HOUSE GIRL EP 04 | S3 | Love Story 💕💞

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 19 сен 2024
  • HOUSE GIRL SEASON 3

Комментарии • 128

  • @MawazoJustin-fw2ws
    @MawazoJustin-fw2ws 5 часов назад +9

    Kiramba jamani unatiya uruma Pole sana, wakwanza mm toka sauth africa naombeni like wanao muoneya Kiramba uruma

    • @UmmiGanja
      @UmmiGanja 5 часов назад +1

      Candy kitakuramba

  • @SnicthGoma
    @SnicthGoma 5 часов назад +13

    Mimi wa kwaza leo naomba like jamani much love from Kenya 🇰🇪 to congo

  • @mesamesa3698
    @mesamesa3698 4 часа назад +8

    Jamani hivi mm cna damu ya kupewa like 😂😂😂 much love 💕 team busati tv

  • @SadaDjuma-e9b
    @SadaDjuma-e9b 5 часов назад +11

    Ndug zanguni Amani ya Mungu iwe juu yenu, nimefurah tena kukutana tena nanyie mkiwa wazima wa Afya, Ninawapenda saan 😘 😘 😘

  • @mohamedlopa8410
    @mohamedlopa8410 5 часов назад +5

    Ambao tupo macho mbaka mda huu tujuane hapa kwa like ❤❤❤❤🤩🤩🤩🤩🤩🤩🤩🤩🤩🤩🤩

  • @كامليا-ر7ز
    @كامليا-ر7ز 5 часов назад +2

    Kiukwel kiramba unatia huruma😥😥pole Sana mpambavu mwenzangu weka like kwa kiramba mpe tu pole

  • @RoseShedrack-j2s
    @RoseShedrack-j2s 5 часов назад +3

    Mim wa kwanz Leo sijalal mbn saiv naomba like jmn 😢

  • @sharifabahar9905
    @sharifabahar9905 5 часов назад +6

    😢😢😢namuonea huruma tasha na zatiti Maana naona maadui niwengi sana bibi zuu yupo wapi tena

  • @SandrineIngabire-j7c
    @SandrineIngabire-j7c 5 часов назад +3

    5min leo nimewahi.kutoka 🇧🇮🇧🇮🇧🇮wpi like zenu

  • @rahelcharles7861
    @rahelcharles7861 4 часа назад +1

    Mpo fasta

  • @JoyceJackson-sk7lu
    @JoyceJackson-sk7lu 5 часов назад +2

    Wow hatimaye namimi nimewahi Sasa wanaoboreka na tabia za candy na group lake tujuane.✋✋✋

  • @christianjohn740
    @christianjohn740 5 часов назад +2

    NAani kapata hii...🎉🎉❤Kilimanjaro#

  • @ruthyohanesy3739
    @ruthyohanesy3739 5 часов назад +2

    Ukiona cjakulike nishtue nikulike❤

  • @BeatriceMvaty
    @BeatriceMvaty Час назад +1

    Wat ad satisa hamlali duh busati nyie mnatuponza atulali sis nipen like bas 😂😂😂

  • @KhamisJuma-ni1vk
    @KhamisJuma-ni1vk 30 минут назад

    Kai Mchukue Wewe Uyo Kilamba Ukakaenae After that Yule Fanya Kazi, Wako Unamwambia Ake Karibu Sana n Kilamba Hili Amfariji Kwaiki Kipindi Wapitia Napia Utakua Umemzuiwiya Uyo Mfanya Kazi wako Kwa Mambo Anayo Takakuyapanga Au Kuya fanya.. Hila Shukrani Zangu Kwa, that Kwenu Nyote One love

  • @فراحهكينيا
    @فراحهكينيا 5 часов назад +1

    Leo nimewai team strong piteni hapa n like tukisonga❤😊😊😊😊😊

  • @aishaallyaishaally3220
    @aishaallyaishaally3220 4 часа назад

    Nice

  • @JullianaEmmanuel-tm5xg
    @JullianaEmmanuel-tm5xg 5 часов назад +2

    Huyo afande Kuna sehemu kafeli, mm n afande( Kiufupi ajakaza kwny nafas yake)

