RAIS SAMIA ALIVYOCHEZA WIMBO wa CHADEMA Kwenye KONGAMANO LA BAWACHA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 20 сен 2024
  • RAIS SAMIA ALIVYOCHEZA WIMBO wa CHADEMA Kwenye KONGAMANO LA BAWACHA
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 70

  • @francissimwinga-gb2vd
    @francissimwinga-gb2vd Год назад

    Hii ndio siasa safi sio tunakuwa madui mara hatuzikani huu ulikuwa upumbavu Asante mama Samia na mwenyekiti mbowe hili jambo mmelifanya sio kazi ndogo sawa na kulikomboa taifa Kwa wakoloni weusi walio tufundisha kwamba siasa ni ugovi kumbe ni mpishano wa mawazo tu na mawazo mazuri ndio yanayo kubaliwa na kama mawazo Yako hayajakubaliwa na wengi Kaa kimya

  • @jamesissame9328
    @jamesissame9328 Год назад

    huyu mama ile zawadi au tuzo ya kiongozi bora afrika inamhusu haija wahi tokea mungu akulinde rais wa WATANZANIA amina

  • @amaniluhambire5080
    @amaniluhambire5080 Год назад +1

    Rahisi Samia ni raisi jasiri na mwenye kupenda amani. Mungu amulinde!

  • @shukranitv2971
    @shukranitv2971 Год назад +6

    Mama Samia n mtu wa haki ssiku zotee

  • @lindambilinyi6253
    @lindambilinyi6253 Год назад +3

    Nimekupenda samia mbk bas

  • @christophersamwel8236
    @christophersamwel8236 Год назад +2

    President Samia Suluhu Hassani ni Mama jasiri Sana na asiyeogopa kitu
    Ni mtu wa Haki
    Nakupenda Rais Wangu wa Muda wote

  • @mozespatnam7469
    @mozespatnam7469 Год назад +6

    Heee adi samia naye ana shangilia nyimbo ya chadema

  • @piomgeni8750
    @piomgeni8750 Год назад +1

    Hongera Sana Dr Samia Suluhu hii ni alama kubwa ya kukua kwa demokrasia Tanzania. 2025 Kura yangu kwako!!!

  • @HappinessMazera
    @HappinessMazera 2 месяца назад

    🙏🙏🙏🙏mama samia✌️✌️✌️✌️

  • @jafaryamiry-ys4rg
    @jafaryamiry-ys4rg Год назад +4

    Hongera Sana mama yetu Samia suluhu mungu akubariki kuileta nchi pamoja

  • @salarose5980
    @salarose5980 Год назад

    Asante mama samia rais wetu wewe ndio mtu wakuigwa umewarudisha ndugu zetu walio kimbia mungu akubariki sana

  • @babajohn8308
    @babajohn8308 Год назад +2

    Vyama vya UPINZANI ni ni kama majizi

  • @jonathanmundeda9714
    @jonathanmundeda9714 Год назад +5

    Full shangwe chama langu katiba mpya niyamuhimu

  • @mwanyongamama4407
    @mwanyongamama4407 Год назад

    MUNGU Tusaidie Raisi Samia nakuelewa Tunamtaka Bwana nanguvu zake Yehovaaaaa Ajitukuze Aonavyo Ajivunie Tanzania Umejitahidi Bwana Atusaidie tumalize salama kwa Jina la Yesu Kristo Aliyehai

  • @MrRizwan1978
    @MrRizwan1978 Год назад +2

    Kazi kwelikweli ngoja tuone mwisho wake

  • @thomaskabungo2211
    @thomaskabungo2211 Год назад +1

    Haleluya tanzania

  • @mezddimosso3318
    @mezddimosso3318 Год назад

    Nchi moja chama kimoja tusonge mbele amani idumishwe mama yupo kazini ✍🤲

  • @uzimameditv8148
    @uzimameditv8148 Год назад +1

    mana wahadaa Watanzania

  • @zamoyonitito4891
    @zamoyonitito4891 Год назад

    Tatizo mnashindwa kumuelewa mh rais cyo rais wa ccm ni rais wa watanzania wte na anawapenda wte huo ndo ukomavu wa democracy kwny nchi yyte ile wachache xna watamuelewa mama
    Hongera sana mama yetu.

