KILIMO CHA MAHARAGE: UPANDAJI, MBOLEA NA UTUNZAJI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 19 сен 2024
  • Kilimo cha maharage kinalipa. Zingatia kanuni bora za kilimo hasa kwenye matumizi ya mbolea

Комментарии • 338

  • @FazawaTanga
    @FazawaTanga Месяц назад +2

    assant kwa somo zur swar je kwa eka moja mbolea kiasi gani niweke

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Месяц назад

      Mfuko mmoja na nusu Hadi 2 utegemea na njia upandaji

  • @anellyilomo2799
    @anellyilomo2799 3 года назад +5

    Asante kwa somo Zuri nmelielewa sana, naomba kuuliza katika shimo Moja unaweka Mbegu ngapi za maharage

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 года назад +2

      Tunashukuru kwa ushirikiano wako bt katika shimo ni mbegu 1 hadi 2 .
      Barikiwa🙏🙏🙏

    • @abbyadams8691
      @abbyadams8691 2 года назад +1

      Kwa uzoefu wangu na utaalamu ni vema kuweka mbegu 2 katika shimo

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 года назад

      Pamoja🤝

    • @JohnJohn-sb5lv
      @JohnJohn-sb5lv Год назад +1

      Somo la leo ni zuri sana Niko pa1 nanyi had mwisho wa kipind

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Год назад

      Barikiwa Sana ndugu

  • @ezekieljob8679
    @ezekieljob8679 9 месяцев назад +1

    Asante Kwa maelekezo Mazuri sana ninaswali namna ya kuweka mbolea ya matunda maana umesema unaziweka zote Kwa pamoja ya kupandia na kuzalishia zote tatu

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  9 месяцев назад

      Na za matunda utakua umeweka pale pale. Maharage ni zao la muda mfupi saana ndugu so itafanya tu Kaz Wala ucjali

    • @ezekieljob8679
      @ezekieljob8679 9 месяцев назад +1

      Asante sana ndugu nimekuelewa

  • @Truth4lite
    @Truth4lite 3 года назад +3

    Asante, very beneficial.

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 года назад +1

      Pa 1 bt kama hujasubscribe naomba ufanye ivyo usipitwe na masomo yajayo

  • @rosesesala9131
    @rosesesala9131 Год назад +1

    Asante sanaa Kaka angu ,,mungu akubariki sanaa

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Год назад

      Amina ndugu 🙏🏿

  • @JacksonMwangi-bf8bz
    @JacksonMwangi-bf8bz Год назад +1

    Asante Kwa SoMo nzuri Mimi nmepanda Kwa kurusha natayali yameota naomba kuuliza vp naweza kurusha mborea ya dapu

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Год назад

      Hapana tumia Mbolea za kwenye majani

  • @shanimbaraka2600
    @shanimbaraka2600 3 года назад +2

    Great great somo ,

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 года назад

      🙏🙏🙏🙏🙏💪💪💪

  • @januarykiraba1605
    @januarykiraba1605 5 месяцев назад +2

    Ekari moja inahitaji mbegu kg ngapi

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  5 месяцев назад

      Debe 2 ivi uwe nazo

  • @MdabuloDispensary
    @MdabuloDispensary 28 дней назад +1

    Nashukuru kwa somo zuriii sana, naomba kuuliza inatakiwa kupanda punje ngapi za maharage?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  28 дней назад

      Mbili mbili Hadi 3 hutegemea ubora WA mbegu

  • @allynaas86
    @allynaas86 3 года назад +2

    Asante unatoa elimu nzur

  • @LimbuMasunga-ds2tj
    @LimbuMasunga-ds2tj 4 месяца назад +1

    Nashukuru kwa somo zuri,lakini naomba kujua namna ya kutambua magonjwa kwenye maharage na mazaoengine pia

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  4 месяца назад

      Video ya magonjwa kwenye maharage na dawa zake
      ruclips.net/video/KDz9T3DhAKg/видео.html

  • @ezebiuskoni8321
    @ezebiuskoni8321 Год назад +1

    Asante kwasomo rako sas minikama umeniacha nyuma kido Koo inatakiwa upande vyote kwawakati mmoja marage uchanganye namborea uwezi kuweka mborea wakati marake yameotaa arafu ukatumia mborea mojaa tuu can kunatatizo

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Год назад

      Maharage ni zao la muda mfupi Sana. Ukipanda uje UWEKE mbolea apo lazima utaachana na ukuaji. Pia mbolea za Chumvi izi zitaunguza mche wako. Ndyo maaana kama mbolea tutatumia za maji yaaani booster. Ivyo ni vizur uchanganye mbolea na uo ni uzoefu ndugu

