Niliipenda sana kazi ya urubani wa ndege nikasoma sana kwa bidii nikafaulu vizuri mchepuo wa PGM lakini umasikini wa nyumbani ukawa kikwazo kuendelea ila namshukuru mungu nilisoma uongozi katika biashara na ndio fani ninayoifanyia kazi kwenye biashara zangu na bado nazidi kuongeza ujuzi wa aina mbalimbali ili niwe Bora zaidi.Asante sana ustadhi Ezden
Niliipenda sana kazi ya urubani wa ndege nikasoma sana kwa bidii nikafaulu vizuri mchepuo wa PGM lakini umasikini wa nyumbani ukawa kikwazo kuendelea ila namshukuru mungu nilisoma uongozi katika biashara na ndio fani ninayoifanyia kazi kwenye biashara zangu na bado nazidi kuongeza ujuzi wa aina mbalimbali ili niwe Bora zaidi.Asante sana ustadhi Ezden
Kweli kabisa yani ume point sehemu yenyewe inatakiwa watu wapewe elimu ili waufanyie kazi