PART12:KANYERERE MKUU WA WACHAWI AFRICA ALIEUA WATU 2494 KUMPELEKEA LUCIFER/NILIKUW KATIBU ILLUMINAT

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 296

  • @festokiraryo.6107
    @festokiraryo.6107 3 года назад +17

    Davista simama sana na mungu na Kwa jina la yesu hiyo kazi unayoifanya ya kutuletea ujumbe ni ngumu sana

  • @dsgroup6093
    @dsgroup6093 3 года назад +24

    Huyu ndugu yetu kama tukimskiliza kwa chuki kwa sabb za kidini hatutomuelewa lakini tukiacha yote tukasema tupo shule tukakubali kujifunza na kubadilika hapa kuna unabii mkubwa sana ambao mda si mrefu utaend kutimia

  • @monicabh1668
    @monicabh1668 3 года назад +9

    Huu si mkasa bali ni elimu kubwa sana ya kiroho 🙏🙏Asante sana mtumishi

  • @ruthalberts8199
    @ruthalberts8199 3 года назад +8

    God is good all the time. I thought I had heard enough from Musa Chessa, lwada magere and others but this is another level.

  • @ombeniyohaneaustin8415
    @ombeniyohaneaustin8415 3 года назад +6

    Big up Mr davistar upo vizuri kwakuuliza maswali mimi ni shabikiyako saaana kutoka cape town south Africa

  • @kefasoneliakimumkeyembo1804
    @kefasoneliakimumkeyembo1804 2 года назад +1

    Mimi ninacho amini Mungu aliye hai anawatu wengi na ndio maana like ni nyingi kuliko dislike. Thank you Davistar.

  • @malulusalma9873
    @malulusalma9873 2 года назад +5

    Nimeamini magufuli hakuwa Freemason ndo maana alikuwa anapinga kila kitu wakamuondoa

  • @soaringeagle3253
    @soaringeagle3253 2 года назад +3

    Almighty God in heaven be glorified.May spirit of prophecy continue enlightening us.God bless Kanyerere,the servant of God.

  • @robimwita7617
    @robimwita7617 3 года назад +6

    I keep checking your channel for the next episode 🙂.... Tupe hata episodes nne Kwa siku. Lakini you are doing a good job.i love the knowledge I gain from your video.

    • @blueeyes5952
      @blueeyes5952 3 года назад

      Inne kwa siku wewe ni tajiri

  • @paullwangili2235
    @paullwangili2235 3 года назад +6

    Huyu ni mtumishi wa kweli wa Mungu

  • @flubtv
    @flubtv 3 года назад +3

    Nimeona hio movie, MZEE AKO SAWA .GOD PROTECT HIS PEOPLE

  • @macamezunguzungu5584
    @macamezunguzungu5584 3 года назад +5

    Amen 🙏🙏🙏🙏 Mr everything

  • @henryosoro7696
    @henryosoro7696 3 года назад +5

    Huyo mzee anaongea ukweli kabisa.. Hayo yanaendelea hapa. Cashless ndio tunatumia hapa.

  • @philipoluzege3200
    @philipoluzege3200 3 года назад +3

    Kwa kweli wasaboto wachache sana wakweli shida yak waihubili siku siyo Bwana Yesu

  • @henryosoro7696
    @henryosoro7696 3 года назад +2

    Ushuhuda kali sana.. Hayo maneno anaongea ni ya ukweli nimeyaona mahali niko. Tumezadungwa vaccine.. mungu atusamehe wale tumedungwa sababu ya kazi kutafuta riziki.. Mahali nafanya kazi Dubai huwezi tembea kampuni ingine bila chanjo. pia ukidungwa dawa passport yako inakuwa connected na vaccine.

  • @evelynetitus974
    @evelynetitus974 3 года назад +4

    Wanaomtukana huyu baba jitathimini maana anaongea ukweli

  • @hawasaid5286
    @hawasaid5286 3 года назад +3

    Mauretania ni kichwa xha shenanigans, Hollinwood ni demonic unachoongea ninakikubala- shetani ana. Muda wake ukiiishaa baaasj
    Thanks man of God to come and share this

  • @joshuatalu9596
    @joshuatalu9596 3 года назад +1

    Mungu awabariki sana.Mungu awalinde sana.Jina la Bwana libarikiwe.

