Dah broh cassim natamani siku moja nikutane na wewe tupige story hata kwa masaa manne naamini kuna kitu ninacho kitafuta nitakipata,MIMI SHABIKI YAKO WA DAMU
KWAKO TAJIRI... PLZ CHUKUA SEC 5 UPITIE YANGU YA MOYONI.... Nakumbuka mara ya mwisho kusoma kitu kwenye mtandao nikashangilia ni matokeo yng ya kidato cha 6 mwk 2012.... leo imejirudia nmeshangilia sanaa baada ya kuuona huu wimbo... unajua nikias gani nimekusumbua unitumie huu wimbo kwenye email yng ila ukanikazia mzee.... huu wimbo unamaana kubwa kwangu I wish everybody could knw how.. sometimes na cry... kwa mara ya kwanza nliusikia choice fm ni zaid ya miaka miwil iliopita bt mpk leo is my favorite song na hua nasikiliza hio station kwaajili ya huu wimbo maana haujawah kupigwa station nyingine yoyote.... na tangu nimenunua hii simu sijawah kuweka ring tone ya wimbo 3yrs now.. bt now i thnk i got my 4rever ringing tone.... thanks bro kaz ulioifanya ni kubwa mm mshabik wako hata sujui nainjoi tuu.....👏👏👏👍
Maashallah maashallah nilipita mahali nikaiskia hii nyimbo ila baada ya kuiskiliza vizuri nmeamini katika vipaji vya kuthaminiwa basi na wewe upo... Keep up the good work
kama humuelewi kassim mganga na nyimbo zake huzipendi basi unastahili kula mijeredi/bakora 100 asubuhi, mchana na jioni. kama huna pesa za mahali/posa basi fanya kamchezo haka kafupi...... weka huu wimbo ktk flash then mpelekee baba wa mwanamke umpendae, mke unapewa bureeeeee.
Oh boy where do I start with this.. cassim siku zote umekuwa msanii mahiri sana ... mashairi yako mpaka muziki... nyimbo hii ni nzuri sema dah umeniangusha mtu wangu ... umeiga kila kitu kutoka mwenye nyimbo ya sherine Abdul wahab kutoka misr au Lebanon mama sikosei nyimbo inaitwa mashaer... pls cassim haya sio mambo ya kufanya hasa ukizingatia hadhi yako katika mziki.. hii umeboa
ni kweli bro ila amecopy instrmental na hyo huwa ni kazi ya producer, syo singer na hata hivyo according "edwin mwakibete" the music scholar at university of dar es salaam said that bongo flava is form of music that convert the global musics into Swahili style including language that's why we can see Amapiano, Dance hall, raggae, hip hop, pop, riddim are sang in swahili language. art is any activity which include human creativity.
Dah broh cassim natamani siku moja nikutane na wewe tupige story hata kwa masaa manne naamini kuna kitu ninacho kitafuta nitakipata,MIMI SHABIKI YAKO WA DAMU
sante msanii nikupendae hunipa hongera mashemeji wa tanga kama mpo weka like hapa😂😂😂
Zaudat Makula p
Zaudat Makula m
Moyooo
KWAKO TAJIRI...
PLZ CHUKUA SEC 5 UPITIE YANGU YA MOYONI....
Nakumbuka mara ya mwisho kusoma kitu kwenye mtandao nikashangilia ni matokeo yng ya kidato cha 6 mwk 2012.... leo imejirudia nmeshangilia sanaa baada ya kuuona huu wimbo... unajua nikias gani nimekusumbua unitumie huu wimbo kwenye email yng ila ukanikazia mzee.... huu wimbo unamaana kubwa kwangu I wish everybody could knw how.. sometimes na cry... kwa mara ya kwanza nliusikia choice fm ni zaid ya miaka miwil iliopita bt mpk leo is my favorite song na hua nasikiliza hio station kwaajili ya huu wimbo maana haujawah kupigwa station nyingine yoyote.... na tangu nimenunua hii simu sijawah kuweka ring tone ya wimbo 3yrs now.. bt now i thnk i got my 4rever ringing tone.... thanks bro kaz ulioifanya ni kubwa mm mshabik wako hata sujui nainjoi tuu.....👏👏👏👍
Said Nyange God bless you bruh for being such a die hard fan
Moyoooh tamu yang ailiki
Nyange njole massari
Said Nyange naunga mkono
unajua sana,,, nyimbo zimetulia san ❤
2022 ila bado nauskiliza , moyo wee !! Like 👍🏾
bado una nguvu huu wimbo, wachache wataelewa, tujuane hao wachache 2022
Tajiri wa Mahaba hichi kichupa chataka video daaaaaah uniguza sana aaaiiiiseeeh !!!
