Kaka hpo nnakupa big up, kwsbb mm nilisema kuw gemu za klabu bingwa bc kocha alifny makosa ya kung'ang'ania kuchezesha viungo na kuwaacha washambuliaji nnje. Hlo lilituharimu sn, lkn w2 walikuja juu na kubisha.
Hata Huyo Chamilon anafanya kakosa ya wazi. Shida ya Simba Hawana Mfungaji. Mbona wamecheza vizuri na wamepata nafasi nyingi Ila simba hawana Mfungaji.
No brother Saleh ni miongoni mwa ninaowaheshimu sana sana sana ila hapo kwa coach I don't buy what you're giving us. We unajua mwalimu awe na nguvu ni lazima awe na backup ya uongozi maana jukumu la uongozi ni kuiunganisha timu failure to do that kila siku tutabadili wachezaji na walimu na Simba haitokuwa na safari ya kwenda mbele binafsi naamini anaweza kuja Pep hapa na bado kusiwe na mabadiliko endelevu kulingana na namna uongozi tulionao unavyofikiria na kuyachukulia mambo. Ninaamini hawa hawa akina Ngoma wapeleke Yanga wataperfom na akina Aziz walete Simba watadumaa it's all about leadership usituchonganishe na coach tafadhali. Coach bila backup ya uongozi imara lazima atapoteza dressing room unaacha kuwaambia viongozi wabadilike au wawajibike kupisha wengine bado unataka kujenga mihemko kwa mashabiki waanze kumpa presha mwalimu unawapa loophole akina mangungu wapate kichaka Cha kujifichia
Ni kauli ya hovyo tena ni Fedheha kwa Simba pamoja na ligi yetu, Huyu coucher wa Yanga atutake radhi, katutusi kweli, kwamba ametuhurumia kutufunga Simba magoli mengi,
Inonga ni mchezaji mzuri lakini huwa nasema Inonga wa timu ya taifa ya DRC si huyu anaecheza Simba. Kuna tofauti kubwa ya uchezaji anapokuwa na timu ya taifa la DRC anakuwa very serious lakini anapocheza Simba anacheza na majukwaa hawi serious.
Inonga kajifanyisha tu,Wala hakuumia. Kitaalamu ni kwamba Bora ushikilie kile ulichonacho kuliko kukiacha kile kilicho mkononi,hicho ndicho chako. Yeye Inonga baada ya kuona Far Rabat ya Morocco wanamhitaji akahudumu kwenye club Yao basi anaona Simba sc Haina maana kwake. Binafsi nimeumia sana. Nashauri uongozi wa Simba waachane na Inonga wamuuze alafu tutafute beki mwingine mzr ya Inonga. Naamini Simba sc hatuna tabia ya kung'ang'ania mchezaji.
SALEHE KAUMIA SANA TIMU YAKE KUFUNGWA NA HUYO MTANGAZAJI HAKUNA KITU GAMONDI ALISEMA WAPI NO FACTS NO RIGHT TO SPEAK, WATANGAZAJI WA NAMNA HII NDIO WANAHARIBU WATANZANIA WASIO WEZA KUCHIMBA MAMBO KWA NDANI ZAIDI
Wewe kakaangu umeongea ukweli kocha wa Simba ndiotatizo kocha walisema kaenda kusoma timu ilibaki na matola timu ilishinda aliporudi yeye tu timu haijashinda mpaka leo kochanae waovyo
Hapa kweli inaumaaa sanaaaa Kocha kazi yake haipo kama ameshindwa kuwaelekeza wachezaji ambao wanafunga mtu goli 7! Halafu waporomoke mara moja kiasi hiki kweli? Misimu mitano wame consist kubakia robo fainali championship Halafu aseme hawafundishiki kweli? Apewe Mgunda tumalizie msimu ndipo tufanye tathimini. Kwanza tubaki wamoja Simba mtu asituvuruge kuanza kulaumiana. Ni mpira una maajabu yake.
Kocha nae nishida kweli kabisa,kaka salehe tunaomba utusemee sisi tunaomba mgunda arudi aje kumalizia msimu nawamkabizi tim Moja kwa Moja waache uzungu mwingi kwani wao ni wazungu
Wewe Salehe Jembe usijibu kila swali unaloulizwa. Sio kila swali analokuuliza mtangazaji ulijibu. Wapi Gamondi alisema kuwa hakutaka kuwafunga Simba?Ungamuuliza mtangazaji ili akujibu hilo ndiyo ujibu wewe swali lake.