  • @aminaally863
    @aminaally863 3 года назад +3

    Huy mzee nishaanza kumuona namna ngani vip kama way umechenza hivi

  • @monicasimpilu6257
    @monicasimpilu6257 3 года назад +6

    Mm naomba kuuliza wasiochanja itakuwaje? Shetani baba wa uongo, just imagine mtu alieenda kuzimu hana elimu. Anawafundisha lugha zote. Kwa kweli kanyerere amepata neema ya Mungu kuokoka. Na amzungushie ulinzi wake. Na neno la Mungu li hai na linaishi. Tumrudie Mungu wetu wa Mbinguni.

  • @bahatimihambo7639
    @bahatimihambo7639 3 года назад +1

    Upo sahihi mzee hongera sana

  • @degaragewadoriojapan8968
    @degaragewadoriojapan8968 3 года назад +2

    Safi sana fuzo iyii

  • @happykajeli5453
    @happykajeli5453 3 года назад

    Asante mzee kutufunulia hayo siku zimekwisha tusimame ktk imani wala tusikubali kuyumbiswa na shetani

  • @wazomyakinifu2301
    @wazomyakinifu2301 3 года назад +2

    Davistar bado sioni huyo msimuliaji akieleza kilichomsibu hadi akaamua kuachana na nguvu za giza. Naona akihubiri tu

  • @rosekazunguu2333
    @rosekazunguu2333 2 года назад

    Asantee MUNGU kwa kutuletea mtu wa kuzifichua mbinu za adui muovu shetani ili wengine tujue pa kukimbilia mapemaa wakati wa mipango yao ukifika

  • @nakiwalahjulliet9208
    @nakiwalahjulliet9208 3 года назад +2

    God have mercy on us.. very shocking.

  • @emilyrissling9703
    @emilyrissling9703 3 года назад

    Amen, Amen mungu ni mwema, asante kwa huu Ushuhuda

  • @jcobnyamweya8464
    @jcobnyamweya8464 3 года назад +2

    Wengi hawapendi kuambiwa ukweli lakini ukweli ndio huu

  • @khudatally5509
    @khudatally5509 3 года назад +4

    Am proud to be Muslim, thank you Allah Alhamdullilah ☺️

    • @jeffmulei8895
      @jeffmulei8895 3 года назад +1

      Kuja kwa yesu wacha imani ya MTU aliye kufa anaogojea ukumu

    • @khudatally5509
      @khudatally5509 3 года назад

      @@jeffmulei8895 yesu atarud na atawakana wote munaomuita mungu or mtoto wa mungu mana mungu halisi hakuzaa wala hakuzaliwa na wala halinganishwi na ki2 chochote zaid ya yote ulimwengu mzima utamtegemea Muhammad (s.a.w) kuwaombea msamaha siku ya mwisho

    • @jeffmulei8895
      @jeffmulei8895 3 года назад +1

      katika ukristo tunafaham yesu ni mwana wa mungu na pia nasi wote ni watoto wa mungu na yesu alitufia msarabani na baada ya Siku tatu akafufuka Muhammed alikufa na akaosa anaogoje kufufuliwa na yesu joo kwa yesu

    • @jeffmulei8895
      @jeffmulei8895 3 года назад

      yesu ni upendo wagalie wanao mwabudu Muhammed katika inchi kama somalia kama kuna amani Ila tu nikuwana na pia taifa zikini ikua aje ni dini za ukaidi

    • @khudatally5509
      @khudatally5509 3 года назад

      @@jeffmulei8895 umejiona ulivo na akili finyu km ww ni mtoto wa mungu unasali unamsalia Nani na mungu ndo baba yako na hakuna mungu anaeweza kukubali kudhalilishwa na viumbe dhaifu alivo viumba

  • @neemadamian5638
    @neemadamian5638 3 года назад +1

    Wakwanza Leo naombeni likes

  • @danielsteven5440
    @danielsteven5440 3 года назад +3

    Huu wakat tulio nao n hatar xn

    • @Teacher_01
      @Teacher_01 3 года назад +1

      Daniel baba wa maono.. ❤️❤️❤️🔥

  • @upendoluv7197
    @upendoluv7197 3 года назад +4

    Yani nimezurula RUclips Hadi imenikutia muendelezo😂😂😂

  • @aliyabdallah6986
    @aliyabdallah6986 3 года назад +1

    Uislami ni dini ya mungu sio dini ya mtu na mungu alishaahidi Kua dini yke atailinda na kitabu chake atakilinda hdi sku ya mwisho

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 2 года назад +2

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌.