  • @AgnessDama
    @AgnessDama 5 часов назад +1

    Nimewah leo jaman like ata 5 pls🙏🙏

  • @user-dp3fv2kh4l
    @user-dp3fv2kh4l 4 часа назад +1

    Kilamba mpumbavu mwenzako angekukua hapo angelikua ame andaa mihogo jamani pole

  • @elizabethmahenzo7220
    @elizabethmahenzo7220 4 часа назад

    Nice movie ❤❤❤❤🎉

  • @SnicthGoma
    @SnicthGoma 5 часов назад +1

    Naomba subscribe tu familia na ngoma kali sana

  • @ANNASEBASTIANIKISAKA
    @ANNASEBASTIANIKISAKA 5 часов назад +1

    The first one more like❤❤❤❤❤

  • @SadaDjuma-e9b
    @SadaDjuma-e9b 5 часов назад +1

    Zuu,Tasha, Zatiti, Kai Mungu yupo karibu yenu napia ndio mtetezi wenu, mwisho wa njia ni Ndani.

  • @NgalamnyaziScolasticah
    @NgalamnyaziScolasticah 5 часов назад +1

    Nani kateka Jasmin lkn 😢 kiramba anayia huruma jamani, mungu mlinde jasmine mahali alipo inshallah

  • @Sofiashabani780
    @Sofiashabani780 5 часов назад +2

    Chiko keshakua mchungaji wa baba karobo

  • @JacintaMaloba
    @JacintaMaloba 5 часов назад +1

    Leo mm nipo among top 10

  • @JullianaEmmanuel-tm5xg
    @JullianaEmmanuel-tm5xg 5 часов назад +1

    Mpumbafu mwenzangu hv kwl kapotea, daah

  • @user-oj5ro4fk2e
    @user-oj5ro4fk2e 5 часов назад +1

    😂😂😂nimekimbia mbio nikua naona nishawai wa kwanza kumbe daah wa 23😂😂😂😂😂😂 ila naomba like pia na mie 😂😂😂❤❤

  • @ANDREWCOMEDIAN
    @ANDREWCOMEDIAN 5 часов назад +1

    Tunaifatilia sana hii movie

  • @jubaidamiss2409
    @jubaidamiss2409 2 часа назад

    Next ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @SomyaS-q9t
    @SomyaS-q9t 4 часа назад

    Huyu chiko anashida gani asotuliza hizondevu zake ka brashi ya kuoshea hamamm😂😂😂

  • @SbsBts-g3v
    @SbsBts-g3v 4 часа назад

    Next plz 😂😂😂😂

  • @MagiMagi-zk3es
    @MagiMagi-zk3es 4 часа назад +1

    Wanao amini batuli hatajulikana na mipango yake tujuane kwa like tukisonga

    • @QueenStecy
      @QueenStecy Час назад +1

      Usisahau kuna bi zuuh dada

  • @HoHo-l1r
    @HoHo-l1r 5 часов назад

    Busati tv nawakubali Sana nyie ni Wamoto co mchezo...big up wote...

  • @RitahKedi-h3e
    @RitahKedi-h3e 3 часа назад +1

    😂😂😂😂😂 watu wa like mwapeleka wapi

  • @RebeccaPIUS-cw7xr
    @RebeccaPIUS-cw7xr 5 часов назад +1

    Duuh ndugu zangu ufanye male mwee khaaa😂😂

  • @B.M-ix4rz
    @B.M-ix4rz 5 часов назад +1

    Watu hamlalii

  • @SdFft-j5g
    @SdFft-j5g 4 часа назад

    Nani yuawa hisi kama mm kua ni Kendi alieko nyuma ya utekaji wa mke wa kilamba ukwaju,, jamani mpumbavu anamumiss mpumbavu mwenzie😢😢

  • @umentco9600
    @umentco9600 3 часа назад +1

    Kilamba uko na vituko jamani

  • @HadijaSalim-c7p
    @HadijaSalim-c7p 5 часов назад +1

    Wakwanza leo

  • @DidaAlly-iz1it
    @DidaAlly-iz1it 50 минут назад

    Munaiyaribu sasa hii move mnajaza watu wengi

  • @AngeArakaza-i1s
    @AngeArakaza-i1s 5 часов назад +1

    Leo wa ine lake zangi jameni

  • @FitinaWilondja-m7c
    @FitinaWilondja-m7c 5 часов назад

    🎉🎉🎉

  • @umentco9600
    @umentco9600 3 часа назад

    Na wanawake wote wagewa kama suu na satiti kwa ndoa kuti wanaume sao ndoa zigedumu

