JINSI YA KUTENGENEZA BARAFU ZA UBUYU TAMU NA LAINI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 фев 2025
  • Nimeonyesha Jinsi Ya Kutengeneza Barafu Za Ubuyu Rahisi Na Nzuri Sana,Vifaa Nilivyotumia Ni Vyepesi Na Rahisi Kupatikana Kwenye Mazingira Yetu.
    Ni Nzuri Kwa Biashara Na Kiburudisho Kwa Familia.
    Ingredients
    Bawbaw Powder/Unga Ubuyu 200g
    Sugar/Sukari 200g
    Flavoured Powder 2Pkt
    Water/Maji 5ltr
    Cmc/Kilainishi 25g

Комментарии • 345

  • @MwanaishaHiza
    @MwanaishaHiza Год назад +2

    Asante sana dada nimejifunza kitu hapo,nilikuwanatamani Sana na mimi nijuebkutengeneza barafu za ubuyu , thanks very much Madam,nitaendelea kukufuatilia niendelee kujifunzab zaidi

  • @ZaitunHamady
    @ZaitunHamady Год назад

    Asante sana kwa kazi nzuri nimejifunza

  • @nancymbwambo3682
    @nancymbwambo3682 3 года назад +1

    Asante nimejifunza

  • @rechosteven9244
    @rechosteven9244 2 года назад +1

    Mungu akubari sn nimefata maelekezo barafu nzr👌 tamu balaaa 😚

  • @gabriellyadam9415
    @gabriellyadam9415 3 года назад +1

    ah safi sanaaaa

  • @zubeidamohd8916
    @zubeidamohd8916 5 лет назад +3

    Ahsante Dada unatufunza wengi

    • @kendrickelliott1370
      @kendrickelliott1370 3 года назад

      a tip: watch series at flixzone. Been using it for watching loads of movies during the lockdown.

    • @cadethomas142
      @cadethomas142 3 года назад

      @Kendrick Elliott definitely, I have been watching on Flixzone for since november myself :D

  • @naimahussein3897
    @naimahussein3897 4 года назад

    Asante sanaa Mungu akubariki...nimeweza kusoma kutoka kwako

  • @PaskalinaIshengoma
    @PaskalinaIshengoma Год назад

    Asante dada kwa maelezo mazuri

  • @rozemichael5129
    @rozemichael5129 2 года назад

    Asante mnauza Bei gan

  • @amonkahingili7139
    @amonkahingili7139 Год назад

    Asante Sana kwa darasa.

  • @MagrethMkonde
    @MagrethMkonde 6 месяцев назад

    Asante dada Kwa upendo wako

  • @juliethurio6840
    @juliethurio6840 5 лет назад +1

    Uko vizuri sana nakukubali

  • @maureensteven5898
    @maureensteven5898 5 лет назад +3

    Video zako zote ni nzuri sana. Keep up

  • @kurusumun9645
    @kurusumun9645 5 лет назад +2

    Masha'allah nimependa

  • @alfredamwanyika4304
    @alfredamwanyika4304 2 года назад

    Asante sana umeniongezea ujuzi, nitafanya biashara.

  • @florakitio646
    @florakitio646 4 года назад +1

    Hongera sana 👍👍👍👍👍👌

  • @bhokepatrick
    @bhokepatrick Год назад

    kaz nzuri

  • @upendodavid9693
    @upendodavid9693 3 года назад

    uko vizuri mwalimu

  • @sarafinasagaya5502
    @sarafinasagaya5502 4 года назад

    Asante sana ngoja nijaribu ntakupa mlejesho

  • @NganjiMauwa
    @NganjiMauwa 6 дней назад

    Asante dadayangu kwakutufunza kutengeneza balafu zaubuyu. Allah akulipe kila lakheri. Ila Ningependa niulize swali, laza niuyo unga uliopo kwenye kibakuli ao niiyo iliopo kwenyekopo?

  • @gwantwamwaisaka2049
    @gwantwamwaisaka2049 2 года назад

    Asante sana

  • @lewinakilana7375
    @lewinakilana7375 3 года назад

    Asante kwa somo zuri

  • @MonicaWanjiru-d8m
    @MonicaWanjiru-d8m Год назад

    Good job

  • @bibianaamede7845
    @bibianaamede7845 3 года назад

    Nimeipenda asante

  • @giftshedrack9756
    @giftshedrack9756 4 года назад

    Mmh!? Uko vizuri

  • @zahrasaad7615
    @zahrasaad7615 3 года назад

    Nimependa sanaa

  • @mariammwambungu3174
    @mariammwambungu3174 4 года назад

    Dada unajua kufundisha nimejua kupika vitumbua Asante nashukuru

  • @abubakarallawi1989
    @abubakarallawi1989 4 года назад

    Shukran M/mungu akusameh madhambi yako yasiri na dhahiri namm pia M/mungu anisameh pia.. Sina chakukulipa zaidi hiyo duwa.. Kwan kupunguwa kwadhambi ndio huwend M/mungu akatufanyia wepes mambo yetu

