Sheikh Nurdin Kishki Atowa fursa Kwa Masalafi wa Burundi

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 окт 2024

Комментарии • 75

  • @WaziriChambo-p6j
    @WaziriChambo-p6j 4 месяца назад +5

    Yani sheikh mkubwa wakimataif utamsikia tu kwny kuongea kwake yani point tupuuuu kabisa mashe waburundi fujo tuu nakuhukum watu mnatutia aibu sisi maamuma

  • @NduwimanaZena
    @NduwimanaZena 4 месяца назад

    Masheikh wa Burundi acheni wivu.kishki tunampenda saaana hamto tubadilisha tunampenda.kawaida hampendagi masheikh wakutoka inje acheni wivu kabisa

  • @ArishfaaSalum-rk2yu
    @ArishfaaSalum-rk2yu 4 месяца назад +4

    Mashallah 🥰🥰🥰🥰🥰🥰 muhadhir wakimataifa 🥰

  • @HassanNzeyimana-yh4qm
    @HassanNzeyimana-yh4qm 4 месяца назад

    Umwana yankwa nuwe akura kama watu wasio juwa kurusha nguvu nimahrenade tu hhhhhh kaenda badae muanze fujo tena

  • @HakizimanaSalima-sg7cv
    @HakizimanaSalima-sg7cv 4 месяца назад +2

    Masha Allah tabarakallah Allah akuifadhi Sheikh kishki Allahumma Ameen

  • @YusuphHabibu-hy9mj
    @YusuphHabibu-hy9mj 4 месяца назад +1

    Mashaallah
    Allah akuhifadhi sheikh Nurdin Kishki
    Nakupenda sana shukran sana kwa nasaha yako
    Mie nakuamini wewe ni mwana Sunnah kwa ufahamu wa salafi.
    By Rashad Murshid Swaibu Mussa.

  • @NduwimanaZena
    @NduwimanaZena 4 месяца назад

    Masheikh wa Burundi acheni wivu.kishki tunampenda saaana hamto tubadilisha tunampenda.kawaida hampendagi masheikh wakutoka inje acheni wivu kabisa

  • @AhmednurHussein-m2s
    @AhmednurHussein-m2s 4 месяца назад +5

    Hhhhh eti atoa fursa kwa masalaf nyinyi a'awamu ndo mnashaka na uhizbi wa kishki ivi niulize kitu unaweza kua unashirikiana na masufi na maibadhi kadhalika na kuwasifu na kuwaponda masalafi afu eti ni mtu wa sunna yani wallah wa Rabbii ni mashariq na magharib

  • @AdiliNkurunziza-th2ly
    @AdiliNkurunziza-th2ly 4 месяца назад +1

    Sheikh ao mwanadini wowote Naiman atakua ameelewa. Masheikh wa Burundi acheni Kiki mjifunze kupeane nasaha acheni kukufurishan mnapotosh ummah

  • @abumuhsinminaniabdoullahas9185
    @abumuhsinminaniabdoullahas9185 4 месяца назад +1

    Amefatwa,mu post na yaliotokea baada ya kufatwa

    • @allywaziry6419
      @allywaziry6419 4 месяца назад

      Kipotokea nn akhy, Kuna mjadala wowote umefanyika???

  • @MaryamShabani-n2u
    @MaryamShabani-n2u 4 месяца назад +1

    Shekhe ulipokuwepo na sisi tupo

  • @MaryamShabani-n2u
    @MaryamShabani-n2u 4 месяца назад +1

    Mpaka unaza safari yakuludi tz nasi tupo

  • @MiriamYassini-kt6jh
    @MiriamYassini-kt6jh 4 месяца назад

    ManshaAllah Allah akulipe kheri duniani mpaka kesho akhera burundi tunakupenda kwa ajili ya Allah😍🥰❤ pia ma sheikh wa🇧🇮 mnatia aibu kweli yani fujo nyingi tu😂 acheni wasomi wawape kitu kwa ushahidi

