GOODLUCK GUZBERT AWEKA WAZI MAHUSIANO YAKE | MASANJA TV

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 19 дек 2018
  • KWA MAHITAJI YA T-SHIRT ZA KEMEA PEPO WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA 0712 329 490 TUTAKULETEA POPOTE ULIPO MIKOANI UNATUMIWA
    SUBSCRIBE | Masanja TV | For more Gospel Updates:
    👇 👇
    / @masanjatvgospel
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 70

  • @ramczotz7237
    @ramczotz7237 4 года назад +1

    nakukubali sana goodluck unajibu maswali ipasavyo hao Masanja TV wanazingua maswali yao.

  • @munalook4477
    @munalook4477 5 лет назад +1

    Yes kaka mungu akubariki umejibu hayo mashwali mzuri.auyajiinua hapo umeongea kama bile umechaguliwa na mungu.

  • @mejgodsgal1340
    @mejgodsgal1340 5 лет назад +4

    Nmependa sana majibu yako Godluck

  • @maggymshay7666
    @maggymshay7666 5 лет назад +3

    Big love from Kenyan lady watching from dubai.na wewe muuliza maswali jitahidi kiasi.i love ur songs kaka be blessed

  • @sarahwawuda7638
    @sarahwawuda7638 5 лет назад +10

    Umejibu vizuri goodluck

  • @elizamakuza8838
    @elizamakuza8838 5 лет назад +3

    Napenda sana nyimbo zako....barikiwa sana

  • @lucymashaka2064
    @lucymashaka2064 5 лет назад +4

    Napenda tuu majibu yako, unamjibu vizuli sana nainavyotakiwa kumjibu

  • @jannejoshua6905
    @jannejoshua6905 5 лет назад +1

    Palipo Yesu yote yanawezekana . Nakupenda na nyimbo zako zinanijenga kiroho

  • @rhodachristopher1177
    @rhodachristopher1177 5 лет назад +9

    Thatvis why i Love you my Bro, Mungu akubariki sana

  • @salimakalutha1686
    @salimakalutha1686 5 лет назад +2

    Very wise when responding , I hope even your life glorifie God my brother because to be a Christian is a life style

  • @agnesslyatuu993
    @agnesslyatuu993 5 лет назад +7

    Ameeni kaka umejibu kihekima hadi raha

  • @Nazareth8119
    @Nazareth8119 5 лет назад +6

    Masanja TV mna maswali ya hovyo sana, rekebisheni namna ya kumhoji mtu,

  • @doricasedward3066
    @doricasedward3066 5 лет назад +1

    Umejibu vizuri kaka

  • @Risasi_beatz
    @Risasi_beatz 5 лет назад +6

    Amen bro you're wise

  • @josephmateru8892
    @josephmateru8892 5 лет назад +5

    Umejib Vzr Cna Unajua Now Kuna Watangazaji Vlaza Cna Kuanzia Maswali Hadi Sauti Wanakurupuka Cna

  • @hoseaisaya1150
    @hoseaisaya1150 5 лет назад +8

    umejibu vzr bro

  • @naomirobert7966
    @naomirobert7966 5 лет назад +1

    Mungu akuongoze ktk kaz zako

  • @prophetdenissamweltanzania4865
    @prophetdenissamweltanzania4865 5 лет назад +11

    Nampenda huyu ndugu

  • @ruthndungu1864
    @ruthndungu1864 5 лет назад +8

    I really like his thinking

  • @fatmafa1896
    @fatmafa1896 5 лет назад +5

    Amen praise the living God in Jesus mighty name amen and be blessed too in Jesus mighty name amen

  • @zawadilubani5401
    @zawadilubani5401 5 лет назад +1

    Ukoooo sawaaa good luck

  • @paulsaimon8750
    @paulsaimon8750 5 лет назад +8

    Amina Goodluck Gozbert

  • @shaniaalex8591
    @shaniaalex8591 5 лет назад +1

    Daaah zidi fanikiwa bro

  • @deboramichael8234
    @deboramichael8234 5 лет назад +2

    umejibu.vizuri kaka njoo.nikupe.soda uyo.mwandishi atakuwa hana masikio ndo maana hawasikiii wakina roze na bukuku nyimbo zao

  • @lucymjula3447
    @lucymjula3447 4 года назад

    Mtangazi msenge

  • @hoseaisaya1150
    @hoseaisaya1150 5 лет назад +18

    MUNGU akutangulie ufike mbali zaidi

  • @andrewmbawa3272
    @andrewmbawa3272 5 лет назад +5

    safiiii

  • @lilianurio9781
    @lilianurio9781 5 лет назад +2

    Blessing

  • @annsommer9640
    @annsommer9640 5 лет назад +1

    Una hekima sana c wengi wako hivo MUNGU akusaidie usiimbie pesa India MUNGU

  • @samweliphabian9771
    @samweliphabian9771 5 лет назад +1

    gudlucky guzberty Mungu akubariki sana uzidi sana kustawi ktk utumishi wako

  • @elibarikielikana1824
    @elibarikielikana1824 4 года назад +1

    Hongera goodluck Mungu akutangulie kwa yote hekima iwe juu yako nimefurahi kusikia hekima yako

  • @queencharles4823
    @queencharles4823 5 лет назад +1

    Wanasahau kuwa waimbaji wa Injili wapo kama watumishi.