  • @swedially2227
    @swedially2227 4 месяца назад

    Tangia nimemuangalia kanyerere nishajionea vitu vingi sana alivyoongea hapo nyuma na hakujiita Nabii huyu baba mpk mungu kamchukua.

  • @saadahiddy8789
    @saadahiddy8789 3 года назад +1

    😂😂 jamani mi naona kila mtu aamini katika nia na kweli maana tulisha sikia mwisho ukikaribia mengi yataibuka wallah looh nachoka Sana nikiwaza 🥺😓

  • @credo7837
    @credo7837 3 года назад +1

    Et nakupata nikiwa Oman ,Saudia,Kenya,Jordan n.k hivi mmeulizwa au umbea

  • @presenttruthloudcryforthel5338
    @presenttruthloudcryforthel5338 2 года назад

    Nafurahi sana kupata ujumbe huu maana tunapata kujua kweli na kukaa katika upande ulio salama,,Davista mata amua kufuata ukweli ,,Kanyerere alikufundisha yote amua ukabatizwe maana dunia inafikia likomo

  • @ladyt1471
    @ladyt1471 2 года назад +1

    Mungu acha aitwe Mungu

  • @habibasadick8263
    @habibasadick8263 3 года назад

    Ahsante mungu kwa kunipenda mm n watoto wangu

  • @bosskibiki3741
    @bosskibiki3741 3 года назад

    Hatari sana
    Mungu wetu wa mbinguni atusaidie

  • @justinendizeye714
    @justinendizeye714 3 года назад +1

    Duh, Amen 🙏

  • @muhsinmuhsein4484
    @muhsinmuhsein4484 3 года назад +4

    Story umeanza vizuri lakini asahivi unaharibu, unaingia kwenye mambo ya dini na elimu yako ndogo kwenye dini.

    • @kalssambaboo9932
      @kalssambaboo9932 3 года назад

      Eti qur an sio yakweli khaaa huyu bado hajawa sawa

    • @dsgroup6093
      @dsgroup6093 3 года назад +2

      ndo tatzo letu hata biblia ilisema mtasoma lakin hamtaelewa

    • @kingdeadmkelin9530
      @kingdeadmkelin9530 3 года назад

      Mchawi mchawi tu bhana

    • @teddyshirima2958
      @teddyshirima2958 3 года назад

      Tatizo upo hpa kidini, hutokaa uelewe

    • @muhsinmuhsein4484
      @muhsinmuhsein4484 3 года назад +1

      @@pastordavidnjoyamedia.4019 sisi waislamu hatuna shaka wala utata katika dini yetu, cha msingi azungumzie historia ya maisha yake basi

  • @patrickpazza4764
    @patrickpazza4764 3 года назад

    Big up Mr kila kitu

  • @SarahNankinga-p2o
    @SarahNankinga-p2o 5 месяцев назад

    Nataman nishike njia mungu

  • @magdalenawerema1658
    @magdalenawerema1658 3 года назад +1

    Kweli kabisa

  • @ijueiliyokweli3791
    @ijueiliyokweli3791 3 года назад +1

    Wakati naysema haya miaka saba iliyopita nilionekana chizi, ila Kwakuwa Mungu ni mwema na anakusudi jema kwa wanadamu wooote, ujumbe utafiki na watasikia, na kila sikio na lisikie, na kila jicho na lione. Ushauri: Huwezi kumkwepa Adui yako bila ya kumjua kuwa ni adui yako

  • @valentinandukuvalentinandu4779
    @valentinandukuvalentinandu4779 3 года назад