    • @ezebiuskoni8321
      @ezebiuskoni8321 Год назад +1

      @@AGALUSTV saw Koo zamaji unaweza kutumia naizo nikama zipii

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Год назад

      Ndugu yangu majina ni mengi Sana ya mbolea sasa naona Kama tutakuchanganya tu. Ni vizur ukaenda duka LA Pembe jeo lililo karibu nalo atakupa alizo nazo maana zipo za matunda, majani n. K

  • @peterndella9536
    @peterndella9536 Год назад +1

    Asante sana kwa somo

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw 8 месяцев назад +1

    Kilimo cha maharage haswa katavi kuna udongo mzuri sanaa nafikili waliwahi fika katavi watanielewa

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  8 месяцев назад

      Hakika sana ndugu

  • @devothakiwola6461
    @devothakiwola6461 8 месяцев назад +1

    Tqfadhal naomba kujua tarehe nzuri za kuanza kupandaa

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  8 месяцев назад +1

      Utegemea na eneo ulilopo maaana Hali ya hewa hutofautiana eneo moja na lingine

    • @devothakiwola6461
      @devothakiwola6461 8 месяцев назад +1

      @@AGALUSTV iringa

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  8 месяцев назад

      Apo uliza wenyeji mara nyingi uwa tuna panda mvua zinapo enda kuisha

  • @janemgimba2168
    @janemgimba2168 Год назад +1

    Barikiwa kwa maelekezo

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Год назад

      Amina ndugu nawe pia

  • @ZaithoonZaithoon-er9gy
    @ZaithoonZaithoon-er9gy Месяц назад +2

    Me nko morogoro na sijawah kujiingiza kwny kilimo nahitaji zaid masomo yako je maharage morogoro yanakubari.

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Месяц назад

      Yes Tena vizuri tu ndugu

  • @hawamkumbwa6490
    @hawamkumbwa6490 2 месяца назад +1

    Naomba kufahamu nafasi za upandaji

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 месяца назад +1

      Sm 15 kwa 15 na sm 40 mistari kwa mistari

  • @JafaryMatiasi
    @JafaryMatiasi 4 месяца назад +1

    Naomba kuuliza je naweza kupanda mahalage pamaja namahindi nikapata mavuno mazuli

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  4 месяца назад

      Hapana Usifanye ivyo

    • @JafaryMatiasi
      @JafaryMatiasi 4 месяца назад

      @@AGALUSTV shimo moja la inafaa kuweka punje ngapi za mahalage

  • @NoeliaHuseni
    @NoeliaHuseni 5 месяцев назад +1

    asanteeeee

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  5 месяцев назад

      Barikiwa sana

  • @nolimittvonline6822
    @nolimittvonline6822 2 года назад +1

    Yani Kaka nawapenda Sanaa bando langu litakua linaisha vizuli

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 года назад

      🤝😁😁🙏🏿Pamoja ndugu

  • @mumberematsundo5780
    @mumberematsundo5780 2 года назад +1

    Jambo Mimi ni mkulima inchini Congo mupakani n'a Uganda hatuna mbolea uku

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 года назад

      Okay poleni sana Tuzid wasiliana

  • @witnessbonaventura8755
    @witnessbonaventura8755 3 года назад +1

    Naomba kujua mbolea hizo zoteyaani ya kupandia na ya matunda zote kwa pamoja

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 года назад

      Yes kwa pamoja maana maharage yana chukua siku 3 tu kuanza kuota hivyo mbolea inabid iwepo mapema

  • @DiraMedadi
    @DiraMedadi 4 месяца назад +1

    Naomba kujua mbegu za maharage ambazo ni zenye mavuno bora nazpataje

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  4 месяца назад

      Maduka ya pembejeo

    • @SubuMpate
      @SubuMpate 3 месяца назад

      Mie natakakupanda maharage kwakuanda vituta .nifahamishwe umbali wa tuta natuta

  • @PiusThadeo-li9oe
    @PiusThadeo-li9oe Год назад +1

    Safi sana

  • @petertemu957
    @petertemu957 2 года назад +1

    Good idea for agriculture

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 года назад

      Your welcome

    • @victorodhiambo5757
      @victorodhiambo5757 Год назад +1

      @@AGALUSTV mbegu gani nzuri ambapo Ina chukua muda fupi,sehemu yenye vua chache

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Год назад

      Mfano mikoa ipi

    • @hadiazuberi4961
      @hadiazuberi4961 10 месяцев назад +1

      @@AGALUSTV kaka naomba kuuliza shamba lenye.harithi.ya.mchanga.linafa.kulima maharage?.

