DALILI ZA KUKU MWENYE MINYOO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024
  • #magonjwayakuku #chakulachakuku #tibaasili #kilimochanyanya #ufugaji

Комментарии • 83

  • @paschalmagubo6337
    @paschalmagubo6337 Год назад +1

    Asante kwa somo 🙏

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Год назад

      Barikiwa Sana tupo Pa1✍️🤝🙏🏿

  • @deogratiusdeo6954
    @deogratiusdeo6954 9 месяцев назад +1

    Naitwa deo nawapata sana mi kuku wangu wakinwa maji unakuta wanayaludisha na kuyatapika

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  9 месяцев назад

      Vp wa naumwa? Au

  • @VeronicaPaul-l8m
    @VeronicaPaul-l8m 3 месяца назад +1

    Je vidonda vikiwatoka kuku yaweza ikawa ni dalili ya minyoo pia?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 месяца назад

      Hapana ila Yawezekana ni ugonjwa wa ndui. Fuatilila ugonjwa wa ndui by agalus TV zitakuja video

  • @nanubob1969
    @nanubob1969 8 месяцев назад +1

    Vifaranga vya kuku unaweza kuanza kuwapa dawa ya minyoo ktk umri gani?

  • @scolasanga3080
    @scolasanga3080 Месяц назад +1

    tuandikie hiyo dawa ya minyoo ni ipi

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Месяц назад

      Zipo nyingi sana na tofaut tofaut hatuwez kuandika zote . Cha msingi tembelea duka la mifugo watakupatia waliyonayo. Waambie tu kua nataka dawa ya minyoo kwa kuku

  • @PaskaliCharles-pz8ds
    @PaskaliCharles-pz8ds Месяц назад +1

    Hujataja dawa ya kutibu

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Месяц назад

      Ni kweli ndugu ila dawa za minyoo zipo aina nyingi sana apo Hadi duka la mifugo

  • @YahyaMbega
    @YahyaMbega 2 месяца назад +1

    Mbana hujataja dawa yake,?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 месяца назад

      DAWA za minyoo zipo nyingi ndugu tembelea duka la mifugo

  • @RequinEnterprises
    @RequinEnterprises 4 месяца назад

    Bata mzinga wangu dume amenyong'onyea kula Hal na anatoa kinyesi cha njano na maji yenye rang nyeupe
    6:09

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  4 месяца назад

      MPE dawa za Coccidiosis

  • @francinenkunzimana6825
    @francinenkunzimana6825 Год назад +2

    Asante Sana tunashukuru kwa mafundisho Sawa daw ya minyoo yipi mutusaidi kama iko ya kienyeji so ya dactar

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Год назад

      Sawa ndugu tuzid kuombeana tumelipokea🙏🏿✍️

  • @RequinEnterprises
    @RequinEnterprises 4 месяца назад +1

    Bata mzinga wangu dume amenyong'onyea kula Hal na anatoa kulinyesi. Cha njano na maji yenye njano njano nisaidie nakuomba

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  4 месяца назад

      MPE dawa za Coccidiosis

  • @RequinEnterprises
    @RequinEnterprises 4 месяца назад +1

    Bata mzinga wangu dume amenyong'onyea kula Hal na anatoa kinyesi cha njano na maji yenye rang nyeupe
    6:09

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  4 месяца назад

      MPE dawa za Coccidiosis

  • @RequinEnterprises
    @RequinEnterprises 4 месяца назад +1

    Bata mzinga wangu dume amenyong'onyea kula Hal na anatoa kinyesi cha njano na maji yenye rang nyeupe

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  4 месяца назад

      MPE dawa za Coccidiosis

  • @francinenkunzimana6825
    @francinenkunzimana6825 Год назад +1

    Asante Sana tunashukuru kwa mafundisho Sawa daw ya minyoo yipi mutusaidi kama iko ya kienyeji so ya dactar

