Shukrani sana sheikh Othman kwa daawa unazid kutuelimsha kupitia darsa nzuri zenye manufaa. Allah akulipe inshaallah, hao wakataa mihogo na magimbi wenzie sisi tunatamani kula kila siku mchagua chakula huyo kashiba.
Asante sheikhe wetu shukrani kwa jawabu yako mzr sana na mawaidha yako mazuri sana yenye mafunzo na umuhimu sana kuyafanyia kazi Allah akuzidishie umri na afya njema uzidi kutuelimisha
Assalam alaykum hongera sana KTV online kwa matangazo tunajihisi kama tuko nyumbani Allah awawezeshe zaidi insha'Allah nakupateni vizuri sana hapa Oxford UK
Alhamdulilahi. Hakika ni neema zake Allah s.w kumleta Mja akawa na ari ya kuelimisha Umma. Inshaallahu Allahu s.w amhifadhi na amlipe mema. Duniani na Akhera
Hata kama upo dunia nyengine, kujifakharisha sio ibada au kujitukuza, wa kutukuzwa ni Allah tu mana siku hizi mtu anadharau kwao akiwa tz au znz hasemi km kutoka zanzibar nawapata vizuri ila akiwa uko alikokwenda kutumwa, kheir Inshallah
Assalam alaykum asanteni sana KTV online kwa kazi nzuri mnayoifanya Allah awawezeshe zaidi tunajihisi kama tuko nyumbani mimi nakupateni vizuri sana hapa Oxford UK
Shkrn shekh Othman màalim M/mungu ukupee umri mrefu wenye manufaaa ili tuzidii kutokaa gizan na kuelekeaa mwangazan inshaallah kher Amiinaa
Allah akulipe inshaallah katka kilma yako kipenz chetu shkh.othman maalim.... Nakupenda kwa ajili ya Allah 💝
Masha'Allah Allah akuhifadhi sheikh... Nimekua addicted na mawaidha yako💖
Ummuh Jamal MashaAllah Allah akujalie uwe addicted na mambo ya kheri
Mashallah, jazzakallahu khery yah Sheikh othman Maalim, Allah akulipe jannah 🙏
*MASHALLAH KIJANA UKO VIZURI, NAFURAH KAMA NAISOMA MIMI HIYO QURU'AN*
Allah amjaalie umri mrefu shekhe Osman Maalim pamoja nami Ili azidi kutupatia Daawa
Shukrani sana sheikh Othman kwa daawa unazid kutuelimsha kupitia darsa nzuri zenye manufaa. Allah akulipe inshaallah, hao wakataa mihogo na magimbi wenzie sisi tunatamani kula kila siku mchagua chakula huyo kashiba.
mashallah kijana Allah akuonoze na akuweke uwe mrisi mzuri wa shekh wetu
Shukran jaziirah mngu akubariki nimeelimika sheikh kupitia mawaidha yako.
Asante sheikhe wetu shukrani kwa jawabu yako mzr sana na mawaidha yako mazuri sana yenye mafunzo na umuhimu sana kuyafanyia kazi Allah akuzidishie umri na afya njema uzidi kutuelimisha
Assalam alaykum hongera sana KTV online kwa matangazo tunajihisi kama tuko nyumbani Allah awawezeshe zaidi insha'Allah nakupateni vizuri sana hapa Oxford UK
Ma Shaa Allah..Jazakallah kheir..Allah akuweke na akujaalie umri mrefu uendelee kutuelimisha yarabb!
Jazzakallahu kheir Allah atuhifadhi
Jazzakka Allahu khyern 🤲❣️🌹❣️
Shukran wajazzak Allah kheir Allah akuhifadhi akupe umri na afya njema
Mngu akupeleke salama ktk yako
Alhamdulilahi. Hakika ni neema zake Allah s.w kumleta Mja akawa na ari ya kuelimisha Umma. Inshaallahu Allahu s.w amhifadhi na amlipe mema. Duniani na Akhera
MASHAALLAH NAJIHISI NKO HOME...RAMADHAN MUBARAK.NAWAPATA NIKIWA QATAR
Hata kama upo dunia nyengine, kujifakharisha sio ibada au kujitukuza, wa kutukuzwa ni Allah tu mana siku hizi mtu anadharau kwao akiwa tz au znz hasemi km kutoka zanzibar nawapata vizuri ila akiwa uko alikokwenda kutumwa, kheir Inshallah
Mashaa Allah tabarakallah
Mashallah ewe Allah mpe mengi shekh wetu pamoja nasi
Mashallah
Mwenyezi mungu akupe umr wenye manfaa inshaallah.
Mashallah sheikh othman mtarajiwa
Alhamdullillah. Shukran
Shukran
swadacta ustadhi nakupata nikiwa nchini Oman mawaidha yako niya kweli kabisa mungu akupe afya na nguvu uzidi kutukumbusha
alhamdulilahi
Mashallah... Mwanafunzi mashallah
Alhamdulilahi shukran
MASHA ALLAH
Allah atustiri na kibri
Kenya Mombasa
kutoka mexico nawapata vizur mashallah
nayarejea na ramadhani hii 2020
Ma sha Allah kama kamzaa yeye
mashallah
Mushapigwaaa
Hawa ndio watu wa kuigwa
NDUGU KATIKA IMAANI KTV TZ ONLINE HIVI VINANDA NI VYA NINI WAKATI HII TV NI YA KIISLAMU?
Stifanic Dzuya nikweli kabisa ikiwezekana waondoshe.
Assalam alaykum asanteni sana KTV online kwa kazi nzuri mnayoifanya Allah awawezeshe zaidi tunajihisi kama tuko nyumbani mimi nakupateni vizuri sana hapa Oxford UK
Asanta
Fact
Jaman vinanda zimekatazwa hayo no mawaidha c taarifa ya habariii.viongoz kuwen makin
Ndio Othman maaalim huyo
Shukran
Mashallah
shukran
Mashaallah