🅻🅸🆅🅴 CHADEMA NA JAMBO ZITO MUDA HUU, MACHO NA MASIKIO YA WATANZANIA KUFAHAMU KILA KUHUSU.....
HTML-код
- Опубликовано: 15 сен 2024
- #JAMBOTV
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►RUclips: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/
Hongereni sana chadema haya magaidi yanaona wivu tu
Hongera sana boni umeshapita tayari
Saluti kwako mwenyekiti wangu wa mkoa wa shinyanga ntobi wanashinyanga tunakupenda sana mungu akupe maisha marefu shinyanga ushindi ni lazima
Bon yai hongera yako kaka
Ngumu sana kurudi kwenye chama kimoja mpaka leo
mungu awalinde viongozi wrote wa chadema❤
Hii vibe si ya mchezo. Kila la kheri BJ
Asante
Ccm wanaona here oyooooo chadema
Police wakiona hivyo roho zinawauma
💥💥💥
Huyu jamaa nichuma kweli kweli anafaa sanaaaaa,apewe
Nuksi yote ametoa mwabukusi kwaiy asaiv niupepo tuu
Tupo Arusha kanda ya kaskazin Tunakupenda tunakuamini tuna imani na mh Boniface ... Mimi huwa namwita JONAS SAVIMBI 🎉
Hakuna kuhonga wala kuhongwa. Watu wamejitoa wenyewe. Tunataka nchi yetu iongozwe kwa aina hii ya siasa. Ukweli na uwazi.
Santeni.mswe.naubaguzi.muwe.na.umoja.kupendana.uvmilivu.kazi.njema
HONGERA SANA BONI KWA NYOMI HIYO WATU WANAKUKUBALI SANA PAMOJA NA MIMI KITI NI CHAKO TU.
Chadema haishiwagi vipaji
Makamanda tuko pamoja
Chama.chodhote.kwanza.polisi.wapewe.nafasi.,-zuri.kama.mishahara.mavazi.nyumba.wanatia.huruma
Kwa.sirekari.ya.chama.1.kiwahonga.walewabaya.vijana.wema.tunataka.polis.wasiminiwe.kama.wabunge.wanapata.pesa.kubwa.we.ngi.hata.robo.jeuri.wanatumia.hasira
Hii ndio siasa. Ukweli na uwazi
Mtangazaji,mbona unaongea UONGO MKUBWA.Mhe.Boniface alikuwa Meya wa Kinondoni na Ubungo lini?
Watu awaipendi ccm 😂😂😂😂
Mwandixhi mupe maiki asikari hapo na yy
Hakika cdm mnatisha