5427
    @neemaruben5427 2 года назад +5

    Manzigee tunayaskia huko kwa wenzentu😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣acha kujipendekezaaaaa 😏😏😏

  • @ayubutwalibu2381
    @ayubutwalibu2381 2 года назад +1

    Kweli

  • @kambiyusufu7709
    @kambiyusufu7709 2 года назад +2

    Nice Love you

  • @mohamedabdirisak3940
    @mohamedabdirisak3940 2 года назад +7

    The video is hanging after very 5 or 6 seconds wasafi plz considers on that ndugu yenu from 🇸🇴

  • @frankmnale1900
    @frankmnale1900 2 года назад

    Uko vizuri !

  • @MyName-wd8cp
    @MyName-wd8cp 2 года назад +1

    Njaa mbaya sana🥱

  • @humphreyvidonyi253
    @humphreyvidonyi253 2 года назад +6

    Ukiwa kwenye system lazima usifie kupitiliza, mchungaji halafu unapendelea sehemu 1

  • @kentkihongole8235
    @kentkihongole8235 2 года назад +7

    Masanja bwana yesu akuponye

  • @kimsamir965
    @kimsamir965 2 года назад +1

    SAFI

  • @soberkaleya5148
    @soberkaleya5148 2 года назад +3

    Yohana 16:
    23 Tena siku ile hamtaniuliza neno lo lote. Amin, amin, nawaambia, Mkimwomba Baba neno lo lote atawapa kwa jina langu.
    24 Hata sasa hamkuomba neno kwa jina langu; ombeni, nanyi mtapata; furaha yenu iwe timilifu.
    *MAOMBI NDIO NJIA YETU YA KULETA NGUVU ZA ROHO WA MUNGU KATIKA ULIMWENGU WETU! MUNGU ANAFURAHIA KUJIBU MAOMBI YETU, HALELUYA!!!*

  • @tintz1453
    @tintz1453 2 года назад +1

    Daaaaaah watu n n wanafikii aseeee khaaaaaaa pesa hizi , huyu naye anaongea kijaluo cjuw nani kamwmbia amepatia, Masanja n mnafiki bora hat babalevo.

  • @cleverboy3812
    @cleverboy3812 2 года назад +10

    Nimechukia sana hayo mabarakoa tunayovaa.. Tumekuwa watumwa wa wazungu sana.. Walioleta ayo mabarakoa sasa hivi hata hawayavai.. Kama unafuatilia mpira ligi za ulaya utaona mashabiki jinsi wanavyojaa uwanjani na hawana hata ayo mabarakoa...

    • @edigajoh5669
      @edigajoh5669 2 года назад +1

      Wamechanjwa ndiyo maanahawavai

    • @eliaslazaro2809
      @eliaslazaro2809 2 года назад +1

      Kwan samia hajachanja?hao wasaidzi wake hawajachanja?mbona full barakowa.

    • @edigajoh5669
      @edigajoh5669 2 года назад +1

      @@eliaslazaro2809 nyie mnao enda hamja chanja Anaona Kama mtamuambukiza🤣🤣

    • @omaryshafii1284
      @omaryshafii1284 2 года назад +1

      Ni kweli kabisa ndugu yangu yani ni utumwa wa kiwango cha lami

    • @mavoketv
      @mavoketv 2 года назад +1

      Kwa sababuw mameshapata chanjo

  • @emanuelkinoko9126
    @emanuelkinoko9126 2 года назад +3

    Eti mchungaji, punguza kujipendekeza!!!

  • @aminamkumba3549
    @aminamkumba3549 2 года назад +1

    Good job masanja

  • @christopherngunwa9522
    @christopherngunwa9522 2 года назад

    Nihatari sanaaaaaaaaaaa,

  • @AbdillahSOthman
    @AbdillahSOthman 2 года назад +2

    Ni Tanganyika tu sio Tanzania.

  • @johnbidya119
    @johnbidya119 2 года назад +3

    Aaah mbona watu mnakua wanafki hivi tena mtumishi ?

