𝗕𝗔𝗖𝗛𝗨 || 𝚄𝙺𝙸𝙰𝙲𝙷𝙰 𝙵𝙸𝙺𝚁𝙰 𝚉𝙰 𝙺𝙸𝚆𝙰𝙷𝙰𝙱𝙸 𝚄𝚃𝙰𝙴𝙻𝙴𝚆𝙰 𝙷𝙰𝚈𝙰 𝙼𝙰𝙼𝙱𝙾

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 фев 2025

Комментарии • 28

  • @hassanWanjiku
    @hassanWanjiku 3 дня назад

    Subhanallah haki muogopeni Allah subhannahu wa taala yaa alhul sufii

  • @soragamohd-tk7ev
    @soragamohd-tk7ev 7 дней назад

    😅

  • @jordan.3109
    @jordan.3109 17 дней назад +1

    BABU MALEMBA HUNA MOJA HUNA MBILI POROJO TU.

  • @AllyNgale
    @AllyNgale 2 часа назад

    Mtoto wa bacho umepata levoyako rukanaye Sasa ila we mtoto wa bacho ulipo enda kumradi Shekh Othmani Maalimu ulianza kupanda gari Kwa mbele

  • @suleimanjuma1458
    @suleimanjuma1458 2 дня назад

    Huyu jamaa anakosea akisoma maneno ya kiarabu

  • @keazi9638
    @keazi9638 11 дней назад

    MAWAHABI nimakafili mimi nasema

  • @soragamohd-tk7ev
    @soragamohd-tk7ev 7 дней назад

    Babu malemba mcheallah tena muogope Allah tena muogope Allah ww unamzulia uwongo mtume babu malemba nakwita tena ujue ikosiku utaondoka katimaisha Hy Kam umetumwa ujue humpati mt Bali waipata nafciyako mwenyewe mm nakukumbusha hadisi yoyo atakae nizulia mm uwongo Kwa makusudi BC ajiandalie mt uyo makaazi yake moton cc ww nitie pambani

  • @kkkkkkkkk77
    @kkkkkkkkk77 17 дней назад

    Huyu mzee wavilemba muongo peorojo tupu wa innalilah 😂😂😂😂😂😂😂

  • @rashidhasni2112
    @rashidhasni2112 4 дня назад

    Jambo la kwanza ungetuambia nini maana ya IBADA. Kisha ndio ukaleta huo msingi kuwa asili ya ibada ni tawaqquf. Na huko kuzidisha unazidisha vipi? Je utazidisha zaidi ya utaratibu aliofundisha mtume swalla llah Alayhi wassalam

    • @shalbaonlinetv
      @shalbaonlinetv  4 дня назад

      @@rashidhasni2112nashangaa pamoja nakutazama video bado hujaelewa je vitabu utaelewaaa? Wapi sheikh kasema asili ya bidaa ni attawaquf?

  • @Mubarak-e6p
    @Mubarak-e6p 18 дней назад +1

    Hivi katika maswahaba walisherekea. Mbona mueke dini upande sio

  • @ramadhanramez11
    @ramadhanramez11 16 дней назад

    Huyu amekuja kutafuta kiki kwa Sheikh Bachu na yeye atrend😂😂😂, masufi wanapenda usanii

  • @AllyAhmad-zg2yp
    @AllyAhmad-zg2yp 17 дней назад

    Watu wa zama zisizokua za mtume na maswahaba wanaijua zaidi dini kuliko maswahaba. Birthday ni mtume gani alisherehekea ? Au mbado mbabaki kuna ubaya gani? Kisingizio tunamswalia mtume. Je maswahaba walikua hawamswalii mtume? Au walikua hawamsifu mtume? Walisoma maulidi? Dini yso ilikua dhsifu?

    • @shalbaonlinetv
      @shalbaonlinetv  17 дней назад

      @@AllyAhmad-zg2yp sisi tunafaidika sana tukikusanyika kwaajili ya mtume tatizo lenu Mawahabi nyie ni chuki yenu kwetu na siyo sisi bali mnatuhusudu kwakule kumkusanyikia kipenzi chetu mtume Muhammad,
      sasa nikuulize swali wewe kama kweli bidaa zote hazifai muulize sheikh wako kuweka mnara juu ya msikiti hiyo ni sunna ?

    • @AllyAhmad-zg2yp
      @AllyAhmad-zg2yp 17 дней назад

      @shalbaonlinetv ah kumbe hujui maana ya bidaa kisheria ndugu. Anglia abillah bin suud sahaba huyu aliwakuta watu msikitini wamekaa vikundi na vijiwe ktk kila kikundi kuna kiongozi anawambia semen subhana llah Mars 100 alhamdulillah mara 100 nk mbona aliwakemea nawao walijibu kua hatujakusudia ila kheri nae akawajibu similar anaekusudia kheri anaipata na mwisho akawaambia kua eidha nyinyi mtakua bora kuliko mtume kwahili na maswahaba au mtakua mmefungua mlango washari

    • @SadickMussa-g6h
      @SadickMussa-g6h 17 дней назад

      Bidaa zote ni upotevu

    • @rashidhasni2112
      @rashidhasni2112 4 дня назад

      Sawa mnafaidika je faida hiyo hakujiuwa mtume na maswahaba zake mje leo muone nyinyi? Kama aliona kwanini hakufanya mfanye nyinyi?

  • @SaidiMohamed-bj2wg
    @SaidiMohamed-bj2wg 18 дней назад

    Kauze pweza elimu inawenyewe wee nimwehu

  • @hafizmubarakmussa1780
    @hafizmubarakmussa1780 17 дней назад

    ما قبلتك ? umetoa wapi

  • @Muswlih
    @Muswlih 18 дней назад

    Huna kitu ww bwana mdogo sn

  • @Mubarak-e6p
    @Mubarak-e6p 18 дней назад

    Sheikh kilemba huna kitu uko empty bongo lako. Alafu acha kumsingizia mtume Muhammad saw Utapata khasara

  • @YahyaYahya-vp2pp
    @YahyaYahya-vp2pp 18 дней назад

    Kiki hizo sasa

  • @imraniqbal00765
    @imraniqbal00765 18 дней назад

    Ebwana weee maulidi kwani yalianza lini na nani alianzisha maulidi ????

  • @mubariekabrahams2650
    @mubariekabrahams2650 18 дней назад

    Weka nikash mjadala wa pande zote.

    • @kkkkkkkkk77
      @kkkkkkkkk77 17 дней назад

      Safi aje afanye niqash uso kwa uso na bachu