Justin Kalikawe - Panapofuka

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 20 сен 2024
  • Justin Kalikawe - Panapofuka

Комментарии • 80

  • @josephlucas3634
    @josephlucas3634 4 года назад +21

    Kama ww bado una usikiliza wimbo hu mpaka leo Feb 11-2-2020
    Gonga like hapa

    • @michaelmdope16
      @michaelmdope16 4 года назад

      mungu akulaze mahali pema peponi Amina

    • @michaelmdope16
      @michaelmdope16 4 года назад +1

      vyombo vya habari vinapiga nyimbo za nusu uchi wanaachi kupiga nyimbo za jastin zenye ujumbe mzito kwa faida ya watanzania wazalendo

  • @betrammwanga8250
    @betrammwanga8250 11 месяцев назад

    KALIKAWE from bukoba kitendaguro kagemu Mwenyezi Mungu ailaze roho yako mahari pema peponi nakuombea upunguziwe adhabu ya kaburi brother 🙏🙏🙏😭

  • @makorimwita6206
    @makorimwita6206 3 года назад +2

    Huyu comred anastahili kuenziwa kwa Yale aliyoyaimba leo yapo.
    R.I.P jastin kalikawe😭😭😭

  • @kabhikachambala3392
    @kabhikachambala3392 6 лет назад +19

    mtu muhimu sana ambaye jamii haimzungumzii kabisa, miongoni mw watu waliofanya mziki makini lkn amesahaulika kabisa....

    • @lusekelomwakyusa8868
      @lusekelomwakyusa8868 6 лет назад

      kabhika chambala sana tu

    • @lusekelomwakyusa8868
      @lusekelomwakyusa8868 6 лет назад +3

      kabhika chambala ,hawamzungumzii lakini kamwe hatutamsahau

    • @ramadhanmasiku4105
      @ramadhanmasiku4105 3 года назад +1

      Kinachoniuma hakuna anaemjali huyu jamaa hata bendi yake haisikiki tena "urithi band" natafuta nyimbo zake kama ninakipenda, mabawa , n.k lkn hakuna tunakwama wapi bkb

    • @yamungutv3966
      @yamungutv3966 2 года назад +1

      Huwa najiuliza sana ni kwa nini hazungumziwi kabisa hata nyimbo zske hatuzisikii kabisa kokote ila hiyu jamaa alifanya kazi sana na mziki wake ni mziki mzuri ameturusha sana kwenye ma disko vumbi miaka ya 98 kuja mpaka 2000n umo

  • @sebastianmcharo3468
    @sebastianmcharo3468 2 года назад

    Why black heroes die so soon! May Jah Glorry protect this core I pray amen!!

  • @sundayguy779
    @sundayguy779 6 лет назад +3

    aah me nakumbuka mbali sana msanii km justine hactahl kuchuniwa wakat kaz zake ni nzur mpaka kesho.media hebu mtendeen haki kwny vipind vya ragger

  • @ombenimalaki6749
    @ombenimalaki6749 3 года назад +1

    R.I.P 2021 nimekumbuka mbali Sana ndugu zangu wengi walikua ha I...nikikumbuka nalia Sana inaniuma Sana ...Tulikua tunamaisha ya Umasikini wa mwisho ...baba Angu Alikua na Panasonic .....nilikua nasikia Justin Kalikawe ....

  • @augustinodaniel5574
    @augustinodaniel5574 5 лет назад +2

    sitaacha kusikiliza ujumbe Mzuri toka kwako..pumzika Kwa aman

  • @maimunafundi3544
    @maimunafundi3544 3 года назад

    Kweli bwana panapofuka moshi lazima uzime moto chini

  • @twahasaid7813
    @twahasaid7813 10 лет назад +2

    uyu jamaaa nikimsikiliza ananikumbusha mbali sana ila nashangaa albam zake azipatikana mnaejua wapi zinapatikana taharifa muhim mungu aiweke roho pema

    • @kuhanimalisho3810
      @kuhanimalisho3810 3 года назад

      Ukiusikiliza ule wimbo wa mv bukoba,,utaerewa kwanini jamaa hakuvuma

  • @rhodagama6664
    @rhodagama6664 4 года назад +1

    Kipindi hicho makambako songea au watu wangu wambeya songea wakati huo madereva wa kosta mikoa hiyo hizi ngoma walizitendea haki kweny magali yao

  • @faustinemlebya8451
    @faustinemlebya8451 5 лет назад +1

    tunaweza kufanya jambo kwa ajiri yake, hatujachelewa. Ushauri... wasanii wenzake kwenye matamasha yetu jaribu kuingia na hizi nyimbo ili kizazi kipya(mashabiki) wawajue ma legendary wa tz.