    • @athumanimhanga2053
      @athumanimhanga2053 2 года назад

      masanja akili yake inaludi nyumaa yani nimnafikii

    • @happyjohn5882
      @happyjohn5882 2 года назад

      @@athumanimhanga2053 brother katika kitfuta ugalii lazma ujitoe akili,na anajua ukwelii

  • @strong8534
    @strong8534 2 года назад +4

    What kind of video is this??

  • @angelinajohn7303
    @angelinajohn7303 2 года назад

    Nimefurahi sana

  • @hallin9561
    @hallin9561 2 года назад +2

    Namkubari sana masanja lakin Kwa huu UCHAWA wake mi ananikera kwakwel,, kujipendekeza kumezud,, Njaa utoa akili

  • @estermassawe1687
    @estermassawe1687 2 года назад +2

    Mmmh km kweli nyerere

  • @sonnyr1899
    @sonnyr1899 2 года назад +8

    Kutest vyombo kwa Kagame mmmm??????😰

  • @innocentnmanyasi4750
    @innocentnmanyasi4750 2 года назад

    Lkn ihii nchi iv Nan alitufikisha hapa? Mbona sielewi

  • @makondorshimora5017
    @makondorshimora5017 2 года назад +10

    Masanja umefilisika kiakili kabisaaa, unatamani vita mpumbavu wewe, ulishuhudia vita ya Kagera wewe?
    Unatamani nchi ipitie mabaya! Sijawahi kusikia mtu anatamani familia yake ipate maafa!
    Na hapa tayari Mungu ameamua kukuangaza make unalitumia jina lake kama kitega uchumi baada ya kuona huku mitaani hakujakaa Sawa.
    MUNGU WA REHEMA AKUREHEMU.....

  • @silverally4127
    @silverally4127 2 года назад

    Tochi

  • @ramahanijuma599
    @ramahanijuma599 2 года назад +5

    Acha unafiki unampamba bule

  • @yohanamkaga5230
    @yohanamkaga5230 Год назад

    Eti ongea na Kagame tutest vyombo,🤣🤣🤣Tumbafu kwelikweli

  • @kalumbugideon4159
    @kalumbugideon4159 2 года назад +4

    Masanja Mkandamizaji....kwa Kazi Nzuri unayoifanya Katika kuinua kwa Vipawa vya Wengine.

    • @osbrotherosbrother6891
      @osbrotherosbrother6891 2 года назад

      kuna chawa hila huyu masanja chawa vip sana yani anataka kuwa chawa wa rais

  • @hdggu6792
    @hdggu6792 2 года назад +3

    Masanja mungu anakuonaaaaa

  • @phalesjoseph6604
    @phalesjoseph6604 2 года назад +9

    Hamna ktu hapo masanja,, Najua unampamba mh.samia ila kiukwel mama samia toka ushike madaraka hakuna ulchofanya

    • @jovovichmedia9424
      @jovovichmedia9424 2 года назад

      Wewe ndio huoni sisi ndio tuna ona mama anapiga kazi ndani ya miezi Minane wee baki na chuki zako hazitokusaidia

    • @amirlehao8945
      @amirlehao8945 2 года назад

      @@jovovichmedia9424 kafanya nini kwenye hiyo miaka mzee

    • @زيتونتنزانيا
      @زيتونتنزانيا 2 года назад

      @@jovovichmedia9424 vyote nivyamagufuli anamalizia 25 ndio aanze vyake sasa

    • @jovovichmedia9424
      @jovovichmedia9424 2 года назад

      @@زيتونتنزانيا sio vya kikwete

    • @neemaruben5427
      @neemaruben5427 2 года назад

      🤣🤣🤣

  • @kibasiwakibasi5070
    @kibasiwakibasi5070 2 года назад

    Aaaaaaaaaah masanjaaaaaa nawewe kakaa kweliii

  • @michaelnkamba9872
    @michaelnkamba9872 2 года назад +4

    Chawa wa Marais kwenye ubora wake😅🤣🤣🤣

  • @graceakoako8748
    @graceakoako8748 2 года назад

    Good sana

  • @benjaminsimon1496
    @benjaminsimon1496 2 года назад

    Big up

  • @anordgerison8639
    @anordgerison8639 2 года назад +3

    Toka huko 🤣🤣... Mbona utaki kukosoa

  • @thomasmartinez786
    @thomasmartinez786 2 года назад +1

    Sasa hapo kichwa cha samia anajikuta anajua sana kumbe hamna kitu rais gani hajui kuwa mungu yupo hovoooo kabisa

