Maneno Mazito ya ASKOFU MKUU RWAI'CH Baada ya kutoka Hospitalini

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 20 окт 2024

Комментарии • 18

  • @victoriaperera9550
    @victoriaperera9550 5 лет назад +1

    Mungu ni mwema kila wakati...Mungu azidi kumfanyia wepesi katika afya yake na matanio yake ya kila Mtanzania ifike mahali apate huduma bora kama alivyoipata yeye yatimie...

  • @mathiasgotald
    @mathiasgotald 5 лет назад +4

    Mungu mwenyezi akujalie afya ya Roho na mwili Baba Askofu upone kabisa maradhi yanayokusumbua.

  • @lifeisgood4242
    @lifeisgood4242 5 лет назад

    Mwenyezi Mungu ninakushukuru kwa ajili ya kumponya Baba Askofu Mkuu Rwaichi. Ninakushukuru kwa ajili ya upendo alionao Mh. Rais Magufuli kwa watu wake. Namshukuru Mungu kwa ajili ya wataalam Maprofesa Madaktari Wauguzi na wataalam wote wa afya wenye upendo kwa Taifa lako Mungu. Mwenyezi Mungu asante kuniweka kwenye Taifa la Tanzania. Utukuzwe Ee Mungu kila wakati. AMINA

  • @paulosulle7896
    @paulosulle7896 5 лет назад +2

    pole baba yetu wa kiroho mungu akutangulie ktk utume wa yesu kristo

  • @annakulanga5415
    @annakulanga5415 4 года назад

    🙏🏼🙏🏼Mungu wetu ni mwaminifu sana sio kama mwanadamu ahimidiwe milele

  • @nicolausdandagala6201
    @nicolausdandagala6201 5 лет назад +1

    Tuongezee iman bwana mungu akujalie afya njema baba Askofu wetu

  • @annapeter4994
    @annapeter4994 5 лет назад

    Pole sana baba. Shetani ashindwe na alegee na Malaika wa Mungu wakilinde uweze kuongoza kanisa la Mungu Tanzania

  • @joanithatheobard4660
    @joanithatheobard4660 5 лет назад +1

    pole Baba ! Mungu azidi kukutia nguvu ! ili uendelee na utume !

  • @leonardmrope9528
    @leonardmrope9528 5 лет назад +1

    Duuh,, niseme tu kwamba Mungu ni mwema,,,pia nimpongeze Rais wetu Magufuli,,,,pia mungu ni mwema azid kumpa Afya njema Baba Askofu

  • @francisabedneco5664
    @francisabedneco5664 5 лет назад

    Quick recovery mheshimiwa sana Rwaichi.... A gifted preacher indeed!

  • @medardjustinian5223
    @medardjustinian5223 5 лет назад +1

    Mungu ni mwema sana

  • @scholasticamavere3131
    @scholasticamavere3131 5 лет назад +1

    Mungu awe nawe Baba

  • @tarsilakimaro7006
    @tarsilakimaro7006 5 лет назад +1

    Mungu akupe nguvu baba

  • @francismigongwa4146
    @francismigongwa4146 5 лет назад +2

    Ahimidiwe mungu milele

  • @happymsaki1720
    @happymsaki1720 5 лет назад

    👏👏👏👏👏👏👏

  • @raylaurent4389
    @raylaurent4389 5 лет назад +4

    Tunakutakia utume mwemaa Baba Askofu mkuu

  • @tibrucemushi1735
    @tibrucemushi1735 5 лет назад

    bora huyu jamaa amepona..... SIJUI NIKIUMWA MIMI HILO TATIZO ITAKUWAJE.