UPENDO NA UKARIMU - KWAYA YA BMTL KIWANJA CHA NDEGE DODOMA | TAMASHA LA YESU NI MWEMA 2019
HTML-код
- Опубликовано: 15 сен 2024
- Karibu mpenzi mtazamaji wa JUGO MEDIA leo tunakuletea performance zote za kwaya mbalimbali kutoka Jimbo Kuu la Dar es Salaam na majimbo mengine tanzania zilizofanyika katika Tamasha kubwa la uimbaji Tamasha la Yesu ni Mwema 2019 al maarufu kama TYM 7. USISAHAU KUSHARE LIKE COMMENT NA PIA KU SUBSCRIBE KATIKA CHANNELL YETU ILI USIPITWE NA MATUKIO MENGI MAZURI.
PERFOMANCE ZILIKUWA KAMA IFUATAVYO
1. BMM YOMBO VITUKA
2. BMTL KIWANJA CHA NDEGE DODOMA
3. ALOYCE GONZAGA KIGAMBONI
4. MT KIZITO MAKUBURI
5. ANUARITE MAKUBURI
6.JMOZ MOSHI
7. ALOYCE GONZAGA MABIBO
8. DON BOSCO KIMANGA
9. CECILIA MAKUBURI
10. DESPINA
11. PHILHARMONIC
12. KATARINA WA SIENA KAWE
13. MARIA GORETH MBAGALA
14. MALAIKA GABRIELI SEGEREA
14. QUADRI V (FAMILIA YA BERNAD MUKASA)
Congratulations ❤
Dah yaani wapo wengi mpaka raha baasi tuu !!
Mpiga ngoma kawakosea sanaaaa
Kweli zacharia Gerald amepata mpinzani
sana
Sio kwa mbwembwe hzo jmn kaah😅😅😅 nawapenda sana Mungu awatunze daima
Kijana wangu spata umekill Mungu azidi kukubariki udum katika kumtukuza yeye najivunia sana wewe kijana wetu
Asante Ma Mdogo.
Amina
@@josephspata6918 Hongereni sana kwa kweli nilikuja dodoma na nikahakikisha nahuduria Misa Parokiani kwenu mko vizuri sana. Huo wimbo mlianza nao unaitwaje ?
Mungu awabariki kwa utume mzuri
Nawspenda bure
Waoh so beautiful song I love you all 1
Huo wimbo walioingia nao unaitwaje ?
Hongereni sana kwa uimbaji mzuri
Hongereni wanakwaya mpo vizuri
Wooow!! Safi sana mmependeza. Congratulations
👏👏