    Amen kwa mr

  • @abbytaurus652
    @abbytaurus652 3 года назад

    Weka video kwa playlist kk tunachoka kutafuta miendelezo

  • @omarkombo3474
    @omarkombo3474 3 года назад +1

    Hakuna mtu anaweza kusema anaiwakilisha dini ya uislam maana muakilishi alikua mtume na ameshafariki huyu shetani angeenda kubagain na mtume kabla hajafa hapa tuache kidg

  • @evadotv9528
    @evadotv9528 3 года назад

    Kanyerere ni noma sana

  • @robertndebate5462
    @robertndebate5462 2 года назад

    Kijana

  • @valentinandukuvalentinandu4779
    @valentinandukuvalentinandu4779 3 года назад +2

    nimebaki mdomo wazi ee dunia ina tisha

  • @amosethantheking8815
    @amosethantheking8815 3 года назад +1

    The Tomorrow War imetengenezwa na Amazon na Paramount...siyo Hollywood lakini siyo poa hiyo Movie ni ushetani tupu. Ni madudu yana maumbo ya ajabu..lina mikia 2..ni shetani.

  • @FocusM717
    @FocusM717 Год назад

    Naisikiliza tena kwa msra ya pili 2023 napata majibu na kufanya maamuzi sahihi

  • @dorahy1579
    @dorahy1579 Год назад

    Hii ni Elimu Dunia

  • @kulthumsaif2856
    @kulthumsaif2856 3 года назад +1

    Jamani madocta wa mirembe mko wapi mgonjwa wenu katoroka yuko huku🎤

  • @interiorpaintingdesign9307
    @interiorpaintingdesign9307 3 года назад

    mbona sioni part 11

  • @wemamanikana9791
    @wemamanikana9791 3 года назад

    Mungu awatunze ili muendelee kutupatia habari njema

  • @zuhurakayitesi7678
    @zuhurakayitesi7678 3 года назад

    November 26 the conference that's when it will be held on in EU , name of the conference is ENTSO -Conference . This conference will take decisive measures from the first conference which will also take place in November on 12th (name of the conference:COP26)

  • @nurudaud3993
    @nurudaud3993 2 года назад

    Oooh God heeeee 🙄🤔

  • @jkkim3848
    @jkkim3848 3 года назад +1

    But kusali inafaa kuwa ya kila siku.Sidhani Mungu anahitaji siku maalum ya kusali.Ila usali kwa roho na ukweli

    • @ascarkerubo.9398
      @ascarkerubo.9398 2 года назад

      Kusali ni kila siku lakini siku moja ilitikaswa watu wa Mungu washiriki pamoja, sabato takatifu

  • @mouwanahamisi8216
    @mouwanahamisi8216 3 года назад +1

    Aliyesain anaadhima yake tutasimama na Iman zet .....mung yupo nasi tushaambiw waislam tulishaambiw Zaman tu kuwa hawatokuw radhi nasi mpk tufuate wanayoyataka wao mung atuepushe nao

  • @roselyimo3676
    @roselyimo3676 2 года назад

    Ndio maana MUngu ndani ya Mfalme Zumaridi anayaweka wazi na ndiye aliyepigana vita ya Harmagedon Mwaka juzi ikapelekea kumfungia kanisa/ wanadamu hawajui vita hii ndio inafunua maovu yote ya wachungaji na iluinat kwa sasa. Pigwa sambaa shetani

  • @navokisembo
    @navokisembo 2 года назад +1

    🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽

  • @deusmakoye9999
    @deusmakoye9999 3 года назад +4

    Sasa mi nawaza huyu jamaa katoka miaka mingi sasa ratiba zao anaendelea kuzijua kwa njia ipi wakati kule ashatoka mfano mtu anapotoka mwenye kampuni ajenda za vikao watakazo kuwa wanakaa atakuwa anazijua kwa kutumia mbinu ipi au mm ndo sielewi kwa kweli sielewi elewi,🧐🧐🧐

    • @ludza32
      @ludza32 3 года назад +1

      Wewe elewa story alìsema zilikuwa zimepangwa sasa ndio zinakuja kuonekanaskiza kuelewa sio kujibu

