DUDU BAYA HATA NIKIFA SITAKI CLOUDS IJE UGOMVI WETU HAUISHI,CHED BENZ ANAJUA ZUCHU ACHA KUTUKANA
HTML-код
- Опубликовано: 14 окт 2024
- KWA HABARI , SIASA, MICHEZO NA BURUDANI USISAHAU KU SUBSCRIBE RUclips CHANNEL YETU YA LOKOMATV HAPA
Follow Us On:
INSTAGRAM: shorturl.at/wFP67/ || shorturl.at/jwQSU
TWITTER: shorturl.at/luzLZ
FACEBOOK: shorturl.at/rCL12
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 Empire Lokoma Limited . 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#yanga #simba #yangasc #simbasc #simbavsyanga #tff #nbcpremeireleague #mwakinyo #samatta #zuchu #wizkid #Davido #nandy #wasafi #diamondplatnumz #alikiba #harmonize #instalive #youtubelive #mboso #lavalava #beyonce #Mariacare #mwijaku #babalevo #hbaba #kondeboy #afrima #notjustok #exclusive #lokomatv #trending #tanzania #marioo #mrpimbi #rickmedia #millardayo #ayotv #simulizinasauti #utamu #mpenjatv #globaltv #bonatv
Hongera sana umeongea ukweli
Huyu mtangazaji ni kimeo kwisha😢 mpeni dela avae
Ahahahahaa mtangazaji nikimeo sana amelewa au mbona simwelewi kabisa anasema nini mtangazaji mbona kama anatumia madawa maana 0
Johari unaajir watangazaj hata kuuliza maswali hajui
😂😂 kumbe watangazaji kuna Mda wanapoteaga
Wandishi wa mchongo hata maswali hawajui nkt
Daah huyu mtangazaji anyang’anywe mic 😂😂 0 kabisa aisee
Mtangazaji kimeo kabisa huyu
Huyu Dudu baya ana akili kubwa sana mpaka mtangazaji anaonekana punguani uliza maswali ya maana upate majibu apo kwa konki unahoji msanii mkubwa then hujui kuulizwa maswali
Mtangazaji hajuwi haana thaaluma yoyote kwenye kazi Dudu baya naye amebakilia kupayuka payuka tu ni kama mziki ulimutema sababu angekuwa studio kuliko ma interview kila siku na hali inaonekana duni
😂😂 kumbe watangazaji kuna Mda wanapoteaga