HAKUNA MAPENZI WALA MARAFIKI NA NDUGU WA KWELI //SHEIKH OTHMAN MAALIM

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 сен 2024
  • Tunajifaharisha kwa tulivyonavyo na sio kusaidiana kwenye matatizo

Комментарии • 16

  • @SalmaNelima
    @SalmaNelima 9 месяцев назад +2

    +254 Allah Akuhfadh Nakupend kwa Ajil ya Allah ❤❤ Na kuombea khery na Afya Inshallah

  • @jimjam-xg7rv
    @jimjam-xg7rv 9 месяцев назад +2

    YARABI anisamehe thambi zangu naza wazazi wangu na utujaaliye mwisho mwema. Amin amin YARABI amin YARAB amin 🤲🤲🤲🤲

  • @azizaalnaamani753
    @azizaalnaamani753 9 месяцев назад +1

    Masha Allah shekh wetu Allah barik Allah akulinde na Shari za viumbe

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 9 месяцев назад +2

    Jazakallahu kher shekhe Othman Maalim, Allah akulipe Jannah inshallah 🙏

  • @a.856
    @a.856 9 месяцев назад +1

    Jazakallah khayran

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim143 9 месяцев назад +3

    niliomba msaada wa tende ramadhani moja nikaona nipeleke msikitini kwetu nikazisafirisha mpaka pemba ni nyingi zikagawiwa na kuwekwa msikitini kwa ftari weee he kilichonikuta mungu ndo anajua kwanza yalianza maneno nataka sifa yakafata na mengine nalia kila siku mpaka leo

    • @fatmaally7252
      @fatmaally7252 9 месяцев назад +1

      Sema Alhamdulilah alafu mwachie jabari asema nao tu

    • @hilalkhalfan1452
      @hilalkhalfan1452 9 месяцев назад

      Skuizi bora ukae na punda au jini utapata rafiki wa kweli kuliko adui mtu 😂

    • @hilalkhalfan1452
      @hilalkhalfan1452 9 месяцев назад

      Skuizi bora ukae na punda au jini utapata rafiki wa kweli kuliko adui mtu 😂

    • @ummuraw6372
      @ummuraw6372 9 месяцев назад

      Usilie wala usijute

    • @zainarashid1024
      @zainarashid1024 9 месяцев назад

      Asalam alaykum warahmatullah wabarakat. Mara nyengine kama umejitaja usijitaje binaadam hatupendeleani mema hata ufanyenye roho zetu hazisafiki.

  • @waheedaw1953
    @waheedaw1953 9 месяцев назад

    Allah ATUHIDI YAMII Muslim
    inshaAllah
    LAAHAULA wala quwwati ila bilah Subhanallah

  • @Khkh-fx9ry
    @Khkh-fx9ry 9 месяцев назад +1

    Asalamaalaykum warahmatullah wa Barakatuh

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim143 9 месяцев назад

    mhmm huo ndo mtihani wetu shekh unaotutesa

  • @Khkh-fx9ry
    @Khkh-fx9ry 9 месяцев назад

    Jazakallah Khair