    • @LoFi_120
      @LoFi_120 3 года назад

      Maarifa madogo sana

    • @teddyshirima2958
      @teddyshirima2958 3 года назад

      Alisema ni mambo yalikua yanajadiliwa na sasa nd yanatokea

    • @wazomyakinifu2301
      @wazomyakinifu2301 3 года назад +1

      Binafsi sijamsikia akisema katoka lini ila namuona akianza tu kuhubiri ktk episodes kadhaa hivi. Lini alitoka ni utata tu

    • @gracewilson6903
      @gracewilson6903 3 года назад

      Hauko makini so huwezi elewa

  • @peterkitsao9429
    @peterkitsao9429 2 года назад

    Jina la beans liinuliwe

  • @athumanmakale8221
    @athumanmakale8221 3 года назад

    Mzee Leo amefunguka mengii kazi ipo kweli kweli.

  • @josephmaganga1931
    @josephmaganga1931 3 года назад +1

    🤣🤣🤣davistar ameshtuka eti ataniua🤣🤣🤣🤣🤣

  • @evachuwa116
    @evachuwa116 3 года назад

    DevistaMata nakukubali KAKA mengi umethfungua macho

  • @blueeyes5952
    @blueeyes5952 3 года назад

    Je suis très ravi d'écouter ce témoignage, vous êtes mon vieux qui me donne le courage de vie.🥰🥰🥰🥰

  • @khadijabintmohammadbintmoh8026
    @khadijabintmohammadbintmoh8026 3 года назад +4

    Kalam fadhi.uislam ndio dini ya haki .hata muuchafue vp katu hamutoweza.

    • @gastokonzo9798
      @gastokonzo9798 3 года назад

      Uislam dini ya watu na majini na shetani alislim ni muislam

    • @aminaally863
      @aminaally863 3 года назад +2

      Kabsa kipenzi mwenyeo anasema huku nafsi inamsuta

    • @kalssambaboo9932
      @kalssambaboo9932 3 года назад

      Huyu hana elim ya dini yee asimlie tuuh aliyo yaona

  • @othmanmulendelwa9622
    @othmanmulendelwa9622 3 года назад +1

    Na yesu ukristo autambui ukristo umekuja baada yesu kwenda mbinguni ndio paulo kauleta ukristo

    • @marianachriss2444
      @marianachriss2444 3 года назад +1

      Akiongea ukweli mnaona uongo nyie watu mnataka mauti

  • @agneskighenda3795
    @agneskighenda3795 3 года назад

    Wow

  • @rachelmsekena603
    @rachelmsekena603 3 года назад +1

    Naendelea kujifunza

  • @bosskibiki3741
    @bosskibiki3741 3 года назад

    Mungu awalinde tupate kila kitu

  • @khadijabintmohammadbintmoh8026
    @khadijabintmohammadbintmoh8026 3 года назад +1

    Sasa wanaosali jumapili ni wakristo au ni waislamu.sini nyinyi wakristo manake ss waislamu kila siku tuna sali mara tano kwa siku .wewe mchawi tu mungu amekulaani

  • @mabulamasunga7378
    @mabulamasunga7378 3 года назад

    Hiyo movie inatwa the tommorrow War

  • @barackbrysonramsey
    @barackbrysonramsey 2 года назад

    Microchip haiwekwi kwa chanjo

  • @Maryam-vj1rb
    @Maryam-vj1rb 3 года назад +1

    Kwakweli huyo katika elimu ya dini hajuwi kitu

  • @nailabakari9494
    @nailabakari9494 3 года назад

    26 November ni black friday

  • @zezejr9285
    @zezejr9285 2 года назад

    Mbaya zaidi uislam hauendeshwi na mtu au tasisi

  • @husseingabo5497
    @husseingabo5497 2 года назад

    Huyo mpuuzi tu anafikilia Quran ni kitabu Cha kuchezewa na kubadilishwa kama bibilia waulize mmarekan mmoja aliotoka kuibalisha Quran alipata Cha mtema Kuni mpaka Leo anaishi Kwa kujifungia ndani Quran haichezewi na haijawi kuchezewa na kamwe haitachezewa wachezee hiyo hiyo bibilia abayo ni fake na siku zote kitu orijinaly hakiwezi chezewa