  • @مبغضالبدع-ع9ص
    @مبغضالبدع-ع9ص 4 месяца назад

    ruclips.net/video/oj86Q2bPR3A/видео.htmlsi=PAL4VWAEnyDy1UFV
    Naam naam tunaanza kukuweka wazi pole pole.... angalia hapo uko na nani??? Alafu madalafy wachana nao huwawezi kijana... 😂😂😂😂😂😂

  • @HakizimanaZainabu-f8d
    @HakizimanaZainabu-f8d 4 месяца назад

    Masha'Allah Allah akutuhifadhiye Sheikh Nurdin Kishki Allah akupe umri mrefu wenye kheiri na baraka pamoja na familia yako

  • @مبغضالبدع-ع9ص
    @مبغضالبدع-ع9ص 4 месяца назад

    ruclips.net/video/xy_rbT4QOZU/видео.htmlsi=C4hyTra1EXiIPTg2
    Naam naam tunaendelea pole pole na shekhe letu kidhabdhabina....

  • @UkhtyAsiyaah
    @UkhtyAsiyaah 4 месяца назад +2

    Na hiyi AL Amnu tv leo imepata watu wengi sababy yakumfata Sheikh kishki tumetumiana like 👍 team nzima ya kishki sababu kishki tv mtandao unasumbua uko burundi 🇧🇮

    • @rashidyyusuph4386
      @rashidyyusuph4386 4 месяца назад

      Wajinga ndo wanao mshabikia kishk na upotevu wake

    • @alamnutv4675
      @alamnutv4675  4 месяца назад

      Mashallah

    • @ZainabuRadjabu
      @ZainabuRadjabu 4 месяца назад

      ​@@rashidyyusuph4386wew usie mjing wafwat Nin hapa😂

    • @HanifaOman-oo4pl
      @HanifaOman-oo4pl 4 месяца назад

      Kwanini ujingawao nini. Ndugu​@@rashidyyusuph4386

    • @AmoIslamicTv
      @AmoIslamicTv 4 месяца назад

      Ok sawa! Kishk mpotevu, na wewe Mungu kashakuingoaa??​@@rashidyyusuph4386

  • @algakire
    @algakire 4 месяца назад

    Masalafi wa kisasa wana mtindo kama makhawarij kwel 😢😢😢

  • @الدنيافيهذاالزمان
    @الدنيافيهذاالزمان 4 месяца назад

    لا أحد من ألسن الناس يسلم
    Piga kazi Mwalim kishki

  • @MariamUmande
    @MariamUmande 4 месяца назад +1

    Wambie masalafiya jadidah

  • @nasilukilawaga2021
    @nasilukilawaga2021 4 месяца назад +1

    Kishki Alisha pewa nasaha na abulfadhil tena kwa barua.

  • @omanmct135
    @omanmct135 4 месяца назад +1

    Mashalllahh tunakupenda shekh ❤

  • @UkhtyAsiyaah
    @UkhtyAsiyaah 4 месяца назад

    Uyo ane sema Sheikh kishki hapendwi burundi 🇧🇮 ninani waache wivu Sheikh kishki anapendwa sana kapewa zawadi na kina mama nyie wenyewe AL Amnu tv mmeona jisi juzi tumejazana live kimfata alipo Sheikh kishki nasi tupo nyuma yake mkono kwa mkono Adi peponi 🤝

  • @mokitaa8750
    @mokitaa8750 4 месяца назад

    MASHAALLAH ALLAH AZIDI KUKUHIFADHI kipenzi chetu

  • @omanmct135
    @omanmct135 4 месяца назад +1

    Aaaalllah akuhifadhi nahudsa

  • @assouminiNshimirimana-ri1hd
    @assouminiNshimirimana-ri1hd 4 месяца назад

    Ma chekh wa Burundi aceni fitina nacuki Duniya zima aikuona kama ni mupida kakundi ka cace ndiyo kamezusha kawaita bado agali mjadiliyane akisha ondoka musianze habari zake