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  10 месяцев назад

      Linafaa TU .ni huduma TU

  • @samwelgaspar7361
    @samwelgaspar7361 2 года назад +1

    Asante

  • @IddiPetersangwa
    @IddiPetersangwa Месяц назад +1

    Naomba kujua kati ya shimo nashimo na inakuaje

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Месяц назад

      Shimo na shimo ni sm 15, na Kati ya mstar na mstar ni sm 40

  • @FRANSIscoJASTNI
    @FRANSIscoJASTNI 18 дней назад

    Alaf mmesema wakat wakupand tunachanganya mbolea yakupandia nayakubebeshea matunda kwawakati mmoja au tofauttofaut

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  18 дней назад

      Ni sahihi ndugu

    • @FRANSIscoJASTNI
      @FRANSIscoJASTNI 17 дней назад +1

      Mim bad sijakwelewa hapo yan nachanganya hiyo mbolea kwawakati mmoja.

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  17 дней назад

      @FRANSIscoJASTNI ndio ndugu

  • @MdothakassimmarkoMarkoka-hn6df
    @MdothakassimmarkoMarkoka-hn6df 10 месяцев назад +1

    Nimbengu gan ambayo inaweza kunipa faida

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  10 месяцев назад

      Mbegu zipo nyingi ndugu. Tembelea tu duka la pembejeo

  • @odethaneema
    @odethaneema 2 месяца назад +1

    Waoo nimependa mnavoreply kwa kila mmoja mmoja,,mbarikiwe mnoo,, sorry namm niko na swal kdg et,, vip mbegu n lazima ninunue kwenye maduka ya kilimo au hata mbegu za nyumbni zaweza kutumika na mavuno yakawa mengi??? Asant nasubiria jibu lako

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 месяца назад

      Si lazima. Mbegu Ata izo za sokoni AU nyumbani, ila ziwe nene yaani umbo kubwa, zile ndogo ndogo hazifai kwa mbegu, yaani chambua vizur, pia ziwe zimekauka vizuri

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 месяца назад

      Si lazima. Mbegu Ata izo za sokoni AU nyumbani, ila ziwe nene yaani umbo kubwa, zile ndogo ndogo hazifai kwa mbegu, yaani chambua vizur, pia ziwe zimekauka vizuri

  • @petertemu957
    @petertemu957 2 года назад +1

    Naomba kujua kama eneo la tarime litafaa kwa ajili ya maharage

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 года назад

      Yes linafaa tu ni huduma tu

  • @ElishaDamas
    @ElishaDamas 7 месяцев назад +1

    Ni mbolea gan ya matunda kwa maharage inafaa

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  7 месяцев назад

      YA, CHUMVI CHUMVI AU YA MAJI KWENYE MAJANI

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  4 месяца назад

      Mbolea za maji jinsi ya kuchagua
      ruclips.net/video/iDKZc0-mO2I/видео.html

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  4 месяца назад

      Mbolea za maji zote
      ruclips.net/video/iDKZc0-mO2I/видео.html

  • @suzanmgaya7460
    @suzanmgaya7460 2 года назад +2

    Hapo kwenye mbolea ya kuku nakubali mwamba duh yaani shina moja unaweza toa kilo moja

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 года назад

      Oooh sawa sawa Tupo pa1🙏🏿👏🤝

  • @jafarijuma7376
    @jafarijuma7376 5 месяцев назад +1

    Mbole unaweka weka je maana watu wengine wanasema usichanganye mbolea na mbegu

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  5 месяцев назад

      Kwa maharage haina shida. Mbona mahindi tunaweka

  • @ElishaDamas
    @ElishaDamas 7 месяцев назад +1

    Ikiwa tayar mmea umeota nitumie mblea gan kwa ajili ya mavuno bora

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  7 месяцев назад

      Mbolea y matunda ya majani

  • @DanielMwaikusa
    @DanielMwaikusa 8 месяцев назад +2

    Hakuna mbolea za maji unaZoweza kuzitumia Kwa Kupulizia kwenye majani ya maharage kama hukutumia mbolea hapo awali

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  8 месяцев назад +1

      Zipo ndugu cha msingi tembelea duka LA Pembe jeo WATAKUPA walizo nazo

    • @NoeliaHuseni
      @NoeliaHuseni 5 месяцев назад +1

      Ni kama zipi mtaalam​@@AGALUSTV

    • @elizabethasajile9380
      @elizabethasajile9380 2 месяца назад +1

      sema huzijui ruhusu ubongo wako ujifunze

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 месяца назад

      Sawa ndugu Elizabeth Asajile ila sababu si ivyo unavyo FIKIRIA. Sababu kubwa ni za kibiashara.....TUKIANZA kutaja majina ya mbolea umu tutakua tunafanya matangazo ya iyo mbolea. Nafikiri umetuelewa vizuri ndio maana tunajiepusha na Hilo kwa kuwa waambia watu watembelee dukani