Watuwengi nimewaambia hiri kuwa kocha kashindwa kufundisha timu maana kama unasema niwagumu kuerewa wewe kamamwalimu unatakiwa utumie uarimu wako iriikuvushe mpaka mwisho wamsimu
Kombe la muungano ni uchawa wa kuingiza siasa kwenye mpira wa miguu! TFF lazima wajue uendeshaji wa mpira wa miguu ni gharama, ni semi professional, si enzi za chandimu. Klabu zinanunua wachezaji kwa gharama na mishahara kubwa sana, huwezi kuwatumia kama dai waka (day workers). Klabu ziandae wachezaji, pre_season, kwa michiano ya ligi kuu, mapinduzi, CRDB, CAF, Muungano, professionals wapate muda wa kurudi makwao kuchezea timu zao za Taifa. Katika ratiba tight kama hii watapata wapi muda wa kupumzika?.!Wachezaji wakipata majeruha au uchovu gharama kwa vilabu. Hapa kuna shida kubwa. Michuano ya Muungano haina tija wala maslahi kwa vilabu wala wachezaji. Michuano ya kombe la Mapinduzi inatosha kuliunganisha Taifa, TFF na ZFF acheni uchawa!
Kocha atalaumiwa Bure wachezaji hawako sawa . Ndg Saleh kama mchezaji unampamaelekezo hayatekelezi utafanya Nini kama kocha. Mf inonga Sasa hivi hana Nia na Simba
Ana wachezaji wengi sio Inonga peke yake kwanini asifanye mabadiliko ,mfano Chasambi alicheza lini? Kennedy Juma yupo kwanini asiwe anafanya mabadiliko wakati mwingine kila siku wale wale na hawafanyi vizuri kwani usiwatumie wengine, hivyo kocha nae mmmmhhhh😂😂
Kocha Hana shida mi namtetea kabisa kama viongozi wangempa uhuru kocha kwa kusign mikataba mizuri Saidoo hasingeanza kikosi Cha kwanza Cha Simba Miqson sio wa kukaa benchi ila kutokana na mikataba mibovu ya viongozi walioingia na wachezaji kulazimisha lazima waanze hivi kwa umri wa Saidoo ni WA kufundishika ule?
Wewe salehe kaz yako ni maneno polojo tu kocha ndo kaz yake bas wewe upewe iyo tim kwani simba itafukuza makocha mpaka lini wachambuz wengi nchi hii ni mapoyoyo tu
Ndugu yangu jembe viongozi wa simba wanakutumia kumponda benchika hapo hakuna wachezi wa ushindani kama viongozi wamekutuma na kukupa chochote kitu unazingua sana
Hakuna Cha KUTUMIWA hivi hata kama ukiangalia wale akina Chasambi walisajiliwa wa nini Simba Ina wachezaji wengi kwanini wengine hawapangi, kocha nae ana shida plan zake kila siku hazifanikiwi kwanini asibadili plan nae anatakiwa kulaumiwa pia
@@taseleli9181 tatizo waliosajili ni viongozi sio kocha huyo kocha ana viwango barani Africa tatizo mashabiki wa Simba mnawatetea viongozi wenu wa hovyo kwani ni makocha wangapi mnawaondoa na kuwatupia lawama kwa kuwalinda viongozi na wachezaji wenu wasio na viwango badilikeni angalieni wenzenu ifike kipindi mkubali ukweli wachezaji wa hovyo hawana viwango na wengine wamechoka benchika anawaambia ukweli hamtaki muacheni basi mlete kocha mwingine
Ni kweli kocha anamatatizo ona hata asisiti zake sio nzuri ajitathimini utawatumiaje wachezaji wanaoshindwa ?
Umeongea point kabisa koach simuelew kabis
Uko vinzur
Uko sahihi Inonga amekuwa bishoo. Simba timu kubwa wasituharibie Simba yetu. Simba itarudi kwenye hadhi yake tu.
