JINSI YA KUTENGENEZA BARAFU ZA UBUYU TAMU NA LAINI
HTML-код
- Опубликовано: 7 фев 2025
- Nimeonyesha Jinsi Ya Kutengeneza Barafu Za Ubuyu Rahisi Na Nzuri Sana,Vifaa Nilivyotumia Ni Vyepesi Na Rahisi Kupatikana Kwenye Mazingira Yetu.
Ni Nzuri Kwa Biashara Na Kiburudisho Kwa Familia.
Ingredients
Bawbaw Powder/Unga Ubuyu 200g
Sugar/Sukari 200g
Flavoured Powder 2Pkt
Water/Maji 5ltr
Cmc/Kilainishi 25g
Asante sana dada nimejifunza kitu hapo,nilikuwanatamani Sana na mimi nijuebkutengeneza barafu za ubuyu , thanks very much Madam,nitaendelea kukufuatilia niendelee kujifunzab zaidi
Asante sana dada nimeelewa sasa
Asante sana kwa kazi nzuri nimejifunza
Asante nimejifunza
Mungu akubari sn nimefata maelekezo barafu nzr👌 tamu balaaa 😚
ah safi sanaaaa
Ahsante Dada unatufunza wengi
a tip: watch series at flixzone. Been using it for watching loads of movies during the lockdown.
@Kendrick Elliott definitely, I have been watching on Flixzone for since november myself :D
Asante sanaa Mungu akubariki...nimeweza kusoma kutoka kwako
Amiin
Asante dada kwa maelezo mazuri
Asante mnauza Bei gan
Asante Sana kwa darasa.
Asante dada Kwa upendo wako
Uko vizuri sana nakukubali
Video zako zote ni nzuri sana. Keep up
Masha'allah nimependa
Asante sana umeniongezea ujuzi, nitafanya biashara.
Hongera sana 👍👍👍👍👍👌
kaz nzuri
uko vizuri mwalimu
Asante sana ngoja nijaribu ntakupa mlejesho
Nausubiri dear
Asante dadayangu kwakutufunza kutengeneza balafu zaubuyu. Allah akulipe kila lakheri. Ila Ningependa niulize swali, laza niuyo unga uliopo kwenye kibakuli ao niiyo iliopo kwenyekopo?
Asante sana
Asante kwa somo zuri
Good job
Nimeipenda asante
Shukran karibu
Mmh!? Uko vizuri
Shukran karibu
Sio lazima kuchemsha huo uji @@mziwandabakers8297
Nimependa sanaa
Dada unajua kufundisha nimejua kupika vitumbua Asante nashukuru
Shukran M/mungu akusameh madhambi yako yasiri na dhahiri namm pia M/mungu anisameh pia.. Sina chakukulipa zaidi hiyo duwa.. Kwan kupunguwa kwadhambi ndio huwend M/mungu akatufanyia wepes mambo yetu
Amiin Yaa Rabb, 🙏🙏🙏🙏
@@mziwandabakers8297 barikiwa mnoo madam wangu kipenzi
Nimeipenda
Honger, lakn hicho kilainishi kinapatikanaje
Alikujibu icho kilainishi kinauzwa wapi na maduka gani
Asante
Ubarikiwe kipenzi Mimi ninaanza Leo inshaallah
🤝🤝💪💪
@@mziwandabakers8297 maji umetumia ya baridi
@@mziwandabakers8297 dada nashida na wewe
Asante dada unantupa mwangaza mzuri
Asante sana kwa haya masomo Mungu azid kukubariki..plz video ya maandazi ya biashara
Shukran nitaifanya pia
Here in Malawi tuko pamoja
Mungu akupe pepo inshallah
Ajira kiganjan...asante
Safi sana
Hicho kilainishi nakiulziaje dukani?
Tyrose
Hii nimependa
Nice
Niko na freezer 4 wima mda mrefu bila kazi... ALLAH akinwezesha zitantambua.asante.. nikama umetolewa sumu si wengi walo na moyo kama wako.ALLAH ibarik Duniani na akhera
Amiin Yaa Rabb, Allah akusimamie ufanyie kazi hizo freeze pleaseee
Asalam aleyku Dada naomba nifundishe kutengezeza chokstik za maziwa na karanga jazakah lah kheri
Asantee mamy kwa mafuzo
Maa shaa Allah! Uko vzr sn, nataman kuona juisi ya tende na maziwa kutoka kwako😋
😋😋😋
Nakupenda unavofindisha vipimo ungetuelewesha kwa nusu au kilo
Amna usichojua I love u
Love you more🥰🥰
I'm Metumia sukari tu au na keikei
Thanks mumy👏
Thank you for your good training. What is bawbaw powder or substitute
Nimeipenda dada video Yako umetoa maelekezo Kwa lugha fasaa kbs
Dada kwa maji Lita 5 umetumia sukari kiasi gani na unga wa ubuyu kiasi gani
MashaaAllah mpx video zako zote zinanivutia na unafundisha makini mungu akuongezee ujuxi zaidi🙏
❤❤
Asante Sana hizo ladha za juice cola unaweza kuweka kwenye maziwa
Waweza
Dada nilipoteza namba yako nashida sana nawewe plz dada naomba namba
Mziwanda you're make perfect
Thank you
Unafundisha vizuri mno
🤝❤
Nimeipend sana asant my
Dada ahsante sana
Ubarikiwe Sana dada kwa elimu. Kilainishi kinapatikana wapi dada
Kinapatika kwenye maduka ya keki
Sokoni au supermarket omba cmc ya kutengenezea barafu
asante kwa darasa nzuri linalotuelimisha vifaa vinapatikana wapi hasa cmc
Maduka yenye vifaa vya keki
Mashaallah 😝👌
Barikiwa mnoo
Hicho kilainishi ni kipi?
