YESU ndiye jibu pekee la kuacha dhambi ikiwemo na ulevi, dini haisaidii chochote zaidi dini itakusaidia kukuzika tu ndio maana hapo Kuna nyimbo za dini, kaburi sio nyumba ya milele ni nyumba ya udongo/ mbolea. Nyumban kwetu kwa MUNGU muumba mbingu na inchi.
Hebu kwanza ncheke.. Nakumbuka ndugu yangu yule aliye pelekwa kwa mganga ili aache pombe.. Baada ya tiba Alicha kwa mwezi mmoja kamili ,siku ya kwanza kumaliza mwezi alikunywa pombe,ndugu zangu walipo muuliza vipi akasema ,nimekunywa pombe kujipongeza kuwa nimeacha😂😂true story.
Mtaani kwangu aseeee
Niwapi hapo mm huko ninyumbani
Duuuh😢😢😢😢😢 that is spiritual power Maombi na Sala na MAJITOLEO kwa Yesu Kristo ndiyo dawa pekee
Mmewalazimisha kifo ,polen Mungu awasamehe zambi zao ila kama kuna mwingine mlevi mpeleken soba kueousha vifo vya lazima
Tangu lini kuacha pombe na waganga Hee hyo kwapa sumu nin heeee😢😢😢😢😢
Pombe na asali wapi na wapi inauwa hasa 😢😢😢
I 7am
Ulimwenguni kote anayebadilisha tabia zisizo faa ni Yesu kristo pekee. Humtaki Yesu hutaki mabadiliko.😂😂😂😂😂
Dawa ya kuacha pombe ni kumkiri YESU KUWA BWANA NA MWOKOZI WAO TU HAKUNA LINGINE......
Hahahaaaaa maajabu
Aitoshi
Bac hawawakeri tena washa lala ucngiz wa milele wapumzike kwa aman😢
Jamani
Sasa siwasha acha mnawaokoa wa nini tena?
YESU ndiye jibu pekee la kuacha dhambi ikiwemo na ulevi, dini haisaidii chochote zaidi dini itakusaidia kukuzika tu ndio maana hapo Kuna nyimbo za dini, kaburi sio nyumba ya milele ni nyumba ya udongo/ mbolea. Nyumban kwetu kwa MUNGU muumba mbingu na inchi.
Nikweli ndugu, YESU ndiyo jibu
Hawanywi tena
Mtaalamu katuma Jini makata hahahaha
Ndio tayari ao washaacha
😂😂😂😂
Hebu kwanza ncheke..
Nakumbuka ndugu yangu yule aliye pelekwa kwa mganga ili aache pombe..
Baada ya tiba Alicha kwa mwezi mmoja kamili ,siku ya kwanza kumaliza mwezi alikunywa pombe,ndugu zangu walipo muuliza vipi akasema ,nimekunywa pombe kujipongeza kuwa nimeacha😂😂true story.
Kwisha kazi
Kwisha enyewe wameacha pombehao
Baada ya kuwa peleka soba kutibuwa nyie mmewamini waganga wakienyejii
Hao wameacha pombe milele hata harufu tu ya konyagi hawataisikia tena duniani wala kaburini pole yao sana
Nini maana ya kazima
Wapuzi nyie munger wapeleka kanisani sio kwa waganga ao nyie ndio muliwauwa mnazingishia wa ganga
Duh