Inonga akiendelea kubaki Simba kinachofuata ataondoka Kwa Risas
Huyu kocha anashida kubwa tu, huwezi kuchezesha timu bila washambuliaji na ukategemea kufunga magoli.
ahsante sana saleh jembe ❤
good kaka uko vizur
Well spoken, Mr. Saleh
Gamondi hakusema kama unavyodai. Journalism ya kihovyo kabisa. Gamondi is a class act coach and person
simba angalieni msizalishe nyota nyekundu nyingine.
Msimwonee Inonga.Inonga Ni beki nzuri Sana Tena mchezji mpole mwenye nidhamu kubwa.Mnaposema hajaumia je taarifa ya daktari inasemaje?!
Hujui unalolisema fatilia kiundani utapata majibu
Inonga aende na kocha aende
Simba apewe mgunda ndo watacheza cafe champion
Viongozi waliokuwepo tokea mwanzo hapafai waondoke waje wengine acheni kuwakumbatia na huyo Benchiker aondoke aslaunu wachezaji
Inonga mshenzi aondoke atumtaka
Safi sana salehe
Kocha hana mbinu mbadala hivi Mgunda kwann asichukue nafasi ya matola hapo naona matola hamna kitu pale na huwez kumlinganisha na Mgunda
Kaka hpo nnakupa big up, kwsbb mm nilisema kuw gemu za klabu bingwa bc kocha alifny makosa ya kung'ang'ania kuchezesha viungo na kuwaacha washambuliaji nnje. Hlo lilituharimu sn, lkn w2 walikuja juu na kubisha.
Hata Huyo Chamilon anafanya kakosa ya wazi. Shida ya Simba Hawana Mfungaji. Mbona wamecheza vizuri na wamepata nafasi nyingi Ila simba hawana Mfungaji.
No brother Saleh ni miongoni mwa ninaowaheshimu sana sana sana ila hapo kwa coach I don't buy what you're giving us. We unajua mwalimu awe na nguvu ni lazima awe na backup ya uongozi maana jukumu la uongozi ni kuiunganisha timu failure to do that kila siku tutabadili wachezaji na walimu na Simba haitokuwa na safari ya kwenda mbele binafsi naamini anaweza kuja Pep hapa na bado kusiwe na mabadiliko endelevu kulingana na namna uongozi tulionao unavyofikiria na kuyachukulia mambo. Ninaamini hawa hawa akina Ngoma wapeleke Yanga wataperfom na akina Aziz walete Simba watadumaa it's all about leadership usituchonganishe na coach tafadhali. Coach bila backup ya uongozi imara lazima atapoteza dressing room unaacha kuwaambia viongozi wabadilike au wawajibike kupisha wengine bado unataka kujenga mihemko kwa mashabiki waanze kumpa presha mwalimu unawapa loophole akina mangungu wapate kichaka Cha kujifichia
BRO MI PEKEYANGU NAKUELEWAGA SANA KULIKO WENZANGU
HAPO KWA COACH NA INONGA UPO SAHIHI SANA ILA UMEMSAHAU SAIDO
Transformation kwanza kocha abaki. Wachezaji baadhi wabadilike na usajili mpya uzingatie mahitaji ya ubingwa vikombe, tulionao si wa ubingwa
Kaka Ile gemu kocha kaongea kwa hasira kwa kuwalaumu wachezaji ila kiukweli hata goli alilosababisha husen kazi, kama siyo inonga kususa tusingefungwa
Sale coach yuko natatizo kubwa sana . Habadili liste kila siku
Wachezaji wenyewe mnao
😅
@@jovovichmedia9424 Kwani siku zote unacheza wewe😂😂😂😂
Nyie mmefunga kocha.UCHAWI UMEZIDI MNAMROGA JEMBE HAMUMTAKI.USIFUNIKE MAOVU.VIONGOZI KWANZA'ALIYETOKA SABABU NI NN.ACHENI KUPOTOSHA WATU
Tatizo siyo kocha salehe tatizo ni wachezaji wenyewe wanapata nafasi ngapi wanashindwa kufunga hata ukimleta gadiola simba haitabadilika tatizo ni wachezaji
Kocha mbovu we .utaamin. hilo sikumoj
Saido ndiyo anasababisha na wenzie waonekane hawaelewi maelekezo ya Mwalimu
Wachezaji wa kikongo hawafai kabisa kazi yao kuuza mechi
INONGA ANATUHUJUMU,, AENDE TU, ANA TUMIKA KUTUUMIZA ..... FACT ,, BODY LANGUAGE YA INONGA ANATAKA KUONDOA.....
