GOODLUCK GUZBERT AWEKA WAZI MAHUSIANO YAKE | MASANJA TV
HTML-код
- Опубликовано: 19 дек 2018
- KWA MAHITAJI YA T-SHIRT ZA KEMEA PEPO WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA 0712 329 490 TUTAKULETEA POPOTE ULIPO MIKOANI UNATUMIWA
SUBSCRIBE | Masanja TV | For more Gospel Updates:
👇 👇
/ @masanjatvgospel - Развлечения
nakukubali sana goodluck unajibu maswali ipasavyo hao Masanja TV wanazingua maswali yao.
Yes kaka mungu akubariki umejibu hayo mashwali mzuri.auyajiinua hapo umeongea kama bile umechaguliwa na mungu.
Nmependa sana majibu yako Godluck
Big love from Kenyan lady watching from dubai.na wewe muuliza maswali jitahidi kiasi.i love ur songs kaka be blessed
Umejibu vizuri goodluck
Napenda sana nyimbo zako....barikiwa sana
Napenda tuu majibu yako, unamjibu vizuli sana nainavyotakiwa kumjibu
Palipo Yesu yote yanawezekana . Nakupenda na nyimbo zako zinanijenga kiroho
Thatvis why i Love you my Bro, Mungu akubariki sana
Very wise when responding , I hope even your life glorifie God my brother because to be a Christian is a life style
Ameeni kaka umejibu kihekima hadi raha
Masanja TV mna maswali ya hovyo sana, rekebisheni namna ya kumhoji mtu,
Umejibu vizuri kaka
Amen bro you're wise
Umejib Vzr Cna Unajua Now Kuna Watangazaji Vlaza Cna Kuanzia Maswali Hadi Sauti Wanakurupuka Cna
umejibu vzr bro
Mungu akuongoze ktk kaz zako
Nampenda huyu ndugu
I really like his thinking
Amen praise the living God in Jesus mighty name amen and be blessed too in Jesus mighty name amen
Ukoooo sawaaa good luck
Amina Goodluck Gozbert
Daaah zidi fanikiwa bro
umejibu.vizuri kaka njoo.nikupe.soda uyo.mwandishi atakuwa hana masikio ndo maana hawasikiii wakina roze na bukuku nyimbo zao
Muongo wew lazima askilize
Mtangazi msenge
MUNGU akutangulie ufike mbali zaidi
safiiii
Blessing
Una hekima sana c wengi wako hivo MUNGU akusaidie usiimbie pesa India MUNGU
gudlucky guzberty Mungu akubariki sana uzidi sana kustawi ktk utumishi wako
Hongera goodluck Mungu akutangulie kwa yote hekima iwe juu yako nimefurahi kusikia hekima yako
Wanasahau kuwa waimbaji wa Injili wapo kama watumishi.
unaimba vizuli banha mungu akubaliki
Yaani daaaaa maswali ya huyu kaka mtangazaji ni ya kichawi Na kiganga!!! hahahaaaa ni Mbunifu mpka sio vzr
Haaaaa!nakupeeeeeeenda Sana Kaka G,mungu akuongoze
Goodluck unaongea kwa mapoz kama mdogo wangu kabsa lv u
Mungu akubariki sana na ninashukuri ile elimu unayo kwanamna yakujibia maswali haki mungu amekupa kwenyee unyenyekevu wako.namimi ni shabiki wako saaana 🙏🙏🙏
GG umejibu vizuri sana
Ubarikiwe sana brother
ameeeeee
nakupenda sana mm ni ur fast fun
Jamanii huyo mbona anauliza maswali kama anamhoji MTU WA mataifa ....mjitahidi kujua MTU unayemuhoji kama unahoji mataifa ..basi yafanane ...kama niwa Ufalme WA Mungu basi yawe hvyo pia
Wilufrida Alex good
Asante
Una majibu mazur mtumishi
muulizaji wa maswali hovyoooo
Good luck you really bless my heart young man may God flavor your life in Jesus Mighty Name Amen
Good answer
Tatz Godluck umekutana na mtu ambaye anaonekana haijui injili
Sasa mbona hamna issue ya mahusiano hapo.
Masanja TV Msifanye hivyo next time
Kaka mmbea
hichi kimwandishi mbona kinoko sana hakana hata maadili ya uandishi
Umemuweza na maswali yake ya kitoto
kwakweli mtangazaji mmmmmh wewe kweli niviaz. kumbuka hao ni watumish wa Mungu si mashindano bwana
angalia sasa title na content haviendani kabisa wacheni upuuzi huo
💞💞💞💞💞💞
Hii habari ni za uchonganizi
Hahahahahaha
Hahahahahahh
Kana maswali ya ajabu haka Ka meshack sijui kapoje hata kujib yanaboa
Angalia video mpya ya wimbo wa injili wa bilionea bichwa uitwao fasheni kwa kubonyeza picha yangu hapo kushoto unayoiona ,,,tahadhali ,,usiige sarakasi nilizocheza kama huziwezi ni hatar kwa afya yako
Ukovizuli
hapo hakuna wokovu ila ubabaishaji utofautie wa ww na kijana wa bongo freva ni nn ww yesu yy shetani lakin mwonekano ni mmoja ngoz ya esahau saut ya yakobo wokovu bwana ndani na nje Rum12:1
umemjibu vizur maana ana maswali ya kijinga
umekosea kuuliza wewe
+257
Pumbavu ww nani mhuni bwege wewe
Dogo arudi shule
Umejibu Vena. Mtangazaji ahache maswali yasiyo na manana nyie ni mathabau yal Mungu