EXCLUSIVE: PASHA AFUNGUKA 'KUDHULUMIWA, SIJAJENGA, MIMI SIKUSHIKA HELA KATIKA MUZIKI WANGU'

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024

Комментарии • 68

  • @johnsonkibadeni5053
    @johnsonkibadeni5053 2 года назад +5

    Pasha one of my favourite artist of all time

  • @boionemkenyaofficial8822
    @boionemkenyaofficial8822 2 года назад +10

    Huyu mwamba yuko vizuri Sanaa 💯 hata kuyajibu maswali yuko vizuri 🙏🙏🙏 pasha nimekupenda kakabraza huna upendeleo wowote, May Almighty GOD bless you 🙏🙏🙏

  • @scollantandu6278
    @scollantandu6278 2 года назад +4

    Pasha kiukweli bado unaheshima hivo hivo mungu akuzidishie sana, nakupenda mnoooo ❤️

  • @jeniferemmanuel4251
    @jeniferemmanuel4251 2 года назад +2

    yaan bado yupo vzr...cute smile ..... Ana uelewa.... muonekano mzuri....yaan duuh wasanii weng wanaharibika na madawa ya kulevya lkn pasha yupo vzr bado aise ...Big up broo...mungu akulinde

  • @adolphyamin1245
    @adolphyamin1245 2 года назад +4

    Mwamba Pasha Mtepa namkubali sana huyu bro 🔥🔥🔥.

  • @milliamwega3069
    @milliamwega3069 2 года назад +6

    Jamani pasha Mungu akuinue tena uludi kwenye mzki

  • @aishaissa2512
    @aishaissa2512 11 месяцев назад

    Mashaallh mzuri pasha 🎉❤

  • @binamubinamu1151
    @binamubinamu1151 2 года назад +12

    Tunaomkubali jamaaa like tujuwe

  • @yustinamartiny3224
    @yustinamartiny3224 2 года назад +2

    Pashaa wa Ni sooo jamaniiii ❤️❤️❤️ludi ludi twakumisssss😘😘😘😘

  • @laurencelucas3931
    @laurencelucas3931 2 года назад +3

    Pasha nakukubali sana kimziki, bado tuna imani na wewe, kazi ziendelee

  • @abduljembe6608
    @abduljembe6608 Месяц назад

    Mziki wa zamani wengi hawakupiga pesa daah..Pasha fundi sana wa mashairi na sauti ya music kweli !!!

  • @wybzokizzy4416
    @wybzokizzy4416 Год назад +2

    Pasha...ni soo🔥 favorite

  • @jovinathobias7163
    @jovinathobias7163 2 года назад +3

    sauti yako Pasha ni nzuri kimuziki , uliniburufisha sanavmpaka sasa nyimbo zako nazipenda hasa ,ni soo.

  • @abduljembe6608
    @abduljembe6608 Месяц назад

    Pasha yuko vizuri kichwani anajibu maswali vizuri anajua kujielezea

  • @yonicdontah6392
    @yonicdontah6392 2 года назад +3

    Huzeeki Pasha
    You are real ✊🏿
    Big up bro

    • @mugadimon3563
      @mugadimon3563 2 года назад

      Huyu sio mzee ni kijana tumekua nae mtwara mtaa wa rahaleo.Huyu age ni 34/35

    • @mugadimon3563
      @mugadimon3563 2 года назад +1

      Amemaliza form four mwaka 2005 saba saba secondary mtwara

  • @mohamedkitemwe3569
    @mohamedkitemwe3569 2 года назад +2

    Nakukubali sana Pasha

  • @kimzymamy6594
    @kimzymamy6594 2 года назад +4

    Pasha bdo namkubali snaa🔥🔥🔥🔥🥰

  • @mpundempunde1722
    @mpundempunde1722 2 года назад +3

    Jamaa yupo mature sana big up

  • @zenajafari7813
    @zenajafari7813 2 года назад +1

    Jaman pasha nampenda sana

  • @twiser6029
    @twiser6029 2 года назад +2

    Humble

  • @tulisashire8570
    @tulisashire8570 Год назад

    My crush❤ pasha

  • @Nikita_8017
    @Nikita_8017 2 года назад +3

    Ni Soo was beautiful song

  • @jovinathobias7163
    @jovinathobias7163 2 года назад +1

    I liked most

  • @salamanauthar5261
    @salamanauthar5261 Год назад +1

    Jamani Pasha

  • @luludisniper2436
    @luludisniper2436 Год назад

    We miss you pasha my crushy

  • @midoletvonline4638
    @midoletvonline4638 2 года назад +1

    Pasha salut kwako

  • @Best_tz
    @Best_tz 2 года назад +1

    Pasha ulinibamba sana na #Hidaya Hadi leo hakuna aliekufunika kwenye ngoma ile

  • @binamubinamu1151
    @binamubinamu1151 2 года назад +4

    Saf sana mshkaji bado namkubali sana yupo poa kabisa pasha

  • @jilalamaligisa4854
    @jilalamaligisa4854 2 года назад +3

    Nahisi management walifanya ndivyo sivyo kaka imeniuma sana, albamu NI SOO ilikuwa ya moto sana 2008 niko form 1 isingeishia kipato hicho lakini malipo yapo hapa hapa.