  • @renathahendry8658
    @renathahendry8658 2 года назад +4

    mungu wangu mbona vitu vya aibu jmn, yaaani ni aibuuuu, unafki tuuu

  • @simplissamba1943
    @simplissamba1943 2 года назад +1

    masanja kumsifia uongo huyo mam nimejiskia vby sn

    • @lemausontz3513
      @lemausontz3513 2 года назад +1

      Sio yeye shida Iko miguun angalia viatu kwanza😂😂😂

  • @mrgardendesignerluta4667
    @mrgardendesignerluta4667 2 года назад +5

    Ebu Tubadilikeni jamani hivi watu Kama Hawa wameandaliwa kwajili yakuongea maneno ya kijinga mbele Rais eti mazige na magonjwa tunayaskia kwajilan ..😥😥Mungu Tunasamehe kwajili ya haya Maneno ya kufuru ..

  • @miaerny6609
    @miaerny6609 2 года назад

    Kweliii huwezi kutumikia mabwana wawili

  • @mbwigamwasongole1099
    @mbwigamwasongole1099 2 года назад

    Azam tv

  • @monalisalebasoto2538
    @monalisalebasoto2538 2 года назад +2

    Masanja chawa wa maraisiii

  • @rahabumwakajoka6721
    @rahabumwakajoka6721 2 года назад +2

    Hao ni comedy achen kuweka kila kitu NI silias wamewekwa hapo ili wachekeshe watu,wanadamu mnapenda kuongea TU khaaaa

  • @EmanuelKiroshi
    @EmanuelKiroshi Год назад

    Amen amen

  • @baghary1official879
    @baghary1official879 2 года назад +2

    Masanja Kuma yako

  • @rachelmliwa9830
    @rachelmliwa9830 2 года назад +1

    Mmekaa na suti zenu na ombaomba wako mtaani afu mnasema Uhuru

  • @ntyukatv3852
    @ntyukatv3852 2 года назад +1

    Msanja kachemsha anasema ndani ya miaka 60 hakuna vita amesahau Kuwa kulitokea vita vya idi Amini baina ya Uganda na Tanzania

  • @anethteodos6208
    @anethteodos6208 2 года назад +1

    cjawahi kukuelewa we mwehu😩😩😩

  • @killylevenson
    @killylevenson 2 года назад

    Halafu nae anajiita Mchungaji na anaamuita binadamu mwenzake kajitu🤣🤣🤣🤣

  • @alphoncinaanatory4215
    @alphoncinaanatory4215 2 года назад +1

    MASANJA acha unafki ckutegemea kama ungeongea hivo hamna point WORST WORST SPEECH

  • @everever2807
    @everever2807 2 года назад +1

    ww nae nakupenda kukusikilza lkn kwa utumbo huyu mama ananni hasa mambo yke ovyo hana lolote juu ya hhi nchi

  • @seniorprophetisaackmtawala9080
    @seniorprophetisaackmtawala9080 2 года назад +1

    Nice

  • @luganoamosi6416
    @luganoamosi6416 2 года назад +1

    Massanja Vita ya entebe uganda ,jinja ,kagera umesahau mkuu

  • @papafikiri
    @papafikiri 2 года назад +1

    Oscar sawa lakini Masanja hapana

  • @kingbuddah6372
    @kingbuddah6372 2 года назад +1

    WEWE KWELI UMEISHIWA UYU NDIO YULE MASANJA WA MIRADI

  • @amazingflowereducationcent8572
    @amazingflowereducationcent8572 2 года назад

    hii inaleta maana gani kwetu masanja kavuruga sana kuwepo hapo maneno yake ni shombo tu hio ni sehemu ambayo pana viongozi wote wa nchi wamekusanyika na wengine kutoka sehemu mbali mbali za nje ya nchi tunawaonesha nini mi nahisi jambo hili pia linaashiria kua hatupo sirias kila mtu kazi yake ni kusifu tuh.

