Mungu ni mwema kila wakati...Mungu azidi kumfanyia wepesi katika afya yake na matanio yake ya kila Mtanzania ifike mahali apate huduma bora kama alivyoipata yeye yatimie...
Mwenyezi Mungu ninakushukuru kwa ajili ya kumponya Baba Askofu Mkuu Rwaichi. Ninakushukuru kwa ajili ya upendo alionao Mh. Rais Magufuli kwa watu wake. Namshukuru Mungu kwa ajili ya wataalam Maprofesa Madaktari Wauguzi na wataalam wote wa afya wenye upendo kwa Taifa lako Mungu. Mwenyezi Mungu asante kuniweka kwenye Taifa la Tanzania. Utukuzwe Ee Mungu kila wakati. AMINA
Mungu ni mwema kila wakati...Mungu azidi kumfanyia wepesi katika afya yake na matanio yake ya kila Mtanzania ifike mahali apate huduma bora kama alivyoipata yeye yatimie...
Mungu mwenyezi akujalie afya ya Roho na mwili Baba Askofu upone kabisa maradhi yanayokusumbua.
Mwenyezi Mungu ninakushukuru kwa ajili ya kumponya Baba Askofu Mkuu Rwaichi. Ninakushukuru kwa ajili ya upendo alionao Mh. Rais Magufuli kwa watu wake. Namshukuru Mungu kwa ajili ya wataalam Maprofesa Madaktari Wauguzi na wataalam wote wa afya wenye upendo kwa Taifa lako Mungu. Mwenyezi Mungu asante kuniweka kwenye Taifa la Tanzania. Utukuzwe Ee Mungu kila wakati. AMINA
pole baba yetu wa kiroho mungu akutangulie ktk utume wa yesu kristo
🙏🏼🙏🏼Mungu wetu ni mwaminifu sana sio kama mwanadamu ahimidiwe milele
Tuongezee iman bwana mungu akujalie afya njema baba Askofu wetu
Pole sana baba. Shetani ashindwe na alegee na Malaika wa Mungu wakilinde uweze kuongoza kanisa la Mungu Tanzania
pole Baba ! Mungu azidi kukutia nguvu ! ili uendelee na utume !
Duuh,, niseme tu kwamba Mungu ni mwema,,,pia nimpongeze Rais wetu Magufuli,,,,pia mungu ni mwema azid kumpa Afya njema Baba Askofu
Quick recovery mheshimiwa sana Rwaichi.... A gifted preacher indeed!
Mungu ni mwema sana
Mungu awe nawe Baba
Mungu akupe nguvu baba
Ahimidiwe mungu milele
👏👏👏👏👏👏👏
Tunakutakia utume mwemaa Baba Askofu mkuu
Hakika Mungu ni mwema.
bora huyu jamaa amepona..... SIJUI NIKIUMWA MIMI HILO TATIZO ITAKUWAJE.