LIVE: USIMDHARAU NDUGU YAKO MUISLAMU | SHEIKH OTHMAN MAALIM

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 окт 2024

Комментарии • 49

  • @omanmuscat3461
    @omanmuscat3461 5 лет назад +15

    Shkrn shekh Othman màalim M/mungu ukupee umri mrefu wenye manufaaa ili tuzidii kutokaa gizan na kuelekeaa mwangazan inshaallah kher Amiinaa

  • @halimaramadhani4040
    @halimaramadhani4040 5 лет назад +3

    Allah akulipe inshaallah katka kilma yako kipenz chetu shkh.othman maalim.... Nakupenda kwa ajili ya Allah 💝

  • @ummujamal7804
    @ummujamal7804 5 лет назад +10

    Masha'Allah Allah akuhifadhi sheikh... Nimekua addicted na mawaidha yako💖

    • @Stanbul.Y
      @Stanbul.Y 4 года назад +1

      Ummuh Jamal MashaAllah Allah akujalie uwe addicted na mambo ya kheri

  • @saumuhassan6365
    @saumuhassan6365 4 года назад +2

    Mashallah, jazzakallahu khery yah Sheikh othman Maalim, Allah akulipe jannah 🙏
    *MASHALLAH KIJANA UKO VIZURI, NAFURAH KAMA NAISOMA MIMI HIYO QURU'AN*

  • @saudambinga3832
    @saudambinga3832 3 года назад +1

    Allah amjaalie umri mrefu shekhe Osman Maalim pamoja nami Ili azidi kutupatia Daawa

  • @upendowakwelinaamani1060
    @upendowakwelinaamani1060 5 лет назад +2

    Shukrani sana sheikh Othman kwa daawa unazid kutuelimsha kupitia darsa nzuri zenye manufaa. Allah akulipe inshaallah, hao wakataa mihogo na magimbi wenzie sisi tunatamani kula kila siku mchagua chakula huyo kashiba.

  • @alizahranmohd4095
    @alizahranmohd4095 5 лет назад +5

    mashallah kijana Allah akuonoze na akuweke uwe mrisi mzuri wa shekh wetu

  • @neamusic2601
    @neamusic2601 2 года назад

    Shukran jaziirah mngu akubariki nimeelimika sheikh kupitia mawaidha yako.

  • @samsungjsevenprime5717
    @samsungjsevenprime5717 5 лет назад +1

    Asante sheikhe wetu shukrani kwa jawabu yako mzr sana na mawaidha yako mazuri sana yenye mafunzo na umuhimu sana kuyafanyia kazi Allah akuzidishie umri na afya njema uzidi kutuelimisha

  • @abeidalmazidi2356
    @abeidalmazidi2356 5 лет назад +3

    Assalam alaykum hongera sana KTV online kwa matangazo tunajihisi kama tuko nyumbani Allah awawezeshe zaidi insha'Allah nakupateni vizuri sana hapa Oxford UK

  • @saidakingimwakitete9400
    @saidakingimwakitete9400 5 лет назад +1

    Ma Shaa Allah..Jazakallah kheir..Allah akuweke na akujaalie umri mrefu uendelee kutuelimisha yarabb!

  • @mams1892
    @mams1892 5 лет назад +1

    Jazzakallahu kheir Allah atuhifadhi

  • @nasirshekhi6070
    @nasirshekhi6070 3 года назад

    Jazzakka Allahu khyern 🤲❣️🌹❣️

  • @ummhaneen1928
    @ummhaneen1928 5 лет назад +1

    Shukran wajazzak Allah kheir Allah akuhifadhi akupe umri na afya njema
    Mngu akupeleke salama ktk yako

  • @hassanamour7894
    @hassanamour7894 5 лет назад +1

    Alhamdulilahi. Hakika ni neema zake Allah s.w kumleta Mja akawa na ari ya kuelimisha Umma. Inshaallahu Allahu s.w amhifadhi na amlipe mema. Duniani na Akhera

  • @mariammariam8518
    @mariammariam8518 5 лет назад +2

    MASHAALLAH NAJIHISI NKO HOME...RAMADHAN MUBARAK.NAWAPATA NIKIWA QATAR

  • @mohamedfaris3000
    @mohamedfaris3000 5 лет назад

    Hata kama upo dunia nyengine, kujifakharisha sio ibada au kujitukuza, wa kutukuzwa ni Allah tu mana siku hizi mtu anadharau kwao akiwa tz au znz hasemi km kutoka zanzibar nawapata vizuri ila akiwa uko alikokwenda kutumwa, kheir Inshallah