  • @aminaally863
    @aminaally863 3 года назад +1

    Sio wote ni wazuri kama mlivyo nyinyi so mnapozungumzia uisilam mnauzungumzia kichuki ni sio kama ilivyo kwa story na ukiona mtu katoka kuzum bado anapigan na uisilam na anachuki nao bado anamapepo Rwanda magere pekee ndo aloweka mambo sawa

    • @yusterlucas3654
      @yusterlucas3654 3 года назад

      Ukimuamini YESU kuwa bwana na mokozi wako hakika utauona uzma wa milele ameni

    • @aminaally863
      @aminaally863 3 года назад

      @@yusterlucas3654 ukimuamn wewe na family yako inatosha

    • @arthamsharibbya9778
      @arthamsharibbya9778 3 года назад

      @@aminaally863 Amina weee

    • @aminaally863
      @aminaally863 3 года назад

      @@arthamsharibbya9778 😏😏😏

  • @MishiPapalan
    @MishiPapalan 3 года назад +1

    Kwanini jamani huyu anatusababisha tuishi kwamashaka asibebe mjukukuu kwa nini mungu ndio kilakitu

  • @florencerose859
    @florencerose859 3 года назад

    Kwueli kabisa mpanglio mabaya yote ni za shaitani sio za mungu

  • @bakari-si1pw
    @bakari-si1pw 3 года назад +1

    Bado tuko pamoja

  • @kamgomoli3650
    @kamgomoli3650 3 года назад +1

    Tatizo Davistar haulizi ni lini haya matukio yalitokea.Mfano huo mkutano wa Vatican ulifanyika mwaka gani? Alipoenda Macca ilikuwa mwaka gani?

    • @blueeyes5952
      @blueeyes5952 3 года назад +1

      Hatuna haja ya kujua kilifanyika mwaka gani bali tuna haja ya kuanza kujulinda , mambo yote uyu baba anazumzia yamenza fanyika apa ulaya. Chanjo ingine imetoka ni kubandika mkononi. Lakini kwa sasa waitoa bure kwa anae penda chanjo ya aina iyo. Kisha itakuja kuwa ya lazima na ndio 666

    • @achsahcharles6728
      @achsahcharles6728 3 года назад

      Yani mimi nipewe huyu mzee nimuhoji, Davista naona hampatii, mimi angenikimbia

    • @blueeyes5952
      @blueeyes5952 3 года назад +1

      @@achsahcharles6728 umuhoji kwani wewe ni police??? Ukimuhoji ile inakuwa debate na sio story

  • @mrsukambi3847
    @mrsukambi3847 3 года назад

    Br naona leo umeishiwa maswali

  • @rachaelsikolia3432
    @rachaelsikolia3432 9 месяцев назад

    Ulitufunua macha ukaondoka

  • @thegreat.9869
    @thegreat.9869 2 года назад

    Akina GALILEO GALILEI na heliocentric Theory.

  • @mariamndimbo8833
    @mariamndimbo8833 3 года назад

    Davinsta nioe mimi

  • @happynesskimt6249
    @happynesskimt6249 3 года назад

    Ndiiyoo 😇🤭😅😅😅🙌🙌

  • @jennjaja1586
    @jennjaja1586 3 года назад

    Wow my God Jesus have mercy on me.

  • @thekcradioswahili2031
    @thekcradioswahili2031 2 года назад

    Hakuna kitu kinaitwa ampo chip….. wanatumia nanochip

  • @lovenessurasa3873
    @lovenessurasa3873 3 года назад

    Aendelee sasa na mkasa

  • @kefasonmahenga2917
    @kefasonmahenga2917 2 года назад

    Nimejifunza dini siyo kigezo cha kumpeleka mbinguni ila matendo nakufuata ukwel

  • @annamulenda6652
    @annamulenda6652 3 года назад

    Hollywood studios !!

  • @winifrida8641
    @winifrida8641 3 года назад

    Leo Davistar umeni furahisha

  • @thegospelmessage5039
    @thegospelmessage5039 3 года назад

    2031 be ready to receive christ in the clouds