Nyoka wa ajabu Kericho
HTML-код
- Опубликовано: 8 май 2019
- Nyoka wa ajabu Kericho
#SemaNaCitizen
Citizen TV is Kenya's leading television station commanding an audience reach of over 60% and in its over 12 years of existence as a pioneer brand for the Royal Media Services (RMS), it has set footprints across the country leaving no region uncovered.
This is your ideal channel for the latest and breaking news, top stories, politics, business, sports, lifestyle and entertainment from Kenya and around the world.
Follow us:
citizentv.co.ke
/ citizentvkenya
/ citizentvkenya
plus.google.com/+CitizenTVKenya
/ citizentvkenya
Before kws waingilie huyo amebeba mtoto afanyiwe uchunguzi wa akili😂😂😂haiwezekani usikie Kuna hatari Kisha ubebe mtoto uende naye kwenye hatari,ikitokea ule chatu imewakuta kighafla utakimbia aje na mtoi 😂😂😂 Kenya inabidi tusaidiwe maombo toka tz,
🤣🤣🤣🤣
@@lucynjoroge9233 hahahaha not funny at all plz😂😂
Not fun for sure 🤣🤣🤣🤣🤣
Inawezekana amehofia kumuacha mtoto kwa nyumba alfu chatu ajifiche nakumpata chumbani Peke yake😂😂😂😂😂
@@roseirungo1950 akili zake anazijua mwenyewe 😂😂😂Yani nimerudia kuangalia sijaamini mm😂😂😂
I’m watching news of 4yrs ago😅😅😅😅😅😅😅 it’s new for me now😅
Lakini Rashid you've come from for God bless your work
You're skills are amazing
Mungu awalinde wote waliofika hapo Jericho,pole Kwa hofu
Nkwambia bahati mbaya ianguke kutoka hpo juu. mbio znye zinaweza kuwa hpo.weee tunaweza pata wtu w kuenda marathon.hizo majani kutapatikana n barabara y haraka sana
HAHAHHAHA
Huyu reporter ati wakenya wamejaa ngori😂😂😂😂
Sheng town
@@johnongolla6042 walai alikuwa anatranslate sheng to kiswahili😂😂😂😂
Amechomaaaa
Rashid hao watu watakutoa swaum yko ikiwa utapangiwa kazi na mtu aliye uchi
.. SubhanaAllah
Climb up na mtoto huyu jamaa boya sana 🤣🤣🤣
Waaaaa mkale na kiswahili safi big up
Right my son Rashid,Yusuf Daud Yadab wa Mazeras.
Hata sijaiona vizuri
There is nothing as painful as watching the news then you realize its 1year ago!! wa wa wa! anyway news is new.
Sasa pain inatoka wapi ndugu?
😂😂😂this has made me relook, it's actually a year ago. New is news 😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
you just made me look....its 3 years ago😱😂😂😂😂💔
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
am coming to get it
Here in filipins small boys are the ones know how to deal with them they just play with them. After that they make very nice food with those big chatus i mean Asian countries.
🤣🤣🤣OMG point taken
WTF!!!! where the hell is filipins is it even a country.....it's called Philippines not filipins😠
Aki.mungu.akumbuke.kenya
Nice
Hatari
Wakaazi wamejaa ngori...Fada Lord
Hahaaaa
"ngori" is a Swahili word
Mumekosa kazi yakufanya
Kiswahili ya the reporter imechanganyikiwa just like the said snake😂😂😂
Ni mkalee,what do you expect
😂😂😂😂😂
Mnajuanga kutoa MTU makosa Sana no one is perfect
munyua leah wewe uko confused as fvck
Kelly Dread eee nimebarikiwa Sana na mungu Hadi nimekuwa confused si kupenda kwangu
Hatari xana
Hadi wa mama na mapanga 😂🤣
Poleni
Heheh tuchukue mkono sheria
Citizen tunataka updates please
Watu.wamesahau wakale na mbio wako sawa, kwa hivyo Yule jamaa amebeba mtoto anajua chochote kitakacho tokea atafyatuka na mtoto wake.
