Kai Mchukue Wewe Uyo Kilamba Ukakaenae After that Yule Fanya Kazi, Wako Unamwambia Ake Karibu Sana n Kilamba Hili Amfariji Kwaiki Kipindi Wapitia Napia Utakua Umemzuiwiya Uyo Mfanya Kazi wako Kwa Mambo Anayo Takakuyapanga Au Kuya fanya.. Hila Shukrani Zangu Kwa, that Kwenu Nyote One love
Mm namshuku Candy ndio anahusika na utekaj wa Jasmine coz Jasmine yuko karibu na Zuu,so waliamua wamteke ili wapate nafasi ya kumwahi Zuu ila Mungu atawaumbua tu
Kiramba jamani unatiya uruma Pole sana, wakwanza mm toka sauth africa naombeni like wanao muoneya Kiramba uruma
Candy kitakuramba
Mimi wa kwaza leo naomba like jamani much love from Kenya 🇰🇪 to congo
Jamani hivi mm cna damu ya kupewa like 😂😂😂 much love 💕 team busati tv
😂😂😂😂c bc
Ndug zanguni Amani ya Mungu iwe juu yenu, nimefurah tena kukutana tena nanyie mkiwa wazima wa Afya, Ninawapenda saan 😘 😘 😘
Inshallah shkran ❤
Amen na kwako pia🙏
Ambao tupo macho mbaka mda huu tujuane hapa kwa like ❤❤❤❤🤩🤩🤩🤩🤩🤩🤩🤩🤩🤩🤩
Lala😂😂😂
Kiukwel kiramba unatia huruma😥😥pole Sana mpambavu mwenzangu weka like kwa kiramba mpe tu pole
Mim wa kwanz Leo sijalal mbn saiv naomba like jmn 😢
😢😢😢namuonea huruma tasha na zatiti Maana naona maadui niwengi sana bibi zuu yupo wapi tena
5min leo nimewahi.kutoka 🇧🇮🇧🇮🇧🇮wpi like zenu
Mpo fasta
Wow hatimaye namimi nimewahi Sasa wanaoboreka na tabia za candy na group lake tujuane.✋✋✋
NAani kapata hii...🎉🎉❤Kilimanjaro#
Ukiona cjakulike nishtue nikulike❤
Wat ad satisa hamlali duh busati nyie mnatuponza atulali sis nipen like bas 😂😂😂
Kai Mchukue Wewe Uyo Kilamba Ukakaenae After that Yule Fanya Kazi, Wako Unamwambia Ake Karibu Sana n Kilamba Hili Amfariji Kwaiki Kipindi Wapitia Napia Utakua Umemzuiwiya Uyo Mfanya Kazi wako Kwa Mambo Anayo Takakuyapanga Au Kuya fanya.. Hila Shukrani Zangu Kwa, that Kwenu Nyote One love
Leo nimewai team strong piteni hapa n like tukisonga❤😊😊😊😊😊
Nice
Huyo afande Kuna sehemu kafeli, mm n afande( Kiufupi ajakaza kwny nafas yake)
Nimewah leo jaman like ata 5 pls🙏🙏
Kilamba mpumbavu mwenzako angekukua hapo angelikua ame andaa mihogo jamani pole
Nice movie ❤❤❤❤🎉
Naomba subscribe tu familia na ngoma kali sana
The first one more like❤❤❤❤❤
Zuu,Tasha, Zatiti, Kai Mungu yupo karibu yenu napia ndio mtetezi wenu, mwisho wa njia ni Ndani.
Nani kateka Jasmin lkn 😢 kiramba anayia huruma jamani, mungu mlinde jasmine mahali alipo inshallah
Chiko keshakua mchungaji wa baba karobo
Hapo ss mchungaji kweli
Leo mm nipo among top 10
Mpumbafu mwenzangu hv kwl kapotea, daah
😂😂😂nimekimbia mbio nikua naona nishawai wa kwanza kumbe daah wa 23😂😂😂😂😂😂 ila naomba like pia na mie 😂😂😂❤❤
Tunaifatilia sana hii movie
Next ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Huyu chiko anashida gani asotuliza hizondevu zake ka brashi ya kuoshea hamamm😂😂😂
Next plz 😂😂😂😂
Wanao amini batuli hatajulikana na mipango yake tujuane kwa like tukisonga
Usisahau kuna bi zuuh dada
Busati tv nawakubali Sana nyie ni Wamoto co mchezo...big up wote...
