Huyu ndugu yetu kama tukimskiliza kwa chuki kwa sabb za kidini hatutomuelewa lakini tukiacha yote tukasema tupo shule tukakubali kujifunza na kubadilika hapa kuna unabii mkubwa sana ambao mda si mrefu utaend kutimia
I keep checking your channel for the next episode 🙂.... Tupe hata episodes nne Kwa siku. Lakini you are doing a good job.i love the knowledge I gain from your video.
Ushuhuda kali sana.. Hayo maneno anaongea ni ya ukweli nimeyaona mahali niko. Tumezadungwa vaccine.. mungu atusamehe wale tumedungwa sababu ya kazi kutafuta riziki.. Mahali nafanya kazi Dubai huwezi tembea kampuni ingine bila chanjo. pia ukidungwa dawa passport yako inakuwa connected na vaccine.
Mauretania ni kichwa xha shenanigans, Hollinwood ni demonic unachoongea ninakikubala- shetani ana. Muda wake ukiiishaa baaasj Thanks man of God to come and share this
Mm naomba kuuliza wasiochanja itakuwaje? Shetani baba wa uongo, just imagine mtu alieenda kuzimu hana elimu. Anawafundisha lugha zote. Kwa kweli kanyerere amepata neema ya Mungu kuokoka. Na amzungushie ulinzi wake. Na neno la Mungu li hai na linaishi. Tumrudie Mungu wetu wa Mbinguni.
@@jeffmulei8895 yesu atarud na atawakana wote munaomuita mungu or mtoto wa mungu mana mungu halisi hakuzaa wala hakuzaliwa na wala halinganishwi na ki2 chochote zaid ya yote ulimwengu mzima utamtegemea Muhammad (s.a.w) kuwaombea msamaha siku ya mwisho
katika ukristo tunafaham yesu ni mwana wa mungu na pia nasi wote ni watoto wa mungu na yesu alitufia msarabani na baada ya Siku tatu akafufuka Muhammed alikufa na akaosa anaogoje kufufuliwa na yesu joo kwa yesu
@@jeffmulei8895 umejiona ulivo na akili finyu km ww ni mtoto wa mungu unasali unamsalia Nani na mungu ndo baba yako na hakuna mungu anaeweza kukubali kudhalilishwa na viumbe dhaifu alivo viumba
Nafurahi sana kupata ujumbe huu maana tunapata kujua kweli na kukaa katika upande ulio salama,,Davista mata amua kufuata ukweli ,,Kanyerere alikufundisha yote amua ukabatizwe maana dunia inafikia likomo
Wakati naysema haya miaka saba iliyopita nilionekana chizi, ila Kwakuwa Mungu ni mwema na anakusudi jema kwa wanadamu wooote, ujumbe utafiki na watasikia, na kila sikio na lisikie, na kila jicho na lione. Ushauri: Huwezi kumkwepa Adui yako bila ya kumjua kuwa ni adui yako
Hakuna mtu anaweza kusema anaiwakilisha dini ya uislam maana muakilishi alikua mtume na ameshafariki huyu shetani angeenda kubagain na mtume kabla hajafa hapa tuache kidg
The Tomorrow War imetengenezwa na Amazon na Paramount...siyo Hollywood lakini siyo poa hiyo Movie ni ushetani tupu. Ni madudu yana maumbo ya ajabu..lina mikia 2..ni shetani.