  • @AshaWato
    @AshaWato 5 часов назад

    Leo nmewahi watching from 🇰🇪🇸🇦

  • @user-rg5im1ls4j
    @user-rg5im1ls4j 5 часов назад +1

    House girl inafanya tunakesha kama wachawi😂😂😂

  • @mumfaraji5034
    @mumfaraji5034 2 часа назад

    Huyu Rahma simpendi maana niking'ang'a na story za waganga,mdomo anavyoukenua sasa

  • @jacklinemwikali5045lina
    @jacklinemwikali5045lina 4 часа назад

    Kiramba pole sana pia mm naumia kuona mpumbavu mwenzako ametekwa

  • @sifamaureen2792
    @sifamaureen2792 5 часов назад

    Mwenye ataoa zatiti,atakuwa amepata Bibi WA hekima🎉🎉🎉kama unaamini fanya ile kitu

  • @Kafandika
    @Kafandika 5 часов назад

    ❤❤❤❤❤❤❤

  • @MwajumaMohammad
    @MwajumaMohammad 4 часа назад

    Bibi Zuu huwe msaada kwa kiramba, Kai Tasha , Zatiti na mke wa kiramba

  • @Kai_busati
    @Kai_busati 5 часов назад +1

    Hakuna kulala🙌🏾🔥🔥

  • @pascalkomba8574
    @pascalkomba8574 5 часов назад

    Daaaaaa kumbe mpumbavu mwenzangu ni mpole kiasi hiki jamani pole et 😂😂😂😂😂😂

  • @QueenStecy
    @QueenStecy 2 часа назад

    U r not in hospital, not in jail ,not dead not sick why not thank him for everything i will praise him until my last breath

  • @user-uo4gu1kk2z
    @user-uo4gu1kk2z 4 часа назад

    ❤❤❤❤

  • @henryhabadju-xr6qk
    @henryhabadju-xr6qk 5 часов назад

    CD5 mina muongezea jina lingine NDOMBOLO YASOLO😂😂😂

  • @CattybrightCattybright
    @CattybrightCattybright 5 часов назад +1

    Nimewaiiiii 😂😂😂🎉

  • @RahimaAa-g2v
    @RahimaAa-g2v 5 часов назад

    Busat❤❤❤ nawapenda sn🎉🎉🎉🎉chukuen maua yenu tunaerimika sn kupitia house,girl

  • @ZenaAfreka
    @ZenaAfreka Час назад

    ❤❤❤

  • @BettyChai-x3q
    @BettyChai-x3q 4 часа назад +1

    Tujua mashangala

  • @happybalence
    @happybalence 4 часа назад

    Kazi mzuriii mno mungu habariki snaa 🙏

  • @umentco9600
    @umentco9600 3 часа назад

    Wanaume wagependa wake sao kama kilamba

  • @ElizabethMumbi-c6x
    @ElizabethMumbi-c6x 5 часов назад

    Nimewah leo Kwa Mara ya kwanza kazi nzur 🎉🎉

  • @MwanaishaChileta
    @MwanaishaChileta 5 часов назад

    Leo nimerauka mashaa Allah team zuu nawakubali wanangu munaweza 🎉🎉🎉🎉❤❤

  • @bayubaheallydelly-rn2zv
    @bayubaheallydelly-rn2zv 4 часа назад

    Kama unamuonea huluma kilamba naomba like zangu

  • @EveKaari-r7r
    @EveKaari-r7r 5 часов назад +2

    13 Niko hapa 3 minutes 😅😅😅😅😅

  • @user-jg8zz6el8k
    @user-jg8zz6el8k Час назад

    Duuh hadi natoa machozi kiramba jamanii 😢😢🥺

  • @denismshanga2201
    @denismshanga2201 4 часа назад

    We papa na tim yako ata siwaelew😂😂😂😂😂😂

  • @MaryBosibori-xm7us
    @MaryBosibori-xm7us 5 часов назад

    Jamani mpumbavu wangu pole sana

  • @AliMwero-x8g
    @AliMwero-x8g 4 часа назад

    Jameni hizi picha zenu nifupifupi sana

  • @نيجي-ن1د
    @نيجي-ن1د 2 часа назад

    Mm namshuku Candy ndio anahusika na utekaj wa Jasmine coz Jasmine yuko karibu na Zuu,so waliamua wamteke ili wapate nafasi ya kumwahi Zuu ila Mungu atawaumbua tu

