NTEMI Swahili Movie || Bongo Movies Latest || African Latest Movies || Episode 3

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 фев 2025

Комментарии • 123

  • @mboyakevin3404
    @mboyakevin3404 2 года назад +3

    filamu nzuri sana. Nawafuatilia kutoka Kenya

  • @jellynesssemu9406
    @jellynesssemu9406 2 года назад +3

    Waooh nawapenda sana Wapendwa. Kazi nzur 👏👏👏🔥🔥🔥

  • @rahmaclaudine9984
    @rahmaclaudine9984 2 года назад +3

    💥💥💥💥najua itakua ni moto

    • @gabrielbwai5422
      @gabrielbwai5422 2 года назад +1

      Keep moving bro iko poa nimependa kuona mazingira halis ya home kwetu.

  • @veronicahmoraa5123
    @veronicahmoraa5123 2 года назад +1

    Eti akili yako yafanya kazi saa ngapi nikufate saa hiyoo ntemi unafituko kwa kweli nailed it patamu apoo👌👌👌👌

  • @jumannezengo3437
    @jumannezengo3437 Год назад

    Hongereni jamani Hadi rahaaaa move nzuri nimeipenda

  • @marynasyieki3783
    @marynasyieki3783 11 месяцев назад

    Vizuri sana wasukuma w tz😂😂😂🎉🎉🎉❤❤❤

  • @renatusshikoye8921
    @renatusshikoye8921 2 года назад +1

    Mko sawa endeleen kutetea tamaduni ya africa

  • @agnessmalambu5684
    @agnessmalambu5684 2 года назад +1

    Ntemi bhana unatisha mpaka basi, Mungu akufikishe mbali mbali mbali zaidi,utafanya kazi na watu wakubwa sana, we tulia tu.

  • @victoriabonaya4143
    @victoriabonaya4143 2 года назад +2

    Yaani ina utamu wa kipekee. Hongereni sana kwa jopo zima.

  • @bahatiagape7121
    @bahatiagape7121 2 года назад +2

    Kapaya the great 👍🙏💯❣️🌹

  • @carolinakerubo6648
    @carolinakerubo6648 2 года назад +2

    Wee ntemi wanchekesha sana wenye wanaongea kisungu n wachinga you nailed it 😂😂😂

  • @agneskwamboka5743
    @agneskwamboka5743 2 года назад +1

    Kazi nzuri watching from Saudi Arabia nawapenda saaan ongera

  • @shakilasharifa9
    @shakilasharifa9 2 года назад +2

    Kapaya kazi zenu nzuri Sana hamujawahi kutuangusha hongerani sana

  • @johnbernad3990
    @johnbernad3990 2 года назад +2

    Iko poa sana yani mgekua mnatoa kwa wiki mala mbili

  • @jfjgxcv5859
    @jfjgxcv5859 2 года назад +2

    Nimekuw nipeisubir kwa hamu sanaaaa kaka kapaya ila nirikuw naomb ungekuwak munatow ku wiki ata mala mbili kwamaana napend sanaaa movie zak🥰🥰

  • @malugukushaha6764
    @malugukushaha6764 2 года назад +2

    Kazi nzuri sana kwani inaongelea uhalisia wa mazingira ya jamii ya kitanzania hususani kanda ya ziwa.

  • @gidionkapaya178
    @gidionkapaya178 2 года назад +1

    Kapaya kama kapaya🏋️🏋️

  • @simongregory8873
    @simongregory8873 2 года назад +2

    So proud of you guys, mko vizuri keep it up 💪

  • @gracerichard8145
    @gracerichard8145 2 года назад +2

    Yan natogwa sana omama otena masala nalekwambekeja wanibona nde mbole🤣🤣🤣🤣🤣imenifurahisha sana hiyo sehem

  • @vailetmapolu6363
    @vailetmapolu6363 2 года назад +1

    Temi ni tamsilia uri sana hongera sana kaka

  • @yumbihussein
    @yumbihussein 2 года назад +1

    Jamani Eeeeh luga mpunguze swahili njo tunataka

  • @obadiasimtala8134
    @obadiasimtala8134 2 года назад +2

    kazi hii ninzuri sana ntemi ila inachukua mda mfupi kuisha na mnachelewa kutoa nyingine mapema mnatukata vibe maan inaishia pazur mpaka nyingine itoke unakuta umeanza kusahau hadi ulipo ishia

  • @YassinDominic
    @YassinDominic Год назад

    Nayitogaga sana emuvi eye inaelimisha sana tanzania

  • @ailcemuthoni3339
    @ailcemuthoni3339 2 года назад +4

    I can't wait for the next episode woow it's so amazing ntemi ananibamba tu saana anaona wengine Ni wajinga sababu ya kujusa kizungu nayeye mwenyewe anakaa kuhurumiwa tu hajielewi I really love this thanks Sana kapaya to be honest of all the kapaya great films this is my best and my favorite mob love to you kapaya and your team your great fan from Kenya though currently in Dubai napenda Sana filamu zako