November 26 the conference that's when it will be held on in EU , name of the conference is ENTSO -Conference . This conference will take decisive measures from the first conference which will also take place in November on 12th (name of the conference:COP26)
Aliyesain anaadhima yake tutasimama na Iman zet .....mung yupo nasi tushaambiw waislam tulishaambiw Zaman tu kuwa hawatokuw radhi nasi mpk tufuate wanayoyataka wao mung atuepushe nao
Ndio maana MUngu ndani ya Mfalme Zumaridi anayaweka wazi na ndiye aliyepigana vita ya Harmagedon Mwaka juzi ikapelekea kumfungia kanisa/ wanadamu hawajui vita hii ndio inafunua maovu yote ya wachungaji na iluinat kwa sasa. Pigwa sambaa shetani
Sasa mi nawaza huyu jamaa katoka miaka mingi sasa ratiba zao anaendelea kuzijua kwa njia ipi wakati kule ashatoka mfano mtu anapotoka mwenye kampuni ajenda za vikao watakazo kuwa wanakaa atakuwa anazijua kwa kutumia mbinu ipi au mm ndo sielewi kwa kweli sielewi elewi,🧐🧐🧐
Sasa wanaosali jumapili ni wakristo au ni waislamu.sini nyinyi wakristo manake ss waislamu kila siku tuna sali mara tano kwa siku .wewe mchawi tu mungu amekulaani
Huyo mpuuzi tu anafikilia Quran ni kitabu Cha kuchezewa na kubadilishwa kama bibilia waulize mmarekan mmoja aliotoka kuibalisha Quran alipata Cha mtema Kuni mpaka Leo anaishi Kwa kujifungia ndani Quran haichezewi na haijawi kuchezewa na kamwe haitachezewa wachezee hiyo hiyo bibilia abayo ni fake na siku zote kitu orijinaly hakiwezi chezewa
Sio wote ni wazuri kama mlivyo nyinyi so mnapozungumzia uisilam mnauzungumzia kichuki ni sio kama ilivyo kwa story na ukiona mtu katoka kuzum bado anapigan na uisilam na anachuki nao bado anamapepo Rwanda magere pekee ndo aloweka mambo sawa
Hatuna haja ya kujua kilifanyika mwaka gani bali tuna haja ya kuanza kujulinda , mambo yote uyu baba anazumzia yamenza fanyika apa ulaya. Chanjo ingine imetoka ni kubandika mkononi. Lakini kwa sasa waitoa bure kwa anae penda chanjo ya aina iyo. Kisha itakuja kuwa ya lazima na ndio 666
Davista simama sana na mungu na Kwa jina la yesu hiyo kazi unayoifanya ya kutuletea ujumbe ni ngumu sana
Ngumukwa hivyo tuwe making tuelewe
Tuwe makini sana
Huyu ndugu yetu kama tukimskiliza kwa chuki kwa sabb za kidini hatutomuelewa lakini tukiacha yote tukasema tupo shule tukakubali kujifunza na kubadilika hapa kuna unabii mkubwa sana ambao mda si mrefu utaend kutimia
💯
👏👏
kabisa
Kabisaa yaani
Jidanganye
Huu si mkasa bali ni elimu kubwa sana ya kiroho 🙏🙏Asante sana mtumishi
Elimu gan ya kipumbavu
God is good all the time. I thought I had heard enough from Musa Chessa, lwada magere and others but this is another level.
Ofcoz.... mambo ya NWO
Who is Musa Chesa, Iwada Magere
Big up Mr davistar upo vizuri kwakuuliza maswali mimi ni shabikiyako saaana kutoka cape town south Africa
Mimi ninacho amini Mungu aliye hai anawatu wengi na ndio maana like ni nyingi kuliko dislike. Thank you Davistar.
Nimeamini magufuli hakuwa Freemason ndo maana alikuwa anapinga kila kitu wakamuondoa
Almighty God in heaven be glorified.May spirit of prophecy continue enlightening us.God bless Kanyerere,the servant of God.
Dah amefariki
I keep checking your channel for the next episode 🙂.... Tupe hata episodes nne Kwa siku. Lakini you are doing a good job.i love the knowledge I gain from your video.
Inne kwa siku wewe ni tajiri
Huyu ni mtumishi wa kweli wa Mungu
Nimeona hio movie, MZEE AKO SAWA .GOD PROTECT HIS PEOPLE
Tomorrow war
Amen 🙏🙏🙏🙏 Mr everything
Huyo mzee anaongea ukweli kabisa.. Hayo yanaendelea hapa. Cashless ndio tunatumia hapa.
Kwa kweli wasaboto wachache sana wakweli shida yak waihubili siku siyo Bwana Yesu
Siku ya bwana yesu ni ipi?
Ushuhuda kali sana.. Hayo maneno anaongea ni ya ukweli nimeyaona mahali niko. Tumezadungwa vaccine.. mungu atusamehe wale tumedungwa sababu ya kazi kutafuta riziki.. Mahali nafanya kazi Dubai huwezi tembea kampuni ingine bila chanjo. pia ukidungwa dawa passport yako inakuwa connected na vaccine.