Unauzaje freezer
Hi hv mtaj n shngap w hzo za ubuy
Kuanzia 8000
Shukrun sana na Mm nimeanza biashara yngu, lkn tatizo kwenye sukari inakua ndogo hadi niweke gr 400 ndio inakua sw, kemikol inakua ni gr ngapi nangojea Ya ukwaju 😋
Kemikol pkt2 ni utamu wa 2ltrs za maji
jamani nzuri mno. freeza km hiyo mnauzaje? Nina shida na freeza ya wima. yaani kuanzia juu mpaka chini
Kama una blender saga kilainishi utarahisisha kazi
Unasagaje dear
Mbona maji yalikuwa lt5 lkn yamejaza ndoo???
So lazima kuchemsha ubuyu
Asante nimejifunza ila cmc kipimo cha lita tano please
Iyo tailozi siijui
Fika duka la vifaa vya keki utapata naimani
Thanks mnoo
Habar, napta wp vikopo vya lambalamba used
Naomba kujuwa hizo juice cola za majag zinapatkana wap kwa hapa dr
Jina la kirainishi
Saman dada apo sijaelewa kilainishi hicho ni Nini na ukienda dukan kukinunua nitumie lunga Gani ili nikipate Kwa uepesi zaid
Nashukuru nimejifunza kitu, ila icho kilainishi dukani naulizaje yaani jina lake.
Tyrose ...cmc
Ahsante najifunza, sana dada daima utabaki kuwa juu, smhn nauliza ktk utengenezaji wa Ice cream au barafu ni lazima kutumia Tylose( kilainishi) au sio lazima?
Shukran,ni muhimu inasaidia sana kuzifanya laini
@@mziwandabakers8297 ahsante mno maa Mungu azidi kukuinua ktk viwango vya juu, uzidi kuwa na Moyo Wa kushare na sisi Kwa kile unachokijua wewe. Ubarikiwe Namaanisha kutoka rohoni
@@dionisiajonas6305 Amiin shukran sana
Ni nzuri
👍👍👍 hy cmc inapatikana wap? My dear
Maduka ya vifaa vya keki
Sehemu gani
Naitaji kuwa mwanafunzi wako dada
Nzur
Dada samahani kilainishi kinapatika wap duka la vyakula au na jee bila kilainishi haitafaa
Shukran asante
Maji
Kl
Asante kwa elimu nzuri na video zako zote nzuri. Wadau wa Mwanzaa, nisaidieni napata wapi CMC?
Maduka ya vitu vyakutengenezea km ice cream cakes
@afarahi Kassim Asante dear
Kuna duka stendi ya dampo utapata hapo
Asante dada
Ameen
Kwaiyo nikiitaji friza napata
Shukran nauliza hio tylose inapatikana wapii au maduka gani
Maduka ya vifaa vya keki
Mbona mm za kwangu zinakuwa mgumu sana
Mashallah nzuri sana. Lakini unga wa ubuyu umenunu 500/ na umetoa barafu 65 pekee iko faida kweli
Ubuyu 500,sukari 700,vingine 1500,umeme 1000 jumla 3700 unabaki na 2800 toa hiyo 800 baki na pesa 2000 inatosha sana kwa Biashara kuwa ni faida mob
Thank u
Kilainishi kinanapatika wapi dad
Naomba namba yako...kwamafunzo nakujua vitu navipataje
Umaweza ukachemsha huo mchanganyiko màana wengine hawapendi maji ambayo hayajachemshwa.hongera zaukwaju tumasubiri
Maji yamechemshwa pia situmii vitu hatarishi kwa afya
Hiyo tylos inapatikana wapi dada?
@@mziwandabakers8297 asante kwa video zako nzuri mim nahitaji kuongea na wew direct no yangu ni 0782971283.
@@nguahlda7996 0768859358
Assalam aleikum cmckwahuku mombasa Una shida kwa huko kama kuipata ni wepesi kama naeza pata na freezer n bei ngap mmi niko mombasa kunifikia haitakua tabu
Cmc kwa huku mombasa ulizia ni Unga wa ice cream ndo hutumika kwa milk sheak kuwa nzito Marikiti wapata Hatha mimi nimenunua huko
Hiko kilainishi nikienda dukani nakiuliziaje au kinaitwaje
Umesema friza mnazo ni bei gani natamani kufanua hii biashara pia
Naomba mnisaidie kupata freezer ya kugandisha barafu
Iyo tylose inauzwa bei gan Dada?
Nikihitaji diftizs
Mm nko mombasa hiki kilainishi Kiko na jina gan kwa huku pole Kwa usumbufu
Tyrose ama cmc
Bei za firiji na aina ya friji naomba kujua
🙏🥰