ZzzzzzzzzzzZVzzTMZzMzzz zzz zztzdzZZzzzzzzzzZTzz manz.ZZzzzzzzzh
zzzzZ zzzz XZ ZTZZZZZZZ ZZZZZzzzz zzzz
zzzz zZzzZZzZzzzzZZzh a ta zXZZzzzzzzztzzZrz zz fzzzzzZZZZZZZZZZZ,
I can't imagine am watching it Dec 2022
😀😃😄😁😆iko na haki ya kuishi hapa
The only way to deal with it Ni muangushe hiyo miti yote akose pa kulala arudi kwao. Niko hapa njooni mnipige
Hahaa
😂😂😂ausio
Does that video camera have an extender to focus tight on the snake so that we can see it closely?
Wakate mti na powersaw waivamie
Aty Sheria mkononi,,,rudisha mtoto kwa nyumba kabla
huyo ni mrinzi wa majani chai.🍃
Nilimuuliza mkaazi wa kericho kuhusu kama kuna nyoka katika majani chai
Akanicheka eti hakuna nyoka kwa majani chai
Wee mimi naogopa sasa
❤❤❤
Sawa
ndio mahama mimi sipendi ushango
mara wachawi shoka ishidwe
Watu wa kericho mkuje kwetu mjionee Joka kubwa,kama ingekuwa Python c mgeita Recce Squad waoga nyinyi
Stupid
Asiyejuwa ngeli hajui kiswahili.
Tannku chuma pili 1:48
chatu kubwa hehehehe
Mapepo
Hi citizen tv
Wanume wa kericho huo ni mama kuita wandishi wa habari eneo lenu eti nyoka... mwanaume kamili angepanda Kule juu na kutoa yule nyoka na kujinja na hiyo stori ipate kila mtu kama kaa breaking news🤣
simple call in the Chinese it's a great meal in Chinatown
Call the Chinese good meal
Nyoka kubwa
We can climb up there tutoe hio kitu😂😂😂😂.. mgekuwa mmetoa kwanza peleka mtoto home
Hahaha huyu ni Fala ako na akili fupi . Apeleke mtoto home..
i heard ngori
waache Ku cheat wa Kenya tusimame imara kwa maombi
Nyoka ako mm sijaiona naona watu na mafibo na mapanga
they love majani chai..already be careful farmers
Ruku
Chatu is a human friendly hainanga maneno
Duuuh ukweli ni kwamba wote wana silaha,But chatu akatoke utaona watu watakavyo fyatua mbio.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@@siznic2156 😂😂😂😂😂 Watatimua na Mapanga yao.
Wewe Mwanahalima una mbio
@@frankkotte117 🤣🤣🤣🤣 Sana, Natimua utaona Vimbi 2 mi mwenyewe hutaniona.
Natamani shindana na wewe basi😂
Acheni vituko... Ati chatu.... Hapo wako wengi kwanza usiku mtajua.... Naskia hao ni wanaume.....
Ebu wacha kuniogopesha 😂😂
Huduma namba ndio imemtoa pangoni
Billa Anyango 😂😂😂
@@billaanyango8208 🤣🤣🤣
hyo witness wa KWF tulisoma naye narok high school class of 2014, bright student
Acha umbeaa nanikakuulizaa🙄🙄😳😳😂😂
Chat kwa miti? Mmh kejeli
Me nataka kuona huyo chatu. Mpiga picha fanya kazi yako vizuri.
Hahaha pic mimi
Mtoi anapiga chatu pia?we mzee umechizi
Umetixha duhh
Watu wa kericho chatu mtuu kwani wewe mwanaume utaeza enda n mtoi place Kama hiyo swali n je nyoka alipanda aje juuu
Sio kwa wakale tu Mimi siwesi karibia
Ni Mganga Raila ako juu ya miti. Kila pahali anaenda ana peleka uchawi.
nyoka huu,what swahili is this?
