Ugonjwa wa kipindupindu cha kuku/Dalili, tiba na kuzuia/Fowl chorela treatment

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024
  • #magonjwayakuku #chakulachakuku #kilimo #kilimochanyanya
    #ufugajikuku
    Magonjwa ya kuku ni changamoto kwa wafugaji wa kuku. Ni vizuri kufahamu Dalili za magonjwa mbali mbali mapema kabla ya Hali kua mbaya zaidi.
    👉Jifunze ujenzi wa Banda bora la kuku
    • Banda la kuku
    👉Jifunze jinsi ya kulea vifaranga
    • Uleaji wa Vifaranga vy...
    🔥Jifunze zaidi jinsi ya kutumia mimea na tiba mbali mbali za asili kwa kuku
    • Tiba asili/Kienyeji za...

Комментарии • 30

  • @MariamRamadhan-fp4mq
    @MariamRamadhan-fp4mq 5 месяцев назад +1

    Je akiwa anatoka povu mdomon na sehem ya kutolea kinyesi ni dalili gani

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  5 месяцев назад

      Wape dawa za matumbo yaweza kua 'ni typhoid

  • @MariamRamadhan-fp4mq
    @MariamRamadhan-fp4mq 5 месяцев назад +1

    Je akiwa anatokwa na povu mdomon na sehem ya kutolea kinyesi

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  5 месяцев назад

      Yaweza ikawa ni typhoid mpo dawa za matumbo

  • @Neymuddy
    @Neymuddy 3 дня назад +1

    Kaka na kuku akiwa kama anakichaa

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 дня назад

      Yaani anazungusha kichwa? Au anainamisha shingo au ana inamanisha kichwa kama kinadondoka kwa chini au inakuaje

  • @MariamRamadhan-fp4mq
    @MariamRamadhan-fp4mq 5 месяцев назад +1

    Je akiwa anatoka povu mdomon na sehem ya kutolea kinyesi ni dalili gani

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  5 месяцев назад

      Yaweza kua ni typhoid MPE dawa za matumbo

    • @Neymuddy
      @Neymuddy 3 дня назад +1

      Kuku wangu wakiwnyeji wanaalisha chokaa tupu

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 дня назад

      @Neymuddy wape tu ndani ya siku 5 tumia maji y mkaa na alovera

  • @mamerytusmagayane4414
    @mamerytusmagayane4414 10 месяцев назад +1

    Hii dawa ya kipindupindu cha kuku ni ipi?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  10 месяцев назад

      Zimetajwa ktk video iyo

  • @MamyWilmon
    @MamyWilmon 8 месяцев назад +1

    Je kuriwa kuku huyo haifai

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  8 месяцев назад

      Anafaa japo mabak uyahifadhi mbali yaani chooni AU kwenye shimo fukia mbali na miji ya watu

  • @ramayasly4584
    @ramayasly4584 Год назад +1

    Dawa zakiasili tunaweza wapa kuku wetu?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Год назад

      Ndyo ni nzuri sana ila fuata maelekezo ya matumizi

  • @carolinemrinji9605
    @carolinemrinji9605 Год назад +1

    Kuku wangu wawali nimewatenga. Shida Yao hawawezi kusimama

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Год назад +1

      Tulisha jibu hili

    • @chigosolid3579
      @chigosolid3579 10 месяцев назад +1

      Mwalimu ungemsaidia tu kujibu tena ....usichoke mwalim wetu

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  10 месяцев назад

      Tupo pamoja ndugu 🙏🏿 ✍️ ucjali

    • @stevenmahinda657
      @stevenmahinda657 9 месяцев назад +3

      Wape DCP...na Antibiotics yenye vitamins

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  9 месяцев назад

      @@stevenmahinda657 yes

  • @carolinemrinji9605
    @carolinemrinji9605 Год назад +1

    Safi sana kakangu

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Год назад

      Barikiwa pia ndugu 🙏🏿

  • @ramayasly4584
    @ramayasly4584 Год назад +1

    Salamu kakangu

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Год назад

      Zimefika ndugu .Hali yako pia

  • @carolinemrinji9605
    @carolinemrinji9605 Год назад

    Moja nimemfatilia nikaona kinyesi chake ni mharo mweupe

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Год назад

      Apo MPE dawa za dukani. Nenda kwa duka LA mifugo maaana iyo rangi si nzuri waweza poteza kuku

  • @chigosolid3579
    @chigosolid3579 Год назад +1

    Kaka kwema? Naomba kuuliza kuku akiwa anashindwa kutembea yaan anakuwa amekaa tu hapo hapo na kusinzia...miguu mizito mno....Ni ugonjwa gn huo?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Год назад +1

      Kagua pua Kama ana mafua.kama hana angalia Dalili zingine za homa za matumbo