NYUMBA ZINAUZWA KIGAMBONI KISOTA BEI BILIONI 1 ENEO SQM 4200 KIWANJA KIMEPIMWA KINA APROVED

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 окт 2024

Комментарии • 26

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 2 месяца назад +2

    Hakuna uhalisia hapo.. sijaona mali ya 1b.. kuna jamaa yangu yuko Austria,nilimpa hii link.. tatizo letu hatusemi bei halisi..inawezekana hapo katikati ya biashara kuna vishoka kama 3 then imfikie mwenye mali + kodi za serikali

    • @dalalimaikokigamboni4984
      @dalalimaikokigamboni4984  2 месяца назад

      @@josephlorri431 apana kishoka wala kipanga samani ya kisota square mita moja ni laki 1 kwaiyo ENEO hili ni square 4200 pamoja na nyumba 5 ambapo nyumba kubwa ina vyumba v4 vitatu master sitting room dining room kitchen public toilet stor jiko lina makabati na APARTMENT zipo 4 ) tatu zina vyumba viwili viwili sitting room dining room kitchen public toilet moja ina chumba SEBULE NA JIKO

  • @rkcomercialenterprises3209
    @rkcomercialenterprises3209 2 месяца назад

    Mbona nyumba ya kawaida sana. Apartment au vyumba vya kupanga.

    • @dalalimaikokigamboni4984
      @dalalimaikokigamboni4984  2 месяца назад

      @@rkcomercialenterprises3209 nyumba ipo maeneo YA kisota kiwanja kisota square ni tsh 100,000 nahili ene lina square 4200 pamoja na nyumba 5 wapo watu wanamiliki kiwanja mwasonga anafananisha na kisota nivitu viwili tofauti boss karibu sana kisota kigamboni km 5 toka fell km 5 toka daraja la nyerere

  • @abdallahmmary8591
    @abdallahmmary8591 2 месяца назад

    Hapo bei ni ghali mno

  • @NgasaLuhamba
    @NgasaLuhamba 3 месяца назад +1

    Weka namba

  • @RevocatusSebastian-c8o
    @RevocatusSebastian-c8o 2 месяца назад

    Wauzie mafisadi

  • @eliudicharles4936
    @eliudicharles4936 2 месяца назад

    Bro nipunguzie mi nichukue mjengo huoo nifugimo kk

  • @morjanoman5181
    @morjanoman5181 2 месяца назад

    Kaka. Sahani wengine kuelewa kugumu iyo bei Sawa na milioni ngapi Mie sijasoma

  • @straitnews3441
    @straitnews3441 3 месяца назад +1

    Mhh

  • @NgasaLuhamba
    @NgasaLuhamba 3 месяца назад +1

    Naomba hati nipo TAYARI kununua

  • @ephrahimmasiko9873
    @ephrahimmasiko9873 2 месяца назад

    B unajenga kama hizo 4

    • @dalalimaikokigamboni4984
      @dalalimaikokigamboni4984  Месяц назад

      Inategemea Kiwanja chako kipo wapi maeneo ya kisota kigamboni sqm 1 bei yake laki moja fikiri kabla ujatenda

  • @seneu.2128
    @seneu.2128 2 месяца назад

    Bro nyumba na kiwanja havina uhalisia wa bei, overpricing kwenye real estate TZ ni tatizo kubwa sana hasa DSM