Ndacha kwaida yake ni Uwongo TUU! Hawa wa SDA wako na ugonjwa waku Danganya sana, waki ongozwa na Mama MZEE ya Mihigan aliyekuwa ana pandwa na MaShetani kumletea 'VISIONS'. TabarakAllah Team.
Asalamu alekum Muhimu mmeambiwa na yesu nimetumwa kwa hao sikutumwa kwa walimwengu hilo linatosha nyinyi kujuwa kama hakutumwa kwa ulimwengu mzima nyinyi tatizo lenu mnampinga yesu mnalazimisha mambo
Nyinyi mtamwambia sisi tulikufuwata tukafanza unabii kwa jina lako nakutowa pepo kwa jina lako na atakujibuni ondokeni nyinyi mtendao maovu sikujuweni kamwe haya mtangukia wapi yesu keshawakata bado mtamfuwata tu
Assalamu alaykum Naona umemchanganya sana na kila kukicha huyu Ndacha namuona anazidi kutokomea ktk upotofu Tumuomboe dua atoke huko bila hivyo anaweza kufa kafiri huyu
Ukiyafuwata maneno ya yesu utafananishwa na mtu mwenye akili na ukiyakata utafananishwa na mtu mpymbavu kama ndacha anokata maneno ya yesu mwenyewe yesu anakata hakutumwa kwa watu wote wewe unamwambia no umetumwa ha ndacha basi tena
Na katumwa kwa kondoo walio potea wa nyumba ya israil hayatoshi tu hayo mkajuwa ukweli au mnabishana tu kwa sababu ya tonge tu ndacha usiwapoteze wenzio utachomwa 🔥
jazakallah kher Amir wetu Allah akupe Afya jema na Umri uliyo na kheri Amein❤❤❤🎉🎉🎉.
Amin sote
mashallah shekh yusuf
Mashaallah Sheikh Yusuf Allah akujalie kila la kheri na familia yako
Amin sote
MashaAllah mashekhe zetu Allah awahifadhi daima
Amin sote
Ndacha anachangia maneno abaye hajui tafsiriyake na Mahali inaenda na sababuyake imetaramshwa na mungu
Ndacha kwaida yake ni Uwongo TUU!
Hawa wa SDA wako na ugonjwa waku Danganya sana, waki ongozwa na Mama MZEE ya Mihigan aliyekuwa ana pandwa na MaShetani kumletea 'VISIONS'.
TabarakAllah Team.
hizi picha za ndacha mbona hazieleweki, ama pia ni mafunzo.
Allah akulipen khery
Amin sote
Simba mwenyew Yusuf kaingia
Asalamu alekum Muhimu mmeambiwa na yesu nimetumwa kwa hao sikutumwa kwa walimwengu hilo linatosha nyinyi kujuwa kama hakutumwa kwa ulimwengu mzima nyinyi tatizo lenu mnampinga yesu mnalazimisha mambo
Waleikum Salam warahmatullahi wabarakatu
Yaani ndacha unataka kupigwa ndio uelewe ama nini?? Yesu ni njia kweli lakini kwa wana waisreal pekee we vip bwana
Nyinyi mtamwambia sisi tulikufuwata tukafanza unabii kwa jina lako nakutowa pepo kwa jina lako na atakujibuni ondokeni nyinyi mtendao maovu sikujuweni kamwe haya mtangukia wapi yesu keshawakata bado mtamfuwata tu
Ndacha anafaa apigwe kiboko
Ana penda PESA sana.
Ndacha anafaa kiboko ndo Halloween dini ya kweli
Assalamu alaykum
Naona umemchanganya sana na kila kukicha huyu Ndacha namuona anazidi kutokomea ktk upotofu
Tumuomboe dua atoke huko bila hivyo anaweza kufa kafiri huyu
Waleikum Salam warahmatullahi wabarakatu
Yusuf wewe ni simba wa dawa ndacha ni kama swala hurukahruka mwishowe huwa kitoweo mashaAllah kwa dawa
Ndacha wewe ni mshindani sana ndio maana wazunguka kila mahali ..ila utaki kujuwa ukweli
Ukiyafuwata maneno ya yesu utafananishwa na mtu mwenye akili na ukiyakata utafananishwa na mtu mpymbavu kama ndacha anokata maneno ya yesu mwenyewe yesu anakata hakutumwa kwa watu wote wewe unamwambia no umetumwa ha ndacha basi tena
Na katumwa kwa kondoo walio potea wa nyumba ya israil hayatoshi tu hayo mkajuwa ukweli au mnabishana tu kwa sababu ya tonge tu ndacha usiwapoteze wenzio utachomwa 🔥
Mwalimu Ndacha endelea kuwafunza hawa waislam,, wataelewa tu
Matayo 24.24
Uhu ni ufalume wa shetani kiama ndo kitafuta ufalume washetani
Ndacha n kafiri kweli