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 месяца назад

      Zipo kwa ajiri Ya matunda, kukuzia na za kupandia. Pia zipo zinazo fanya Kaz zote 3 apo. Kwa msaada zaidi tembelea duka LA pembejeo na Umwambie unahitaji mbolea ya maji kwa ajiri Ya kazi gani

  • @LizaBiro-u4e
    @LizaBiro-u4e Месяц назад +1

    Mbolea huwekwa mara ngap? He yanapotoa maua yanaitaj mbolea? Na niaina gan yambolea?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Месяц назад

      Mbolea ni wkt wa kupanda tu.mbolea zingine uwa zile za maji za kwenye majani.kipindi cha maua hapana maana unaweza pukutisha maua

  • @emanueladam7442
    @emanueladam7442 3 года назад +1

    Naomba kipimo

  • @PeterKhamis-b4y
    @PeterKhamis-b4y Год назад +1

    Je unaweza kutumia mbolea ya samadi

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Год назад

      Iwe ya kuku AU nguruwe. Maaana Samad ya ng'ombe Inachelewa kufanya Kaz wkt maharage yanakua kwa haraka sana

  • @AudaxDaniel-x6s
    @AudaxDaniel-x6s Год назад +1

    Mbolea gani inatumika kuzalisha maua kwenye zao la maharage

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Год назад

      Mbolea kama CAN ni nzuri kwa matunda,pia zipo mbolea ZA MAJI NYINGI TU KWA AJIRI ZA MAUA Na mtunda

  • @mugabemigani7484
    @mugabemigani7484 Год назад +1

    Katika kila shimo unaweka mbegu ngapi na kutoka shina moja kwenda jingine ni umbali gani

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Год назад

      Mbegu 1/2 umbali ni sm 15/15 ni shimo kw shimo na 40 AU 60 mtari kwa mstar

  • @AnnamarryMpete
    @AnnamarryMpete 6 месяцев назад +1

    Umbali wakupana na ni weke punje ngapi kwa kila shimo

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  6 месяцев назад

      Sm 15 kwa 40

  • @HamisFengu-lz7hq
    @HamisFengu-lz7hq 3 месяца назад +1

    Kwa ukunda wa pwani kama wilaya ya kisalawe inafaa kupanda mwezi Gani?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 месяца назад

      Mvua inaanza kuisha tu ule UNYEVU nyevu. Sasa apo waweza fuatilia ni mwez gani

  • @revocatusmartine7159
    @revocatusmartine7159 6 месяцев назад +1

    Mbole aina ya DAP na CAN ukishachanganya unaweka kiasi gani katika shimo la mbegu moja na pia kwa shimo la mbegu mbili

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  6 месяцев назад

      Kifuniko cha maji/soda

  • @jacksonbasenile-nu8bf
    @jacksonbasenile-nu8bf Год назад +1

    Ogera sana

  • @emanueladam7442
    @emanueladam7442 3 года назад +1

    Ni kipimo gani cha mbolea kili shimo

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 года назад

      Kisoda 1 kwa mbolea za kisasa mikono miwili

  • @user-pv9hq3mi4w
    @user-pv9hq3mi4w 4 месяца назад +1

    Mbegu nzuri nitapataje ? Mm Niko Arusha!! je sehrmu za kabuku (Tanga) maharage yatakubali?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  4 месяца назад

      Mbegu Ata sokoni. Ila YAWE ya mwaka jana. Uko waweza lima

  • @uamshosikuzamwisho
    @uamshosikuzamwisho 7 месяцев назад +1

    Tunaomba kujua vipimo kiasi gani Cha mbolea wakati wa kuchanganya kati ya Dap na can

  • @imeldanashon6347
    @imeldanashon6347 2 года назад +1

    Vp naomba kujua mbolea ya n, gombe yanafaa naomba mwenyekujua anjb jmn

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 года назад

      Inafaa japo iwe imevunda vizuri🙏

  • @hussenmishamo1963
    @hussenmishamo1963 3 года назад +1

    Mbengu gan nzur za mahalage

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 года назад

      Zote nzuri hutegemea na uhitaji wa soko lako . soko lako wanapenda aina gani ya maharge

  • @robertkisiri1273
    @robertkisiri1273 3 года назад +1

    Asante kwa video nzuri. Ukilima kwa kufuata hatua zote za kitaalamu, mavuno yanaweza kufika gunia ngapi kwa eka moja???