Mbona huyo chat haonekani sasa hebu huyo mwenye camera apande juu ya huo mti ili tutapate kumuona vizuri
Hahahahah we kapande
@@ummeythanneythanneymohamme8308 😂😂😂waonekana ni waongo hao wanakijiji sasa ss watazamaji hatoni chatu sibora huyo mwenye camera atudhihirishie wazi kwamba amemuona hapo juu ya mti akiwa na camera yake 😂😂😂
If these people think A panga/matchete or clubs of any kind will harm that python then they will be suprised coz its skin and body will be like rubber. u can't cut its body .so to save life of the people and that of the snake let them call snake catcher or kws who will catch it using bare hands.
Surely unambeba mtoi
Chatu anawezaje kupanda juu...???
Na uyo chatu akishuka au kuruka upende wenye muko na ww ukona mtt utaweza kujitetea kweli au uangushie chatu mtt
Nasipigwe risasi akufe juu sasa kama hao wanambiwa wataki kuajibika itambidi waiyuwe😢
Watumie power soo kukata huo mti.
Sauti ya Rashid. 😍
I always crush on his voice honestly
Huyo nyoka sio chatu. Chatu hapandi juu ya miti.
Tumia viambishi vifaavyo kwenye matamshi yako.. Chatu huyu sio Chatu hii...
where is this guy from ''snakes in the city'' progrmme in Natgeo....
Heeeeee
Well said he should capture dat snake
Sasa ni nyoka simukugute hizo miti iteremke au ni chatu mtu😅
My friends hiyo ni majini
Achaneni na chatu ako kwa raha zake,hawasumbui nyinyi ndio mnamsumbua,
Huyu chatu akianguka hapo hakuna atakae baki mguu niponye😂😂
Vry true
Haha
Surely huyo ni mtoto wa kupelekwa place kama hiyo, what the snake ikivamia
kulipia zoo ni gharama ndio mtoto amepelekwa aone chatu haha
😂😂😂😂😂😂😂😂😂akili za huyo baba jamani😂😂😂
Nyoka haiwezi vamia crowd not unless iko cornered
Nyoka hawindi binadamu
Huyo mtoi ako na kofia ya red ni msoo sana hafai kubebwa
Hahaha
Aaaah!
China mipira tairi sasa nyie wakenya mnaendaje kutafuta chatu umembeba mtoto ni ushamba na ujinga tumieni akili ya kumpata huyo chatu
uyo mtoto ameshtuka aje reporter akianza kumhoji mwana kijiji🤣🤣🤣🤣
Aki wakenya yani unabeba mtoto mahali kama hapo nkt
Propesa to call uliam urgently
Hay
Tanzania wanacheza na chato wakubwa wakiwa uchi huku wananchi wakishangilia!! Dunia INA mambo. Nguvu za kichawi zishindwe katika jina LA Yesu.
😂😂mjinga wewe, nyoka ni mnyqmq sio shetani
Sijaiona mimi
"Climb up there tutoe Hio kitu"
Hehe I can't imagine
Hahaha
waau
aty can climb na uitoe😂😂😂😂
😂😂😂😂 Achana na watu wangu
@@willybett1906 , Stop we are one, you don't expect them to climb the tree, do you?
It's 4 years now,what finally happened?
Napenda kazi ya Rashid Abdallah
Uyo chatuniwakawaida kweli
amesema wana nchi wame jaa ngori
Hahaaa walai ata Mimi niliskia nilicheka yangu yote
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 reporter alikua na wasi wasi vile aliambia chatu ipo kwenye miti😂😂😂😂😂akafikiria ako mahali pakuongelelea sheng😂😂😂
😂😂😂😂pia wewe una ngori
unless wewe hujui ngori ni nn. its very fluent.
Kenya 😂😂😂😂😂😂😂
3 YEARS,WUEEEEEEEEEEEEEH MAMBO IMECHEMKA
2021 kujeni tuone Ka chatu aliuliwa
Kuitazama ama kumtazama mtangazaji nyoka ama myama yeyote Yuki katika ngeli m-wa
Sijaona hio nyoka
Mziue
Ama mawe ya songe
Kwani mishale zilienda wapi?
I can climb up there na niitoe😂😂😂
Huyo ni nyoka mtu...chatu hana mbio