  • @rehemailomov9648
    @rehemailomov9648 Год назад

    Nakupenda sana mama Mungu akubariki sana ubaguzi mbaya

  • @emmasonanjawe9042
    @emmasonanjawe9042 Год назад

    Safi sana Mh rais wetu

  • @arttilioemiliam2419
    @arttilioemiliam2419 Год назад +1

    Naona kama milango Iko wazi kupambana nakujitoa kwenye umasikin then tukaijeng nchi yetu. Vizuizi mama amevilegeza vyuma vimepakwa grisi.

  • @josephinegravasiano8860
    @josephinegravasiano8860 Год назад

    Hongera sana mama, amani na mshikamano ndo nguzo muhimu.. Hongera kwa kuhudhuria.

  • @mohammadoman8963
    @mohammadoman8963 Год назад +6

    Allah tusamehe na tujalie tukuabudu wewe tu maana hii nchi maslahi kila moja aitaka tamaa mbele

    • @pavillioncry5241
      @pavillioncry5241 Год назад

      We chiz wakuabudiwa ni allah tu

    • @renatusmatungwa2508
      @renatusmatungwa2508 Год назад

      Hasa hawa chadema hawaeleweki wanachokiamini itoshe tu kusema ni kukundi cha wahuni hawa

  • @allymtoro7280
    @allymtoro7280 Год назад +2

    Wimbo wangu bola

  • @godfreypetermasana-kb8xy
    @godfreypetermasana-kb8xy Год назад +3

    Sasa hii CHADEMA ni chama Cha siasa au kikundi Cha kuomba msaada toka kwa raisi!!sielewi kinachoendelea.

    • @robinmwesigwa602
      @robinmwesigwa602 Год назад +2

      utaelewa 2025

    • @godfreypetermasana-kb8xy
      @godfreypetermasana-kb8xy Год назад

      Mtafanya nini?

    • @masumbukomaganga438
      @masumbukomaganga438 Год назад +1

      huwezi kuelea lakini chadema wanafanya kazi ki inteligensia sana awamu hii wamekuja kivingine wee kaa kwa kutulia utaona tu, unawaona kama wanajikomba kwa Rais eeeh, pole

    • @rosetreffert4179
      @rosetreffert4179 Год назад

      ​@@masumbukomaganga438 tuwaone kelele kama chekechea kama mazuzu

  • @jescamanuna-tc8rn
    @jescamanuna-tc8rn Год назад

    Jambo husilolijua n sawa na usku wa giza pole tz kwa kupoteza maharifa

  • @antonianyambuka4860
    @antonianyambuka4860 Год назад

    Hongera sana mama

  • @charleserensti4996
    @charleserensti4996 Год назад

    Safi

  • @yusuphyunusi-zz1hx
    @yusuphyunusi-zz1hx Год назад +1

    Big up saaaaaaana chadema

  • @kelvintarimo6761
    @kelvintarimo6761 Год назад +2

    Mbona sielewi. Duh hawa wapo.kimaslay kwel

  • @richardsalim1042
    @richardsalim1042 Год назад

    Kama mh mama Samia ataendelea hivi na kutimiza matakwa ya chadema hasa Hilo la katiba kwa maoni yangu hakuna haja ya chadema kumsimamisha mgombea urais 2025 mama anatosha

  • @eliupendo3205
    @eliupendo3205 Год назад +4

    Raha san ivi ndivo demokracia inavotaka

  • @rosetreffert4179
    @rosetreffert4179 Год назад +2

    Mama ana akili nyingi Mungu akutunze, wanawake tuungane tuache kubaguana

  • @arttilioemiliam2419
    @arttilioemiliam2419 Год назад

    She is doing Great kwakweli

  • @mohddelo
    @mohddelo Год назад

    Safi mama siasa za ungwana umeionesha dunia

  • @florencemwanansao834
    @florencemwanansao834 Год назад

    MUNGU AWAPALIKI NYOTE. SAMIA ONGOZA TAIFA KWA HAKI MUNGU AKUBARIKI MAMA

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677 Год назад

    Ila hii nyimbo ya CPP ni kali kweli

  • @yassinshekh2936
    @yassinshekh2936 Год назад

    eeeh mungu mhifadhi huyu mama aishi miaka mingi

  • @badenbensoni7516
    @badenbensoni7516 Год назад

    Nice my president

  • @gaspercharles4242
    @gaspercharles4242 Год назад

    Timeis running out.

