Kinachoniuma hakuna anaemjali huyu jamaa hata bendi yake haisikiki tena "urithi band" natafuta nyimbo zake kama ninakipenda, mabawa , n.k lkn hakuna tunakwama wapi bkb
Huwa najiuliza sana ni kwa nini hazungumziwi kabisa hata nyimbo zske hatuzisikii kabisa kokote ila hiyu jamaa alifanya kazi sana na mziki wake ni mziki mzuri ameturusha sana kwenye ma disko vumbi miaka ya 98 kuja mpaka 2000n umo
R.I.P 2021 nimekumbuka mbali Sana ndugu zangu wengi walikua ha I...nikikumbuka nalia Sana inaniuma Sana ...Tulikua tunamaisha ya Umasikini wa mwisho ...baba Angu Alikua na Panasonic .....nilikua nasikia Justin Kalikawe ....
tunaweza kufanya jambo kwa ajiri yake, hatujachelewa. Ushauri... wasanii wenzake kwenye matamasha yetu jaribu kuingia na hizi nyimbo ili kizazi kipya(mashabiki) wawajue ma legendary wa tz.
Ila mtanzania ni kiumbe Cha ajabu Sana sometimes. Hivi Kuna wimbo wa Justine utaweka thumb down? Yaani unamkataa Justine kwa hoja ipi? Huo ndo ushetani wa wazi wazi aisee
Yaaani masanii yetu ya siku hiz yaani mt unashindwa hata kufanya cover up ya wimbo wowote wa huyu mtu ? Wakati ukienda malekani wasanii wanarudia kuimba na kufanya mix ya nyimbo za watu wa kale !
R.I.P 2021 nimekumbuka mbali Sana ndugu zangu wengi walikua ha I...nikikumbuka nalia Sana inaniuma Sana ...Tulikua tunamaisha ya Umasikini wa mwisho ...baba Angu Alikua na Panasonic .....nilikua nasikia Justin Kalikawe ....1997 now nimiaka 24 imepita
Kama ww bado una usikiliza wimbo hu mpaka leo Feb 11-2-2020
Gonga like hapa
mungu akulaze mahali pema peponi Amina
vyombo vya habari vinapiga nyimbo za nusu uchi wanaachi kupiga nyimbo za jastin zenye ujumbe mzito kwa faida ya watanzania wazalendo
KALIKAWE from bukoba kitendaguro kagemu Mwenyezi Mungu ailaze roho yako mahari pema peponi nakuombea upunguziwe adhabu ya kaburi brother 🙏🙏🙏😭
Amina🙏🏾
Huyu comred anastahili kuenziwa kwa Yale aliyoyaimba leo yapo.
R.I.P jastin kalikawe😭😭😭
mtu muhimu sana ambaye jamii haimzungumzii kabisa, miongoni mw watu waliofanya mziki makini lkn amesahaulika kabisa....
kabhika chambala sana tu
kabhika chambala ,hawamzungumzii lakini kamwe hatutamsahau
Kinachoniuma hakuna anaemjali huyu jamaa hata bendi yake haisikiki tena "urithi band" natafuta nyimbo zake kama ninakipenda, mabawa , n.k lkn hakuna tunakwama wapi bkb
Huwa najiuliza sana ni kwa nini hazungumziwi kabisa hata nyimbo zske hatuzisikii kabisa kokote ila hiyu jamaa alifanya kazi sana na mziki wake ni mziki mzuri ameturusha sana kwenye ma disko vumbi miaka ya 98 kuja mpaka 2000n umo
Why black heroes die so soon! May Jah Glorry protect this core I pray amen!!
aah me nakumbuka mbali sana msanii km justine hactahl kuchuniwa wakat kaz zake ni nzur mpaka kesho.media hebu mtendeen haki kwny vipind vya ragger
R.I.P 2021 nimekumbuka mbali Sana ndugu zangu wengi walikua ha I...nikikumbuka nalia Sana inaniuma Sana ...Tulikua tunamaisha ya Umasikini wa mwisho ...baba Angu Alikua na Panasonic .....nilikua nasikia Justin Kalikawe ....
sitaacha kusikiliza ujumbe Mzuri toka kwako..pumzika Kwa aman
Kweli bwana panapofuka moshi lazima uzime moto chini
Mv bukoba mwenye nayo tuasiliane
uyu jamaaa nikimsikiliza ananikumbusha mbali sana ila nashangaa albam zake azipatikana mnaejua wapi zinapatikana taharifa muhim mungu aiweke roho pema
Ukiusikiliza ule wimbo wa mv bukoba,,utaerewa kwanini jamaa hakuvuma
Kipindi hicho makambako songea au watu wangu wambeya songea wakati huo madereva wa kosta mikoa hiyo hizi ngoma walizitendea haki kweny magali yao
tunaweza kufanya jambo kwa ajiri yake, hatujachelewa. Ushauri... wasanii wenzake kwenye matamasha yetu jaribu kuingia na hizi nyimbo ili kizazi kipya(mashabiki) wawajue ma legendary wa tz.
