Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
Kaka Ghalibu Mzinga, nakukubali sana Mwamba
mzinga nakukubali sana nikiwa uku Mozambique simba nguvu moja
Kaka unasauti nzuri sana kwenye utangazaji wako wa mechi unajua kuchambua sifa za wachezaji vizuri kuliko wengine azam media nakubali sana
This is simba.simba ni simba tu huezi mfananisha na paka
Nakuelewaga kinoma,,,we ndy mchambuzi wangu namba Moja
Salute Gharibu mzinga
Mwamba anauwezo wa uchambuzi sana kwa sasa
ligi ya Tanzania ni Dhaifu sana ndio maana bingwa hujulikana na kupatikana mechi Tano kabla kumalizika
Uko dunia gani wewe?
Kaka uko wapi siku zote mbona unanifulaisha
Mzinga watu kukubali uwaga ni vigumu lakini kusema kwel mwamba uko vzr kwenye uchambuz wa mchezaj had mchezaj unafuatilia michezo mpaka nchi za nje wewe nimchambuz wa kisasa
Mhm ngoja ligi lianze tuone MVP Wap hapa Bongo
Tatizo moja bongo huwezi kuchambua mtu mpaka acheze mpira umuone
Richi rujewa mzinga nakukubari he mpanzu kweli amekuwa mnyama?
Ata Onana pia MVP.
Tatizo sio MVP Ila MVP kutoka wapi? Tumpe muda ajihukumu mwenyewe
@@tanfootballchanneltvyaaa huyo anaongea pumba sasa onana alikuwa MVP wapi na Charles Alikuwa MVP wapi
Kwani Onana mbovu sema tu ajielewi
@@ibrahimrasimi256 MVP ni MVP tuu! ata kama MVP atatoka INDIA.
onana hujatoka evory coast
Kaka Ghalibu Mzinga, nakukubali sana Mwamba
mzinga nakukubali sana nikiwa uku Mozambique simba nguvu moja
Kaka unasauti nzuri sana kwenye utangazaji wako wa mechi unajua kuchambua sifa za wachezaji vizuri kuliko wengine azam media nakubali sana
This is simba.simba ni simba tu huezi mfananisha na paka
Nakuelewaga kinoma,,,we ndy mchambuzi wangu namba Moja
Salute Gharibu mzinga
Mwamba anauwezo wa uchambuzi sana kwa sasa
ligi ya Tanzania ni Dhaifu sana ndio maana bingwa hujulikana na kupatikana mechi Tano kabla kumalizika
Uko dunia gani wewe?
Kaka uko wapi siku zote mbona unanifulaisha
Mzinga watu kukubali uwaga ni vigumu lakini kusema kwel mwamba uko vzr kwenye uchambuz wa mchezaj had mchezaj unafuatilia michezo mpaka nchi za nje wewe nimchambuz wa kisasa
Mhm ngoja ligi lianze tuone MVP Wap hapa Bongo
Tatizo moja bongo huwezi kuchambua mtu mpaka acheze mpira umuone
Richi rujewa mzinga nakukubari he mpanzu kweli amekuwa mnyama?
Ata Onana pia MVP.
Tatizo sio MVP Ila MVP kutoka wapi? Tumpe muda ajihukumu mwenyewe
@@tanfootballchanneltvyaaa huyo anaongea pumba sasa onana alikuwa MVP wapi na Charles Alikuwa MVP wapi
Kwani Onana mbovu sema tu ajielewi
@@ibrahimrasimi256 MVP ni MVP tuu! ata kama MVP atatoka INDIA.
onana hujatoka evory coast