ALLY KAMWE AMPA KAZI MZEE MPILI YA KUMLINDA CHAMA/WANANCHI WAMEKULA KEKI YA KUMPOKEA JANGWANI
HTML-код
- Опубликовано: 1 июл 2024
- Timu ya Young Africans Leo July 2,2024 imezindua mfumo Rasmi wa mashabiki wao kupata taarifa zinazoihusu klabu hiyo,akizungumza na waandishi wa Habari Afisa habari na mawasiliano wa klabu hiyo Ali kamwe amesema kuwa njia hiyo itawasaidia mashabiki wa yanga kupata habari za timu hiyo hasa katika kipindi hiki cha usajili.
Спорт
mngekua nyie mgemrushia majini ashindwe hata kucheza mpira ,acheni ushamba ,SIMBA NGUVU MOJA ❤❤❤❤🎉🎉🎉WAKALI WA KARIAKOO ,UNYAMA NIMWINGI
Fanya kazi Mzee mpili dadek
Sawa kama uchawi ni dili sawa tutona!
Kimewaumaa