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 года назад

      Gunia 3 hadi 5 ni gunia za debe 6

  • @PaulMatelega-b7e
    @PaulMatelega-b7e 11 месяцев назад +1

    Wakati una weka mbolea pamoja na mbegu unatakiwa kuweka mbolea kiasi gani kwenye shimo mfano dap

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  11 месяцев назад

      Kifuniko 1 cha maji AU soda AU juice

  • @AlienVoice_tz
    @AlienVoice_tz 6 месяцев назад +1

    He kwa Dar es Salaam naweza kulima maharage

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  6 месяцев назад

      Ndio waweza

  • @happytitus8921
    @happytitus8921 3 года назад +1

    Samahani naweza nikapanda maharage halafu mbolea nikaweka baada ya zao kuota au kuna madhara

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 года назад

      Mbolea za chumvi chumvi zina tabia za kuunguza miche
      Ni vzuri kuoandia zote au kama utaweka baadae kua makini weka kw kiwango kidogo na uweke mbali na mche kdogo miche isiungue

  • @WiliamObedi-mv3fr
    @WiliamObedi-mv3fr 11 месяцев назад +1

    niaina gan ya mbegu inatoa mavuno kwa wingi

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  11 месяцев назад

      Mbegu zote ni nzuri hutegemea na eneo na matunzo yako

  • @mwajumayunus419
    @mwajumayunus419 3 года назад +2

    Hivi hekarr moja ya maharage inatoa kipato cha kiasi gani

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 года назад

      Debe 15 had 30

    • @stominluvanda4638
      @stominluvanda4638 Год назад +1

      Shina na shina na msita kwa msitali kiss gani?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Год назад

      15 shina kw shina na 30 AU 40 mstar kw mstar

  • @FRANSIscoJASTNI
    @FRANSIscoJASTNI 18 дней назад +1

    Asnte san mimi ni Franc nipo Mkowa warukwa wilay yankas naomba kuuliza naona yamepandwa kwamistar sas hiy mistar upan wamstr namstr ni sm ngap?

    • @FRANSIscoJASTNI
      @FRANSIscoJASTNI 18 дней назад +1

      Pia nakuhu dawa zakupulizia maharage yasiathilike nahatua zake. Nap naomba maelekezo

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  18 дней назад

      Sm 15 shimo na shimo na sm 30 mstari kwa mstari

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  18 дней назад

      Dawa zipo nyingi aina tofaut kulingana na wadudu, na za ukungu. Tembelea duka la pembejeo

    • @FRANSIscoJASTNI
      @FRANSIscoJASTNI 18 дней назад

      Asante

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  18 дней назад

      @FRANSIscoJASTNI tupo pamoja

  • @richardmagubika
    @richardmagubika 9 месяцев назад +1

    Me na swali umesema tunaweza kuweka mbolea zote kwenye mahalage yaani shimo moja swali langu ni kwamba nawaka mbolea za dokana peke take au nachanganya zote na za asili

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  9 месяцев назад

      Wewe tu kulingana na rutuba ya shamba lako. Kama Unatumia za dukani peke Yake sawa tu

  • @joharijj2164
    @joharijj2164 3 года назад +2

    Je maharagwe yatafanya vizuri maeneo ya bungu, bungu ipo pwani waweza itizama kwa map, halafu soko la maharagwe lipo?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 года назад

      Nashukuru kwa taarifa 🙏🙏

  • @robertnyelele9896
    @robertnyelele9896 Год назад +1

    hekamoja ya mahalange unaweza kutoa.junia ngap

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Год назад

      Utegemea vitu vingi ndugu

  • @lynnharry7359
    @lynnharry7359 Год назад +1

    Kiasigani cha mbolea ya matunda kinatosha kwenye hecre 1?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Год назад

      Nusu mfuko yaaani 0.5 kg japo Itategemea jinsi ya KIPIMO chako kwa njia ya mistari mbolea hadi mfuko 1 waweza tumika

  • @VenanceMwakijale-br4vn
    @VenanceMwakijale-br4vn Месяц назад

    Katika hili naomba maelekezo maeneo yakisalawe

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Месяц назад

      Ulimaji ni ule ule ndugu fuatilia maelekezo vizur na ukayatumie ktk eneo lako

  • @VenanceMwakijale-br4vn
    @VenanceMwakijale-br4vn Месяц назад

    Mimi naishi kisarawe

  • @januarykiraba1605
    @januarykiraba1605 5 месяцев назад +1

    Umbali wa kupanda shina Hadi shina, mstsri hamstari ni centimita ngapi?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  5 месяцев назад