Wanaomtukana huyu baba jitathimini maana anaongea ukweli
Mauretania ni kichwa xha shenanigans, Hollinwood ni demonic unachoongea ninakikubala- shetani ana. Muda wake ukiiishaa baaasj
Thanks man of God to come and share this
Mungu awabariki sana.Mungu awalinde sana.Jina la Bwana libarikiwe.
Huy mzee nishaanza kumuona namna ngani vip kama way umechenza hivi
Sijaelewa
Mm naomba kuuliza wasiochanja itakuwaje? Shetani baba wa uongo, just imagine mtu alieenda kuzimu hana elimu. Anawafundisha lugha zote. Kwa kweli kanyerere amepata neema ya Mungu kuokoka. Na amzungushie ulinzi wake. Na neno la Mungu li hai na linaishi. Tumrudie Mungu wetu wa Mbinguni.
Upo sahihi mzee hongera sana
Safi sana fuzo iyii
Asante mzee kutufunulia hayo siku zimekwisha tusimame ktk imani wala tusikubali kuyumbiswa na shetani
Davistar bado sioni huyo msimuliaji akieleza kilichomsibu hadi akaamua kuachana na nguvu za giza. Naona akihubiri tu
Umeliona hilo, kapoteza muelekeo wa story yake kabisa
yan nyie cjui niwaiteje, bac tu
Asantee MUNGU kwa kutuletea mtu wa kuzifichua mbinu za adui muovu shetani ili wengine tujue pa kukimbilia mapemaa wakati wa mipango yao ukifika
God have mercy on us.. very shocking.
Amen, Amen mungu ni mwema, asante kwa huu Ushuhuda
Wengi hawapendi kuambiwa ukweli lakini ukweli ndio huu
Am proud to be Muslim, thank you Allah Alhamdullilah ☺️
Kuja kwa yesu wacha imani ya MTU aliye kufa anaogojea ukumu
@@jeffmulei8895 yesu atarud na atawakana wote munaomuita mungu or mtoto wa mungu mana mungu halisi hakuzaa wala hakuzaliwa na wala halinganishwi na ki2 chochote zaid ya yote ulimwengu mzima utamtegemea Muhammad (s.a.w) kuwaombea msamaha siku ya mwisho
katika ukristo tunafaham yesu ni mwana wa mungu na pia nasi wote ni watoto wa mungu na yesu alitufia msarabani na baada ya Siku tatu akafufuka Muhammed alikufa na akaosa anaogoje kufufuliwa na yesu joo kwa yesu
yesu ni upendo wagalie wanao mwabudu Muhammed katika inchi kama somalia kama kuna amani Ila tu nikuwana na pia taifa zikini ikua aje ni dini za ukaidi
@@jeffmulei8895 umejiona ulivo na akili finyu km ww ni mtoto wa mungu unasali unamsalia Nani na mungu ndo baba yako na hakuna mungu anaeweza kukubali kudhalilishwa na viumbe dhaifu alivo viumba
Wakwanza Leo naombeni likes
Huu wakat tulio nao n hatar xn
Daniel baba wa maono.. ❤️❤️❤️🔥
Yani nimezurula RUclips Hadi imenikutia muendelezo😂😂😂
🤣hongera sana
@@gosbertmuta5421 🤣🤣🤣🤣
@@upendoluv7197 umezurura kitakatifu
Uislami ni dini ya mungu sio dini ya mtu na mungu alishaahidi Kua dini yke atailinda na kitabu chake atakilinda hdi sku ya mwisho
Polesana
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌.
Tangia nimemuangalia kanyerere nishajionea vitu vingi sana alivyoongea hapo nyuma na hakujiita Nabii huyu baba mpk mungu kamchukua.
Amejufa? Japo mtu akiitwa nabii si kosa
😂😂 jamani mi naona kila mtu aamini katika nia na kweli maana tulisha sikia mwisho ukikaribia mengi yataibuka wallah looh nachoka Sana nikiwaza 🥺😓
Et nakupata nikiwa Oman ,Saudia,Kenya,Jordan n.k hivi mmeulizwa au umbea
Umbea
Acha wivu boya wewe
Nafurahi sana kupata ujumbe huu maana tunapata kujua kweli na kukaa katika upande ulio salama,,Davista mata amua kufuata ukweli ,,Kanyerere alikufundisha yote amua ukabatizwe maana dunia inafikia likomo
Mungu acha aitwe Mungu
Ahsante mungu kwa kunipenda mm n watoto wangu
Hatari sana
Mungu wetu wa mbinguni atusaidie
Duh, Amen 🙏
Story umeanza vizuri lakini asahivi unaharibu, unaingia kwenye mambo ya dini na elimu yako ndogo kwenye dini.
