Zipo nyingi sana na tofaut tofaut hatuwez kuandika zote . Cha msingi tembelea duka la mifugo watakupatia waliyonayo. Waambie tu kua nataka dawa ya minyoo kwa kuku
Asanteh,kwa somo Ila mi naomba naomba ushauri kila ninapo totolesha vifaranga wakifikia wiki 6,wakinywa maji wanavimba tumbo na wanapiga kelele hapo ndo kwisha habari
Asante kwa somo 🙏
Barikiwa Sana tupo Pa1✍️🤝🙏🏿
Naitwa deo nawapata sana mi kuku wangu wakinwa maji unakuta wanayaludisha na kuyatapika
Vp wa naumwa? Au
Je vidonda vikiwatoka kuku yaweza ikawa ni dalili ya minyoo pia?
Hapana ila Yawezekana ni ugonjwa wa ndui. Fuatilila ugonjwa wa ndui by agalus TV zitakuja video
Vifaranga vya kuku unaweza kuanza kuwapa dawa ya minyoo ktk umri gani?
Miezi 3
tuandikie hiyo dawa ya minyoo ni ipi
Zipo nyingi sana na tofaut tofaut hatuwez kuandika zote . Cha msingi tembelea duka la mifugo watakupatia waliyonayo. Waambie tu kua nataka dawa ya minyoo kwa kuku
Hujataja dawa ya kutibu
Ni kweli ndugu ila dawa za minyoo zipo aina nyingi sana apo Hadi duka la mifugo
Mbana hujataja dawa yake,?
DAWA za minyoo zipo nyingi ndugu tembelea duka la mifugo
Bata mzinga wangu dume amenyong'onyea kula Hal na anatoa kinyesi cha njano na maji yenye rang nyeupe
6:09
MPE dawa za Coccidiosis
Asante Sana tunashukuru kwa mafundisho Sawa daw ya minyoo yipi mutusaidi kama iko ya kienyeji so ya dactar
Sawa ndugu tuzid kuombeana tumelipokea🙏🏿✍️
Bata mzinga wangu dume amenyong'onyea kula Hal na anatoa kulinyesi. Cha njano na maji yenye njano njano nisaidie nakuomba
MPE dawa za Coccidiosis
Bata mzinga wangu dume amenyong'onyea kula Hal na anatoa kinyesi cha njano na maji yenye rang nyeupe
6:09
MPE dawa za Coccidiosis
Bata mzinga wangu dume amenyong'onyea kula Hal na anatoa kinyesi cha njano na maji yenye rang nyeupe
MPE dawa za Coccidiosis
Asante Sana tunashukuru kwa mafundisho Sawa daw ya minyoo yipi mutusaidi kama iko ya kienyeji so ya dactar
Sawa tutalifanyia kazi🙏🏿✍️
Asanteh,kwa somo Ila mi naomba naomba ushauri kila ninapo totolesha vifaranga wakifikia wiki 6,wakinywa maji wanavimba tumbo na wanapiga kelele hapo ndo kwisha habari
Pole Sana ndugu tu naomba tulichukue hili✍️🙏🏿🤝 Tulifanyie kaz
Niko geita kuku wangu ni wakienyeji napata changamoto kupitisha vifaranga nilikuwa na vifaranga 50vikapita 8
Pole Sana ndugu apo unahitaj Elimu Kuhusu kulea vifaranga
#uleajiwavifaranga
Kuku wangu anapiga miyayo ila pia anasinzia hana raha
Yawezekana ni aspengolisis.fuatilia video hii uone DALILI kama HIZI
ruclips.net/video/p0-uYjlt94o/видео.html
Asantee kwa somo zuri xana.
Naomba pia kujua mgonjwa yakuku yanayotambiliwa kupitia kinyesi chake
Barikiwa Sana. Tumelipokea tunalifanyia kaz🤝🙏🏿
Ni dawa gani kuku vape wanapoonesha dalili za minyoo? kwa siku ngapi
Apo ni dawa za minyoo tu ndugu. Maelekezo ya matumiz hutofautiana na dawa. Muone mwenye duka LA mifugo akupatie dawa aliyo nayo na jinsi ya kutumia
Nkweli unayo yasema coz hata mm nmeona dalili hzo hzo
Basi wape dawa za minyoo kuku wako
Hapana ndio kuanza ufugaji lakini kuku liko natatizo kama hiro
OK apo ni kumsaidia kuku kwa kumpa dawa za minyoo
Je dawa ya minyoo naweza kuwapa vifaranga wa umri gani?
Vifaranga hapana ni kwa kuku wakubwa wa miez 3+
Until gang kuku aaznze kupata dawa.
OK kuanzia miez 3 ++
Dawa za minyoo ni nini hizo Dalili zote kuku wangu wanazo
Apo HADI dukani mifugo
Mko wap ndugu mm Niko Dodoma mnauza vifaranga?
Vifaranga kwa sasa hatuuzi ila punde tutauza ✍️🙏🏿🤝
Hellow naomba msaada kuku wangu anataga mayai hajaanza kulalia lakini nikipasua mayai ndani yana damu kutakua na shida gani?
✍️ NGOJA tufuatilie kujua zaidi✍️🙏🏿vp yai likitoka kutagwa tu linakua na damu ukipasua AU ya muda mrefu
Linakaa kama siku tatu halikai muda sijajaribu ambalo limetoka kutagwa
Apo si mbaya kw muda uo w cku 3 si shida NGOJA tufuatilie tatizo ni nini
akianza kuumwa nikimpa anaweza kupona?
Wanapona vizuri tu
Dawa gani zuri yaminyooo
Dawa karibu nyingi hazina shida ktk minyoo. Yeyote tu itafaq
Naomba kujua fawa xa minyoo yakuku
Zipo NYINGI SANA za dukani. Nenda duka za madawa ya mifugo
Kuku hupewa dawa ya minyoo Kila baada ya muda gani
Miez 3 japo hutegemea na Aina ya dawa ila nyingi ni hizo
Ok asante
Ubarikiwe. Na karibu Tena ndugu
Nauliza mradi wenu upo wapi natamani niwatembelee
Karibu Sana 🙏🏿 ndugu mbeya. Ingawa ni team ya watu na tupo sehemu mbali mbali tukishirikiana kutoa Elimu🙏🏿✍️
@@AGALUSTV asante, kumbe mbeya nilidhani Dar, au Dar mna branch?
Kwa hapana kwa kweli
Dawa ya minyooo ni ipi
Zipo nyingi Sana ndugu. Ushauri nenda duka LA mifugo wanakupa walizonazo
Dawa ujatupa
Sawa ndugu tutakutumia
Mimi Niko kigoma
Sawa ndugu tutazidi kusaidiana
Dawa hizo za minyooo ni zipi
Zipo nyingi Sana ndugu apo ushauri nenda duka LA mifugo lililo karibu nawe atakupatia
Asante kwa mafunzo ila inapendeza zaidi pale unapoeleza ugonjwa uelezee na namna ya kutibu.
Sawa ndugu 🙏🏿 ✍️ 🤝
Dawa za minyoyo kwa kuku
Zipo nyingi tu duka la mifugo kama vile albendazole n. K
Nilikuwa naulizia zile dawa za asili
@EliahEdward-w2z oooh apo fuatilia video hii.tiba asili za minyoo
ruclips.net/video/TKl9qcTXyFw/видео.html
Ok
Na kuhusu kitabu kinacho elezea mambo ya ufugaji wa kuku ,nikitaka kukipata nakipataje