Kassim Mganga - Moyo (Official Audio)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 окт 2024

Комментарии • 178

  • @salumuathumani2217
    @salumuathumani2217 6 лет назад +17

    Dah broh cassim natamani siku moja nikutane na wewe tupige story hata kwa masaa manne naamini kuna kitu ninacho kitafuta nitakipata,MIMI SHABIKI YAKO WA DAMU

  • @zaudatmakula3454
    @zaudatmakula3454 6 лет назад +35

    sante msanii nikupendae hunipa hongera mashemeji wa tanga kama mpo weka like hapa😂😂😂

  • @saidnyange8065
    @saidnyange8065 6 лет назад +17

    KWAKO TAJIRI...
    PLZ CHUKUA SEC 5 UPITIE YANGU YA MOYONI....
    Nakumbuka mara ya mwisho kusoma kitu kwenye mtandao nikashangilia ni matokeo yng ya kidato cha 6 mwk 2012.... leo imejirudia nmeshangilia sanaa baada ya kuuona huu wimbo... unajua nikias gani nimekusumbua unitumie huu wimbo kwenye email yng ila ukanikazia mzee.... huu wimbo unamaana kubwa kwangu I wish everybody could knw how.. sometimes na cry... kwa mara ya kwanza nliusikia choice fm ni zaid ya miaka miwil iliopita bt mpk leo is my favorite song na hua nasikiliza hio station kwaajili ya huu wimbo maana haujawah kupigwa station nyingine yoyote.... na tangu nimenunua hii simu sijawah kuweka ring tone ya wimbo 3yrs now.. bt now i thnk i got my 4rever ringing tone.... thanks bro kaz ulioifanya ni kubwa mm mshabik wako hata sujui nainjoi tuu.....👏👏👏👍

  • @zahrakhamis7980
    @zahrakhamis7980 2 года назад +3

    unajua sana,,, nyimbo zimetulia san ❤

  • @abdulrahmanmpakanjia1304
    @abdulrahmanmpakanjia1304 2 года назад +2

    2022 ila bado nauskiliza , moyo wee !! Like 👍🏾

  • @bouzartbc5641
    @bouzartbc5641 Год назад +2

    bado una nguvu huu wimbo, wachache wataelewa, tujuane hao wachache 2022

  • @kasambalive6599
    @kasambalive6599 3 года назад +2

    Tajiri wa Mahaba hichi kichupa chataka video daaaaaah uniguza sana aaaiiiiseeeh !!!

  • @gelectricalworkservice2973
    @gelectricalworkservice2973 6 лет назад +12

    Daaa sio kwa maneno hayo tulivuuu mzee baba umevunja love song

  • @salmamohamed1769
    @salmamohamed1769 6 лет назад +4

    good, wapi Sweet wng njoo usikilize maneno hayo pengine utajirekebisha😘😘😘😘

  • @michaelbwoma2760
    @michaelbwoma2760 6 лет назад +6

    moyo shiba Pendo la huyu binti moyo tosheka Pendo la huyu binti
    unanipa taabu unaniadhibu nitapata aibu moyo
    nalialia aaah

  • @arthurdonnietello9691
    @arthurdonnietello9691 6 лет назад +8

    Tuliku miss baba.... Kimya sana kassim... Here before 24 hrs

  • @UstadhDaniyal
    @UstadhDaniyal 5 лет назад +5

    ****Lyrics to Moyo by Kassim Mganga****
    ***Verse 1
    ***
    Moyo shiba, pendo la huyu binti
    Moyo tosheka, pendo la huyu binti
    Moyo shida, chakula kiiliki
    Moyo, tamu yangu hailiiki
    ***Chorus x 2
    ***
    Unanipa taabu,
    Unaniadhibu,
    Ntapata aibu, moyo
    ***Bridge
    *** x 4
    Nalia-lia, aaah nalia-lia
    ***Verse 2
    ***
    Moyo shiba, penzi utaliharibu
    Moyo shiba, shinda majaribu
    Moyo swahiba, haiba utaivurugu
    Moyo, punguza vurugu
    ***Chorus*** x 2
    Unanipa taabu,
    Unaniadhibu,
    Ntapata aibu, moyo
    ***Bridge***
    x 4
    Nalia-lia, aaah nalia-lia
    *******ustadh daniyal compilation********

  • @saidmttenda1892
    @saidmttenda1892 5 лет назад +1

    Duh! Kama Amr diab... song tabu kama unamkubali #kassim gonga like yako hapa🤝

  • @ludovickroman3767
    @ludovickroman3767 6 лет назад +6

    miaka yoote itaishi hii nyimbo......hukoseagi aseeeee........

