Ally kaka acha kumuvuliya adabu sheikh. Umezoweya kumusema vibaya sheikh lakini nakuwomba ukaye kimya acha kumudhalilisha sheikh,kwasababu kila mawayidha yake comments zako zote nizamatusi kwa sheikh.kaka kama huna lakusema kaa kimya. Ukizidi Mungu mwenyewe atakushugulikiya
maasha allah, uzuri wa sheikh shaweeji ana namna ya pekee ya uwasilishaji mada, maasha allah mtu unapata hamu ya kuskiliza na tunapata hibra sana ,jazaka llaaahulkhair sheikh
Asante sana sheikh wetu allah akuhifadhi
Inshallah
Shekhe Mwenyezi Mungu Akuzidishie Umri Abariki kizazi chako mawaidha haya ni mazuri
Duuu kipozeo tabaarakallah fiii.
Ally kaka acha kumuvuliya adabu sheikh. Umezoweya kumusema vibaya sheikh lakini nakuwomba ukaye kimya acha kumudhalilisha sheikh,kwasababu kila mawayidha yake comments zako zote nizamatusi kwa sheikh.kaka kama huna lakusema kaa kimya. Ukizidi Mungu mwenyewe atakushugulikiya
Huwa nakukubali Sana shekhe kipozeo unaongea vitu na uhalisia wake
maasha allah, uzuri wa sheikh shaweeji ana namna ya pekee ya uwasilishaji mada, maasha allah mtu unapata hamu ya kuskiliza na tunapata hibra sana ,jazaka llaaahulkhair sheikh
Hakikah
Jazakallahu khaira
Jazakallahu kheir sheikh,
Ameen
Mzee wa mizigo
Juma
Allah atuhifadhi na mitihani ya dunia
Amiin thuma amiiin
Huyu sheick Kipozeo huwa namkubali sana
Allah akuweke tupate mawaidha mazur
Jazakallah
Subhanallah
hahahahahaaaaaaaaaaaa, wamakonde bhaaaaaaa
😀😀😀 shanga yake ya msikitini , allah akuhifadh sheikh
😅😅😅😅
Profesa Hilal Shaweji Makarani "Kipoozeo"
ALLAH atuhifadhi na mashakhil za dunia Mawaidha mazuri naomba muwe muna upload mawaidha mengi za huyu sheikh kipozeo na masheikh wengine pia
In Shaa Allah
kumbe wamakonde wanga eeh🙄🙄