Zengwe zengwe zengwe na hili linawezekana linatokea kwa viongozi wa Simba kutengeneza mazingira ya kumwacha mwalimu hivyo wanaanza kutengeneza justification kwa kutumia vyombo vya habari!!! Just my thoughts
Wachambuz mnapo chambua wekeni ushabiki pembeni. Kuna watu hawaipendi Yanga . Okay sis km washabiki wa yanga tunakubali Yanga haina ubora km simba lkn ndio hivyo yanga ipo namba moja na hilo litimu lako lipo namba ngapi. Acha uchambuzi usio na Tija
Zengwe zengwe zengwe na hili linawezekana linatokea kwa viongozi wa Simba kutengeneza mazingira ya kumwacha mwalimu hivyo wanaanza kutengeneza justification kwa kutumia vyombo vya habari!!! Just my thoughts
Hapa jemedari sio mchambuzi ni mshabiki wa simba mbuzi wewe
Sasa hapa Bin Kazumari kosa lake nini jamani
Jemedari ni shabiki si mchambuzi na geofrey Lea wanafanana tu
Wachambuz mnapo chambua wekeni ushabiki pembeni. Kuna watu hawaipendi Yanga . Okay sis km washabiki wa yanga tunakubali Yanga haina ubora km simba lkn ndio hivyo yanga ipo namba moja na hilo litimu lako lipo namba ngapi. Acha uchambuzi usio na Tija
Naona kuna usimba na Uyanga baina ya ninyi wachambuzi, mbaki kwenye kazi na sio mapenzi
Kunawatu wanateseka kwenye hii dunia 😂😂😂kuchukia mafanikio ya mwenzako huo ni uchawiiiiii
Tena huyu mmakonde MLA panya anaroho mbaya Sana Kwa mafanikio ya mwenzie tena mchawi mtu Kama huyu,ona anavyochukiana na manara
Hawa wachanbuzi ni wasemge hawajui Mpira
Kila mnavyowasifia ndio mnawaponza
ukweli upoivyo yanga aina ubora
Jemedali ni mzembe mno wala c mchambuzi
Wamongoli kama Wamongoli katika ubora wao
Mnanuka mavi mkunduni mwenu
Pia jemedali is better ❤
Hakuna mtu ana maumivu hapo kama Jemedari na mzee wa jambia maana hao hata uchambuzi wao ni wa kishabiki😂😂😂 mtateseka sana
Wachambuzi WA Bongo Hawa wanatakiwa waende shule hawa
Dah kusema kweli huyu jamaa anajiita jemedari hamna kitu humu
Wachambuzi MBUZIIIIIII hawa
Kabisa
Hawa wote wanafiki, sio wachambuzi, kama wapo sawa kwanini wapotezi mechi zote mbili.
Mapwidu wanateseka sanaaaa na mwakani ni hivyo hivyo
hawa wapumbuvu sana sijuhi wanataaluma gani au wambea tu.
Jemedarii 😂😂😂😂 ,
duuuh hili jeofrey lea muoga 😂😂 kweli kweli eti sikupigiii 😅😅😅 ila natetea point yako 😂😂😂😂 hili jitu jogaaa kweliii kweliii 😂😂😂
Ni kweli yanga siyo Bora kuliko simba
Manchester United akicheza na mancity huoni tofauti ila Manchester akicheza na kina Coventry ndiyo unaona tofauti ya Manchester na mancity
Hawa makolo efm wote mashoga