Ufisadi wa Zanzibar ni ujambazi, mtu mmoja tu amekwapua bilioni 10 - OMO | GUMZO LA LEO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 фев 2025
  • Mwenyekiti wa ACT Wazalendo, Othman Masoud Othman, amesema ana ushahidi wa kutosha kwamba kuna mtu mmoja amekwapua shilingi bilioni kumi kwa njia za kifisadi Zanzibar na kwamba kuna siku ataweka majalada yake yote hadharani.

Комментарии • 20

  • @muslimkhamis2372
    @muslimkhamis2372 7 дней назад +6

    Maendeleo ni WATU ❤

  • @maisarirajab4846
    @maisarirajab4846 15 часов назад

    Huyu jamaa nampenda mana anajua mpaka anapitiliza mungu ampe umri mrefu

  • @theteacherchance6750
    @theteacherchance6750 7 дней назад +3

    OMO kiboko ya uchafu. Ahsante Wa-Kenya kwa 'brand'.

  • @AbdulSaid-bn2gi
    @AbdulSaid-bn2gi 5 дней назад

    ❤❤❤❤❤❤❤❤omo inshallah 2025

  • @sasha-ri7tf
    @sasha-ri7tf 6 дней назад +4

    2025 - 2530 MWAKA WA KUINUSURU ZANZIBAR IPATE MAMLAKA YAKE KAMILI. NCHI KWANZA YENYE MAMLAKA KAMILI 🇹🇿❤🇹🇿❤🇹🇿❤.

  • @BakariMakame-j5f
    @BakariMakame-j5f 6 дней назад

    Tukupe mjii muheshimiwa sheria imelala,changamoto za kazi ulopitia na maneno yako makali sana na yana maana, salamu ni deni,mapofu tupo wengi ndo watoto wa mjini

  • @shahidmaftouh1141
    @shahidmaftouh1141 8 дней назад +7

    Makufuli ( magu) wa Zanzibar huyo anaitafuta ikulu, oh dear God bless 🙌 🙏 this mr OTHMAN OMAR OTHMAN sharif ,be president of Zanzibar ❤

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 7 дней назад +2

      Unaweza kumuona mtu flani ni mwema kumbe ndo mbaya nafsi na unawez kumuona flan ni mbaya wa nafsi kumbe ndo mwema .... Allah anajua yaliyomo ndani ya nafsi zetu

  • @bakarhemed342
    @bakarhemed342 6 дней назад

    Ningefurahi zaidi ingekuwa hapokei mshahara wa majambazi na marupurupu na majumba yao

    • @jaysullman3697
      @jaysullman3697 6 дней назад

      Unaloliongea unalijua ww?
      Nani anaetoa mshahara?
      Na nani aliekua na Majumba?
      Ww mzimaa upo lkn???

  • @ramadhansimba2928
    @ramadhansimba2928 7 дней назад +2

    Hutuba imekwenda shule 100%
    Ukwel mtupu

  • @mohammedhamadomar5884
    @mohammedhamadomar5884 6 дней назад

    Vipi jamani mbona hatuonyeshwi uwanjani tunamuona mh. tu kulikoni ama watu hawapo hebu onyesheni uwanjani tutathimini basii

  • @w4058
    @w4058 8 дней назад +3

    Allah awamiminie nguvu siha na uadilifu mzidi kufuzu katika hilo la mamlaka Kamili

  • @AllyHamran
    @AllyHamran 7 дней назад +1

    Kisoko cha Jumbi kimejengwa kwa bill 43 sijui materio gani yaliotumika.

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 7 дней назад +1

      @@AllyHamran ndo huyajui ayo materials sasa .... Bora pamejengwa na kuonekana ....

  • @mwalimhamad3825
    @mwalimhamad3825 7 дней назад

    Unasahau huku kuna mpaka wamasai na wachaga wanvyo vitambulisho