  • @aruaamon1409
    @aruaamon1409 11 лет назад +4

    Asante sana Kalikawe, u did ur best bro, RIP

  • @benitoilulatvpilla144
    @benitoilulatvpilla144 2 года назад +1

    Alikua anaona mbal sana huyu broo rip

  • @aloycelimu6192
    @aloycelimu6192 2 года назад +1

    Justin Kalikawe forever, you did your work..RIP brethren

  • @andreapati8415
    @andreapati8415 2 года назад

    Naomba tupia na ya mv Bukoba ..."usitumie cheo chako kama ya matakwa Yako utasababisha ajali kama ya MV Bukob

  • @boeihongoa1436
    @boeihongoa1436 4 года назад +2

    Nani anasikiliza hizi nondo mwaka huu wa majanga 2020?
    Conscious mind wako hapa.

    • @maulidsaid9448
      @maulidsaid9448 3 года назад

      Naitafuta nyimbo yake inayoitwa Mv bukoba mwenye nayo tuasiliane

  • @elishanehemia4576
    @elishanehemia4576 9 лет назад +3

    tuombe mwisho mwemwa.R.I.P.

  • @rashidkassim7836
    @rashidkassim7836 6 лет назад +3

    This was the beautiful song since long time but I don't they don't play the songs on our television and radio iam so sad god be wiz u brother 2018

  • @ibrahimjafari8872
    @ibrahimjafari8872 4 года назад +3

    Bonge la ngoma

  • @maiphonez_tz4951
    @maiphonez_tz4951 Год назад

    Tanzania reggae super star ever seen,may almighty God rest internal peace

  • @ommylavaofficiall8359
    @ommylavaofficiall8359 3 года назад

    Mbona ule wimbo wa usitumie cheo chako kama dhamana siupati wadau

    • @maulidsaid9448
      @maulidsaid9448 3 года назад

      Dah na mimi pia nautafuta sana mwenye nayo tuasiliane, ile inaitwa mv bukoba

  • @rashidkassim5812
    @rashidkassim5812 7 лет назад +3

    Jamaa aliona mbali Sana Cha ajabu hata Ngoma zao hawapigi dah mwanahalakati hawa wengine feki tu

  • @pashcompomongo3347
    @pashcompomongo3347 4 года назад +1

    Aisee huyu ni mtu alikuwa mwanaharakat sana ila tumemsahau sijui alikuwa mtu wa mkoa gani

  • @rizikizainabu1506
    @rizikizainabu1506 5 лет назад

    Mungu ailaze mahali pema roho ya ndugu yetu

  • @edondaki
    @edondaki 12 лет назад +3

    RIP Justine ..ulitimiza wajibu wako

  • @godfreywambura815
    @godfreywambura815 6 лет назад +1

    R.I.P mdau tutakukumbuka daima,,,ulikuwa kioo cha jamii

  • @mulindamulindaa296
    @mulindamulindaa296 9 лет назад +1

    R.I.P justine & my loved daddy Slyvester.A.Kakembwe.

  • @jumaselemanchelsea9122
    @jumaselemanchelsea9122 5 лет назад

    R.I.P bro bado tunasikiliza kazi zako hasa ile nyimbo yako sote ni ndugu

  • @rowdyrondarouseyfire9476
    @rowdyrondarouseyfire9476 7 лет назад +2

    R.I.P my lovely brother.

  • @kalitanzania1056
    @kalitanzania1056 6 лет назад +1

    Justin kalikawe!