      Sm 15 ni shina kw shin na sm 40 ni mstar kw mstar

  • @princebuganzilut2047
    @princebuganzilut2047 3 года назад +2

    Nimependa naomba kujua backup ya Serikali inatusaidiaje wannachi tuweze kuingia shambani

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 года назад

      Sijajua

    • @princebuganzilut2047
      @princebuganzilut2047 3 года назад +1

      @@AGALUSTV kuna kipindi kile wanakamata kamata wacheza pool ilipendeza sana wangeandaliwa mashamba yanayohodhiwa na wanakijiji bila kuyaendeleza hata kwa kilimo wapewe hawa wasiokua na kazi wayalime. Hivyo kwakua hawakuwafanyia hivyo tungefikiriwa wengine wenye nia ya dhati ya kulima kwa condition ya misimu si chini ya mitatu palimwe mbona tanzania tungelisha mataifa ya nnje

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 года назад

      Ni kweli kabisa

  • @VenanceMwakijale-br4vn
    @VenanceMwakijale-br4vn Месяц назад

    Mbolea kiasigani kwa heka 1

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Месяц назад

      Mfuko mmoja na nusu

  • @flevouronlinetv133
    @flevouronlinetv133 3 года назад +1

    Samahan ndg je hekal moja unaweza ukapata gunia ngap kitaalamu

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 года назад +1

      Kwa mazingira mengi kiuzoefu ni Kati ya 7 hadi 12 za debe 6 pia wa weza pata hata zaidi ya 15, japo hutegemea vitu vingi

  • @MosesDavid-zo7ui
    @MosesDavid-zo7ui 8 месяцев назад +1

    Dawa zinazohitajika katika kilimo cha maharage ambazo unaweza kutumia ?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  8 месяцев назад

      Ni za wadudu na ukungu hizo ndyo muhim

  • @MdothakassimmarkoMarkoka-hn6df
    @MdothakassimmarkoMarkoka-hn6df 10 месяцев назад +1

    Je udongo ukiwa mwekudu unaweza kutumaia mbolea gani vile

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  10 месяцев назад

      Udongo haupimwi kwa rangi yake. Ukiitaji kupima udongo na Aina y mbolea Muone mtaalam wa Kilimo aliye karibu nawe

  • @abrahamsingano5372
    @abrahamsingano5372 2 года назад +1

    Spacing kati ya mche na mche

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 года назад

      Sm 3/5 mche kw mche kwa sm 15 mstari kwa mstari🙏

  • @JosephatSarwat
    @JosephatSarwat 5 месяцев назад +1

    Umbali kati ya mstari na mstari halafu shimo na shimo ni ngapi?.

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  5 месяцев назад

      Shimo kw shimo sm 15 na kw umbali ni 30 had 40

    • @JosephatSarwat
      @JosephatSarwat 5 месяцев назад

      @@AGALUSTV asante

  • @shabanngonwe4642
    @shabanngonwe4642 3 года назад +1

    Nifahamishe umbali kati ya shimo hadi shimo na mstari hadi mstari

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 года назад +1

      Unavyo tumia njia y kuchora mistar uwa tunakadiria tu bt mstar kw mstar sm 30 adi 40 shimo kw shimo apa hatupigi mashimo uwa tunarusha mbegu 2 au 1 kw kadirio la umbali sm 2 adi 5

    • @abdallahmzuzuri3527
      @abdallahmzuzuri3527 3 года назад

      Kama tutapanda kwa mstari hivyo. Je mbolea zinazo takiwa tutaweka kwa mfumo gani?

  • @jdecorations8222
    @jdecorations8222 2 месяца назад +1

    Kwa makadirio heka moja inaweza toa kilograms ngapi za maharage???

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 месяца назад

      Waweza vuna zaidi ya Kg 400

  • @MosesMitimingi
    @MosesMitimingi Год назад +1

    Endapo ukifuata kanun vizur mapato yake yanakuwaje lakn nataka kujua juu ya matumiz ya viwatilifu

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Год назад

      Fuatilia video hii apa mchanganuo wote Mtaji na faida ndani yake
      ruclips.net/video/VUrDSBs_QCY/видео.html

  • @fadhilitweve7305
    @fadhilitweve7305 2 года назад +1

    Naomba kuuliza hizo mbolea nachanganya kwa ratio gani (ya matunda na ya kawaida)

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 года назад +1

      Kupandia kg 50. Matunda kg25 na kuku zia kg 12.5

    • @richardmsuya2645
      @richardmsuya2645 2 года назад +1

      @@AGALUSTV hizi zote tatu zinawekwa wakati wakupanda?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 года назад