  • @hassammtaima2374
    @hassammtaima2374 6 лет назад +4

    Mtanipa tabu nisipo pata like

  • @mbarakmohammed511
    @mbarakmohammed511 6 лет назад +4

    Maashallah maashallah nilipita mahali nikaiskia hii nyimbo ila baada ya kuiskiliza vizuri nmeamini katika vipaji vya kuthaminiwa basi na wewe upo...
    Keep up the good work

  • @Mr-smile1999
    @Mr-smile1999 6 лет назад +1

    Kaká naomba nafasiii nitungee video yaa uiih wimbooo plz

  • @TwalibuAlbaamiryShoka
    @TwalibuAlbaamiryShoka 8 месяцев назад +1

    Cassimu tunahitaji ile nyimbo ya Sijali ulioimbia kenya kwenye mgahawa tumiss

  • @georgedamass5864
    @georgedamass5864 3 года назад +1

    Jamani ,,,mkuuu wangu duuu ,,,moyo,,,,,punguza vuruguuuuu,,,cassim hujawahi kufeli katika utunzi wako kakaa

  • @hamzamussa8727
    @hamzamussa8727 6 лет назад +13

    Nimekuwa wa kwanza

  • @jumahtiba8594
    @jumahtiba8594 2 года назад +2

    Moyo swahiba💞

  • @imamhussein1104
    @imamhussein1104 6 лет назад +4

    kama humuelewi kassim mganga na nyimbo zake huzipendi basi unastahili kula mijeredi/bakora 100 asubuhi, mchana na jioni. kama huna pesa za mahali/posa basi fanya kamchezo haka kafupi...... weka huu wimbo ktk flash then mpelekee baba wa mwanamke umpendae, mke unapewa bureeeeee.

  • @Thabeetb
    @Thabeetb 6 лет назад +9

    TAJIRI IS BACK......GWIJI......WELL DONE BROTHER

  • @rayrashid6617
    @rayrashid6617 4 года назад +1

    Nomaaaaaaaaaaaaaaa Sana cassm penda sanaaa

  • @abou2607
    @abou2607 6 лет назад +4

    Oh boy where do I start with this.. cassim siku zote umekuwa msanii mahiri sana ... mashairi yako mpaka muziki... nyimbo hii ni nzuri sema dah umeniangusha mtu wangu ... umeiga kila kitu kutoka mwenye nyimbo ya sherine Abdul wahab kutoka misr au Lebanon mama sikosei nyimbo inaitwa mashaer... pls cassim haya sio mambo ya kufanya hasa ukizingatia hadhi yako katika mziki.. hii umeboa

    • @edwingeorge6106
      @edwingeorge6106 2 года назад

      ni kweli bro ila amecopy instrmental na hyo huwa ni kazi ya producer, syo singer na hata hivyo according "edwin mwakibete" the music scholar at university of dar es salaam said that bongo flava is form of music that convert the global musics into Swahili style including language that's why we can see Amapiano, Dance hall, raggae, hip hop, pop, riddim are sang in swahili language. art is any activity which include human creativity.

  • @mwanajumamohammed829
    @mwanajumamohammed829 6 лет назад +5

    Moyo jamaniiiiii 👌upo juu

  • @badboy2577
    @badboy2577 6 лет назад +5

    Kichupa kikali cha mwambao kwa kina suhaila

  • @WaithakaEnt
    @WaithakaEnt 6 лет назад +8

    Wimbo umeweza!!!

  • @milimomashini9432
    @milimomashini9432 6 лет назад +7

    Hayaaa moyooo

  • @AfrikanBebe
    @AfrikanBebe 6 лет назад +14

    Its such beautiful song. Ooh MashaAllah. Love from Kenya.

  • @eidduke7911
    @eidduke7911 6 лет назад +7

    Sasa huyu ndio afaa ajiite khan

  • @mrholela7906
    @mrholela7906 6 лет назад +4

    Jamani Kassim hadi unanilizaa kwa nyimbo za utamu .... Mm ntakuwa shabiki wako mpk kufa

    • @hajimwepa1950
      @hajimwepa1950 6 лет назад

      HOLELA TV Media usilie jamani huyo fundi

  • @jyhassan5169
    @jyhassan5169 6 лет назад +2

    una nipa taabu una ni adhiibu nita pata aibu

  • @KelvinEmersonSteven
    @KelvinEmersonSteven 6 лет назад +7

    Wimbo mzuri

  • @zawadichirstofry7753
    @zawadichirstofry7753 6 лет назад +6

    Brother kasim umetisha sanaaaaa song kali

    • @bahatimdetelenyembe6930
      @bahatimdetelenyembe6930 6 лет назад

      AHSANTE Kassim, you are the man wa hizi kazi...hujawahi kuniangusha hata siku moja! BIG UP TAJIRI WA MAHABA

  • @karimsolyambingu6335
    @karimsolyambingu6335 6 лет назад +5

    Ingekuwa ntapata taabu ningecheka sana!
    Tisha sana Mganga!