Uko vizuri umeeleweka
wewe nimkweli ubarikiwe sana na mungu mimi simba dam dam
Mungu/MUNGU sio mungu
Kweli inonga hatufai aondoke
Ki ukweli tunamuhitaji kocha mzalendo, MGUNDA aje hapo atutaki ujinga
Ni kauli ya hovyo tena ni Fedheha kwa Simba pamoja na ligi yetu,
Huyu coucher wa Yanga atutake radhi, katutusi kweli, kwamba ametuhurumia kutufunga Simba magoli mengi,
Una yajua matusi au nikutukane ndo ujue matusi,?
@@user-cy4ll5fk8rTUKANA MSENGE WEWE UNAMTISHA NANI HAPA.
Timu apewe mgunda tuachane na huyu kocha
Acheni ujinga simba haina wachezaji wa maana wamechoka
Kombe la mapinduzi waachiwe wenyewao wazanzibar na km kuna kombe la muungono bc ndio waingie hao walioungana
Inonga.aende zake mpumbavu sana sio mechi hii tu Kuna mechi kama tatu nne zote anatoka bila ya kuumia aende anakokwenda pumbavu
Salehe nakuelewa sana na nakubaliana na wewe kuwa kocha ana tatizo.
Inonga ni mchezaji mzuri lakini huwa nasema Inonga wa timu ya taifa ya DRC si huyu anaecheza Simba. Kuna tofauti kubwa ya uchezaji anapokuwa na timu ya taifa la DRC anakuwa very serious lakini anapocheza Simba anacheza na majukwaa hawi serious.
Wewe Simba Kuna wasaliti jiulize kwanini walimtoa Mgunda?
Inonga kajifanyisha tu,Wala hakuumia. Kitaalamu ni kwamba Bora ushikilie kile ulichonacho kuliko kukiacha kile kilicho mkononi,hicho ndicho chako. Yeye Inonga baada ya kuona Far Rabat ya Morocco wanamhitaji akahudumu kwenye club Yao basi anaona Simba sc Haina maana kwake. Binafsi nimeumia sana. Nashauri uongozi wa Simba waachane na Inonga wamuuze alafu tutafute beki mwingine mzr ya Inonga. Naamini Simba sc hatuna tabia ya kung'ang'ania mchezaji.
Serehe jembe huna baya umechambua vizuri aisee
Dereva mzuri gari bovu.
KWA LEO SIKUELEWI UNAPOTOSHA UKWELI.UMEPEWA HONGO WW
Salehe jembe uletewe machezaji km babacar fredy ngoma pa omary Fred hakuna machezaji pale mizee kweli ovyo kabisa
Salehe leo umefanya inter view bola toka nimekujua
Gamondi hanaheshima hajierewi utasemaje umecheza kamaukomazoezini kocha anaejierewa hawezi ongea ujingahuo ashaanza kurewa sifa
Uongozi unayumbisha timu. Inatuumiza mashabiki! Kocha hatufai mara mia angebaki Mgunda hawa wachezsa pembeni waondolewe wasaidizi wanawavuruga makocha! Timu apewe Mgunda inaumaaaaa!
Wachezaji wameoza bana acha kumlaumu kocha
MJINGA KABISA WEWE... UNAMSAJILIA WACHEZAJI ALAFU. WAZEE WAZEE WAZEE HAWAELEKEZEKI.
mgunda mrudisheni jamanii tunamwomba mgunda jamaniii Arudi
Aje kutuwekea striker john bocco
True
Inonga aeende tu
Bro umesema kweli, kocha sio yaan Kwanza ajui kupanga kikosi,kocha wa Simba ni uchebe tu
Benchika mpuuzi tu ww kila siku unaanza na Saidoooo humpi nafasi Luis, Chasambi na wengineo nilichogundua kocha huyu ana uwezo mdogo sana
Kocha hana tatizo nadhani wachezaji Wana shida sana
KWELI BRO
Mtoa habari kama huelewi lugha uwe unauliza Gamondi hajazngumza hv,usimsingizie please
Wewe Msenge UNATUMIWA
SALEHE KAUMIA SANA TIMU YAKE KUFUNGWA NA HUYO MTANGAZAJI HAKUNA KITU GAMONDI ALISEMA WAPI NO FACTS NO RIGHT TO SPEAK, WATANGAZAJI WA NAMNA HII NDIO WANAHARIBU WATANZANIA WASIO WEZA KUCHIMBA MAMBO KWA NDANI ZAIDI
Wewe umetumwa kocha hanashida makocha wangapi wamepita tatizoni viongozi
Kocha ni shida ! Nilitegemea atamuweka nje Saidoo ili atengeze timu Simba Iko vizuri shida ni Saidoo tu.