  • @EviathaEdistedius
    @EviathaEdistedius 5 часов назад

    Jaman msifike Epsod ya 50 ujue mkiirefusha inaanz kuboaaa

  • @Joy-k4t8y
    @Joy-k4t8y 5 часов назад

    nawapenda sana much love from 🇦🇪🇦🇪🇰🇪🇰🇪

  • @zanishaikhonge7296
    @zanishaikhonge7296 5 часов назад

    Wa 29 kazi nzuri ❤❤❤

  • @fatumazakalia-yx4kg
    @fatumazakalia-yx4kg 3 часа назад

    Yani mm mwenzenu nikiangalia house girl natamani iciishe

  • @EricMakanisa
    @EricMakanisa 4 часа назад +1

    WA 73 leo nikiwa south Africa 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @Nassrah737
    @Nassrah737 5 часов назад

    Jamani mambo ni 🔥

  • @Vanemokeira-d5v
    @Vanemokeira-d5v 5 часов назад +2

    😂😂😂😂😂❤❤😢😢

  • @nyamvulafatuma5383
    @nyamvulafatuma5383 5 часов назад

    🎉🎉🎉🎉🎉

  • @EvaKimario-tv2mw
    @EvaKimario-tv2mw 4 часа назад

    Kiramba ukwaju karabwaa

  • @AdijaRumonge
    @AdijaRumonge 4 часа назад

    Like jamanii naomba

  • @KuvunaGonda
    @KuvunaGonda 52 минуты назад

    Tusongen Mbele na busati tv

  • @user-mm2oe3tx4j
    @user-mm2oe3tx4j 5 часов назад

    Jama leo nimewahi watu hawalali

  • @JovitusAdeodatus
    @JovitusAdeodatus 5 часов назад

    wa Kenya weka likes apa

  • @saumodzumbo9671
    @saumodzumbo9671 4 часа назад

    Masikini mpumbavu mwenzangu 😢😢😢

  • @aliceaugustine1327
    @aliceaugustine1327 4 часа назад +1

    Et kadri siku zinavyozidi kwenda😅😅sijana tu jmn😅

  • @Juliety-v3o
    @Juliety-v3o 4 часа назад

    Jaman nan kamteka mpumbavu wa kilamba ukwaju

  • @BIBIATHMAN
    @BIBIATHMAN 5 часов назад

    Atulali mapopo tukisubir House grl❤

  • @Naima-v6v
    @Naima-v6v 5 часов назад

    ❤❤🎉🎉🎉

  • @user-mm2oe3tx4j
    @user-mm2oe3tx4j 5 часов назад

    Kilamba mpumbavu mwenzangu pole

  • @levinalitanda8166
    @levinalitanda8166 4 часа назад

    Jaman bb zuli yuko wapi? Binafsi ningeomba bb zuli awasaidie kai na zuli, kilamba na mkewe na tasha na zatt please bb awasaidie

  • @EstherMutisya-rf4qq
    @EstherMutisya-rf4qq 4 часа назад

    Jasmine mungu akulinde mama

  • @NyagiciroGrace
    @NyagiciroGrace Час назад

    Ukona cjakulike nishtue nikulike

  • @Frenk-q2h
    @Frenk-q2h 5 часов назад

    pole sana kilamba ukwaju shemeji ataonekanatu😅😅😂

  • @KageneMireille-zz7qc
    @KageneMireille-zz7qc 5 часов назад

    Wakwanza kutoka Burundi🎉🎉🎉🎉

  • @aishaomar2287
    @aishaomar2287 4 часа назад

    Sania leo hataki mipango😂😂😂

  • @Sofiashabani780
    @Sofiashabani780 5 часов назад +1

    Nimechelewa 😂😂😂

  • @denismshanga2201
    @denismshanga2201 4 часа назад +1

    Views wa house girl mnaomba sana like jaman ukafkr keki jaman afu na swal Kwa candy ivi mwazani maana yake nn jaman nisaidieni😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😮😮😮😮

  • @مرحبا-ن8ز
    @مرحبا-ن8ز 10 минут назад

    Sede senge sania amkutolea za nje