Eti qur an sio yakweli khaaa huyu bado hajawa sawa
ndo tatzo letu hata biblia ilisema mtasoma lakin hamtaelewa
Mchawi mchawi tu bhana
Tatizo upo hpa kidini, hutokaa uelewe
@@pastordavidnjoyamedia.4019 sisi waislamu hatuna shaka wala utata katika dini yetu, cha msingi azungumzie historia ya maisha yake basi
Big up Mr kila kitu
Nataman nishike njia mungu
Kweli kabisa
Wakati naysema haya miaka saba iliyopita nilionekana chizi, ila Kwakuwa Mungu ni mwema na anakusudi jema kwa wanadamu wooote, ujumbe utafiki na watasikia, na kila sikio na lisikie, na kila jicho na lione. Ushauri: Huwezi kumkwepa Adui yako bila ya kumjua kuwa ni adui yako
Mpaka uamini maana
Amen kwa mr
Weka video kwa playlist kk tunachoka kutafuta miendelezo
Hakuna mtu anaweza kusema anaiwakilisha dini ya uislam maana muakilishi alikua mtume na ameshafariki huyu shetani angeenda kubagain na mtume kabla hajafa hapa tuache kidg
Kanyerere ni noma sana
Kijana
nimebaki mdomo wazi ee dunia ina tisha
The Tomorrow War imetengenezwa na Amazon na Paramount...siyo Hollywood lakini siyo poa hiyo Movie ni ushetani tupu. Ni madudu yana maumbo ya ajabu..lina mikia 2..ni shetani.
🤣
Naisikiliza tena kwa msra ya pili 2023 napata majibu na kufanya maamuzi sahihi
Hii ni Elimu Dunia
Jamani madocta wa mirembe mko wapi mgonjwa wenu katoroka yuko huku🎤
😂😂😂❤️
Wafuasi wa lusifa mshaanza kupingana na neno la MUNGU
mbona sioni part 11
Mungu awatunze ili muendelee kutupatia habari njema
November 26 the conference that's when it will be held on in EU , name of the conference is ENTSO -Conference . This conference will take decisive measures from the first conference which will also take place in November on 12th (name of the conference:COP26)
Oooh God heeeee 🙄🤔
But kusali inafaa kuwa ya kila siku.Sidhani Mungu anahitaji siku maalum ya kusali.Ila usali kwa roho na ukweli
Kusali ni kila siku lakini siku moja ilitikaswa watu wa Mungu washiriki pamoja, sabato takatifu
Aliyesain anaadhima yake tutasimama na Iman zet .....mung yupo nasi tushaambiw waislam tulishaambiw Zaman tu kuwa hawatokuw radhi nasi mpk tufuate wanayoyataka wao mung atuepushe nao
Ndio maana MUngu ndani ya Mfalme Zumaridi anayaweka wazi na ndiye aliyepigana vita ya Harmagedon Mwaka juzi ikapelekea kumfungia kanisa/ wanadamu hawajui vita hii ndio inafunua maovu yote ya wachungaji na iluinat kwa sasa. Pigwa sambaa shetani
🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Sasa mi nawaza huyu jamaa katoka miaka mingi sasa ratiba zao anaendelea kuzijua kwa njia ipi wakati kule ashatoka mfano mtu anapotoka mwenye kampuni ajenda za vikao watakazo kuwa wanakaa atakuwa anazijua kwa kutumia mbinu ipi au mm ndo sielewi kwa kweli sielewi elewi,🧐🧐🧐
Wewe elewa story alìsema zilikuwa zimepangwa sasa ndio zinakuja kuonekanaskiza kuelewa sio kujibu
Maarifa madogo sana
Alisema ni mambo yalikua yanajadiliwa na sasa nd yanatokea
Binafsi sijamsikia akisema katoka lini ila namuona akianza tu kuhubiri ktk episodes kadhaa hivi. Lini alitoka ni utata tu
Hauko makini so huwezi elewa
Jina la beans liinuliwe
Mzee Leo amefunguka mengii kazi ipo kweli kweli.
wacha tupate kujua hii mambo
🤣🤣🤣davistar ameshtuka eti ataniua🤣🤣🤣🤣🤣
DevistaMata nakukubali KAKA mengi umethfungua macho
Je suis très ravi d'écouter ce témoignage, vous êtes mon vieux qui me donne le courage de vie.🥰🥰🥰🥰
Am touched be blessed indeed
Kalam fadhi.uislam ndio dini ya haki .hata muuchafue vp katu hamutoweza.