  • @emanuelnyab9872
    @emanuelnyab9872 3 года назад

    Nimeipenda

  • @marythobias9817
    @marythobias9817 4 года назад

    Honger, lakn hicho kilainishi kinapatikanaje

    • @IlluminataEmmanuel
      @IlluminataEmmanuel 6 месяцев назад

      Alikujibu icho kilainishi kinauzwa wapi na maduka gani

  • @zopaidaass370
    @zopaidaass370 Год назад

    Asante

  • @saadasrajabu1417
    @saadasrajabu1417 2 года назад

    Ubarikiwe kipenzi Mimi ninaanza Leo inshaallah

  • @mtumwaaliy2223
    @mtumwaaliy2223 4 года назад

    Asante dada unantupa mwangaza mzuri

  • @janethmachumu9114
    @janethmachumu9114 5 лет назад

    Asante sana kwa haya masomo Mungu azid kukubariki..plz video ya maandazi ya biashara

  • @UpendoRichman
    @UpendoRichman Месяц назад

    Here in Malawi tuko pamoja

  • @lulumichael9375
    @lulumichael9375 2 года назад

    Mungu akupe pepo inshallah

  • @aminahussein1346
    @aminahussein1346 5 лет назад +1

    Ajira kiganjan...asante

  • @pauchonko7538
    @pauchonko7538 4 года назад +15

    Hicho kilainishi nakiulziaje dukani?

  • @tumainmbijes2651
    @tumainmbijes2651 6 месяцев назад

    Hii nimependa

  • @jojo-ju6yy
    @jojo-ju6yy 4 года назад

    Nice

  • @lilhomies2541
    @lilhomies2541 4 года назад

    Niko na freezer 4 wima mda mrefu bila kazi... ALLAH akinwezesha zitantambua.asante.. nikama umetolewa sumu si wengi walo na moyo kama wako.ALLAH ibarik Duniani na akhera

    • @mziwandabakers8297
      @mziwandabakers8297  4 года назад

      Amiin Yaa Rabb, Allah akusimamie ufanyie kazi hizo freeze pleaseee

  • @husnahassan2708
    @husnahassan2708 2 года назад

    Asalam aleyku Dada naomba nifundishe kutengezeza chokstik za maziwa na karanga jazakah lah kheri

  • @saumumwinduchi6630
    @saumumwinduchi6630 4 года назад

    Asantee mamy kwa mafuzo

  • @alkasuusplazatdm
    @alkasuusplazatdm 5 лет назад +2

    Maa shaa Allah! Uko vzr sn, nataman kuona juisi ya tende na maziwa kutoka kwako😋

  • @fatmadaud817
    @fatmadaud817 4 года назад

    Nakupenda unavofindisha vipimo ungetuelewesha kwa nusu au kilo

  • @emelmarry8354
    @emelmarry8354 5 лет назад +1

    Amna usichojua I love u

  • @ZaitunHamady
    @ZaitunHamady Год назад

    I'm Metumia sukari tu au na keikei

  • @muniraali8656
    @muniraali8656 4 года назад

    Thanks mumy👏

  • @marymurigu6278
    @marymurigu6278 5 лет назад +2

    Thank you for your good training. What is bawbaw powder or substitute

  • @nasrakashuku1200
    @nasrakashuku1200 2 года назад

    Nimeipenda dada video Yako umetoa maelekezo Kwa lugha fasaa kbs

  • @ummujamal7804
    @ummujamal7804 4 года назад +5

    Dada kwa maji Lita 5 umetumia sukari kiasi gani na unga wa ubuyu kiasi gani

  • @aishaabdallah4560
    @aishaabdallah4560 5 лет назад +3

    MashaaAllah mpx video zako zote zinanivutia na unafundisha makini mungu akuongezee ujuxi zaidi🙏

