RAIS SAMIA ALIVYOCHEZA WIMBO wa CHADEMA Kwenye KONGAMANO LA BAWACHA
HTML-код
- Опубликовано: 20 сен 2024
- RAIS SAMIA ALIVYOCHEZA WIMBO wa CHADEMA Kwenye KONGAMANO LA BAWACHA
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Hii ndio siasa safi sio tunakuwa madui mara hatuzikani huu ulikuwa upumbavu Asante mama Samia na mwenyekiti mbowe hili jambo mmelifanya sio kazi ndogo sawa na kulikomboa taifa Kwa wakoloni weusi walio tufundisha kwamba siasa ni ugovi kumbe ni mpishano wa mawazo tu na mawazo mazuri ndio yanayo kubaliwa na kama mawazo Yako hayajakubaliwa na wengi Kaa kimya
huyu mama ile zawadi au tuzo ya kiongozi bora afrika inamhusu haija wahi tokea mungu akulinde rais wa WATANZANIA amina
Rahisi Samia ni raisi jasiri na mwenye kupenda amani. Mungu amulinde!
Mama Samia n mtu wa haki ssiku zotee
Nimekupenda samia mbk bas
President Samia Suluhu Hassani ni Mama jasiri Sana na asiyeogopa kitu
Ni mtu wa Haki
Nakupenda Rais Wangu wa Muda wote
Heee adi samia naye ana shangilia nyimbo ya chadema
Hongera Sana Dr Samia Suluhu hii ni alama kubwa ya kukua kwa demokrasia Tanzania. 2025 Kura yangu kwako!!!
🙏🙏🙏🙏mama samia✌️✌️✌️✌️
Hongera Sana mama yetu Samia suluhu mungu akubariki kuileta nchi pamoja
Asante mama samia rais wetu wewe ndio mtu wakuigwa umewarudisha ndugu zetu walio kimbia mungu akubariki sana
Vyama vya UPINZANI ni ni kama majizi
Full shangwe chama langu katiba mpya niyamuhimu
MUNGU Tusaidie Raisi Samia nakuelewa Tunamtaka Bwana nanguvu zake Yehovaaaaa Ajitukuze Aonavyo Ajivunie Tanzania Umejitahidi Bwana Atusaidie tumalize salama kwa Jina la Yesu Kristo Aliyehai
Kazi kwelikweli ngoja tuone mwisho wake
Sijui mbeleni itakuwaje
Haleluya tanzania
Nchi moja chama kimoja tusonge mbele amani idumishwe mama yupo kazini ✍🤲
mana wahadaa Watanzania
Tatizo mnashindwa kumuelewa mh rais cyo rais wa ccm ni rais wa watanzania wte na anawapenda wte huo ndo ukomavu wa democracy kwny nchi yyte ile wachache xna watamuelewa mama
Hongera sana mama yetu.
Nakupenda sana mama Mungu akubariki sana ubaguzi mbaya
Safi sana Mh rais wetu
Naona kama milango Iko wazi kupambana nakujitoa kwenye umasikin then tukaijeng nchi yetu. Vizuizi mama amevilegeza vyuma vimepakwa grisi.
Hongera sana mama, amani na mshikamano ndo nguzo muhimu.. Hongera kwa kuhudhuria.
Allah tusamehe na tujalie tukuabudu wewe tu maana hii nchi maslahi kila moja aitaka tamaa mbele
We chiz wakuabudiwa ni allah tu
Hasa hawa chadema hawaeleweki wanachokiamini itoshe tu kusema ni kukundi cha wahuni hawa
Wimbo wangu bola
Sasa hii CHADEMA ni chama Cha siasa au kikundi Cha kuomba msaada toka kwa raisi!!sielewi kinachoendelea.
utaelewa 2025
Mtafanya nini?
huwezi kuelea lakini chadema wanafanya kazi ki inteligensia sana awamu hii wamekuja kivingine wee kaa kwa kutulia utaona tu, unawaona kama wanajikomba kwa Rais eeeh, pole
@@masumbukomaganga438 tuwaone kelele kama chekechea kama mazuzu
Jambo husilolijua n sawa na usku wa giza pole tz kwa kupoteza maharifa
Hongera sana mama
Safi
Big up saaaaaaana chadema
Mbona sielewi. Duh hawa wapo.kimaslay kwel
Kama mh mama Samia ataendelea hivi na kutimiza matakwa ya chadema hasa Hilo la katiba kwa maoni yangu hakuna haja ya chadema kumsimamisha mgombea urais 2025 mama anatosha
Raha san ivi ndivo demokracia inavotaka
Kabisa
Mama ana akili nyingi Mungu akutunze, wanawake tuungane tuache kubaguana
She is doing Great kwakweli
Safi mama siasa za ungwana umeionesha dunia
MUNGU AWAPALIKI NYOTE. SAMIA ONGOZA TAIFA KWA HAKI MUNGU AKUBARIKI MAMA
Ila hii nyimbo ya CPP ni kali kweli
eeeh mungu mhifadhi huyu mama aishi miaka mingi
Nice my president
Timeis running out.
Dah
😂😂😂
Ila huyu mama ni wakipekee sana kiongozi hawezi kabisa lakini yeye ameshiriki,ni jambo jema Kwa kiongozi anejitambua.
Yukireini
Tutafika ila tukiwa tumechoka saaaana, sio leo Wala kesho lakn jipeni moyo
Kweli kula yangu nitakupa
Tanzania ya Amani kabisa
Mama kiboooko
Mama mwenywe huruma na akili
Yule jamaa alikuwa muovu Sana ,hebu angalia hizi furaha alizokuwa ametunyima mwenda zake kweli mweye haki habaki nyuma.
Yap
Hamna kitu bana mwenye akili hawezi kusapoti huu upuuzi
Alikuwa anamwakilisha shetani kwenye nchi hii
@@renatusmatungwa2508 mpuuzi alikuwa yule mjinga na taaira aliyekuwa anauwa watu na kuifanya nchi Kama Mali ya mama yake, Moto wa Mungu umkute hukohuko alipo, nampongeza Rais wangu mpenzi Samia suluhu Hassan kwa utawala bora na kuheshimu haki za binadamu na democracy, watanzania tunamuombea Mungu ampe maisha mema na marefu
Haya, ngoja tuone mwisho wake. Lakini siyo siri kuwa CCM imepoteza muelekeo kabisa sawa mfa maji anaye tapatapa. Kwa kweli imekosa uongozi unaozingatia principles.
Jidanganye
Siasa siyo uadui, hongera ssna, Mh. Rais Samia, M/Kiti Mbowe na wote waliofanikisha zoezi hili. Tanzania ni kubwa kuliko sisi sote pamoja na vyama vyetu vya kisiasa. TANZANIA NI YETU SOTE. Wenye mawazo finyu tu ndiyo hawaoni juhudi za hawa viongozi wetu kuleta nchi pamoja.
Hongera xana Dr Samia!
Marais ambao ni tunu afrika ni wawili wote wanatoka afrika mashariki ni KENYATA mstafu wa KENYA na DR SAMIA wa TANZANIA asante mama uliponya TAIFA
Yukireini