Babu malemba mcheallah tena muogope Allah tena muogope Allah ww unamzulia uwongo mtume babu malemba nakwita tena ujue ikosiku utaondoka katimaisha Hy Kam umetumwa ujue humpati mt Bali waipata nafciyako mwenyewe mm nakukumbusha hadisi yoyo atakae nizulia mm uwongo Kwa makusudi BC ajiandalie mt uyo makaazi yake moton cc ww nitie pambani
Jambo la kwanza ungetuambia nini maana ya IBADA. Kisha ndio ukaleta huo msingi kuwa asili ya ibada ni tawaqquf. Na huko kuzidisha unazidisha vipi? Je utazidisha zaidi ya utaratibu aliofundisha mtume swalla llah Alayhi wassalam
Watu wa zama zisizokua za mtume na maswahaba wanaijua zaidi dini kuliko maswahaba. Birthday ni mtume gani alisherehekea ? Au mbado mbabaki kuna ubaya gani? Kisingizio tunamswalia mtume. Je maswahaba walikua hawamswalii mtume? Au walikua hawamsifu mtume? Walisoma maulidi? Dini yso ilikua dhsifu?
@@AllyAhmad-zg2yp sisi tunafaidika sana tukikusanyika kwaajili ya mtume tatizo lenu Mawahabi nyie ni chuki yenu kwetu na siyo sisi bali mnatuhusudu kwakule kumkusanyikia kipenzi chetu mtume Muhammad, sasa nikuulize swali wewe kama kweli bidaa zote hazifai muulize sheikh wako kuweka mnara juu ya msikiti hiyo ni sunna ?
@shalbaonlinetv ah kumbe hujui maana ya bidaa kisheria ndugu. Anglia abillah bin suud sahaba huyu aliwakuta watu msikitini wamekaa vikundi na vijiwe ktk kila kikundi kuna kiongozi anawambia semen subhana llah Mars 100 alhamdulillah mara 100 nk mbona aliwakemea nawao walijibu kua hatujakusudia ila kheri nae akawajibu similar anaekusudia kheri anaipata na mwisho akawaambia kua eidha nyinyi mtakua bora kuliko mtume kwahili na maswahaba au mtakua mmefungua mlango washari
Subhanallah haki muogopeni Allah subhannahu wa taala yaa alhul sufii
😅
BABU MALEMBA HUNA MOJA HUNA MBILI POROJO TU.
Mtoto wa bacho umepata levoyako rukanaye Sasa ila we mtoto wa bacho ulipo enda kumradi Shekh Othmani Maalimu ulianza kupanda gari Kwa mbele
Huyu jamaa anakosea akisoma maneno ya kiarabu
MAWAHABI nimakafili mimi nasema
Babu malemba mcheallah tena muogope Allah tena muogope Allah ww unamzulia uwongo mtume babu malemba nakwita tena ujue ikosiku utaondoka katimaisha Hy Kam umetumwa ujue humpati mt Bali waipata nafciyako mwenyewe mm nakukumbusha hadisi yoyo atakae nizulia mm uwongo Kwa makusudi BC ajiandalie mt uyo makaazi yake moton cc ww nitie pambani
Huyu mzee wavilemba muongo peorojo tupu wa innalilah 😂😂😂😂😂😂😂
Jambo la kwanza ungetuambia nini maana ya IBADA. Kisha ndio ukaleta huo msingi kuwa asili ya ibada ni tawaqquf. Na huko kuzidisha unazidisha vipi? Je utazidisha zaidi ya utaratibu aliofundisha mtume swalla llah Alayhi wassalam
@@rashidhasni2112nashangaa pamoja nakutazama video bado hujaelewa je vitabu utaelewaaa? Wapi sheikh kasema asili ya bidaa ni attawaquf?
Hivi katika maswahaba walisherekea. Mbona mueke dini upande sio
Huyu amekuja kutafuta kiki kwa Sheikh Bachu na yeye atrend😂😂😂, masufi wanapenda usanii
Watu wa zama zisizokua za mtume na maswahaba wanaijua zaidi dini kuliko maswahaba. Birthday ni mtume gani alisherehekea ? Au mbado mbabaki kuna ubaya gani? Kisingizio tunamswalia mtume. Je maswahaba walikua hawamswalii mtume? Au walikua hawamsifu mtume? Walisoma maulidi? Dini yso ilikua dhsifu?
@@AllyAhmad-zg2yp sisi tunafaidika sana tukikusanyika kwaajili ya mtume tatizo lenu Mawahabi nyie ni chuki yenu kwetu na siyo sisi bali mnatuhusudu kwakule kumkusanyikia kipenzi chetu mtume Muhammad,
sasa nikuulize swali wewe kama kweli bidaa zote hazifai muulize sheikh wako kuweka mnara juu ya msikiti hiyo ni sunna ?
@shalbaonlinetv ah kumbe hujui maana ya bidaa kisheria ndugu. Anglia abillah bin suud sahaba huyu aliwakuta watu msikitini wamekaa vikundi na vijiwe ktk kila kikundi kuna kiongozi anawambia semen subhana llah Mars 100 alhamdulillah mara 100 nk mbona aliwakemea nawao walijibu kua hatujakusudia ila kheri nae akawajibu similar anaekusudia kheri anaipata na mwisho akawaambia kua eidha nyinyi mtakua bora kuliko mtume kwahili na maswahaba au mtakua mmefungua mlango washari
Bidaa zote ni upotevu
Sawa mnafaidika je faida hiyo hakujiuwa mtume na maswahaba zake mje leo muone nyinyi? Kama aliona kwanini hakufanya mfanye nyinyi?
Kauze pweza elimu inawenyewe wee nimwehu
ما قبلتك ? umetoa wapi
Huna kitu ww bwana mdogo sn
Sheikh kilemba huna kitu uko empty bongo lako. Alafu acha kumsingizia mtume Muhammad saw Utapata khasara
Kiki hizo sasa
Ebwana weee maulidi kwani yalianza lini na nani alianzisha maulidi ????
Tumia elimu, usitumie mihemko
Weka nikash mjadala wa pande zote.
Safi aje afanye niqash uso kwa uso na bachu