  • @neemanuruel3916
    @neemanuruel3916 Год назад +1

    ❤❤

  • @irenenguku8198
    @irenenguku8198 5 лет назад +1

    Asante Sana hizo ladha za juice cola unaweza kuweka kwenye maziwa

  • @mohamedrashid4871
    @mohamedrashid4871 5 лет назад +1

    Mziwanda you're make perfect

  • @hildakimaro8089
    @hildakimaro8089 2 года назад

    Unafundisha vizuri mno

  • @omanseeb8609
    @omanseeb8609 5 лет назад

    Nimeipend sana asant my

  • @astidijakashemeile1918
    @astidijakashemeile1918 5 лет назад +1

    Dada ahsante sana

  • @sarahkahimba6415
    @sarahkahimba6415 2 года назад

    Ubarikiwe Sana dada kwa elimu. Kilainishi kinapatikana wapi dada

  • @melinafesto5686
    @melinafesto5686 5 лет назад +1

    asante kwa darasa nzuri linalotuelimisha vifaa vinapatikana wapi hasa cmc

  • @fatmarashim6353
    @fatmarashim6353 5 лет назад +1

    Mashaallah 😝👌

  • @florageofrey9486
    @florageofrey9486 5 лет назад

    Barikiwa mnoo

  • @janeezekiel5379
    @janeezekiel5379 2 года назад

    Hi hv mtaj n shngap w hzo za ubuy

  • @khadijashaaban2446
    @khadijashaaban2446 5 лет назад +1

    Shukrun sana na Mm nimeanza biashara yngu, lkn tatizo kwenye sukari inakua ndogo hadi niweke gr 400 ndio inakua sw, kemikol inakua ni gr ngapi nangojea Ya ukwaju 😋

    • @mziwandabakers8297
      @mziwandabakers8297  5 лет назад

      Kemikol pkt2 ni utamu wa 2ltrs za maji

    • @ashakilua2972
      @ashakilua2972 4 года назад

      jamani nzuri mno. freeza km hiyo mnauzaje? Nina shida na freeza ya wima. yaani kuanzia juu mpaka chini

  • @hasnakimaro8494
    @hasnakimaro8494 Год назад +4

    Kama una blender saga kilainishi utarahisisha kazi

  • @nasranasramzamiru6179
    @nasranasramzamiru6179 Год назад +1

    Mbona maji yalikuwa lt5 lkn yamejaza ndoo???

  • @jamalsaidi6126
    @jamalsaidi6126 Месяц назад

    So lazima kuchemsha ubuyu

  • @LilienDaka-p4z
    @LilienDaka-p4z Год назад

    Asante nimejifunza ila cmc kipimo cha lita tano please

  • @leaserugora6104
    @leaserugora6104 3 года назад

    Iyo tailozi siijui

  • @aisiaelkisanga4329
    @aisiaelkisanga4329 4 года назад

    Thanks mnoo

  • @MbegumojaMirambo
    @MbegumojaMirambo Год назад

    Habar, napta wp vikopo vya lambalamba used

  • @nishaniramadhani1208
    @nishaniramadhani1208 3 месяца назад

    Naomba kujuwa hizo juice cola za majag zinapatkana wap kwa hapa dr

  • @chimamyatu4124
    @chimamyatu4124 2 года назад

    Jina la kirainishi

  • @JoycePetro-q8f
    @JoycePetro-q8f 2 месяца назад

    Saman dada apo sijaelewa kilainishi hicho ni Nini na ukienda dukan kukinunua nitumie lunga Gani ili nikipate Kwa uepesi zaid

  • @happyjohn9684
    @happyjohn9684 8 месяцев назад

    Nashukuru nimejifunza kitu, ila icho kilainishi dukani naulizaje yaani jina lake.

  • @dionisiajonas6305
    @dionisiajonas6305 4 года назад

    Ahsante najifunza, sana dada daima utabaki kuwa juu, smhn nauliza ktk utengenezaji wa Ice cream au barafu ni lazima kutumia Tylose( kilainishi) au sio lazima?

    • @mziwandabakers8297
      @mziwandabakers8297  4 года назад +1

      Shukran,ni muhimu inasaidia sana kuzifanya laini

    • @dionisiajonas6305
      @dionisiajonas6305 4 года назад

      @@mziwandabakers8297 ahsante mno maa Mungu azidi kukuinua ktk viwango vya juu, uzidi kuwa na Moyo Wa kushare na sisi Kwa kile unachokijua wewe. Ubarikiwe Namaanisha kutoka rohoni

    • @mziwandabakers8297
      @mziwandabakers8297  4 года назад +1

      @@dionisiajonas6305 Amiin shukran sana

  • @zainabaliali766
    @zainabaliali766 5 лет назад +1

    Ni nzuri

  • @wolterjonathan6220
    @wolterjonathan6220 3 года назад +1

    👍👍👍 hy cmc inapatikana wap? My dear

  • @neemamichael7872
    @neemamichael7872 3 года назад

    Nzur

  • @DianaMacha-jf8gw
    @DianaMacha-jf8gw Год назад

    Dada samahani kilainishi kinapatika wap duka la vyakula au na jee bila kilainishi haitafaa

  • @salmawage7259
    @salmawage7259 5 лет назад

    Shukran asante

  • @JoycePetro-q8f
    @JoycePetro-q8f 2 месяца назад

    Maji
    Kl

  • @pendothomas7258
    @pendothomas7258 5 лет назад +6

    Asante kwa elimu nzuri na video zako zote nzuri. Wadau wa Mwanzaa, nisaidieni napata wapi CMC?

