Mimi nawasihi wale waliohusika kumpiga risasi kiubinadamu tu na kama sehemu ya toba yao, basi waweze kuwa wa kwanza kuchangia ili huyu ndugu apate gari jipya baada ya wao kuliharibu hili.
Uamuzi wa ndugu ni uamuzi wetu wananchi wote tulioumizwa na yaliyomsibu Tundu Lissu aliyevunjwa vunjwa wakashindwa kumuua kisa kutetea haki ya wote,na bado wenye uhakika wa maisha bila hofu ya Mungu wamegoma kumlipa haki zake! Kumchangia ni hiyari,asiyetaka akae kimya... Watu wote tulioumia kama tuna hofu ya MUNGU, kazi ya mchango iendelee...
Naunga mkono Lissu, achangiwe hela ya kununua gari lingine, Tena apate gari linaloendana na hali ya afya yake, hilo la sasa alimfai kutokana na hali aliyonayo
Kumchangia muhimu.sana.asiwabeze mtu yeyote.
Naomba namba kutuma hela kununua gar la lisu nimeguswa
Mimi nawasihi wale waliohusika kumpiga risasi kiubinadamu tu na kama sehemu ya toba yao, basi waweze kuwa wa kwanza kuchangia ili huyu ndugu apate gari jipya baada ya wao kuliharibu hili.
Hiyo gari wakati kuileta wasije kuifanyia hujuma hapo bandarini maana wajomba ndio wamiliki wa bandari
Kama anachangisha dokta slaa tunapigwa
Inawezekan kupata gari tatu kwa mchongo wawanainch kwa mheshimiwa
Tupo tayari kumchangia shujaa wetu kwani alipigwa kwa ajili ya kututetea sisi sote
Uamuzi wa ndugu ni uamuzi wetu wananchi wote tulioumizwa na yaliyomsibu Tundu Lissu aliyevunjwa vunjwa wakashindwa kumuua kisa kutetea haki ya wote,na bado wenye uhakika wa maisha bila hofu ya Mungu wamegoma kumlipa haki zake! Kumchangia ni hiyari,asiyetaka akae kimya... Watu wote tulioumia kama tuna hofu ya MUNGU, kazi ya mchango iendelee...
Naunga mkono Lissu, achangiwe hela ya kununua gari lingine, Tena apate gari linaloendana na hali ya afya yake, hilo la sasa alimfai kutokana na hali aliyonayo
Jamani namba ya mchango tutaipataje?
Mbona walishatoa kitambo Kamanda?
👍
Lisu hata akitaka helicopter tutachanga,kamwagadam kwaajili ya ykombozi