GHARIB MZINGA AUKUBALI UWEZO WA JEAN CHARLES MVP WA SIMBA SC YAMETIMIA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 окт 2024
  • #cafcl #manara #usajilimpyayanga #ligikuu #simba #yangaleo #yangatv #yanga #mayele

Комментарии • 22

  • @emmanuelkisanga9092
    @emmanuelkisanga9092 2 месяца назад +2

    Kaka Ghalibu Mzinga, nakukubali sana Mwamba

  • @AfizuMakongo
    @AfizuMakongo 3 месяца назад +3

    mzinga nakukubali sana nikiwa uku Mozambique simba nguvu moja

  • @abdulshakulahmed7903
    @abdulshakulahmed7903 2 месяца назад

    Kaka unasauti nzuri sana kwenye utangazaji wako wa mechi unajua kuchambua sifa za wachezaji vizuri kuliko wengine azam media nakubali sana

  • @abdallahakida7908
    @abdallahakida7908 3 месяца назад +4

    This is simba.simba ni simba tu huezi mfananisha na paka

  • @Amahujohn
    @Amahujohn 3 месяца назад +1

    Nakuelewaga kinoma,,,we ndy mchambuzi wangu namba Moja

  • @PhilipoNjalika
    @PhilipoNjalika 3 месяца назад +1

    Salute Gharibu mzinga

  • @jafaribenta73
    @jafaribenta73 2 месяца назад

    Mwamba anauwezo wa uchambuzi sana kwa sasa

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu866 3 месяца назад +1

    ligi ya Tanzania ni Dhaifu sana ndio maana bingwa hujulikana na kupatikana mechi Tano kabla kumalizika

  • @Nasibuhelemani
    @Nasibuhelemani 2 месяца назад

    Kaka uko wapi siku zote mbona unanifulaisha

  • @DaudMasanja-g2s
    @DaudMasanja-g2s 3 месяца назад

    Mzinga watu kukubali uwaga ni vigumu lakini kusema kwel mwamba uko vzr kwenye uchambuz wa mchezaj had mchezaj unafuatilia michezo mpaka nchi za nje wewe nimchambuz wa kisasa

  • @AllyAmanzi-y8i
    @AllyAmanzi-y8i 3 месяца назад

    Mhm ngoja ligi lianze tuone MVP Wap hapa Bongo

  • @ManzabaySalim
    @ManzabaySalim 3 месяца назад

    Tatizo moja bongo huwezi kuchambua mtu mpaka acheze mpira umuone

  • @RichardMgohole
    @RichardMgohole 3 месяца назад

    Richi rujewa mzinga nakukubari he mpanzu kweli amekuwa mnyama?

  • @mussammanga7791
    @mussammanga7791 3 месяца назад

    Ata Onana pia MVP.

    • @tanfootballchanneltv
      @tanfootballchanneltv  3 месяца назад

      Tatizo sio MVP Ila MVP kutoka wapi? Tumpe muda ajihukumu mwenyewe

    • @ibrahimrasimi256
      @ibrahimrasimi256 3 месяца назад

      ​@@tanfootballchanneltvyaaa huyo anaongea pumba sasa onana alikuwa MVP wapi na Charles Alikuwa MVP wapi

    • @ZabibuMwenda
      @ZabibuMwenda 3 месяца назад +1

      Kwani Onana mbovu sema tu ajielewi

    • @mussammanga7791
      @mussammanga7791 3 месяца назад

      @@ibrahimrasimi256 MVP ni MVP tuu! ata kama MVP atatoka INDIA.

    • @kassidpandu866
      @kassidpandu866 3 месяца назад

      onana hujatoka evory coast