  • @geselaoscaremanuel6481
    @geselaoscaremanuel6481 2 года назад +1

    Kazi ya karashani hiyo hatari Sana mweee

  • @mukyalamuwuulu8647
    @mukyalamuwuulu8647 2 года назад +2

    Next episode waiting, thank dia

  • @stevenhassan269
    @stevenhassan269 5 месяцев назад

    Tamthilia nzuri sana

  • @nasseralhabsi4121
    @nasseralhabsi4121 2 года назад +1

    Kazi nzuri mashaallah 🥰

  • @rwanaabeib6261
    @rwanaabeib6261 2 года назад

    Gud One Next

  • @sharonrich8491
    @sharonrich8491 2 года назад +3

    Good job guys ❤️

  • @ziyadabasca4840
    @ziyadabasca4840 2 года назад +1

    Kapaya adi unatusanganya kwakiruga kipenzi afu filamu nzuri san naire nyingin utup muenderezo

    • @kapaayathegreat
      @kapaayathegreat  2 года назад

      ipi tena hiyo mpenzi wangu

    • @ziyadabasca4840
      @ziyadabasca4840 2 года назад +1

      @@kapaayathegreat filam umeceza ukirara na mam muzazi kusudi urudi kwahariyako yakiume inaisha ukiwa umepereka mucumba wako wando ukawaonesha mam muzazi na mama yako mudogo nyingine n ambao imeisha unafany alusi nayure bit muzaziwak ariokua kica nizo 👍👍👍❤❤❤❤☝

  • @spinicmbusuro8504
    @spinicmbusuro8504 2 года назад +1

    Good job 👌👌

  • @rashidjuma1338
    @rashidjuma1338 2 года назад +1

    Ntemi nimeipend ni sanaa naisubiri sizon 4

  • @agneskasande633
    @agneskasande633 2 года назад +1

    Mwendelezo

  • @thumnathumna5946
    @thumnathumna5946 2 года назад +2

    Sasa naanza kujifundisha kikulya☺☺☺☺

  • @getrudenyamoita6670
    @getrudenyamoita6670 2 года назад

    Kazi safi

  • @MbokoKaluta
    @MbokoKaluta 10 месяцев назад

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤ nice

  • @BiolynBiolyn-iv5pt
    @BiolynBiolyn-iv5pt Год назад +1

    Nzuri movie 😂😂😂😂

  • @angelinasprian5127
    @angelinasprian5127 2 года назад +1

    Kwa upande wangu naona kila kitu kipo sawa..anadumisha Mila na desturi za kwao na Tanzania kiujumla...kwa asiyeelewa lugha inayotumika Kuna maandishi hapo chini anaweza kuyafatilia, onyesho ni zuri na Lina maadili na mafunzo kiujumla... Wasukuma hoyeeee ✊✊ 🤣🤣😂😂

  • @AmosAdonias
    @AmosAdonias 8 месяцев назад +1

    😂😂😂😂😂😂😂😂😅😅😅😅

  • @ashurafundi2873
    @ashurafundi2873 2 года назад +1

    Move naipenda sana hii

  • @agnessmalambu5684
    @agnessmalambu5684 2 года назад +1

    Haha🤣🤣🤣 ntemi unajua kuvaa uhusika sana,Hadi unakera ujue dah! Et akili yako inafanya kazi saa ngapi😀🤣,Mungu akufikishe mbali sana sana sana

  • @johncharles8930
    @johncharles8930 2 года назад +2

    Weee kapaya olegwela ogwiyo mbaya anaubaya gani ss

  • @alesiakayoka9121
    @alesiakayoka9121 2 года назад +1

    Ntemi unachekesha sana

  • @estasai8715
    @estasai8715 2 года назад +1

    Ntemi ni nzr tunasubili mwendelezo

  • @halimasulaiman3229
    @halimasulaiman3229 2 года назад +1

    Ila mzuri maashaallah

  • @anthoniacmon4035
    @anthoniacmon4035 2 года назад +1

    Saf💯

  • @OmanOman-ky2oo
    @OmanOman-ky2oo 2 года назад +1

    Mtt hajui kisukuma

  • @sharonrich8491
    @sharonrich8491 2 года назад +1

    Jaman me napenda sana kazi zenu i wish naomba nikija mnipokee please tatizo cjajua nawapataje that is the problem