  • @deboramichael8234
    @deboramichael8234 5 лет назад +1

    unaimba vizuli banha mungu akubaliki

  • @angelalwisa6638
    @angelalwisa6638 5 лет назад +8

    Yaani daaaaa maswali ya huyu kaka mtangazaji ni ya kichawi Na kiganga!!! hahahaaaa ni Mbunifu mpka sio vzr

    • @neemakhamis6760
      @neemakhamis6760 5 лет назад

      Haaaaa!nakupeeeeeeenda Sana Kaka G,mungu akuongoze

  • @sayunyonah4614
    @sayunyonah4614 5 лет назад +1

    Goodluck unaongea kwa mapoz kama mdogo wangu kabsa lv u

  • @mpundujeanine315
    @mpundujeanine315 5 лет назад

    Mungu akubariki sana na ninashukuri ile elimu unayo kwanamna yakujibia maswali haki mungu amekupa kwenyee unyenyekevu wako.namimi ni shabiki wako saaana 🙏🙏🙏

  • @sulleysonsulley4160
    @sulleysonsulley4160 5 лет назад +1

    GG umejibu vizuri sana

  • @reghinahaule8360
    @reghinahaule8360 5 лет назад +1

    Ubarikiwe sana brother

  • @eliawilliam2648
    @eliawilliam2648 5 лет назад +2

    ameeeeee

  • @emelyomusinde7321
    @emelyomusinde7321 5 лет назад +1

    nakupenda sana mm ni ur fast fun

  • @fridadenis
    @fridadenis 5 лет назад +5

    Jamanii huyo mbona anauliza maswali kama anamhoji MTU WA mataifa ....mjitahidi kujua MTU unayemuhoji kama unahoji mataifa ..basi yafanane ...kama niwa Ufalme WA Mungu basi yawe hvyo pia

  • @LuganoEdom
    @LuganoEdom 5 лет назад +2

    Asante

  • @ladywhite4429
    @ladywhite4429 5 лет назад +1

    Una majibu mazur mtumishi

  • @robbynyamriba251
    @robbynyamriba251 5 лет назад +2

    muulizaji wa maswali hovyoooo

  • @annewanjiku52
    @annewanjiku52 5 лет назад +1

    Good luck you really bless my heart young man may God flavor your life in Jesus Mighty Name Amen

  • @adelaidedaycareprenurseryk6324
    @adelaidedaycareprenurseryk6324 5 лет назад +1

    Good answer

  • @barthmabula1751
    @barthmabula1751 5 лет назад +1

    Tatz Godluck umekutana na mtu ambaye anaonekana haijui injili

  • @pastor_bedondickson
    @pastor_bedondickson 5 лет назад +7

    Sasa mbona hamna issue ya mahusiano hapo.
    Masanja TV Msifanye hivyo next time

  • @ladywhite4429
    @ladywhite4429 5 лет назад +1

    Kaka mmbea

  • @alexjudica8668
    @alexjudica8668 5 лет назад +1

    hichi kimwandishi mbona kinoko sana hakana hata maadili ya uandishi

  • @veronikaibrahim1119
    @veronikaibrahim1119 5 лет назад +1

    Umemuweza na maswali yake ya kitoto

  • @neemamussa7866
    @neemamussa7866 5 лет назад +1

    kwakweli mtangazaji mmmmmh wewe kweli niviaz. kumbuka hao ni watumish wa Mungu si mashindano bwana

  • @alexjudica8668
    @alexjudica8668 5 лет назад +2

    angalia sasa title na content haviendani kabisa wacheni upuuzi huo

  • @elisiachilongani7042
    @elisiachilongani7042 4 года назад

    💞💞💞💞💞💞

  • @sulleysonsulley4160
    @sulleysonsulley4160 5 лет назад

    Hii habari ni za uchonganizi

  • @nasibuchuma5247
    @nasibuchuma5247 5 лет назад +3

    Hahahahahaha

  • @florachrist9602
    @florachrist9602 5 лет назад +4

    Hahahahahahh

  • @salahmane8323
    @salahmane8323 5 лет назад

    Kana maswali ya ajabu haka Ka meshack sijui kapoje hata kujib yanaboa

  • @bilioneabichwa
    @bilioneabichwa 5 лет назад +3

    Angalia video mpya ya wimbo wa injili wa bilionea bichwa uitwao fasheni kwa kubonyeza picha yangu hapo kushoto unayoiona ,,,tahadhali ,,usiige sarakasi nilizocheza kama huziwezi ni hatar kwa afya yako

  • @agripinaakhani7005
    @agripinaakhani7005 5 лет назад +1

    hapo hakuna wokovu ila ubabaishaji utofautie wa ww na kijana wa bongo freva ni nn ww yesu yy shetani lakin mwonekano ni mmoja ngoz ya esahau saut ya yakobo wokovu bwana ndani na nje Rum12:1

  • @neemaaston1612
    @neemaaston1612 5 лет назад +1

    umemjibu vizur maana ana maswali ya kijinga

  • @paulsaimon8750
    @paulsaimon8750 5 лет назад +3

    umekosea kuuliza wewe

  • @izerecool4698
    @izerecool4698 5 лет назад

    +257

  • @hashimuhehwa3780
    @hashimuhehwa3780 5 лет назад +1

    Pumbavu ww nani mhuni bwege wewe

  • @hurumamushi1059
    @hurumamushi1059 5 лет назад +1

    Dogo arudi shule

    • @georgemakoko7474
      @georgemakoko7474 5 лет назад

      Umejibu Vena. Mtangazaji ahache maswali yasiyo na manana nyie ni mathabau yal Mungu