  • @ramadhanimohamed4190
    @ramadhanimohamed4190 10 месяцев назад +1

    Kassim Khan

  • @liiybrox5698
    @liiybrox5698 6 лет назад +6

    fundii hatari

  • @shabanimagogo502
    @shabanimagogo502 6 лет назад +51

    Watu watanga weka like twende sawa

  • @angelmepesha8376
    @angelmepesha8376 2 года назад +1

    Yaani uwa una character za msanii wa kweli.... unabadilika kila wakati... ur my favourite 💓

  • @minahyusuf5546
    @minahyusuf5546 4 года назад +2

    Moyooooo

  • @kamalbashir5127
    @kamalbashir5127 5 лет назад

    Niko ulaya miaka mingi tafadhali nitafutie mwanangu awena, binti phililina msangi, zanzibar, fuoni

  • @sherrysalim50
    @sherrysalim50 6 лет назад +5

    Asanteeeeee msanii wangu wa roho @Kassim Mganga 😘😘😘😘

  • @raimajimoto1122
    @raimajimoto1122 6 лет назад +3

    moyo mtapata aibu

  • @mucherusidney2045
    @mucherusidney2045 6 лет назад +1

    Nimeipenda kaka...much love from Nairobi

  • @dullatawakal1492
    @dullatawakal1492 6 лет назад +6

    manzabay

  • @johnedward3000
    @johnedward3000 6 лет назад +6

    Ngoma kali sana.

