UFAFANUZI MCHANGO WA KUMCHANGIA TUNDU LISSU KUNUNUA GARI JIPYA. BAADA YA LISSU KUIFUATA GARI POLISI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 20 май 2024
  • JINSI YA KUMCHANGIA LISSU BOFYA LINK tii.la/KUMCHANGIA_LISSU

Комментарии • 14

  • @user-jl5uh1xq9f
    @user-jl5uh1xq9f Месяц назад +1

    Kumchangia muhimu.sana.asiwabeze mtu yeyote.

  • @Evod-dd3kw
    @Evod-dd3kw Месяц назад +1

    Naomba namba kutuma hela kununua gar la lisu nimeguswa

  • @robertzingu9889
    @robertzingu9889 Месяц назад

    Mimi nawasihi wale waliohusika kumpiga risasi kiubinadamu tu na kama sehemu ya toba yao, basi waweze kuwa wa kwanza kuchangia ili huyu ndugu apate gari jipya baada ya wao kuliharibu hili.

  • @kakawataifa6752
    @kakawataifa6752 Месяц назад

    Hiyo gari wakati kuileta wasije kuifanyia hujuma hapo bandarini maana wajomba ndio wamiliki wa bandari

  • @user-gw4jj5nn2n
    @user-gw4jj5nn2n Месяц назад

    Kama anachangisha dokta slaa tunapigwa

  • @BIGCHENDREADLOCKS
    @BIGCHENDREADLOCKS Месяц назад

    Inawezekan kupata gari tatu kwa mchongo wawanainch kwa mheshimiwa

  • @Samweli-ij3im
    @Samweli-ij3im Месяц назад

    Tupo tayari kumchangia shujaa wetu kwani alipigwa kwa ajili ya kututetea sisi sote

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 Месяц назад +3

    Uamuzi wa ndugu ni uamuzi wetu wananchi wote tulioumizwa na yaliyomsibu Tundu Lissu aliyevunjwa vunjwa wakashindwa kumuua kisa kutetea haki ya wote,na bado wenye uhakika wa maisha bila hofu ya Mungu wamegoma kumlipa haki zake! Kumchangia ni hiyari,asiyetaka akae kimya... Watu wote tulioumia kama tuna hofu ya MUNGU, kazi ya mchango iendelee...

  • @mwakapalamwakapala8317
    @mwakapalamwakapala8317 Месяц назад

    Naunga mkono Lissu, achangiwe hela ya kununua gari lingine, Tena apate gari linaloendana na hali ya afya yake, hilo la sasa alimfai kutokana na hali aliyonayo

  • @AbelJohn-tx4in
    @AbelJohn-tx4in Месяц назад

    Jamani namba ya mchango tutaipataje?

  • @wilsonsikahanga1761
    @wilsonsikahanga1761 Месяц назад

    👍

  • @clemenceparokola
    @clemenceparokola Месяц назад

    Lisu hata akitaka helicopter tutachanga,kamwagadam kwaajili ya ykombozi