huyu couch katukera sana wachezaji ni walewale Anaoingiza uwanjani kila mpira ukichezwa Abadilishe wachezaji Atoke couch Atumtaki
SALEE WEWE PIA NI MCHAMBUZI BOVU KWA SABABU MASTRAIKER TULIO NAO UNLIDHIKA NAO?
Wewe kakaangu umeongea ukweli kocha wa Simba ndiotatizo kocha walisema kaenda kusoma timu ilibaki na matola timu ilishinda aliporudi yeye tu timu haijashinda mpaka leo kochanae waovyo
Unampanga Saidoo 9 kanute 10 umfunge nani?
Hapa kweli inaumaaa sanaaaa Kocha kazi yake haipo kama ameshindwa kuwaelekeza wachezaji ambao wanafunga mtu goli 7! Halafu waporomoke mara moja kiasi hiki kweli? Misimu mitano wame consist kubakia robo fainali championship Halafu aseme hawafundishiki kweli? Apewe Mgunda tumalizie msimu ndipo tufanye tathimini. Kwanza tubaki wamoja Simba mtu asituvuruge kuanza kulaumiana. Ni mpira una maajabu yake.
Kocha nae nishida kweli kabisa,kaka salehe tunaomba utusemee sisi tunaomba mgunda arudi aje kumalizia msimu nawamkabizi tim Moja kwa Moja waache uzungu mwingi kwani wao ni wazungu
Wachezaji wabovu usi tetee ujinga unataka utetee viongozi angalia yanga wana chezaje kocha hana kosa
Mgunda runamtaka viongoz wqnashida gan na mgunda
Wewe Salehe Jembe usijibu kila swali unaloulizwa. Sio kila swali analokuuliza mtangazaji ulijibu. Wapi Gamondi alisema kuwa hakutaka kuwafunga Simba?Ungamuuliza mtangazaji ili akujibu hilo ndiyo ujibu wewe swali lake.
Upo Sawa!
Simba wanavuna walicho kipanda robatinyo alikuwa mzuli sana bechika mzulisana ila wanaongea mmno
MA COCHA WOTE WAWILI NI WAZURI VIONGOZI WANATAFUTA NJIYA ILI WAENDELEE KUKAA VITINI.
Uko sahihi jembe
Yule Juma mgunda kama angekua sio mtanzania angethaminiwa sana na angeimbwa sana
We wacha ujinga cocha mzuri wachezaji kuna tatizo
Watuwengi nimewaambia hiri kuwa kocha kashindwa kufundisha timu maana kama unasema niwagumu kuerewa wewe kamamwalimu unatakiwa utumie uarimu wako iriikuvushe mpaka mwisho wamsimu
Mcjidanganye bn,hata angekuw Ancelloti,kwa kosi hilo la fred vunjabei.Mmh hmn wachezaji hapo
Hamna wachezaji ila Kuna nani?
Mm nikopomoja na ww salehe Kwa kocha anachelewa kufanya sabu
Salehe chukua form TFF,Uko vizuri sana mbona
Salehe wewe ni chawa umeumwa kwenda huko huna jpya
KWELI ANAWATETEA VIONGOZI KWA KUANZA KUMTUPIA LAWAMA COCHA SIO BURE KALAMBISHWA ASALI HUYO
Sio inonga tu wachezaji wengi Simba wanaonekana hawapo sawa
Kombe la muungano ni uchawa wa kuingiza siasa kwenye mpira wa miguu! TFF lazima wajue uendeshaji wa mpira wa miguu ni gharama, ni semi professional, si enzi za chandimu. Klabu zinanunua wachezaji kwa gharama na mishahara kubwa sana, huwezi kuwatumia kama dai waka (day workers). Klabu ziandae wachezaji, pre_season, kwa michiano ya ligi kuu, mapinduzi, CRDB, CAF, Muungano, professionals wapate muda wa kurudi makwao kuchezea timu zao za Taifa. