Sonko na Kidero washikana mashati bungeni

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 сен 2024
  • .
    Kizaazaa kilizuka bungeni pale Seneta Wa Nairobi Mike sonko na Gavana Evans Kidero walipojibizana na hata kuthubutu kupigana baada ya seneta Sonko, kudai kwamba gavana Kidero amehusika katika mauaji ya mmoja wa wakazi wa Nairobi. Tukio hilo lilitatiza kikao cha kamati hiyo ambacho kililenga kuchunguza madai ya utumizi mbaya wa fedha katika kaunti ya Nairobi. Hata hivyo gavana Kidero amekanusha madai kwamba makabiliano yake na Sonko yaligeuka vita akisema uhusiano wake na Sonko uko sawa.
    Citizen TV is Kenya's leading television station commanding an audience reach of over 60% and in its over 12 years of existence as a pioneer brand for the Royal Media Services (RMS), it has set footprints across the country leaving no region uncovered.
    This is your ideal channel for the latest and breaking news, top stories, politics, business, sports, lifestyle and entertainment from Kenya and around the world.
    Follow us:
    citizentv.co.ke
    / citizentvkenya
    / citizentvkenya
    plus.google.co...
    / citizentvkenya

Комментарии • 71

  • @michaelogweno7913
    @michaelogweno7913 3 года назад +28

    Kidero was so gentle Mature upstairs and a gentle Man,,,

  • @guracha200
    @guracha200 8 лет назад +17

    Please let's respect each other for the sake of our beautiful country. Kenya milele. Love to you all Kenyans

  • @getrudeachieng6725
    @getrudeachieng6725 8 лет назад +17

    Thank you citizen for showing the full story unbiased.

  • @charlesngala9103
    @charlesngala9103 3 года назад +3

    Am watching now akiwa sonko nje

  • @kenyanniggar357
    @kenyanniggar357 4 года назад +9

    who can tell who is sonko in 2020?

  • @collinsoconnor5843
    @collinsoconnor5843 3 года назад +2

    "Nifundishe kunyamaza, nifundishe kunyamaza, nifundishe kunyamaza, nisije nikakukosea Uhuru".......

  • @manu_gaming24
    @manu_gaming24 29 дней назад +2

    Wooiii Sam Gituku 😅😂😂

  • @mohameddhidha6401
    @mohameddhidha6401 3 года назад +1

    Sonko ng'ombe ,,,,ungumbaro wako umekufikisha wapi Leo hii 2020

  • @happysoul5356
    @happysoul5356 4 года назад +4

    Sonko ujifanya kama anaweza Rusha ngumi.Sahizi analia kama ngombe inazaa

  • @williamowiny1251
    @williamowiny1251 5 лет назад +3

    Its too bad if leaders can fight before their subjects.

  • @godschildshiku1349
    @godschildshiku1349 5 лет назад +4

    Too bad for leaders talking like this n fighting....my God...kama vipee...o my God, watu wazima

  • @kevinmulwale8447
    @kevinmulwale8447 4 года назад +1

    How such a person ,to represent u,jazba haitatui chochote

  • @dollarkid9090
    @dollarkid9090 3 года назад +4

    Politics is sweet and funny 😂😂

  • @ojuokgeorge2054
    @ojuokgeorge2054 4 года назад +1

    I know Sonko can not watch this today 2020

  • @joshuaodongo6268
    @joshuaodongo6268 8 лет назад +6

    we are seriously divided,i fear for kenya

  • @kadoditsa3805
    @kadoditsa3805 2 года назад +1

    Hahahahahahaha..... Sonkooo si mzimaaa walaai

  • @gideontuamu
    @gideontuamu 8 лет назад +3

    Kudos Sonko, to he'll this kidero thing. . Pooh nkt

  • @piusmnanka2755
    @piusmnanka2755 5 лет назад +1

    Watu kama Sonko waje Dodoma watupigie wale wabunge wa kila kitu ndiyooooo.Wabunge wa Kenya safi sana, hamtaki ujinga..!

