Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.

🚨Majibu ya Yanga kuhusu Uongozi kuondolewa,Mzee Magoma Ajibu waliyoyazungumza.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 авг 2024
  • #football #yangatv #youtube #alikamwe #yangafc #yangasc #ahmedally #simba #simbatanzania #simbaislive

Комментарии • 33

  • @hassanlikwenangu8471
    @hassanlikwenangu8471 Месяц назад +1

    MAGOMA IZI ZE NIU YANGA PREZIDAA

  • @hassanlikwenangu8471
    @hassanlikwenangu8471 Месяц назад +2

    huyo ndiye JUMA MAGOMA Bwana!

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 Месяц назад +1

    Kayakanyaga😂😂😂😂😂

  • @eliateacher3241
    @eliateacher3241 Месяц назад +1

    Watu wanachukulia poa lakini hii kitu iko vibaya sana kwa yangaa

    • @user-hy2qw6gi3e
      @user-hy2qw6gi3e Месяц назад +1

      Hakuna lolote hapo na ubaya utawarudia hao wajinga na makolo wanaowatuma

  • @saidingumbo-is2oe
    @saidingumbo-is2oe Месяц назад +1

    Kumbe wazonlangu pale yanga lipo ukiwa na umri wa miaka 70 hustahili kugombea uongozi

  • @minazsaid2470
    @minazsaid2470 Месяц назад +2

    Sasa kwani kma umewashitaki wazamini kwann usiwapelekee hiyo nakala unakaa nayo ili iweje

  • @tezuramziray8700
    @tezuramziray8700 Месяц назад +1

    Yanga huu ujinga umeletwa kuwatoa kwenye line. Uzuri timu iko AVIC. Waandishi wa habari wapenzi wa mchumba wetu wanaongea sana wewe wacha wajikoroge safari hii

  • @albabaly8297
    @albabaly8297 Месяц назад

    Magoma oweeee
    Magoma safiiiiiii
    😂😂😂😂😂😂

  • @minazsaid2470
    @minazsaid2470 Месяц назад +1

    Magoma hupewi uongozi katu na wala pesa hatukupi

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 Месяц назад +1

    Shida ya kutoenda shule,mzee magoma atacheza ngoma😂😂😂hata maelezo yake hayana mshiko! Naanza kujiuliza huyu hakimu ni nani ? TUTAWAPIGA NJE YA UWANJA NA NDANI YA UWANJA fro CAMBRIDGE mji wa wasomi UK

  • @albertvalentino130
    @albertvalentino130 Месяц назад

    Waandishi nanyi uwezo wenu ni mdogo sana ktk kuuliza maswali ya msingi ---- yako maswali ya msingi ambayo mlipaswa kumuuliza.

  • @saidingumbo-is2oe
    @saidingumbo-is2oe Месяц назад +1

    Hivi huyo hakimu kwanza alipass vizuri masomo ya sheria? Anapokeaje hoja ya kuilalamika klabu na watu ambao wenyewe wanakiribkuwa si wanachama zaidi ya miaka 4 sasa

    • @ABDALLAHMWATANDA
      @ABDALLAHMWATANDA Месяц назад

      ACHENI USHABIKII ...MAHAKAMA HAIJIBIWI KWA PRESS NENDENI MAHAKAMANI

  • @nuruabdallahmed9495
    @nuruabdallahmed9495 Месяц назад

    Msomali hataki kukaa na kuongea na Mwamba Magoma ndio maana Issue ikapelekwa mahakamani. Kitu gani hamwelewi nyinyi wachakondoo?

  • @judithtitomalyeta4000
    @judithtitomalyeta4000 Месяц назад

    Hakimu naye ana shida kwann alisikiliza upande mmoja ,hadi kufoji huyu mzee shetani kabisa

  • @MohamedMoto-x2i
    @MohamedMoto-x2i Месяц назад

    Magoma iyo njaa

  • @user-vb6zv8ov8v
    @user-vb6zv8ov8v Месяц назад

    Magoma,nakushauri utoe wasio mapema kwa wanao

  • @CotaManywele-vg9ti
    @CotaManywele-vg9ti Месяц назад

    Hakimu nae mpambavu na nimshenzi ivi anatujuwa vizuri wana yanga au anatusikia tu, huyo mzee ni mbwa tena mpambavu kabisa nja nja zake asije leta mtafaruku, huyo hakimu nae ni mpambavu ssna

    • @user-hy2qw6gi3e
      @user-hy2qw6gi3e Месяц назад +1

      Huyo mzee mbwa koko tu na ni mjinga asiyejitambua, acha aendelee kutumwa atajua hajui

  • @AlexKanuya-fs2vr
    @AlexKanuya-fs2vr Месяц назад

    Mimi mwanayanga Iła huyo mzee yupo sahihi kabisa anachosema yeye!! Maana raisi anakuwaje anafanya kila kitu yeye mwenyewe kama sio utapeli wanataka kufanya wanayanga tuweni makin sana na yanga mzee yupo sahihi uwakika

    • @user-hy2qw6gi3e
      @user-hy2qw6gi3e Месяц назад

      We mwenyewe akili huna na hujitambui, wanachama wote mtawapeleka ukumbi gani waenee? Vitu vidogo hata kufikiri hamuwezi shenzi

    • @mwanangusana
      @mwanangusana Месяц назад +1

      Kanuya maana ake .... Unaijua ?? 😂😂😂 , kolo ubwela 🤣

  • @ChrisKanjara
    @ChrisKanjara Месяц назад

    Ni atar xan

  • @deusjoseph8554
    @deusjoseph8554 Месяц назад

    Hyo katumwa mjinga ,tutamtafta tumunyoshe anatka kutuhalibia timu yetu

  • @naimasbuguza2395
    @naimasbuguza2395 Месяц назад

    Elfu2 na ishirini na 10

  • @saidmasoud9004
    @saidmasoud9004 Месяц назад

    Mahakama si wametoa hukumu

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 Месяц назад +1

      Kwani mahakama haipingwi? Kakwambia nani? Mahakama iko kutafsiri sheria! Wakiitafsiri sheria vibaya,wanaoungwa!

  • @naimasbuguza2395
    @naimasbuguza2395 Месяц назад

    Aibu kwa mahakama, haiwezekan taasis kubwa Kama yanga ishtakiwa kimyakimya hamna hata coverage ya vyombo vya habar....
    Hapa TAKUKURU wahusike