😂😂😂😂😂 watu wa like mwapeleka wapi
Duuh ndugu zangu ufanye male mwee khaaa😂😂
Watu hamlalii
Nani yuawa hisi kama mm kua ni Kendi alieko nyuma ya utekaji wa mke wa kilamba ukwaju,, jamani mpumbavu anamumiss mpumbavu mwenzie😢😢
Kilamba uko na vituko jamani
Wakwanza leo
Munaiyaribu sasa hii move mnajaza watu wengi
Leo wa ine lake zangi jameni
🎉🎉🎉
Na wanawake wote wagewa kama suu na satiti kwa ndoa kuti wanaume sao ndoa zigedumu
Leo nmewahi watching from 🇰🇪🇸🇦
House girl inafanya tunakesha kama wachawi😂😂😂
Wasema polepole😊
Huyu Rahma simpendi maana niking'ang'a na story za waganga,mdomo anavyoukenua sasa
Kiramba pole sana pia mm naumia kuona mpumbavu mwenzako ametekwa
Mwenye ataoa zatiti,atakuwa amepata Bibi WA hekima🎉🎉🎉kama unaamini fanya ile kitu
❤❤❤❤❤❤❤
Bibi Zuu huwe msaada kwa kiramba, Kai Tasha , Zatiti na mke wa kiramba
Hakuna kulala🙌🏾🔥🔥
Daaaaaa kumbe mpumbavu mwenzangu ni mpole kiasi hiki jamani pole et 😂😂😂😂😂😂
U r not in hospital, not in jail ,not dead not sick why not thank him for everything i will praise him until my last breath
❤❤❤❤
CD5 mina muongezea jina lingine NDOMBOLO YASOLO😂😂😂
Nimewaiiiii 😂😂😂🎉
Busat❤❤❤ nawapenda sn🎉🎉🎉🎉chukuen maua yenu tunaerimika sn kupitia house,girl
❤❤❤
Tujua mashangala
Kazi mzuriii mno mungu habariki snaa 🙏
Wanaume wagependa wake sao kama kilamba
Nimewah leo Kwa Mara ya kwanza kazi nzur 🎉🎉
Leo nimerauka mashaa Allah team zuu nawakubali wanangu munaweza 🎉🎉🎉🎉❤❤
Kama unamuonea huluma kilamba naomba like zangu
13 Niko hapa 3 minutes 😅😅😅😅😅
Duuh hadi natoa machozi kiramba jamanii 😢😢🥺
We papa na tim yako ata siwaelew😂😂😂😂😂😂
Jamani mpumbavu wangu pole sana
Jameni hizi picha zenu nifupifupi sana
Mm namshuku Candy ndio anahusika na utekaj wa Jasmine coz Jasmine yuko karibu na Zuu,so waliamua wamteke ili wapate nafasi ya kumwahi Zuu ila Mungu atawaumbua tu
Jaman msifike Epsod ya 50 ujue mkiirefusha inaanz kuboaaa
nawapenda sana much love from 🇦🇪🇦🇪🇰🇪🇰🇪
Wa 29 kazi nzuri ❤❤❤
Yani mm mwenzenu nikiangalia house girl natamani iciishe
WA 73 leo nikiwa south Africa 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Tujuane watnznia
@@WemaNathan nikwe kabisa
Jamani mambo ni 🔥
😂😂😂😂😂❤❤😢😢
🎉🎉🎉🎉🎉
Kiramba ukwaju karabwaa
Like jamanii naomba
Tusongen Mbele na busati tv
Jama leo nimewahi watu hawalali
wa Kenya weka likes apa
Masikini mpumbavu mwenzangu 😢😢😢
Et kadri siku zinavyozidi kwenda😅😅sijana tu jmn😅
Jaman nan kamteka mpumbavu wa kilamba ukwaju
Atulali mapopo tukisubir House grl❤
❤❤🎉🎉🎉
Kilamba mpumbavu mwenzangu pole
Jaman bb zuli yuko wapi? Binafsi ningeomba bb zuli awasaidie kai na zuli, kilamba na mkewe na tasha na zatt please bb awasaidie
Kabisa
Nakuunga mkono wakomeshwe hawa vinyangarika
Jasmine mungu akulinde mama
Ukona cjakulike nishtue nikulike
pole sana kilamba ukwaju shemeji ataonekanatu😅😅😂
Wakwanza kutoka Burundi🎉🎉🎉🎉
Sania leo hataki mipango😂😂😂
Nimechelewa 😂😂😂
Views wa house girl mnaomba sana like jaman ukafkr keki jaman afu na swal Kwa candy ivi mwazani maana yake nn jaman nisaidieni😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😮😮😮😮
Sede senge sania amkutolea za nje