  • @ImaniJuma-k3m
    @ImaniJuma-k3m Год назад

    Woow

  • @Fedemugosa730
    @Fedemugosa730 2 года назад +2

    Filamu nzuri sana
    Nafata kutokea Canada Ottawa

    • @kapaayathegreat
      @kapaayathegreat  2 года назад +2

      Nisaidie kusambaza kwa marafiki na magroup please

  • @ahmadyzubery9126
    @ahmadyzubery9126 2 года назад +2

    🙌🙌🙌🙌

  • @dorkaslucas5120
    @dorkaslucas5120 2 года назад +1

    Vzr sanaaaaa

  • @salomeruben6992
    @salomeruben6992 2 года назад +1

    Mwendelezo nasubri❤️

  • @ashurauromi3686
    @ashurauromi3686 2 года назад +1

    mi nimempenda uyo Jeremiah jaman

  • @halimasulaiman3229
    @halimasulaiman3229 2 года назад +1

    Kapaya ongea kiswahili mimi sielewi jamani

  • @aminasaid6906
    @aminasaid6906 2 года назад +1

    Zur mashaa allha

  • @MaduhuBunogile
    @MaduhuBunogile Год назад

    Leo wakwanza kutoka ntuzu

  • @roseliku531
    @roseliku531 2 года назад +1

    Nasubili kwa ham sana

  • @umlubnaalisali9366
    @umlubnaalisali9366 2 года назад +1

    Asante Kwa muendelezo ilaluha ndomtihani umlubna Niko oman

  • @aminahhuawei1133
    @aminahhuawei1133 2 года назад +1

    Mtemi ni hatarii

  • @OmanOman-ky2oo
    @OmanOman-ky2oo 2 года назад +3

    Ntemi ni shida watani zangu 🤣🤣

  • @bbrsssaad1282
    @bbrsssaad1282 2 года назад +2

    Wow

  • @rosemwaka2924
    @rosemwaka2924 2 года назад

    Movie nzuri sana

  • @lizzybahati3739
    @lizzybahati3739 2 года назад +1

    Lugha tamu🤣🤣🤣🤣🤣

  • @claudiayohana6576
    @claudiayohana6576 2 года назад +2

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣huyo mtoto kaonewa huruma na bibi yake lkn yeye anamfokea😆😆😅😅😅🤣🤣
    Ilaa kisukuma jmn khaaa 😖🥴🥴😳😳😳😳

  • @claudiayohana6576
    @claudiayohana6576 2 года назад

    Mmeniuzi leo hamjamueka mzee saimon 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @mwanaidisadi5021
      @mwanaidisadi5021 2 года назад

      Kwakweli hata mm sjapenda mn yule mzee kiboko hahahaha 😂😂😂😂😂

    • @claudiayohana6576
      @claudiayohana6576 2 года назад

      @@mwanaidisadi5021 😅😆😆🤣🤣🤣🤣🤣nampenda kweli mzee saimon

  • @bahatiagape7121
    @bahatiagape7121 2 года назад +1

    Kapaya eee....hayo maandish madogonsana bana...mi sion sasa 🤔

  • @mgdleenknzo9297
    @mgdleenknzo9297 2 года назад

    Hii lugha ikopoa nawafwatilia nikiwa kenya

  • @honoreizala4695
    @honoreizala4695 2 года назад +1

    Oh jaman kanumba

  • @anitafriazy2028
    @anitafriazy2028 2 года назад

    Eti khakili yake inafanyakazi sangapi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @sanaiyyaabdallah2874
    @sanaiyyaabdallah2874 2 года назад +2

    Nzur lkn lugha jmn 😭😭

  • @mukyalamuwuulu8647
    @mukyalamuwuulu8647 2 года назад +2

    🤣🤣🤣🤣🤣Ntemi wanipunga, lugha yakwenye video imekua tabu

  • @claudiayohana6576
    @claudiayohana6576 2 года назад +1

    Ilaa wachimbaji wanapata shida jmn mtu akifanikiwa kimaisha nwacheni tyu kapitia Mengi

  • @tabithasalimu3617
    @tabithasalimu3617 2 года назад +1

    Mtem hahahaha

  • @JosephMalo-sp9bm
    @JosephMalo-sp9bm Год назад

    inapataka wapi hi

  • @mariyamsalalah8204
    @mariyamsalalah8204 Год назад

    🤣🤣🤣🤣dogo hasaidiki

  • @bbrsssaad1282
    @bbrsssaad1282 2 года назад +1

    Hio lugha yenu sio mbaya ila mkichukua kwa urefu mna tuzingua mana hatuelewi plz

    • @kapaayathegreat
      @kapaayathegreat  2 года назад +2

      Soma maneno yanayotokea hapo chini

    • @bbrsssaad1282
      @bbrsssaad1282 2 года назад +1

      @@kapaayathegreat kwa kwl cyaoni yakitokea nngeona ncngelalamika na kupitwa na utamu 🤣🤣🤣🤣

    • @kapaayathegreat
      @kapaayathegreat  2 года назад +1

      @@bbrsssaad1282 jamani wewe

    • @bbrsssaad1282
      @bbrsssaad1282 2 года назад +1

      @@kapaayathegreat kwl nmadogo kiukwl ila twende nalo tu madamu huko kwengine naelewa ntafika tu 🤣🤣🤣🤣ucjal jirani yangu nmkenya mm

    • @kapaayathegreat
      @kapaayathegreat  2 года назад +1

      @@bbrsssaad1282 usiwe na mashaka

  • @kephaezekiel9736
    @kephaezekiel9736 9 месяцев назад

    Ntemi 76

  • @paulinalyanga4448
    @paulinalyanga4448 2 года назад +1

    Next episode ni lini?

  • @neemasamwely6501
    @neemasamwely6501 2 года назад +1

    Kazi nzuri sana 🥰