YANGA HAWANA UBORA KUIZIDI SIMBA | BENCHIKA HAKUNA ATAKACHOIACHIA SIMBA | AMEFELI KUISAIDIA SIMBA!

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 окт 2024

Комментарии • 27

  • @mckobatz5861
    @mckobatz5861 5 месяцев назад

    Zengwe zengwe zengwe na hili linawezekana linatokea kwa viongozi wa Simba kutengeneza mazingira ya kumwacha mwalimu hivyo wanaanza kutengeneza justification kwa kutumia vyombo vya habari!!! Just my thoughts

  • @johnsalehmat5856
    @johnsalehmat5856 5 месяцев назад +3

    Hapa jemedari sio mchambuzi ni mshabiki wa simba mbuzi wewe

    • @hamzarumela1784
      @hamzarumela1784 5 месяцев назад

      Sasa hapa Bin Kazumari kosa lake nini jamani

  • @lingwamalagila3003
    @lingwamalagila3003 5 месяцев назад

    Jemedari ni shabiki si mchambuzi na geofrey Lea wanafanana tu

  • @ExecutiveHouseKeeperElewana
    @ExecutiveHouseKeeperElewana 5 месяцев назад

    Wachambuz mnapo chambua wekeni ushabiki pembeni. Kuna watu hawaipendi Yanga . Okay sis km washabiki wa yanga tunakubali Yanga haina ubora km simba lkn ndio hivyo yanga ipo namba moja na hilo litimu lako lipo namba ngapi. Acha uchambuzi usio na Tija

  • @GeradLeonard
    @GeradLeonard 5 месяцев назад

    Naona kuna usimba na Uyanga baina ya ninyi wachambuzi, mbaki kwenye kazi na sio mapenzi

  • @abubakarsaid7303
    @abubakarsaid7303 5 месяцев назад +3

    Kunawatu wanateseka kwenye hii dunia 😂😂😂kuchukia mafanikio ya mwenzako huo ni uchawiiiiii

    • @jumakibasame3210
      @jumakibasame3210 5 месяцев назад

      Tena huyu mmakonde MLA panya anaroho mbaya Sana Kwa mafanikio ya mwenzie tena mchawi mtu Kama huyu,ona anavyochukiana na manara

  • @yunusimchala6569
    @yunusimchala6569 5 месяцев назад +2

    Hawa wachanbuzi ni wasemge hawajui Mpira

  • @iniestakawambwa7107
    @iniestakawambwa7107 5 месяцев назад

    Kila mnavyowasifia ndio mnawaponza

  • @sunwizy608
    @sunwizy608 5 месяцев назад

    ukweli upoivyo yanga aina ubora

  • @NdevuKamdini
    @NdevuKamdini 5 месяцев назад

    Jemedali ni mzembe mno wala c mchambuzi

  • @amaniomar1755
    @amaniomar1755 5 месяцев назад +2

    Wamongoli kama Wamongoli katika ubora wao

  • @emmanuelnchimbi63
    @emmanuelnchimbi63 5 месяцев назад

    Mnanuka mavi mkunduni mwenu

  • @GeradLeonard
    @GeradLeonard 5 месяцев назад

    Pia jemedali is better ❤

  • @bbanyikwa
    @bbanyikwa 5 месяцев назад +1

    Hakuna mtu ana maumivu hapo kama Jemedari na mzee wa jambia maana hao hata uchambuzi wao ni wa kishabiki😂😂😂 mtateseka sana

  • @toney..
    @toney.. 5 месяцев назад +1

    Wachambuzi WA Bongo Hawa wanatakiwa waende shule hawa

  • @robinshango
    @robinshango 5 месяцев назад +1

    Dah kusema kweli huyu jamaa anajiita jemedari hamna kitu humu

  • @labionmtinginji4281
    @labionmtinginji4281 5 месяцев назад +2

    Wachambuzi MBUZIIIIIII hawa

  • @mussammanga7791
    @mussammanga7791 5 месяцев назад +1

    Hawa wote wanafiki, sio wachambuzi, kama wapo sawa kwanini wapotezi mechi zote mbili.

  • @yunusimchala6569
    @yunusimchala6569 5 месяцев назад +1

    Mapwidu wanateseka sanaaaa na mwakani ni hivyo hivyo

  • @ismaildavid6970
    @ismaildavid6970 5 месяцев назад +1

    hawa wapumbuvu sana sijuhi wanataaluma gani au wambea tu.

  • @mwanangusana
    @mwanangusana 5 месяцев назад

    Jemedarii 😂😂😂😂 ,
    duuuh hili jeofrey lea muoga 😂😂 kweli kweli eti sikupigiii 😅😅😅 ila natetea point yako 😂😂😂😂 hili jitu jogaaa kweliii kweliii 😂😂😂

  • @thehustlerafrica4368
    @thehustlerafrica4368 5 месяцев назад

    Ni kweli yanga siyo Bora kuliko simba

  • @danielbenard9053
    @danielbenard9053 5 месяцев назад +1

    Manchester United akicheza na mancity huoni tofauti ila Manchester akicheza na kina Coventry ndiyo unaona tofauti ya Manchester na mancity

  • @mirajiali3926
    @mirajiali3926 5 месяцев назад

    Hawa makolo efm wote mashoga