  • @twahirabasi9765
    @twahirabasi9765 8 лет назад +2

    A lot of wisdom in this song

  • @amishadykiswaga1077
    @amishadykiswaga1077 5 лет назад +1

    R.I.P ..best musician

  • @nurdinmbwana9778
    @nurdinmbwana9778 5 лет назад +1

    R.I.P tutakukumbuka daima

  • @asisaboazi1036
    @asisaboazi1036 4 года назад +1

    Mpaka leo bando nakusikiza kaka R I p

  • @justinhabonimana3890
    @justinhabonimana3890 6 лет назад +1

    Daima nitakukumbuka kwa ushauri wako

  • @emmanuelmbedule3358
    @emmanuelmbedule3358 7 лет назад +1

    mziki mtamu aiseeee, mpaka raha

  • @sundaymahona9892
    @sundaymahona9892 3 года назад

    Hakika alikuwa kioo Cha jaamii dhidi ya maneno yake R.I.P Justine

  • @norascombedule1057
    @norascombedule1057 3 года назад

    R.I.P Justin Kalikawe

  • @filbertcarlos2946
    @filbertcarlos2946 3 года назад

    Nico boresha hizo nyimbo brother kwani ni kali sana nakumbuka nikiwa maghetoni huko nikiwa kilombero ndio zilikuwa ngoma zangu

  • @liberatusj.rwebugisa7763
    @liberatusj.rwebugisa7763 9 лет назад +3

    R.I.P. JK

  • @ceciliaathanas751
    @ceciliaathanas751 5 лет назад

    Dah! Maneno kuntu sana

  • @sylvanuskavindi2756
    @sylvanuskavindi2756 7 лет назад +1

    Daaaaaah!!! 1996 hiyooo. Tangulia Kalikawe

  • @Baharia92
    @Baharia92 4 года назад +1

    Leo tar24 mwezi 7 2020

  • @thabitification
    @thabitification 7 лет назад +2

    Ukata album yake nenda pale Kariakoo kwenye duka la wahindi unaweza pata

    • @sylvanuskavindi2756
      @sylvanuskavindi2756 7 лет назад

      cd's zake zinapatikana huyu mtu!? Kuna wimbo wake unaitwa 'Ungekuwa'. Huo nausaka sana. Au album yake iitwayo WEMA

  • @melkevermjwauzi3836
    @melkevermjwauzi3836 7 лет назад

    U wise let change them

  • @rashidkassim7836
    @rashidkassim7836 6 лет назад

    R.I.P kawe

  • @WestChoma01
    @WestChoma01 4 года назад

    Rastaman never die

  • @farajifrancis221
    @farajifrancis221 6 лет назад

    uyumdau vp anawakumbusha nn wadau

  • @geraldsanzala8119
    @geraldsanzala8119 4 года назад +1

    Ila mtanzania ni kiumbe Cha ajabu Sana sometimes.
    Hivi Kuna wimbo wa Justine utaweka thumb down? Yaani unamkataa Justine kwa hoja ipi? Huo ndo ushetani wa wazi wazi aisee

  • @theresiavicenty9491
    @theresiavicenty9491 6 лет назад

    good

  • @rolencejohn8988
    @rolencejohn8988 Год назад

    Yaaani masanii yetu ya siku hiz yaani mt unashindwa hata kufanya cover up ya wimbo wowote wa huyu mtu ? Wakati ukienda malekani wasanii wanarudia kuimba na kufanya mix ya nyimbo za watu wa kale !

  • @south_boy_sniper5945
    @south_boy_sniper5945 2 года назад

  • @kabhikachambala3392
    @kabhikachambala3392 6 лет назад +3

    mtu muhimu sana ambaye jamii haimzungumzii kabisa, miongoni mw watu waliofanya mziki makini lkn amesahaulika kabisa....

  • @ombenimalaki6749
    @ombenimalaki6749 3 года назад +1

    R.I.P 2021 nimekumbuka mbali Sana ndugu zangu wengi walikua ha I...nikikumbuka nalia Sana inaniuma Sana ...Tulikua tunamaisha ya Umasikini wa mwisho ...baba Angu Alikua na Panasonic .....nilikua nasikia Justin Kalikawe ....1997 now nimiaka 24 imepita

    • @maulidsaid9448
      @maulidsaid9448 3 года назад

      Naitafuta nyimbo yake inayoitwa Mv bukoba mwenye nayo tuasiliane 🙏🙏

  • @godfreywambura815
    @godfreywambura815 6 лет назад +1

    R.I.P mdau tutakukumbuka daima,,,ulikuwa kioo cha jamii

  • @elishanehemia4576
    @elishanehemia4576 9 лет назад +1

    tuombe mwisho mwemwa.R.I.P.

  • @godfreywambura815
    @godfreywambura815 6 лет назад +1

    R.I.P mdau tutakukumbuka daima,,,ulikuwa kioo cha jamii

  • @godfreywambura815
    @godfreywambura815 6 лет назад +1

    R.I.P mdau tutakukumbuka daima,,,ulikuwa kioo cha jamii