Daaa sio kwa maneno hayo tulivuuu mzee baba umevunja love song
good, wapi Sweet wng njoo usikilize maneno hayo pengine utajirekebisha😘😘😘😘
moyo shiba Pendo la huyu binti moyo tosheka Pendo la huyu binti
unanipa taabu unaniadhibu nitapata aibu moyo
nalialia aaah
Tuliku miss baba.... Kimya sana kassim... Here before 24 hrs
****Lyrics to Moyo by Kassim Mganga****
***Verse 1
***
Moyo shiba, pendo la huyu binti
Moyo tosheka, pendo la huyu binti
Moyo shida, chakula kiiliki
Moyo, tamu yangu hailiiki
***Chorus x 2
***
Unanipa taabu,
Unaniadhibu,
Ntapata aibu, moyo
***Bridge
*** x 4
Nalia-lia, aaah nalia-lia
***Verse 2
***
Moyo shiba, penzi utaliharibu
Moyo shiba, shinda majaribu
Moyo swahiba, haiba utaivurugu
Moyo, punguza vurugu
***Chorus*** x 2
Unanipa taabu,
Unaniadhibu,
Ntapata aibu, moyo
***Bridge***
x 4
Nalia-lia, aaah nalia-lia
*******ustadh daniyal compilation********
Safi sana kazi nzuri ustadh
Duh! Kama Amr diab... song tabu kama unamkubali #kassim gonga like yako hapa🤝
miaka yoote itaishi hii nyimbo......hukoseagi aseeeee........
Mtanipa tabu nisipo pata like
Maashallah maashallah nilipita mahali nikaiskia hii nyimbo ila baada ya kuiskiliza vizuri nmeamini katika vipaji vya kuthaminiwa basi na wewe upo...
Keep up the good work
Kaká naomba nafasiii nitungee video yaa uiih wimbooo plz
Cassimu tunahitaji ile nyimbo ya Sijali ulioimbia kenya kwenye mgahawa tumiss
Jamani ,,,mkuuu wangu duuu ,,,moyo,,,,,punguza vuruguuuuu,,,cassim hujawahi kufeli katika utunzi wako kakaa
Nimekuwa wa kwanza
Moyo swahiba💞
kama humuelewi kassim mganga na nyimbo zake huzipendi basi unastahili kula mijeredi/bakora 100 asubuhi, mchana na jioni. kama huna pesa za mahali/posa basi fanya kamchezo haka kafupi...... weka huu wimbo ktk flash then mpelekee baba wa mwanamke umpendae, mke unapewa bureeeeee.
baba zulfa mashallah
😅😅😅we mbwa
TAJIRI IS BACK......GWIJI......WELL DONE BROTHER
Nomaaaaaaaaaaaaaaa Sana cassm penda sanaaa
Oh boy where do I start with this.. cassim siku zote umekuwa msanii mahiri sana ... mashairi yako mpaka muziki... nyimbo hii ni nzuri sema dah umeniangusha mtu wangu ... umeiga kila kitu kutoka mwenye nyimbo ya sherine Abdul wahab kutoka misr au Lebanon mama sikosei nyimbo inaitwa mashaer... pls cassim haya sio mambo ya kufanya hasa ukizingatia hadhi yako katika mziki.. hii umeboa
ni kweli bro ila amecopy instrmental na hyo huwa ni kazi ya producer, syo singer na hata hivyo according "edwin mwakibete" the music scholar at university of dar es salaam said that bongo flava is form of music that convert the global musics into Swahili style including language that's why we can see Amapiano, Dance hall, raggae, hip hop, pop, riddim are sang in swahili language. art is any activity which include human creativity.
Moyo jamaniiiiii 👌upo juu
Kichupa kikali cha mwambao kwa kina suhaila
Wimbo umeweza!!!
Hayaaa moyooo
Its such beautiful song. Ooh MashaAllah. Love from Kenya.
mariam mwiso hey
Hi Hassan.
mariam mwiso mambo
Hi
welcome to Tanzania Mariam, there is more to moyo!