  • @janewanjiku5673
    @janewanjiku5673 3 года назад +1

    Sonko nampenda bure kidero alinyamaza aliona kimeumana

  • @salmawawuda4202
    @salmawawuda4202 4 года назад +1

    Waheshimiwa wa Kenya mwatuaibisha kugombana mbele ya média

  • @preciouspatiencefaithy1329
    @preciouspatiencefaithy1329 8 лет назад +1

    ...now we want educated poor Kenyans to rule the educated rich one's. ..juu wanajidai na pesaaaa sana...and they forget kuchapa kazi ..eishhhhh nikapewa nafasi...malizia

  • @everlyneongoche6697
    @everlyneongoche6697 2 года назад +1

    Wangeacha kidero atoe iyo kiherehere ake

  • @dennislekutuk4254
    @dennislekutuk4254 3 месяца назад

    🤔🤔

  • @JJeanDetour18
    @JJeanDetour18 2 года назад

    Where's sonko now,

  • @christophermutua5313
    @christophermutua5313 4 года назад

    2020 ndio hii sasa,kuropokwa tu.kazi ikakulemea

  • @nessokoloo6857
    @nessokoloo6857 2 года назад

    Hii dunia ni ya Mungu where is he today

  • @Oj7748
    @Oj7748 3 месяца назад

    The standards of leadership jn kenya are so low

  • @Akbas_Media
    @Akbas_Media 2 года назад

    Haha here we are in 2021

  • @dennisprocurement
    @dennisprocurement 5 лет назад

    Hi it's me from the future.. Twas about the seat not the person on the seat..

  • @uniqueterrazzo
    @uniqueterrazzo Год назад

    Tupo site

  • @Kizigira
    @Kizigira 5 лет назад +2

    Kidero used to slap women and now in front of men he is nothing. Sonko landed a heavy blow on this fool's chest?

  • @tundaclassic2704
    @tundaclassic2704 5 лет назад +1

    Kazimnayoo

  • @jadam4031
    @jadam4031 4 года назад +1

    We thought sonko was right and kidero was fucked up, now 2020 we know why we threw our votes

  • @joshmaina1385
    @joshmaina1385 8 лет назад +1

    Sonko for president

  • @mariamhussein7554
    @mariamhussein7554 4 года назад

    Naona sasa corona imewanyamazisha

  • @kenyanniggar357
    @kenyanniggar357 4 года назад

    sonko ndo alitaka kile kiti ndo aibe 350m

  • @peterwaywela896
    @peterwaywela896 4 года назад

    Better Kidero than Sonko bure kabisa

  • @samuelmaloba4939
    @samuelmaloba4939 4 года назад

    Siku hizi sonko anashikwa

  • @pettyperrymalowa9586
    @pettyperrymalowa9586 8 лет назад

    Kenya haitawacha ufala aki

  • @Kimani_AkA_Momo
    @Kimani_AkA_Momo 9 месяцев назад

    Sonko hukua bipolar walai.

  • @phynetech
    @phynetech 8 лет назад +2

    Sonko has a point....but the problem how he expresses his points...very poorly....i know nairobi co0unty is full of corruption...and theft of property..the fact is ..2017 sonko will win as the governor

    • @MissReen
      @MissReen 3 года назад

      4 years later yeye ndio mwizi

  • @steve.m224
    @steve.m224 Год назад

    😂😂

  • @Concili
    @Concili 4 года назад

    Waaaa no respect watu wameva ma suits

  • @hashimmoha8484
    @hashimmoha8484 3 года назад

    Sonko manaume na unusu

  • @rehemasharriff7494
    @rehemasharriff7494 8 лет назад

    sonko amezua vurungu na uchochexi mbona hajachukuliwa hatu tunajua kenya iko njia panda kwa sasa

  • @dansdaddie4589
    @dansdaddie4589 5 лет назад

    Bure sana sonko anathani yeye ni nani???

  • @felister2457
    @felister2457 Год назад

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @jshahshsh2383
    @jshahshsh2383 3 года назад

    🤣🤣🤣🤣aki sonko

  • @triplesitati2688
    @triplesitati2688 3 года назад

    Iii mdomo aisaidiii

  • @yusufguled8624
    @yusufguled8624 5 лет назад

    This drank dealer I don’t know why he is here

  • @mebakarimohamed686
    @mebakarimohamed686 4 года назад

    🤣🤣🤣🤣🤣😂

  • @jeylaniabduqadir1500
    @jeylaniabduqadir1500 3 года назад

    Utoto

  • @damarysekerubo2116
    @damarysekerubo2116 5 лет назад

    Hehehehe

  • @nicholasmbithi7678
    @nicholasmbithi7678 8 лет назад +1

    I SUPPORT SONKO FOR THIS BROAD MOVE........TAKE THIS MURDERER TO COURT ASAP...

  • @nobehground7941
    @nobehground7941 8 лет назад +3

    sonko yuko na utoto. This is not a leader at all

  • @frankodhiambo3125
    @frankodhiambo3125 2 года назад

    Mukona utoto

  • @sponsor7882
    @sponsor7882 5 лет назад

    URGLY FACES

  • @mercymiller8531
    @mercymiller8531 8 лет назад

    thumb up for Mr sonko