Huyu mwamba yuko vizuri Sanaa 💯 hata kuyajibu maswali yuko vizuri 🙏🙏🙏 pasha nimekupenda kakabraza huna upendeleo wowote, May Almighty GOD bless you 🙏🙏🙏
yaan bado yupo vzr...cute smile ..... Ana uelewa.... muonekano mzuri....yaan duuh wasanii weng wanaharibika na madawa ya kulevya lkn pasha yupo vzr bado aise ...Big up broo...mungu akulinde
Nahisi management walifanya ndivyo sivyo kaka imeniuma sana, albamu NI SOO ilikuwa ya moto sana 2008 niko form 1 isingeishia kipato hicho lakini malipo yapo hapa hapa.
Namuonaga dar maeneo yake ya kaz natamani kumjenga imani kua yeye bado ni star ndani yetu ila sna uwezo uo wa face to face ila akirejea humu tambua tunaimani na alichokupa Mungu still
Kuna muda kama unakosa maswali VIDO, unakomaa kuuliza vitu ambavyo unayemuhoji haonyeshi utayari wa kukujibu and sometimes hayana umuhimu ata kwa watazamaji.
Pasha one of my favourite artist of all time
Huyu mwamba yuko vizuri Sanaa 💯 hata kuyajibu maswali yuko vizuri 🙏🙏🙏 pasha nimekupenda kakabraza huna upendeleo wowote, May Almighty GOD bless you 🙏🙏🙏
Pasha kiukweli bado unaheshima hivo hivo mungu akuzidishie sana, nakupenda mnoooo ❤️
yaan bado yupo vzr...cute smile ..... Ana uelewa.... muonekano mzuri....yaan duuh wasanii weng wanaharibika na madawa ya kulevya lkn pasha yupo vzr bado aise ...Big up broo...mungu akulinde
Mwamba Pasha Mtepa namkubali sana huyu bro 🔥🔥🔥.
Jamani pasha Mungu akuinue tena uludi kwenye mzki
Mashaallh mzuri pasha 🎉❤
Tunaomkubali jamaaa like tujuwe
Pashaa wa Ni sooo jamaniiii ❤️❤️❤️ludi ludi twakumisssss😘😘😘😘
Pasha nakukubali sana kimziki, bado tuna imani na wewe, kazi ziendelee
Mziki wa zamani wengi hawakupiga pesa daah..Pasha fundi sana wa mashairi na sauti ya music kweli !!!
Pasha...ni soo🔥 favorite
sauti yako Pasha ni nzuri kimuziki , uliniburufisha sanavmpaka sasa nyimbo zako nazipenda hasa ,ni soo.
Pasha yuko vizuri kichwani anajibu maswali vizuri anajua kujielezea
Huzeeki Pasha
You are real ✊🏿
Big up bro
Huyu sio mzee ni kijana tumekua nae mtwara mtaa wa rahaleo.Huyu age ni 34/35
Amemaliza form four mwaka 2005 saba saba secondary mtwara
Nakukubali sana Pasha
Pasha bdo namkubali snaa🔥🔥🔥🔥🥰
Jamaa yupo mature sana big up
Jaman pasha nampenda sana
Humble
My crush❤ pasha
Ni Soo was beautiful song
I liked most
Jamani Pasha
We miss you pasha my crushy
Pasha salut kwako
Pasha ulinibamba sana na #Hidaya Hadi leo hakuna aliekufunika kwenye ngoma ile
Saf sana mshkaji bado namkubali sana yupo poa kabisa pasha
Nahisi management walifanya ndivyo sivyo kaka imeniuma sana, albamu NI SOO ilikuwa ya moto sana 2008 niko form 1 isingeishia kipato hicho lakini malipo yapo hapa hapa.
Namkubali sana mwamba
Nakuombea sana urudi zaidi ya mwanzo ,mimi mshabiki wako sana
My fav song hidaya
mwanangu umetaja handeni nakubali sana kk
Namuonaga dar maeneo yake ya kaz natamani kumjenga imani kua yeye bado ni star ndani yetu ila sna uwezo uo wa face to face ila akirejea humu tambua tunaimani na alichokupa Mungu still
Nisooooooo aiseeee nyimbo naipenda mpaka kesho
Aww thaman ya penz💕❤️
Unaongea vizuri sana
Pasha ni mkali kwa mziki
❣❣❣pasha
Umeuza magari halafu hujajenga broo😁😁😁😁😁😁😁😁
Muuza urembo buza mzee kaza maisha yamebadilika
Pasha alikuwa anaimba vizur sana.
Jamaa anakipaji cha mziki ameimba sana shule ,mtaani kwenye matamasha mengi tu.
Kuna muda kama unakosa maswali VIDO, unakomaa kuuliza vitu ambavyo unayemuhoji haonyeshi utayari wa kukujibu and sometimes hayana umuhimu ata kwa watazamaji.
Kubar Xana pasha,
Pasha ni Soo
Kujenga nikujaliwa
Mr Mtwara inakuaje
😂😂😂 wasanii wengi wanaishi kisanii tu hela akuna
🤣🤣🤣🤣🤣
Sana
Nyimbo zake zilinirewesha sana
Huu ndo ustaarabu tunaoutaka kwa wasanii, jamaaa anajibu poa sana atakuwa ni role model kwa wengine kwa ustaarabu
Vido anafuata nyanja za Ayo, anajua sana👌🏽 Nice interview
Pasha mtepa
Kapotea kitambo
One of ma fav artist😍😍
Usisahau kumfuatilia Madiwa Rongomba utainjoi sana
Nakumbuka kipindi kile unajiita Mr.Mtwara ilikuwa noumaaaaaa saaaaaana
Anajua uyu mchizi
dah huyu jamaa ananikumbusha mbali noma nina kisa nae huyu siopoa
Mr mtwara
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌
DAWA YA KANSA YA AINA ZOTE.MAMBO MA 5 MUHIMU YA KUZIKATI ILI UPONE KANSA.
m.ruclips.net/video/ZgfBwGAJlrQ/видео.html
DAWA YA KANSA YA AINA ZOTE.MAMBO MA 5 MUHIMU YA KUZIKATI ILI UPONE KANSA.
m.ruclips.net/video/ZgfBwGAJlrQ/видео.html