MJADALA BAINA YA MCHUNGAJI NDACHA NA USTADH YUSUF WAMBUGU,MADA MUOKOZI WA DUNIA NZIMA , GITHURAI 45

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 фев 2025

Комментарии • 30

  • @bilalomar1185
    @bilalomar1185 11 месяцев назад +4

    jazakallah kher Amir wetu Allah akupe Afya jema na Umri uliyo na kheri Amein❤❤❤🎉🎉🎉.

  • @MathewChesire-m3z
    @MathewChesire-m3z 11 месяцев назад +4

    mashallah shekh yusuf

  • @sarahronoh540
    @sarahronoh540 11 месяцев назад +3

    Mashaallah Sheikh Yusuf Allah akujalie kila la kheri na familia yako

  • @mazaifi5474
    @mazaifi5474 11 месяцев назад +3

    MashaAllah mashekhe zetu Allah awahifadhi daima

  • @xogmalxarandid9369
    @xogmalxarandid9369 11 месяцев назад +4

    Ndacha anachangia maneno abaye hajui tafsiriyake na Mahali inaenda na sababuyake imetaramshwa na mungu

  • @Sal.0
    @Sal.0 11 месяцев назад +3

    Ndacha kwaida yake ni Uwongo TUU!
    Hawa wa SDA wako na ugonjwa waku Danganya sana, waki ongozwa na Mama MZEE ya Mihigan aliyekuwa ana pandwa na MaShetani kumletea 'VISIONS'.
    TabarakAllah Team.

    • @luluamin1388
      @luluamin1388 11 месяцев назад

      hizi picha za ndacha mbona hazieleweki, ama pia ni mafunzo.

  • @sulealim6325
    @sulealim6325 11 месяцев назад +4

    Allah akulipen khery

  • @JustinKitsao
    @JustinKitsao 11 месяцев назад +5

    Simba mwenyew Yusuf kaingia

  • @hiimbinaimmuslim3041
    @hiimbinaimmuslim3041 11 месяцев назад +2

    Asalamu alekum Muhimu mmeambiwa na yesu nimetumwa kwa hao sikutumwa kwa walimwengu hilo linatosha nyinyi kujuwa kama hakutumwa kwa ulimwengu mzima nyinyi tatizo lenu mnampinga yesu mnalazimisha mambo

  • @BashirMahero
    @BashirMahero 11 месяцев назад +4

    Yaani ndacha unataka kupigwa ndio uelewe ama nini?? Yesu ni njia kweli lakini kwa wana waisreal pekee we vip bwana

  • @hiimbinaimmuslim3041
    @hiimbinaimmuslim3041 11 месяцев назад +2

    Nyinyi mtamwambia sisi tulikufuwata tukafanza unabii kwa jina lako nakutowa pepo kwa jina lako na atakujibuni ondokeni nyinyi mtendao maovu sikujuweni kamwe haya mtangukia wapi yesu keshawakata bado mtamfuwata tu

  • @aburaasmedia3682
    @aburaasmedia3682 11 месяцев назад +5

    Ndacha anafaa apigwe kiboko

    • @Sal.0
      @Sal.0 11 месяцев назад +1

      Ana penda PESA sana.

  • @suleimankipyego5143
    @suleimankipyego5143 11 месяцев назад +3

    Ndacha anafaa kiboko ndo Halloween dini ya kweli

  • @saadnaim5518
    @saadnaim5518 11 месяцев назад +1

    Assalamu alaykum
    Naona umemchanganya sana na kila kukicha huyu Ndacha namuona anazidi kutokomea ktk upotofu
    Tumuomboe dua atoke huko bila hivyo anaweza kufa kafiri huyu

  • @issamohamedi9225
    @issamohamedi9225 11 месяцев назад +2

    Yusuf wewe ni simba wa dawa ndacha ni kama swala hurukahruka mwishowe huwa kitoweo mashaAllah kwa dawa

  • @sarahronoh540
    @sarahronoh540 11 месяцев назад +2

    Ndacha wewe ni mshindani sana ndio maana wazunguka kila mahali ..ila utaki kujuwa ukweli

  • @hiimbinaimmuslim3041
    @hiimbinaimmuslim3041 11 месяцев назад +2

    Ukiyafuwata maneno ya yesu utafananishwa na mtu mwenye akili na ukiyakata utafananishwa na mtu mpymbavu kama ndacha anokata maneno ya yesu mwenyewe yesu anakata hakutumwa kwa watu wote wewe unamwambia no umetumwa ha ndacha basi tena

  • @hiimbinaimmuslim3041
    @hiimbinaimmuslim3041 11 месяцев назад +2

    Na katumwa kwa kondoo walio potea wa nyumba ya israil hayatoshi tu hayo mkajuwa ukweli au mnabishana tu kwa sababu ya tonge tu ndacha usiwapoteze wenzio utachomwa 🔥

  • @albertmwangi3297
    @albertmwangi3297 11 месяцев назад +1

    Mwalimu Ndacha endelea kuwafunza hawa waislam,, wataelewa tu

  • @msemakweli243
    @msemakweli243 11 месяцев назад +1

    Uhu ni ufalume wa shetani kiama ndo kitafuta ufalume washetani

  • @JustinKitsao
    @JustinKitsao 11 месяцев назад +2

    Ndacha n kafiri kweli