  • @MariamUmande
    @MariamUmande 4 месяца назад +1

    Maashallah Maashallah Maashallah

  • @abcmnbb2610
    @abcmnbb2610 4 месяца назад

    ❤mashaallah tabarakaah ❤
    ❤mungu akupe afya njema Naumri mrefu inshaallah ❤

  • @AmissaBIGIRIMANA
    @AmissaBIGIRIMANA 4 месяца назад

    Maanshaa Allah
    Allah aku zidishiye
    Hekima

  • @Kzm-c9u
    @Kzm-c9u 4 месяца назад

    Hapa kishki kachemka bado hajasema

  • @IdrisMwayama-hf2dx
    @IdrisMwayama-hf2dx 4 месяца назад

    ماشاءالله الشيخ كشكي

  • @hakizimanarahma6515
    @hakizimanarahma6515 4 месяца назад

    Ni kweli sheikh kishk Allah akuzidishiye Hikmah sheikh wetu

    • @feisaldube7296
      @feisaldube7296 4 месяца назад

      Hawa jamaa ni mtihani sana Duh sijui kama si magenge ya kiyahudi

  • @ZulfahMuhammad
    @ZulfahMuhammad 4 месяца назад +1

    Allaah atuifadhiye sheikh wetu hao wangine ni husda tu ndio zimewajaa na elmu dogo wanayo na hawana huwezo wakuikaa shini na sheikh wajadili maswala ya dini

    • @AmirbigirimanaBardazard
      @AmirbigirimanaBardazard 4 месяца назад

      Hhhhhh daaaah. Mna chekesha kwa kweli kwan kishki. Mnamuona nani katika hii dini kua awezi kujadiliwa kwa elimu gan? Au mna ghurika na. Kiswahili?

    • @SAIDIYABUSHINGEDJUMA
      @SAIDIYABUSHINGEDJUMA 4 месяца назад

      Labda wanapigwa na butwa kwa kiswahili kishk yeye nani ambaye hawezi kujadiliwa

    • @ZulfahMuhammad
      @ZulfahMuhammad 4 месяца назад

      @@SAIDIYABUSHINGEDJUMA ni ma Ustadh wa fcbk hao hawana jipia wasome kwaza alafu wakibeba elmu ndio wajiandeye kujadili na sheikh

  • @faridaally-jp1gx
    @faridaally-jp1gx 4 месяца назад

    Sheikh Allaah Akuhifadhi biidhini llaah

  • @issandayisaba1576
    @issandayisaba1576 4 месяца назад

    ❤❤

  • @docteurjames4858
    @docteurjames4858 4 месяца назад

    Acheni wasomi wa kiislam wawe wa tangazaji kuliko awa ambao awa kusomeya iyo kazi ya ujournaliste kuliko kutukanisha kazi za watu na kiswahili ujuwi kuoji pumbavu ww

    • @Zafarankanyange
      @Zafarankanyange 4 месяца назад

      Msomi hatusi dr

    • @issaisandeko6217
      @issaisandeko6217 4 месяца назад

      Aisee kweli huna hata chembe ya Imani, matusi ya nini sasa?
      Tuache tabia ya kikafiri

  • @rashidyyusuph4386
    @rashidyyusuph4386 4 месяца назад

    ‏قال الأوزاعي:
    إصبر نفسك على السّنة، وقف حيث وقف القوم، وقل بما قالوا، وكف عما كفوا عنه، واسلك سبيل سلفك الصالح، فإنه يسعك ما وسعهم. ولا يستقيم الإيمان إلا بالقول، ولا يستقيم القول إلا بالعلم، ولا يستقيم الإيمان والقول والعمل إلا بالنية موافَقةً للسنة.
    📜تهذيب حلية الأولياء ٢/٢٩١

    • @AmirbigirimanaBardazard
      @AmirbigirimanaBardazard 4 месяца назад

      Hiy aingii kwa nurdiini anae shirikiana nmaibadhi nama Sufi

    • @rashidyyusuph4386
      @rashidyyusuph4386 4 месяца назад

      @@AmirbigirimanaBardazard kweli kabisa huyo sio mtu wa sunna bali anaenda na upepo wa watu sifa zinampoza