  • @marthaosward4457
    @marthaosward4457 5 лет назад

    Asante dada

  • @Allenbonceagain
    @Allenbonceagain 25 дней назад

    Kwaiyo nikiitaji friza napata

  • @malekjr9699
    @malekjr9699 5 лет назад

    Shukran nauliza hio tylose inapatikana wapii au maduka gani

  • @olivadickson1466
    @olivadickson1466 4 года назад

    Mbona mm za kwangu zinakuwa mgumu sana

  • @saudahassan5895
    @saudahassan5895 5 лет назад +2

    Mashallah nzuri sana. Lakini unga wa ubuyu umenunu 500/ na umetoa barafu 65 pekee iko faida kweli

    • @mziwandabakers8297
      @mziwandabakers8297  5 лет назад +6

      Ubuyu 500,sukari 700,vingine 1500,umeme 1000 jumla 3700 unabaki na 2800 toa hiyo 800 baki na pesa 2000 inatosha sana kwa Biashara kuwa ni faida mob

  • @zuwenambarouk4592
    @zuwenambarouk4592 4 года назад

    Thank u

    • @neemaali2954
      @neemaali2954 4 года назад

      Kilainishi kinanapatika wapi dad

  • @donmendez9557
    @donmendez9557 2 года назад

    Naomba namba yako...kwamafunzo nakujua vitu navipataje

  • @hevenlightminja8343
    @hevenlightminja8343 5 лет назад

    Umaweza ukachemsha huo mchanganyiko màana wengine hawapendi maji ambayo hayajachemshwa.hongera zaukwaju tumasubiri

    • @mziwandabakers8297
      @mziwandabakers8297  5 лет назад

      Maji yamechemshwa pia situmii vitu hatarishi kwa afya

    • @rukiamohammad9773
      @rukiamohammad9773 5 лет назад

      Hiyo tylos inapatikana wapi dada?

    • @nguahlda7996
      @nguahlda7996 5 лет назад

      @@mziwandabakers8297 asante kwa video zako nzuri mim nahitaji kuongea na wew direct no yangu ni 0782971283.

    • @mziwandabakers8297
      @mziwandabakers8297  5 лет назад

      @@nguahlda7996 0768859358

  • @animalunjufarm5140
    @animalunjufarm5140 11 месяцев назад

    Assalam aleikum cmckwahuku mombasa Una shida kwa huko kama kuipata ni wepesi kama naeza pata na freezer n bei ngap mmi niko mombasa kunifikia haitakua tabu

    • @umumuhammad1352
      @umumuhammad1352 11 месяцев назад +1

      Cmc kwa huku mombasa ulizia ni Unga wa ice cream ndo hutumika kwa milk sheak kuwa nzito Marikiti wapata Hatha mimi nimenunua huko

  • @ZaitunHamady
    @ZaitunHamady Год назад

    Hiko kilainishi nikienda dukani nakiuliziaje au kinaitwaje

  • @njauglory
    @njauglory 4 месяца назад

    Umesema friza mnazo ni bei gani natamani kufanua hii biashara pia

  • @PauloUmbe-uw2tb
    @PauloUmbe-uw2tb 9 месяцев назад

    Naomba mnisaidie kupata freezer ya kugandisha barafu

  • @VailethBiyobha
    @VailethBiyobha Год назад

    Iyo tylose inauzwa bei gan Dada?

  • @johnchaula1086
    @johnchaula1086 4 года назад

    Nikihitaji diftizs

  • @NicholasmwangangiNgumbi
    @NicholasmwangangiNgumbi 8 месяцев назад

    Mm nko mombasa hiki kilainishi Kiko na jina gan kwa huku pole Kwa usumbufu

  • @RestutaFerdinand
    @RestutaFerdinand 7 месяцев назад

    Bei za firiji na aina ya friji naomba kujua

  • @SHAILAKAZIGE
    @SHAILAKAZIGE 7 месяцев назад

    🙏🥰