Hakuna uhalisia hapo.. sijaona mali ya 1b.. kuna jamaa yangu yuko Austria,nilimpa hii link.. tatizo letu hatusemi bei halisi..inawezekana hapo katikati ya biashara kuna vishoka kama 3 then imfikie mwenye mali + kodi za serikali
@@josephlorri431 apana kishoka wala kipanga samani ya kisota square mita moja ni laki 1 kwaiyo ENEO hili ni square 4200 pamoja na nyumba 5 ambapo nyumba kubwa ina vyumba v4 vitatu master sitting room dining room kitchen public toilet stor jiko lina makabati na APARTMENT zipo 4 ) tatu zina vyumba viwili viwili sitting room dining room kitchen public toilet moja ina chumba SEBULE NA JIKO
@@rkcomercialenterprises3209 nyumba ipo maeneo YA kisota kiwanja kisota square ni tsh 100,000 nahili ene lina square 4200 pamoja na nyumba 5 wapo watu wanamiliki kiwanja mwasonga anafananisha na kisota nivitu viwili tofauti boss karibu sana kisota kigamboni km 5 toka fell km 5 toka daraja la nyerere
Hakuna uhalisia hapo.. sijaona mali ya 1b.. kuna jamaa yangu yuko Austria,nilimpa hii link.. tatizo letu hatusemi bei halisi..inawezekana hapo katikati ya biashara kuna vishoka kama 3 then imfikie mwenye mali + kodi za serikali
@@josephlorri431 apana kishoka wala kipanga samani ya kisota square mita moja ni laki 1 kwaiyo ENEO hili ni square 4200 pamoja na nyumba 5 ambapo nyumba kubwa ina vyumba v4 vitatu master sitting room dining room kitchen public toilet stor jiko lina makabati na APARTMENT zipo 4 ) tatu zina vyumba viwili viwili sitting room dining room kitchen public toilet moja ina chumba SEBULE NA JIKO
Mbona nyumba ya kawaida sana. Apartment au vyumba vya kupanga.
@@rkcomercialenterprises3209 nyumba ipo maeneo YA kisota kiwanja kisota square ni tsh 100,000 nahili ene lina square 4200 pamoja na nyumba 5 wapo watu wanamiliki kiwanja mwasonga anafananisha na kisota nivitu viwili tofauti boss karibu sana kisota kigamboni km 5 toka fell km 5 toka daraja la nyerere
Hapo bei ni ghali mno
Maongezi yapo
Weka namba
067428 5326
Wauzie mafisadi
@@RevocatusSebastian-c8o nipe namba zao mafisadi
Bro nipunguzie mi nichukue mjengo huoo nifugimo kk
@@eliudicharles4936 piga sm 067428 5326
Kaka. Sahani wengine kuelewa kugumu iyo bei Sawa na milioni ngapi Mie sijasoma
@@morjanoman5181 nisawa na milioni elf 1000
@@dalalimaikokigamboni4984 asante kwa kunielimisha tukiwapata wateja tutakuambia
Ni milioni 1000
@@morjanoman5181 hii ni bilioni moja boss za kitanzania
Mhh
Naomba hati nipo TAYARI kununua
@@NgasaLuhamba 067428 5326
@@NgasaLuhamba IPO
B unajenga kama hizo 4
Inategemea Kiwanja chako kipo wapi maeneo ya kisota kigamboni sqm 1 bei yake laki moja fikiri kabla ujatenda
Bro nyumba na kiwanja havina uhalisia wa bei, overpricing kwenye real estate TZ ni tatizo kubwa sana hasa DSM
@@seneu.2128 hii ndio dar es salaam
@@seneu.2128 tupe uwalisiya wewe