Uislam dini ya watu na majini na shetani alislim ni muislam
Kabsa kipenzi mwenyeo anasema huku nafsi inamsuta
Huyu hana elim ya dini yee asimlie tuuh aliyo yaona
Na yesu ukristo autambui ukristo umekuja baada yesu kwenda mbinguni ndio paulo kauleta ukristo
Akiongea ukweli mnaona uongo nyie watu mnataka mauti
Wow
Naendelea kujifunza
Mungu awalinde tupate kila kitu
Sasa wanaosali jumapili ni wakristo au ni waislamu.sini nyinyi wakristo manake ss waislamu kila siku tuna sali mara tano kwa siku .wewe mchawi tu mungu amekulaani
Acha bangi
Ulonipa bangi ni ww nitaachaje
Hiyo movie inatwa the tommorrow War
Microchip haiwekwi kwa chanjo
Kwakweli huyo katika elimu ya dini hajuwi kitu
26 November ni black friday
Mbaya zaidi uislam hauendeshwi na mtu au tasisi
Huyo mpuuzi tu anafikilia Quran ni kitabu Cha kuchezewa na kubadilishwa kama bibilia waulize mmarekan mmoja aliotoka kuibalisha Quran alipata Cha mtema Kuni mpaka Leo anaishi Kwa kujifungia ndani Quran haichezewi na haijawi kuchezewa na kamwe haitachezewa wachezee hiyo hiyo bibilia abayo ni fake na siku zote kitu orijinaly hakiwezi chezewa
Sio wote ni wazuri kama mlivyo nyinyi so mnapozungumzia uisilam mnauzungumzia kichuki ni sio kama ilivyo kwa story na ukiona mtu katoka kuzum bado anapigan na uisilam na anachuki nao bado anamapepo Rwanda magere pekee ndo aloweka mambo sawa
Ukimuamini YESU kuwa bwana na mokozi wako hakika utauona uzma wa milele ameni
@@yusterlucas3654 ukimuamn wewe na family yako inatosha
@@aminaally863 Amina weee
@@arthamsharibbya9778 😏😏😏
Kwanini jamani huyu anatusababisha tuishi kwamashaka asibebe mjukukuu kwa nini mungu ndio kilakitu
Kwueli kabisa mpanglio mabaya yote ni za shaitani sio za mungu
Bado tuko pamoja
Tatizo Davistar haulizi ni lini haya matukio yalitokea.Mfano huo mkutano wa Vatican ulifanyika mwaka gani? Alipoenda Macca ilikuwa mwaka gani?
Hatuna haja ya kujua kilifanyika mwaka gani bali tuna haja ya kuanza kujulinda , mambo yote uyu baba anazumzia yamenza fanyika apa ulaya. Chanjo ingine imetoka ni kubandika mkononi. Lakini kwa sasa waitoa bure kwa anae penda chanjo ya aina iyo. Kisha itakuja kuwa ya lazima na ndio 666
Yani mimi nipewe huyu mzee nimuhoji, Davista naona hampatii, mimi angenikimbia
@@achsahcharles6728 umuhoji kwani wewe ni police??? Ukimuhoji ile inakuwa debate na sio story
Br naona leo umeishiwa maswali
Ulitufunua macha ukaondoka
Akina GALILEO GALILEI na heliocentric Theory.
Davinsta nioe mimi
Sio agent wa kule ww
Ndiiyoo 😇🤭😅😅😅🙌🙌
Wow my God Jesus have mercy on me.
Hakuna kitu kinaitwa ampo chip….. wanatumia nanochip
Aendelee sasa na mkasa
Nimejifunza dini siyo kigezo cha kumpeleka mbinguni ila matendo nakufuata ukwel
Hollywood studios !!
Leo Davistar umeni furahisha
2031 be ready to receive christ in the clouds