Ugonjwa wa kipindupindu cha kuku/Dalili, tiba na kuzuia/Fowl chorela treatment
HTML-код
- Опубликовано: 29 сен 2024
- #magonjwayakuku #chakulachakuku #kilimo #kilimochanyanya
#ufugajikuku
Magonjwa ya kuku ni changamoto kwa wafugaji wa kuku. Ni vizuri kufahamu Dalili za magonjwa mbali mbali mapema kabla ya Hali kua mbaya zaidi.
👉Jifunze ujenzi wa Banda bora la kuku
• Banda la kuku
👉Jifunze jinsi ya kulea vifaranga
• Uleaji wa Vifaranga vy...
🔥Jifunze zaidi jinsi ya kutumia mimea na tiba mbali mbali za asili kwa kuku
• Tiba asili/Kienyeji za...
Je akiwa anatoka povu mdomon na sehem ya kutolea kinyesi ni dalili gani
Wape dawa za matumbo yaweza kua 'ni typhoid
Je akiwa anatokwa na povu mdomon na sehem ya kutolea kinyesi
Yaweza ikawa ni typhoid mpo dawa za matumbo
Kaka na kuku akiwa kama anakichaa
Yaani anazungusha kichwa? Au anainamisha shingo au ana inamanisha kichwa kama kinadondoka kwa chini au inakuaje
Je akiwa anatoka povu mdomon na sehem ya kutolea kinyesi ni dalili gani
Yaweza kua ni typhoid MPE dawa za matumbo
Kuku wangu wakiwnyeji wanaalisha chokaa tupu
@Neymuddy wape tu ndani ya siku 5 tumia maji y mkaa na alovera
Hii dawa ya kipindupindu cha kuku ni ipi?
Zimetajwa ktk video iyo
Je kuriwa kuku huyo haifai
Anafaa japo mabak uyahifadhi mbali yaani chooni AU kwenye shimo fukia mbali na miji ya watu
Dawa zakiasili tunaweza wapa kuku wetu?
Ndyo ni nzuri sana ila fuata maelekezo ya matumizi
Kuku wangu wawali nimewatenga. Shida Yao hawawezi kusimama
Tulisha jibu hili
Mwalimu ungemsaidia tu kujibu tena ....usichoke mwalim wetu
Tupo pamoja ndugu 🙏🏿 ✍️ ucjali
Wape DCP...na Antibiotics yenye vitamins
@@stevenmahinda657 yes
Safi sana kakangu
Barikiwa pia ndugu 🙏🏿
Salamu kakangu
Zimefika ndugu .Hali yako pia
Moja nimemfatilia nikaona kinyesi chake ni mharo mweupe
Apo MPE dawa za dukani. Nenda kwa duka LA mifugo maaana iyo rangi si nzuri waweza poteza kuku
Kaka kwema? Naomba kuuliza kuku akiwa anashindwa kutembea yaan anakuwa amekaa tu hapo hapo na kusinzia...miguu mizito mno....Ni ugonjwa gn huo?
Kagua pua Kama ana mafua.kama hana angalia Dalili zingine za homa za matumbo