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Год назад

      Sawa tutalifanyia kazi🙏🏿✍️

  • @erastusbyakatonda5931
    @erastusbyakatonda5931 Год назад +1

    Asanteh,kwa somo Ila mi naomba naomba ushauri kila ninapo totolesha vifaranga wakifikia wiki 6,wakinywa maji wanavimba tumbo na wanapiga kelele hapo ndo kwisha habari

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Год назад

      Pole Sana ndugu tu naomba tulichukue hili✍️🙏🏿🤝 Tulifanyie kaz

  • @championtumaini9135
    @championtumaini9135 Год назад +1

    Niko geita kuku wangu ni wakienyeji napata changamoto kupitisha vifaranga nilikuwa na vifaranga 50vikapita 8

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Год назад +1

      Pole Sana ndugu apo unahitaj Elimu Kuhusu kulea vifaranga
      #uleajiwavifaranga

  • @PenelopePene-kv2wo
    @PenelopePene-kv2wo 4 месяца назад +1

    Kuku wangu anapiga miyayo ila pia anasinzia hana raha

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  4 месяца назад

      Yawezekana ni aspengolisis.fuatilia video hii uone DALILI kama HIZI
      ruclips.net/video/p0-uYjlt94o/видео.html

  • @cyprianmadege781
    @cyprianmadege781 Год назад +1

    Asantee kwa somo zuri xana.
    Naomba pia kujua mgonjwa yakuku yanayotambiliwa kupitia kinyesi chake

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Год назад +1

      Barikiwa Sana. Tumelipokea tunalifanyia kaz🤝🙏🏿

  • @vivianekilimba624
    @vivianekilimba624 Год назад +1

    Ni dawa gani kuku vape wanapoonesha dalili za minyoo? kwa siku ngapi

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Год назад

      Apo ni dawa za minyoo tu ndugu. Maelekezo ya matumiz hutofautiana na dawa. Muone mwenye duka LA mifugo akupatie dawa aliyo nayo na jinsi ya kutumia

  • @dianatarimo9521
    @dianatarimo9521 Год назад +1

    Nkweli unayo yasema coz hata mm nmeona dalili hzo hzo

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Год назад

      Basi wape dawa za minyoo kuku wako

  • @francinenkunzimana6825
    @francinenkunzimana6825 Год назад +1

    Hapana ndio kuanza ufugaji lakini kuku liko natatizo kama hiro

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Год назад

      OK apo ni kumsaidia kuku kwa kumpa dawa za minyoo

  • @barkeabubakari7720
    @barkeabubakari7720 Год назад +1

    Je dawa ya minyoo naweza kuwapa vifaranga wa umri gani?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Год назад

      Vifaranga hapana ni kwa kuku wakubwa wa miez 3+

  • @marysaronga93
    @marysaronga93 6 месяцев назад +1

    Until gang kuku aaznze kupata dawa.

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  6 месяцев назад

      OK kuanzia miez 3 ++

  • @maunjankosi7691
    @maunjankosi7691 Год назад +1

    Dawa za minyoo ni nini hizo Dalili zote kuku wangu wanazo

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Год назад

      Apo HADI dukani mifugo

  • @cecysimon2321
    @cecysimon2321 Год назад +1

    Mko wap ndugu mm Niko Dodoma mnauza vifaranga?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Год назад +1

      Vifaranga kwa sasa hatuuzi ila punde tutauza ✍️🙏🏿🤝

  • @irenebahati5458
    @irenebahati5458 Год назад +1

    Hellow naomba msaada kuku wangu anataga mayai hajaanza kulalia lakini nikipasua mayai ndani yana damu kutakua na shida gani?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Год назад

      ✍️ NGOJA tufuatilie kujua zaidi✍️🙏🏿vp yai likitoka kutagwa tu linakua na damu ukipasua AU ya muda mrefu