    • @AhmednurHussein-m2s
      @AhmednurHussein-m2s 4 месяца назад

      Hakika akhy​@@AmirbigirimanaBardazard

    • @UkhtyAsiyaah
      @UkhtyAsiyaah 4 месяца назад

      Bisokoro kwinyo kana nawaina mbavyo teseka nakwambia ivi Wivu utawatafuna na njaaa 😅😅😅 mbona mbamuigopa kawaitisha kama mnajiamini nendeni mkakutane nae awatoe povu kavu kisha inulia na Allah nyie Bisokoro kwinyo hamuwezi kumshusha jipangeni upya utafyka na roho zenu mbaya mnanuka njaaa tu 😅😅😅😅

    • @UkhtyAsiyaah
      @UkhtyAsiyaah 4 месяца назад

      Mnateseka sana etiii eeeh nabado mtaongezwa oxygen juuu ya kishki maskini wa elimu yatima wa imani wewe tajiri wa majungu na roho mbaya 😅😅😅jiangalie udije kufa na presha ya kishki

  • @ZulfahMuhammad
    @ZulfahMuhammad 4 месяца назад +1

    Na huyu Ustadh namuhifadhi jina hana uwezo wowote wakuikaa chini kuzingumza na sheikh zaidi anataka kiki tu kwenye mitandao ya jaami

    • @mariamndikumana-nn9ly
      @mariamndikumana-nn9ly 4 месяца назад

      😂😂😂ata usimuhifadhi yepeke hajihifadhi. Ninjaa zinawasumbuwa na wivu nishakafaham Kam neno mengi na adabu akana

    • @AmirbigirimanaBardazard
      @AmirbigirimanaBardazard 4 месяца назад

      Mnamuona nani huyo nurdiini? Hamna lolote zaidi ya kupaka mbona awa kutaka ajadiliwe?

    • @AmirbigirimanaBardazard
      @AmirbigirimanaBardazard 4 месяца назад

      ​@@mariamndikumana-nn9lykwan huyo unae mzungunzia. Kishawah kuja kukuomba lolote au ana kula kwako hiyo kwako ni adabu? Huko niku kosa aibu

    • @ZulfahMuhammad
      @ZulfahMuhammad 4 месяца назад

      @@AmirbigirimanaBardazard acha mbwembwe aiza nyie ndio hamna lolote mwaikalia kisema tu nyuma ya pazia chevu

    • @UkhtyAsiyaah
      @UkhtyAsiyaah 4 месяца назад

      @user Acha makasiriko Kishki ni mmoja tu acheni wivu na roho mbaya zinawatafuna kazi yenu kama nawaona mnavyo teseka na 😄 Kishki tatizo njaa ndo zinawasumbua Adi mnakula na roho mbaya elimu yenyewe huna eti unakaa chini unamjadili MUHADHIRI WA KIMATAIFA wee huogopi 😅😅

  • @AboubakarNiyonzimaAboubakar32
    @AboubakarNiyonzimaAboubakar32 4 месяца назад

    Hauko salafi uko nani? Mana ya salafi jifunze ni nini??

  • @OmarSwalehe-z9u
    @OmarSwalehe-z9u 4 месяца назад

    We ni mtu wa bidaa ndio mana kwenye maulidini unakwenda

    • @UkhtyAsiyaah
      @UkhtyAsiyaah 4 месяца назад

      Ulishaga wahi kumuona kwenye maulidi ?

    • @UkhtyAsiyaah
      @UkhtyAsiyaah 4 месяца назад

      Mnajiropokea tu mambo msio yajua kawaitisha mkafanye majadiliano mbona mnamiogopa nendeni sio maneno tu ya vichochoroni

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 4 месяца назад

    Huyo kishki ni KASUKU tu na mkusanya mali!!
    Wala hana elimu ya kueleweka!!