ROZARI YA HURUMA YA MUNGU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • KWA AJILI YA MATESO MAKALI YA BWANA YESU KRISTU UTUHURUMIE SISI NA DUNIA NZIMA.
    #money #kenya #prayersforhealing #business #catholic #prayers

Комментарии • 22

  • @patrickbabu6949
    @patrickbabu6949 Месяц назад +1

    YESU wangu nipe uponyaji wa roho na mwili. Amina.

  • @patrickbabu6949
    @patrickbabu6949 Месяц назад +1

    YESU wangu nihurumie Mimi Mwenye dhambi. Nisamehe dhambi zangu zote Mwokozi wangu. Amina.

  • @patrickbabu6949
    @patrickbabu6949 Месяц назад +1

    YESU wangu tuhurumie sisi wanao.

  • @LidyVincent
    @LidyVincent 2 месяца назад +1

    Ameeen, yesu nina kutumainiya

  • @patrickbabu6949
    @patrickbabu6949 Месяц назад +1

    Eeh YESU Mwokozi wangu sikiliza Sala yangu na mlio wangu ukufikie. Nihurumie Mimi mkosefu .

  • @nelimarose
    @nelimarose 11 месяцев назад +8

    Rosali ya huruma iko very effective.

  • @lilianalara8007
    @lilianalara8007 14 дней назад

    Huruma ya mungu ndani ya familia yangu

  • @khadijatirionaire2510
    @khadijatirionaire2510 Месяц назад

    Amina

  • @barikiwa22
    @barikiwa22 11 месяцев назад +3

    Hii imetulia straight to the point, haina mambo ya kuimba 👍👍

  • @priscillarsidi2008
    @priscillarsidi2008 12 дней назад

    Naombea wanafunzi wote wanao safari kurudi shule haswa mtoto wangu steve, wasafiri salama... mama Maria Linda wanao katika safari.

  • @khadijatirionaire2510
    @khadijatirionaire2510 Месяц назад

    Baba nihurumie mimi na wanangu

  • @toheaveninjesusandmary.3781
    @toheaveninjesusandmary.3781 2 года назад +2

    Jinsi ya kusali...Baba yetu,
    Salamu Maria, Kanuni ya Imani. Asante kwa kusali.

  • @user-hh6es3eb6i
    @user-hh6es3eb6i 5 месяцев назад

    Kupitia rozali hii ya huruma ya MUNGU, naomba unisaidie mchumba Wang alete mahl nymbn 🙏🙏🙏🤲

  • @katarinawilliam9960
    @katarinawilliam9960 8 месяцев назад

    Wajalie watoto wangu wapendane.Na kusameheana pale wanapokoseana...Amina

  • @annwanjiku5027
    @annwanjiku5027 11 месяцев назад +1

    Am praying for my case in court today believing it will be demised

  • @FurahaNdaki-ky4df
    @FurahaNdaki-ky4df Год назад +1

    Asante mung Naona unanifarij ktk Maputo haya

  • @janethmakanza2620
    @janethmakanza2620 9 месяцев назад +1

  • @FurahaNdaki-ky4df
    @FurahaNdaki-ky4df Год назад

    Asant mama

  • @damarismbinys5694
    @damarismbinys5694 Год назад

    Ewe damu na maji,.......