  • @fernandotz9690
    @fernandotz9690 Год назад

    Dah

  • @memoryngambi7570
    @memoryngambi7570 Год назад

    Ila huyu mama ni wakipekee sana kiongozi hawezi kabisa lakini yeye ameshiriki,ni jambo jema Kwa kiongozi anejitambua.

  • @alexfelix-zw6bz
    @alexfelix-zw6bz Год назад

    Yukireini

  • @Bilioneabichwa331
    @Bilioneabichwa331 Год назад

    Tutafika ila tukiwa tumechoka saaaana, sio leo Wala kesho lakn jipeni moyo

  • @rehemailomov9648
    @rehemailomov9648 Год назад

    Kweli kula yangu nitakupa

  • @pastorstevenmdoe5143
    @pastorstevenmdoe5143 Год назад

    Tanzania ya Amani kabisa

  • @kaundavyoseena6514
    @kaundavyoseena6514 Год назад

    Mama kiboooko

  • @kamalmukaddam1521
    @kamalmukaddam1521 Год назад

    Mama mwenywe huruma na akili

  • @erasmusgervas2464
    @erasmusgervas2464 Год назад

    Yule jamaa alikuwa muovu Sana ,hebu angalia hizi furaha alizokuwa ametunyima mwenda zake kweli mweye haki habaki nyuma.

    • @romanamassawe814
      @romanamassawe814 Год назад

      Yap

    • @renatusmatungwa2508
      @renatusmatungwa2508 Год назад

      Hamna kitu bana mwenye akili hawezi kusapoti huu upuuzi

    • @romanamassawe814
      @romanamassawe814 Год назад

      Alikuwa anamwakilisha shetani kwenye nchi hii

    • @romanamassawe814
      @romanamassawe814 Год назад

      @@renatusmatungwa2508 mpuuzi alikuwa yule mjinga na taaira aliyekuwa anauwa watu na kuifanya nchi Kama Mali ya mama yake, Moto wa Mungu umkute hukohuko alipo, nampongeza Rais wangu mpenzi Samia suluhu Hassan kwa utawala bora na kuheshimu haki za binadamu na democracy, watanzania tunamuombea Mungu ampe maisha mema na marefu

  • @stanslausbernard5950
    @stanslausbernard5950 Год назад +1

    Haya, ngoja tuone mwisho wake. Lakini siyo siri kuwa CCM imepoteza muelekeo kabisa sawa mfa maji anaye tapatapa. Kwa kweli imekosa uongozi unaozingatia principles.

    • @rosetreffert4179
      @rosetreffert4179 Год назад

      Jidanganye

    • @danielonyango7234
      @danielonyango7234 Год назад

      Siasa siyo uadui, hongera ssna, Mh. Rais Samia, M/Kiti Mbowe na wote waliofanikisha zoezi hili. Tanzania ni kubwa kuliko sisi sote pamoja na vyama vyetu vya kisiasa. TANZANIA NI YETU SOTE. Wenye mawazo finyu tu ndiyo hawaoni juhudi za hawa viongozi wetu kuleta nchi pamoja.

    • @josephwanda8904
      @josephwanda8904 Год назад

      Hongera xana Dr Samia!

    • @jamesissame9328
      @jamesissame9328 Год назад

      Marais ambao ni tunu afrika ni wawili wote wanatoka afrika mashariki ni KENYATA mstafu wa KENYA na DR SAMIA wa TANZANIA asante mama uliponya TAIFA

  • @alexfelix-zw6bz
    @alexfelix-zw6bz Год назад

    Yukireini