  • @danfordmwingira8512
    @danfordmwingira8512 6 лет назад +4

    Always ur too smart... Umetisha mzee

  • @shukurually8851
    @shukurually8851 6 лет назад +6

    Moyo

  • @aliyahyaissaissa7423
    @aliyahyaissaissa7423 10 месяцев назад

    Love this song , limetulia kbc alafu tamu sn ukisikiliza sehemu tulivu

  • @shabanimagogo502
    @shabanimagogo502 6 лет назад +5

    ooooooooo moyo

  • @paschalsanya8339
    @paschalsanya8339 Год назад +1

    Salute to kassim 2023 still listening the hit🔥🔥🔥🔥

  • @bakarishabani4662
    @bakarishabani4662 5 лет назад

    yani vuta picha unampigia sim mpenzi wako una mwimbia nyimbo hii nilaha iliyoje

  • @asiazuberi9722
    @asiazuberi9722 6 лет назад +3

    Nzuri

  • @rosekingalu9930
    @rosekingalu9930 6 лет назад +4

    Nyimbo nzuri sanaa kama nyimbo za kiarabu especially Egyptian Arabic songs

  • @alhabibysam9042
    @alhabibysam9042 6 лет назад +1

    Ngoma kali ila beat haikumaliza design kama imekata hv

  • @lisasallu
    @lisasallu 2 года назад +1

    🔥🔥🔥🙌🏽🙌🏽

  • @badarsuleiman5015
    @badarsuleiman5015 2 года назад +1

    Moyo moyo moyoo🇹🇿🇹🇿🐐

  • @mohamedabdallah8130
    @mohamedabdallah8130 2 года назад +1

    Beautiful song 🎵 listen from capetown city

  • @nurdin.mndeme3447
    @nurdin.mndeme3447 3 года назад

    dah hadi mwili unanitetemeka kwa huu mziki kwa kweli

  • @queenmaa7892
    @queenmaa7892 6 лет назад +17

    Dada yko wa mombasa ashafika kuku support....walai moyo jomonii

  • @haironmohammed3669
    @haironmohammed3669 5 лет назад

    duuuh, hadi rahaaaa shurti kwa viudi kwa mbaliiiii

  • @ruthiedavie8090
    @ruthiedavie8090 6 лет назад +3

    Wimbo mzuriiiiiiiiiiiii..my fav artist

  • @sallyMwakinginda1996
    @sallyMwakinginda1996 6 лет назад +3

    Wapili eban ngoma kari

  • @shukurually8851
    @shukurually8851 6 лет назад

    Kwel ww n tajiri wa mahaba daaaaaah

  • @aminasubira6591
    @aminasubira6591 6 лет назад +13

    Doooh bonge la song Jaman😍😍 can't wait video😋😋👌##Bigup Broder

  • @kassimsongambele2784
    @kassimsongambele2784 6 лет назад +1

    Tajili wa mahaba mwenzangu💖💖 my wanna😘

  • @neilasaid1344
    @neilasaid1344 6 лет назад +3

    Eluwa

  • @allyferry3798
    @allyferry3798 5 лет назад

    Ujawai niangusha mzee baba

  • @madigasankara6610
    @madigasankara6610 6 лет назад +5

    MAGNIFIQUE la chanson

  • @omegazinthalezi9123
    @omegazinthalezi9123 3 года назад

    Bro bonge la nyimbo hili

  • @Az__2012
    @Az__2012 6 лет назад +1

    Fundi sana ww bro

  • @nyotamy3678
    @nyotamy3678 6 лет назад +3

    Kazi nzr

  • @bobbymwangi5589
    @bobbymwangi5589 4 года назад

    hiyo song imeweza

  • @dashmande4164
    @dashmande4164 6 лет назад +8

    i like this song from 254
    kama umeelewa iyo song gonga like hpo chini

  • @josephjjoseph7643
    @josephjjoseph7643 6 лет назад

    Tajili taratibuuu nabuludika

  • @jaysally1379
    @jaysally1379 6 лет назад

    manzabeyi dangerous

  • @saidbomu2961
    @saidbomu2961 6 лет назад

    Mwenye nyumba karudi wapangaji wakae chonjo.na pia kassim hebu fanya remix ya nadekezwa kuna kt kdg kimekosekana mle.

  • @tiphahtiphanyomy5591
    @tiphahtiphanyomy5591 6 лет назад

    khan wanguu

  • @nickdaizer7202
    @nickdaizer7202 5 лет назад

    nakukubali sana

  • @zainabuomary3773
    @zainabuomary3773 6 лет назад

    Fundi hujawah kukosea tajiri wangu

  • @rukybari4471
    @rukybari4471 6 лет назад +1

    MashaaAllah kassim mganga sautiiiiii ya tanga yazindua moyo io

  • @sixbatan
    @sixbatan 13 дней назад

    2024 tupo 😂

  • @philljombs1151
    @philljombs1151 6 лет назад

    Mahaba tuleli

  • @mudrickbarton8911
    @mudrickbarton8911 7 месяцев назад

    Mwinyii

  • @MohamedAhmed-yu1lu
    @MohamedAhmed-yu1lu 5 лет назад

    Itabidi tukualike uje utupe uhondo USA. Mana sasa wewe ndio Luther Vandrose wa Tanga na Tanzania. hongera sana bro love your ballads

  • @pilisuleman2232
    @pilisuleman2232 2 года назад

    Mmm moyo

  • @sylviaclaud777
    @sylviaclaud777 3 года назад

    nyimbo inaanza kama vile naangalia Indian movie hongera sana bro,your talented ntarudi kucomment tena 2023.

  • @merryn4891
    @merryn4891 5 лет назад

    nice

  • @josephjjoseph7643
    @josephjjoseph7643 6 лет назад

    Tajili taratibuuu nabuludika

  • @Mr-smile1999
    @Mr-smile1999 6 лет назад

    Tufnye kazi Kaka

  • @shaiphersarb873
    @shaiphersarb873 4 года назад

    Romantic

  • @angelmepesha8376
    @angelmepesha8376 2 года назад

    Ur the best

  • @pedromussa12
    @pedromussa12 6 лет назад

    Tajiri wa mahaba

  • @kuruthumabdulrahman6582
    @kuruthumabdulrahman6582 6 лет назад

    jamon kassim penda saanaa

  • @blessiramukandala9836
    @blessiramukandala9836 5 лет назад +1

    My favourite artists of all the time 🎶🎶💕

  • @amransalim9242
    @amransalim9242 6 лет назад +1

    mashalah

  • @vonkale8565
    @vonkale8565 6 лет назад +3

    🔥🔥🔥

  • @amourhamada9799
    @amourhamada9799 6 лет назад +6

    Tanga moja..... Bailah

  • @musajafeti6364
    @musajafeti6364 5 лет назад

    Da kasim toka nimeanza kusikiliz nyimbo zako yn hujawahi kukose bro yn unajua mpaka unakera aise we ni hatar fayaaaaa