      Ndyo zinachanganywa ndudu 🙏

    • @richardmsuya2645
      @richardmsuya2645 2 года назад +1

      Ahsante kwa somo zuri

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 года назад +1

      Pa1🙏🤝

  • @arenyutenga1052
    @arenyutenga1052 2 года назад +1

    Jee ni Mbegu ghani ya Maharage iliyozuri kwa kupata mavuno mengi? Jee maharage napaswa kupanda mwezi wangapi na kuvuna mwezi wangapi ??? By Utenga naomba unijibu

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 года назад

      Kwa eneo la wapi yaan upo wapi

  • @winifridalugembe2528
    @winifridalugembe2528 2 года назад +1

    Je umewahi kutumia mkojo wa sungura kama mbolea na kukinga wadudu?

  • @karimjuma7442
    @karimjuma7442 Год назад +1

    Mbolea nishingap

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Год назад

      Aina gani ya mbolea ndugu

  • @fidelayubu2175
    @fidelayubu2175 3 года назад +1

    Ekari moja inaweza kutoa magunia mangapi ya kilo 100

    • @ibrahimfarouq8339
      @ibrahimfarouq8339 3 года назад +1

      @@AGALUSTV Acha masihara mjomba

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 года назад

      🤝🤝🤝🤝

    • @yusufusudusudu3173
      @yusufusudusudu3173 3 года назад

      2/3 nikias kidogo sana nawakati sisi tunalima bila utaalm wowote tunapata gunia 5/6 we mtihan

    • @SilviahOngao
      @SilviahOngao 4 месяца назад

      Ata mimi nililima Hekari moja Nkapata Gunia 7 na sijaweka mbolea​@@yusufusudusudu3173

  • @gracebenjaminnapokeakatika9565
    @gracebenjaminnapokeakatika9565 2 года назад +1

    Samahan naomba ushauri nataka nipande kilimo mseto yaan maharage na alizeti je inawezekana?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 года назад

      Yaaah japo mahindi weka mbali mbali 🙏🙏

  • @charityezekiel3525
    @charityezekiel3525 3 года назад +1

    Kwenye shimo moja unaweza kuweka mbegu ngapi??

  • @djredtiger1088
    @djredtiger1088 2 года назад +1

    Kipatochakekwahekamoja ni kipi

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 года назад

      Mchanganuo wa mtaji na faida yake👇🙏 fuatilia somo hili
      ruclips.net/video/VUrDSBs_QCY/видео.html

  • @Triphonia-m1q
    @Triphonia-m1q 10 месяцев назад +1

    Hekali moja ya shamba la maharage ikitunzwa vema inatoa kilo ngapi?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  10 месяцев назад

      Zaidi ya gunia 15++

  • @dhinatsimbano8854
    @dhinatsimbano8854 3 года назад +1

    Je ardhi inayofaa kwa kilimo cha maharage inaweza kufaa kwa kilimo cha soya?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 года назад +1

      Ndyo inafaa

    • @dhinatsimbano8854
      @dhinatsimbano8854 3 года назад

      @@AGALUSTV
      Na kipindi cha kuotesha maharage ndo kipindi sahihi cha kuotesha soya? Na je mbolea za maharage ndo hizohizo za soya?

  • @kapasimoses98
    @kapasimoses98 2 года назад +1

    Je? Mbolea za booster za kupinga kwenye majani za resho ya 19:19 10 Npk

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 года назад

      , apo Sasa twende tu dukani ndugu🙏

  • @johnnico7114
    @johnnico7114 3 года назад +1

    Mbolea ya CAN iwe kwa uwiano gan

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 года назад

      Sijakuelewa una maana gani? ni kiasi gani au uwiano ?

    • @vickmlumbe7534
      @vickmlumbe7534 3 года назад

      Mimi ninamaharange aina ya kingoma mtanisaidia soko

  • @MohamedHassan-zs4jx
    @MohamedHassan-zs4jx 3 года назад +1

    Mm nimexhambanda tayar nina kama wk naweza kuweka mbolea?,na kama uwezo wng mdogo naweza kuweka mbolea moja t ya keni

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 года назад

      Kama ulipanda mbalimbali waweza weka lakini kama ni karibu sana kua makini waweza umguza miche yako

    • @joharijj2164
      @joharijj2164 3 года назад

      *mohamed* umewahi panda Tena? Je soko lipo?

  • @laureenlumumba9819
    @laureenlumumba9819 3 года назад +1

    Mbolea ya jamii ya keni, no mbolea kama gani hio? Usaidizi hapo kidogo kiswahili imenipitia. From Kenya.