  • @sethwilson4346
    @sethwilson4346 2 года назад

    Mungu anatuheshim? is this true

  • @uzimameditv8148
    @uzimameditv8148 2 года назад +4

    Hahaaaaaaaa tabia ya mtu haijifichi ukijifanya kuwa wewe ni wa kweli na sio utaumbuka, nahii ndio maana ya moyo kuwa mdanganyifu.

  • @edwardrichard5071
    @edwardrichard5071 2 года назад +1

    Ugari unatafutwa sana du

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 2 года назад

    Oscar Nyerere katisha aisee🙌eeh hiki kipaji

  • @aloimaray1769
    @aloimaray1769 2 года назад +4

    Masanja ukumbuke WAJANE sio kupenda kwao ,hapo kuna wajane wa viongozi watajihisi vipi JIUZULU Uchungaji hufai

    • @leahmgunda5248
      @leahmgunda5248 2 года назад

      Kosa la aliyewaruhusu watoke kama walivyotaka.Nani kuvunjika mbavu kwa maneno makavu hivyo.

  • @rutakihama3523
    @rutakihama3523 2 года назад +3

    Hahahahahaha kupasha kidogo na kagame

  • @jaharaoman6478
    @jaharaoman6478 2 года назад

    Masanja we nj mtumishi wa Mungu ila kwa hili dah imenidisapoint sana

  • @MaaneML
    @MaaneML 2 года назад +12

    Kapashe Vita kwenye ukoo wako nyumbu wewe. Unaifahamu Vita wewe? Tunafurahia Amani na silaha hatuzijui. Nyumbu mkubwa. Eti mchungaji. Unachunga nini?. Ninaomba watu wa protocol wawe wana edit mambo ya kutapikwa na washenzi kama hawa. Hawafai.

  • @zakariamnzavas7260
    @zakariamnzavas7260 2 года назад +2

    Eti mungu anatueshim wewe ninani ushimewe na mungu eti mchungaji

  • @alfredmussa7763
    @alfredmussa7763 2 года назад

    0000000 kabisaaaa siii mumwambiee 2 ukwelii

  • @sanayamadaynah2427
    @sanayamadaynah2427 2 года назад +2

    Woooow

  • @edgarnandonde48
    @edgarnandonde48 2 года назад +1

    mbona picha mchecheto 😆😆😆

  • @severlinmtimba3771
    @severlinmtimba3771 2 года назад

    We kiboko

  • @ayubukhamis8673
    @ayubukhamis8673 2 года назад +2

    Oscar wew ninoma hatar San unajua.

  • @festolucastv9701
    @festolucastv9701 2 года назад +1

    tatizo ni kushek kwa vidio
    festooooos

  • @jeremiamwakilimaji8284
    @jeremiamwakilimaji8284 2 года назад

    Hawa wote wanafki tu.

  • @hussein0757
    @hussein0757 2 года назад +2

    Duh uyo oscar ni hatar sana

  • @benjajoelybenjajoely4574
    @benjajoelybenjajoely4574 2 года назад

    Mnafanya kaz njema

  • @michaelinocent8199
    @michaelinocent8199 2 года назад

    Nibora angeiyombea nchi kuhusu korona kama mchungaji kuliko huo upupu alioumwaga hapo

  • @jenifersiwale8030
    @jenifersiwale8030 2 года назад

    Masanja chawa mnafik mmoja wew shame on u🚶🚶🚶😏

  • @queentoto3878
    @queentoto3878 2 года назад

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂kwa unafiki huu jua litakuwa kali sana kwa connection ngani labda unazo zisema we masanja kwan hawenzi kutuliya kwenye inchi yake kama wa2 wanataka hayo ma connection wata mfata sio yeye kuwa fata bongo ina zarauliwa kwasababu ya kujipendekeza pendekeza kwa2 abaoo hawataki ushirikiano naoo 😏😒😒😒😒 tz munalalamika kila siku hakuna umeme hakuna maji bado muna tafuta ma connection ya nn

  • @ellyjacob9897
    @ellyjacob9897 2 года назад +1

    Hahahahha aongee nn na kagame??😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃

  • @mohamedmuhajiri4690
    @mohamedmuhajiri4690 2 года назад +2

    Chawa aliye bobea