    • @irenebahati5458
      @irenebahati5458 Год назад +1

      Linakaa kama siku tatu halikai muda sijajaribu ambalo limetoka kutagwa

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Год назад +1

      Apo si mbaya kw muda uo w cku 3 si shida NGOJA tufuatilie tatizo ni nini

  • @AnnaAsajile
    @AnnaAsajile 9 месяцев назад +1

    akianza kuumwa nikimpa anaweza kupona?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  9 месяцев назад

      Wanapona vizuri tu

  • @JenifferMoses
    @JenifferMoses 5 месяцев назад +1

    Dawa gani zuri yaminyooo

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  5 месяцев назад

      Dawa karibu nyingi hazina shida ktk minyoo. Yeyote tu itafaq

  • @fatumasalehe4449
    @fatumasalehe4449 Год назад +1

    Naomba kujua fawa xa minyoo yakuku

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Год назад

      Zipo NYINGI SANA za dukani. Nenda duka za madawa ya mifugo

  • @salomenyambabi502
    @salomenyambabi502 Год назад +1

    Kuku hupewa dawa ya minyoo Kila baada ya muda gani

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Год назад

      Miez 3 japo hutegemea na Aina ya dawa ila nyingi ni hizo

    • @salomenyambabi502
      @salomenyambabi502 Год назад +1

      Ok asante

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Год назад

      Ubarikiwe. Na karibu Tena ndugu

  • @getrudemhozya9920
    @getrudemhozya9920 Год назад +1

    Nauliza mradi wenu upo wapi natamani niwatembelee

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Год назад

      Karibu Sana 🙏🏿 ndugu mbeya. Ingawa ni team ya watu na tupo sehemu mbali mbali tukishirikiana kutoa Elimu🙏🏿✍️

    • @getrudemhozya9920
      @getrudemhozya9920 Год назад +1

      @@AGALUSTV asante, kumbe mbeya nilidhani Dar, au Dar mna branch?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Год назад

      Kwa hapana kwa kweli

  • @laurentzacharia1563
    @laurentzacharia1563 Год назад +1

    Dawa ya minyooo ni ipi

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Год назад

      Zipo nyingi Sana ndugu. Ushauri nenda duka LA mifugo wanakupa walizonazo

  • @barakamwasapi4086
    @barakamwasapi4086 Год назад +1

    Dawa ujatupa

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Год назад

      Sawa ndugu tutakutumia

  • @francinenkunzimana6825
    @francinenkunzimana6825 Год назад +1

    Mimi Niko kigoma

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Год назад

      Sawa ndugu tutazidi kusaidiana

  • @irenejacob8914
    @irenejacob8914 Год назад +1

    Dawa hizo za minyooo ni zipi

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Год назад

      Zipo nyingi Sana ndugu apo ushauri nenda duka LA mifugo lililo karibu nawe atakupatia

    • @redgundaboniface1423
      @redgundaboniface1423 8 месяцев назад +1

      Asante kwa mafunzo ila inapendeza zaidi pale unapoeleza ugonjwa uelezee na namna ya kutibu.

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  7 месяцев назад

      Sawa ndugu 🙏🏿 ✍️ 🤝

  • @EliahEdward-w2z
    @EliahEdward-w2z Месяц назад

    Dawa za minyoyo kwa kuku

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Месяц назад +1

      Zipo nyingi tu duka la mifugo kama vile albendazole n. K

    • @EliahEdward-w2z
      @EliahEdward-w2z Месяц назад

      Nilikuwa naulizia zile dawa za asili

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Месяц назад +1

      @EliahEdward-w2z oooh apo fuatilia video hii.tiba asili za minyoo
      ruclips.net/video/TKl9qcTXyFw/видео.html

    • @EliahEdward-w2z
      @EliahEdward-w2z Месяц назад

      Ok

    • @EliahEdward-w2z
      @EliahEdward-w2z Месяц назад

      Na kuhusu kitabu kinacho elezea mambo ya ufugaji wa kuku ,nikitaka kukipata nakipataje