DUDU BAYA HATA NIKIFA SITAKI CLOUDS IJE UGOMVI WETU HAUISHI,CHED BENZ ANAJUA ZUCHU ACHA KUTUKANA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • KWA HABARI , SIASA, MICHEZO NA BURUDANI USISAHAU KU SUBSCRIBE RUclips CHANNEL YETU YA LOKOMATV HAPA
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: shorturl.at/wFP67/ || shorturl.at/jwQSU
    TWITTER: shorturl.at/luzLZ
    FACEBOOK: shorturl.at/rCL12
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 Empire Lokoma Limited . 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #yanga #simba #yangasc #simbasc #simbavsyanga #tff #nbcpremeireleague #mwakinyo #samatta #zuchu #wizkid #Davido #nandy #wasafi #diamondplatnumz #alikiba #harmonize #instalive #youtubelive #mboso #lavalava #beyonce #Mariacare #mwijaku #babalevo #hbaba #kondeboy #afrima #notjustok #exclusive #lokomatv #trending #tanzania #marioo #mrpimbi #rickmedia #millardayo #ayotv #simulizinasauti #utamu #mpenjatv #globaltv #bonatv

Комментарии • 13

  • @abdulikilala5902
    @abdulikilala5902 15 часов назад

    Hongera sana umeongea ukweli

  • @johnmichaellukindo21
    @johnmichaellukindo21 2 часа назад

    Huyu mtangazaji ni kimeo kwisha😢 mpeni dela avae

  • @godlema6104
    @godlema6104 2 часа назад

    Ahahahahaa mtangazaji nikimeo sana amelewa au mbona simwelewi kabisa anasema nini mtangazaji mbona kama anatumia madawa maana 0

  • @andrealuambano6245
    @andrealuambano6245 2 часа назад

    Johari unaajir watangazaj hata kuuliza maswali hajui

  • @elianchimbi
    @elianchimbi 3 часа назад

    😂😂 kumbe watangazaji kuna Mda wanapoteaga

  • @youngyayoo2805
    @youngyayoo2805 21 минуту назад

    Wandishi wa mchongo hata maswali hawajui nkt

  • @Lilmbunah
    @Lilmbunah 11 часов назад

    Daah huyu mtangazaji anyang’anywe mic 😂😂 0 kabisa aisee

  • @herimwijonge954
    @herimwijonge954 12 часов назад

    Mtangazaji kimeo kabisa huyu

  • @jamesjefwa7233
    @jamesjefwa7233 14 часов назад

    Huyu Dudu baya ana akili kubwa sana mpaka mtangazaji anaonekana punguani uliza maswali ya maana upate majibu apo kwa konki unahoji msanii mkubwa then hujui kuulizwa maswali

    • @svt3
      @svt3 12 часов назад

      Mtangazaji hajuwi haana thaaluma yoyote kwenye kazi Dudu baya naye amebakilia kupayuka payuka tu ni kama mziki ulimutema sababu angekuwa studio kuliko ma interview kila siku na hali inaonekana duni

  • @elianchimbi
    @elianchimbi 3 часа назад

    😂😂 kumbe watangazaji kuna Mda wanapoteaga