  • @issanuru2697
    @issanuru2697 Год назад

    Namkubali sana mwamba

  • @jovinathobias7163
    @jovinathobias7163 2 года назад +3

    Nakuombea sana urudi zaidi ya mwanzo ,mimi mshabiki wako sana

  • @annaphilemon852
    @annaphilemon852 2 года назад +2

    My fav song hidaya

  • @koperla8145
    @koperla8145 2 года назад +1

    mwanangu umetaja handeni nakubali sana kk

  • @annaphilemon852
    @annaphilemon852 2 года назад +3

    Namuonaga dar maeneo yake ya kaz natamani kumjenga imani kua yeye bado ni star ndani yetu ila sna uwezo uo wa face to face ila akirejea humu tambua tunaimani na alichokupa Mungu still

  • @peterassenga6169
    @peterassenga6169 2 года назад +1

    Nisooooooo aiseeee nyimbo naipenda mpaka kesho

  • @annaphilemon852
    @annaphilemon852 2 года назад +1

    Aww thaman ya penz💕❤️

  • @aziziwailu7531
    @aziziwailu7531 2 года назад +3

    Unaongea vizuri sana

  • @neemarupia1062
    @neemarupia1062 2 года назад +2

    Pasha ni mkali kwa mziki

  • @anybaby...3059
    @anybaby...3059 2 года назад +1

    ❣❣❣pasha

  • @imanimpenda6232
    @imanimpenda6232 2 года назад +1

    Umeuza magari halafu hujajenga broo😁😁😁😁😁😁😁😁

  • @imanimpenda6232
    @imanimpenda6232 2 года назад +1

    Muuza urembo buza mzee kaza maisha yamebadilika

  • @mwanaidsalehe1109
    @mwanaidsalehe1109 2 года назад +1

    Pasha alikuwa anaimba vizur sana.

    • @mugadimon3563
      @mugadimon3563 2 года назад

      Jamaa anakipaji cha mziki ameimba sana shule ,mtaani kwenye matamasha mengi tu.

  • @jeremiaherasto5893
    @jeremiaherasto5893 2 года назад +2

    Kuna muda kama unakosa maswali VIDO, unakomaa kuuliza vitu ambavyo unayemuhoji haonyeshi utayari wa kukujibu and sometimes hayana umuhimu ata kwa watazamaji.

  • @merichomgonafivi1733
    @merichomgonafivi1733 10 месяцев назад

    Kubar Xana pasha,

  • @mohamedkitemwe3569
    @mohamedkitemwe3569 2 года назад +2

    Pasha ni Soo

  • @ndayushimiyerungarunga8712
    @ndayushimiyerungarunga8712 2 года назад +1

    Kujenga nikujaliwa

  • @mohamedkitemwe3569
    @mohamedkitemwe3569 2 года назад +1

    Mr Mtwara inakuaje

  • @nasekawanga1737
    @nasekawanga1737 2 года назад +6

    😂😂😂 wasanii wengi wanaishi kisanii tu hela akuna

  • @kuruthumumkalawa763
    @kuruthumumkalawa763 2 года назад +1

    Nyimbo zake zilinirewesha sana

    • @robertanold6846
      @robertanold6846 2 года назад

      Huu ndo ustaarabu tunaoutaka kwa wasanii, jamaaa anajibu poa sana atakuwa ni role model kwa wengine kwa ustaarabu

  • @leylamohamed9939
    @leylamohamed9939 2 года назад +1

    Vido anafuata nyanja za Ayo, anajua sana👌🏽 Nice interview

  • @salumjumah5648
    @salumjumah5648 2 года назад +1

    Pasha mtepa

  • @amenaameeena3317
    @amenaameeena3317 2 года назад +1

    Kapotea kitambo

  • @lovecutetz9668
    @lovecutetz9668 2 года назад +1

    One of ma fav artist😍😍

    • @AminaJuma-sg7rs
      @AminaJuma-sg7rs 2 месяца назад

      Usisahau kumfuatilia Madiwa Rongomba utainjoi sana

  • @shabanirashid7797
    @shabanirashid7797 2 года назад +1

    Nakumbuka kipindi kile unajiita Mr.Mtwara ilikuwa noumaaaaaa saaaaaana

  • @harounaambrose3239
    @harounaambrose3239 2 года назад +1

    Anajua uyu mchizi

  • @mancholotrasco8350
    @mancholotrasco8350 2 года назад +1

    dah huyu jamaa ananikumbusha mbali noma nina kisa nae huyu siopoa

  • @dittorashid9386
    @dittorashid9386 2 года назад +1

    Mr mtwara

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 2 года назад +1

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌

  • @djnajma5627
    @djnajma5627 2 года назад +1

    DAWA YA KANSA YA AINA ZOTE.MAMBO MA 5 MUHIMU YA KUZIKATI ILI UPONE KANSA.
    m.ruclips.net/video/ZgfBwGAJlrQ/видео.html

  • @djnajma5627
    @djnajma5627 2 года назад +1

    DAWA YA KANSA YA AINA ZOTE.MAMBO MA 5 MUHIMU YA KUZIKATI ILI UPONE KANSA.
    m.ruclips.net/video/ZgfBwGAJlrQ/видео.html