  • @rkenea4262
    @rkenea4262 5 лет назад +1

    Mashaa Allah tabarakallah

  • @AliAli-xs1cb
    @AliAli-xs1cb 5 лет назад +1

    Mashallah ewe Allah mpe mengi shekh wetu pamoja nasi

  • @aliyomar5001
    @aliyomar5001 4 года назад +1

    Mashallah

  • @shabanimarijani662
    @shabanimarijani662 5 лет назад +1

    Mwenyezi mungu akupe umr wenye manfaa inshaallah.

  • @hamisamaundi5661
    @hamisamaundi5661 5 лет назад +1

    Mashallah sheikh othman mtarajiwa

  • @shammoha5297
    @shammoha5297 5 лет назад +1

    Alhamdullillah. Shukran

  • @fatumaramadhanmashaallahal9966
    @fatumaramadhanmashaallahal9966 5 лет назад +2

    Shukran

  • @mwanneamani7307
    @mwanneamani7307 5 лет назад +1

    swadacta ustadhi nakupata nikiwa nchini Oman mawaidha yako niya kweli kabisa mungu akupe afya na nguvu uzidi kutukumbusha

  • @moneshahassan8658
    @moneshahassan8658 5 лет назад +1

    alhamdulilahi

  • @sadakhamis1261
    @sadakhamis1261 5 лет назад +1

    Mashallah... Mwanafunzi mashallah

  • @ukhtysakinaa7664
    @ukhtysakinaa7664 5 лет назад +1

    Alhamdulilahi shukran

  • @aminaomarshokoashokoa1008
    @aminaomarshokoashokoa1008 5 лет назад +1

    MASHA ALLAH

  • @hanunarashid4677
    @hanunarashid4677 5 лет назад +2

    Allah atustiri na kibri

  • @nuruabdallah9143
    @nuruabdallah9143 5 лет назад +2

    Kenya Mombasa

  • @alizahranmohd4095
    @alizahranmohd4095 5 лет назад +1

    kutoka mexico nawapata vizur mashallah

  • @hanunarashid4677
    @hanunarashid4677 5 лет назад +1

    Ma sha Allah kama kamzaa yeye

  • @alizahranmohd4095
    @alizahranmohd4095 5 лет назад +1

    mashallah

  • @jamaalseif3209
    @jamaalseif3209 5 лет назад +1

    Mushapigwaaa

  • @hamisamaundi5661
    @hamisamaundi5661 5 лет назад +1

    Hawa ndio watu wa kuigwa

  • @stifanicdzuya165
    @stifanicdzuya165 5 лет назад +2

    NDUGU KATIKA IMAANI KTV TZ ONLINE HIVI VINANDA NI VYA NINI WAKATI HII TV NI YA KIISLAMU?

    • @aishaail4455
      @aishaail4455 5 лет назад

      Stifanic Dzuya nikweli kabisa ikiwezekana waondoshe.

    • @abeidalmazidi2356
      @abeidalmazidi2356 5 лет назад

      Assalam alaykum asanteni sana KTV online kwa kazi nzuri mnayoifanya Allah awawezeshe zaidi tunajihisi kama tuko nyumbani mimi nakupateni vizuri sana hapa Oxford UK

  • @halimahamisi5203
    @halimahamisi5203 4 года назад

    Asanta

  • @najimshaib9306
    @najimshaib9306 5 лет назад

    Fact

  • @fahadtechniciantv9578
    @fahadtechniciantv9578 5 лет назад +2

    Jaman vinanda zimekatazwa hayo no mawaidha c taarifa ya habariii.viongoz kuwen makin

  • @jamaalseif3209
    @jamaalseif3209 5 лет назад +2

    Ndio Othman maaalim huyo

  • @Aisha-om9go
    @Aisha-om9go 5 лет назад +2

    Shukran

  • @awesomowlana5708
    @awesomowlana5708 3 года назад

    Mashallah

  • @moneshahassan8658
    @moneshahassan8658 5 лет назад

    shukran

  • @najimshaib9306
    @najimshaib9306 5 лет назад +1

    Mashaallah