Asante sana Kalikawe, u did ur best bro, RIP
Alikua anaona mbal sana huyu broo rip
Justin Kalikawe forever, you did your work..RIP brethren
Naomba tupia na ya mv Bukoba ..."usitumie cheo chako kama ya matakwa Yako utasababisha ajali kama ya MV Bukob
Nani anasikiliza hizi nondo mwaka huu wa majanga 2020?
Conscious mind wako hapa.
Naitafuta nyimbo yake inayoitwa Mv bukoba mwenye nayo tuasiliane
tuombe mwisho mwemwa.R.I.P.
This was the beautiful song since long time but I don't they don't play the songs on our television and radio iam so sad god be wiz u brother 2018
Bonge la ngoma
Tanzania reggae super star ever seen,may almighty God rest internal peace
Mbona ule wimbo wa usitumie cheo chako kama dhamana siupati wadau
Dah na mimi pia nautafuta sana mwenye nayo tuasiliane, ile inaitwa mv bukoba
Jamaa aliona mbali Sana Cha ajabu hata Ngoma zao hawapigi dah mwanahalakati hawa wengine feki tu
Hii ndio bongo
Aisee huyu ni mtu alikuwa mwanaharakat sana ila tumemsahau sijui alikuwa mtu wa mkoa gani
Kagera bukoba
Mungu ailaze mahali pema roho ya ndugu yetu
RIP Justine ..ulitimiza wajibu wako
R.I.P mdau tutakukumbuka daima,,,ulikuwa kioo cha jamii
R.I.P justine & my loved daddy Slyvester.A.Kakembwe.
R.I.P bro bado tunasikiliza kazi zako hasa ile nyimbo yako sote ni ndugu
R.I.P my lovely brother.
Justin kalikawe!
A lot of wisdom in this song
R.I.P ..best musician
R.I.P tutakukumbuka daima
Mpaka leo bando nakusikiza kaka R I p
Daima nitakukumbuka kwa ushauri wako
mziki mtamu aiseeee, mpaka raha
Kweli kaka
Hakika alikuwa kioo Cha jaamii dhidi ya maneno yake R.I.P Justine
R.I.P Justin Kalikawe
Nico boresha hizo nyimbo brother kwani ni kali sana nakumbuka nikiwa maghetoni huko nikiwa kilombero ndio zilikuwa ngoma zangu
R.I.P. JK
sijaona mwingine kama kilikawe
Dah! Maneno kuntu sana
Daaaaaah!!! 1996 hiyooo. Tangulia Kalikawe
Leo tar24 mwezi 7 2020
Ukata album yake nenda pale Kariakoo kwenye duka la wahindi unaweza pata
cd's zake zinapatikana huyu mtu!? Kuna wimbo wake unaitwa 'Ungekuwa'. Huo nausaka sana. Au album yake iitwayo WEMA
U wise let change them
R.I.P kawe
Rastaman never die
uyumdau vp anawakumbusha nn wadau
Ila mtanzania ni kiumbe Cha ajabu Sana sometimes.
Hivi Kuna wimbo wa Justine utaweka thumb down? Yaani unamkataa Justine kwa hoja ipi? Huo ndo ushetani wa wazi wazi aisee
good
Yaaani masanii yetu ya siku hiz yaani mt unashindwa hata kufanya cover up ya wimbo wowote wa huyu mtu ? Wakati ukienda malekani wasanii wanarudia kuimba na kufanya mix ya nyimbo za watu wa kale !
⁰
mtu muhimu sana ambaye jamii haimzungumzii kabisa, miongoni mw watu waliofanya mziki makini lkn amesahaulika kabisa....
R.I.P 2021 nimekumbuka mbali Sana ndugu zangu wengi walikua ha I...nikikumbuka nalia Sana inaniuma Sana ...Tulikua tunamaisha ya Umasikini wa mwisho ...baba Angu Alikua na Panasonic .....nilikua nasikia Justin Kalikawe ....1997 now nimiaka 24 imepita
Naitafuta nyimbo yake inayoitwa Mv bukoba mwenye nayo tuasiliane 🙏🙏
R.I.P mdau tutakukumbuka daima,,,ulikuwa kioo cha jamii
tuombe mwisho mwemwa.R.I.P.
R.I.P mdau tutakukumbuka daima,,,ulikuwa kioo cha jamii
R.I.P mdau tutakukumbuka daima,,,ulikuwa kioo cha jamii