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 года назад

      Kwa Tanzania 🇹🇿 ni mbolea ina itwa CAN cjajua kwa uko Kenya 🇰🇪 ndugu

    • @salimLempakany
      @salimLempakany 3 года назад +1

      Kenya pia ni CAN

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 года назад

      Hatujajua kwa uko ila iyo ni mbolea ya Matunda tusaidiane jina la iyo mbolea kwa uko🙏

  • @yothampetro6755
    @yothampetro6755 Год назад +3

    Kwahiyi minjingu ndo sahihi

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Год назад

      Hutegemea na eneo yaani Aina ya udongo C kila sehemu utumika iyo. Kwa hiyo angalia eneo lako mbolea ipi utumika kupandia

  • @bornifacecharles2
    @bornifacecharles2 Год назад +1

    Je kuchanganya mahind na maharage
    wanaita kilimo mseto inatakiwa upande kwa mahindi yakiwa na mtu gani

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Год назад

      Usawa futi 1

    • @bornifacecharles2
      @bornifacecharles2 Год назад +1

      @@AGALUSTV shukrani na je yako karibia kuweka mbelewele haitakiwi?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Год назад

      Weka tu ILa matunda

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Год назад

      Inafaa

    • @WiliamObedi-mv3fr
      @WiliamObedi-mv3fr 11 месяцев назад +1

      je nmikoa gan nilafiki kwa kilimo cha mahalage

  • @stevenmbilinyi4526
    @stevenmbilinyi4526 3 года назад +1

    Je Mimi nalima kwenye harizi ya kichanga manyara je harizi I inakubali maharage na kitaka kupima udogo napeleka wapi kuupima

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 года назад

      Tumekujibu kwenye swali lako la awali

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 года назад

      Tumekujibu kwenye swali lako la awali

  • @AvillaNaomi
    @AvillaNaomi 11 месяцев назад +1

    Je mbolea ya kubebea inawekwa wakati fan?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  11 месяцев назад

      Apo wkt w kupanda

  • @jumagide7384
    @jumagide7384 2 года назад +1

    Je namna ya upandaji wa mbegu upo VP??

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 года назад

      Upandaji na mbolea somo ni hili
      ruclips.net/video/Dd4ECqyDXK4/видео.html

  • @tukaiadventures3782
    @tukaiadventures3782 3 года назад +1

    Je urea inafaa kukorogea kwenye maji alafu utumie kwa Bomba kunyunyuzia shambani?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 года назад

      Inafaa japo c njia nzuri. Ni vizur ukatumia mboles za maji

  • @johnnditi9079
    @johnnditi9079 2 года назад

    Kwa wilaya ya NJOMBE ni kijiji gani wanalima zao la maharage

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 года назад

      Kiukweli kwa uko hatufahamu ngoja tuzidi kufutilia Kujua zaidi

  • @driftdumper8927
    @driftdumper8927 3 года назад +2

    Heka moja unahitaji kg ngapi za mbegu ya maharage!?

    • @emanueladamayubu9940
      @emanueladamayubu9940 3 года назад

      Uongo

    • @dr.njipaysophon3209
      @dr.njipaysophon3209 3 года назад +2

      @@emanueladamayubu9940 ukisema uongo ni vizuri utoe jibu sahihi kama huna pita hivi

    • @R.Dickon
      @R.Dickon 3 года назад +1

      @@AGALUSTV mkuu Mimi nimepanda heka 1 ni Debe 3

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 года назад

      Sawa tu Hutegemea urushaji wa mbegu ukirusha karibu karibu utatumia debe nyingi

    • @R.Dickon
      @R.Dickon 3 года назад

      @@AGALUSTV yes, nimefanya hivyo ili kupata magunia mengi

  • @hamzaalawy6694
    @hamzaalawy6694 2 года назад +1

    Suala langu: kwa hali ya hewa Zanzibar inawezekana kilimo cha maharege?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 года назад

      Inawezekana tu🙏🤝

    • @hamzaalawy6694
      @hamzaalawy6694 2 года назад +1

      @@AGALUSTV nashukuru
      Na kipindi gani kinaweza kuwa bora kwa upandaji wa maharage huku kwetu Zanzibar?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 года назад

      Mmmmh kwa uko ngoja tuzid kufutilia maana sisi tupo mbeya 🙏

  • @joharijj2164
    @joharijj2164 3 года назад +1

    Khaaa nguruwe Tena? Wataka tulishwe haramu jamani

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 года назад

      Aaaah. Sory Ndugu Ila si unajua kwenye Elimu tena🙏🙏

  • @VEVO-africa
    @VEVO-africa 3 года назад +1

    Inachukua mda gan toka kupanda hadi kuvuna