Sasa huyu ndio afaa ajiite khan
Kabisa
Jamani Kassim hadi unanilizaa kwa nyimbo za utamu .... Mm ntakuwa shabiki wako mpk kufa
HOLELA TV Media usilie jamani huyo fundi
una nipa taabu una ni adhiibu nita pata aibu
Wimbo mzuri
Brother kasim umetisha sanaaaaa song kali
AHSANTE Kassim, you are the man wa hizi kazi...hujawahi kuniangusha hata siku moja! BIG UP TAJIRI WA MAHABA
Ingekuwa ntapata taabu ningecheka sana!
Tisha sana Mganga!
Kassim Khan
fundii hatari
Watu watanga weka like twende sawa
Haaaaa moyo waniadhibu
Hollaaaaa!!!!
Yaani uwa una character za msanii wa kweli.... unabadilika kila wakati... ur my favourite 💓
Moyooooo
Niko ulaya miaka mingi tafadhali nitafutie mwanangu awena, binti phililina msangi, zanzibar, fuoni
Asanteeeeee msanii wangu wa roho @Kassim Mganga 😘😘😘😘
Sherry Salim 💞💞💞💞
moyo mtapata aibu
Nimeipenda kaka...much love from Nairobi
manzabay
Ngoma kali sana.
Always ur too smart... Umetisha mzee
Moyo
Love this song , limetulia kbc alafu tamu sn ukisikiliza sehemu tulivu
ooooooooo moyo
Salute to kassim 2023 still listening the hit🔥🔥🔥🔥
yani vuta picha unampigia sim mpenzi wako una mwimbia nyimbo hii nilaha iliyoje
Nzuri
Nyimbo nzuri sanaa kama nyimbo za kiarabu especially Egyptian Arabic songs
Hahahahaha
Rose Kingalu haswaa
Ngoma kali ila beat haikumaliza design kama imekata hv
🔥🔥🔥🙌🏽🙌🏽
Moyo moyo moyoo🇹🇿🇹🇿🐐
Beautiful song 🎵 listen from capetown city
dah hadi mwili unanitetemeka kwa huu mziki kwa kweli
Dada yko wa mombasa ashafika kuku support....walai moyo jomonii
Hahahahah keshaona tayar bro wangu
Heheh
duuuh, hadi rahaaaa shurti kwa viudi kwa mbaliiiii
Wimbo mzuriiiiiiiiiiiii..my fav artist
Wapili eban ngoma kari
Kwel ww n tajiri wa mahaba daaaaaah
Doooh bonge la song Jaman😍😍 can't wait video😋😋👌##Bigup Broder
Jamani amina
Yeah mustafa
Tajili wa mahaba mwenzangu💖💖 my wanna😘
Eluwa
Ujawai niangusha mzee baba
MAGNIFIQUE la chanson
Nici
Bro bonge la nyimbo hili
Fundi sana ww bro
Kazi nzr
hiyo song imeweza
i like this song from 254
kama umeelewa iyo song gonga like hpo chini
Tajili taratibuuu nabuludika
manzabeyi dangerous
Mwenye nyumba karudi wapangaji wakae chonjo.na pia kassim hebu fanya remix ya nadekezwa kuna kt kdg kimekosekana mle.
khan wanguu
nakukubali sana
Fundi hujawah kukosea tajiri wangu
MashaaAllah kassim mganga sautiiiiii ya tanga yazindua moyo io
2024 tupo 😂
Mahaba tuleli
Mwinyii
Itabidi tukualike uje utupe uhondo USA. Mana sasa wewe ndio Luther Vandrose wa Tanga na Tanzania. hongera sana bro love your ballads
Mmm moyo
nyimbo inaanza kama vile naangalia Indian movie hongera sana bro,your talented ntarudi kucomment tena 2023.
nice
Tajili taratibuuu nabuludika
Tufnye kazi Kaka
Romantic
Ur the best
Tajiri wa mahaba
jamon kassim penda saanaa
My favourite artists of all the time 🎶🎶💕
mashalah
🔥🔥🔥
Tanga moja..... Bailah
Da kasim toka nimeanza kusikiliz nyimbo zako yn hujawahi kukose bro yn unajua mpaka unakera aise we ni hatar fayaaaaa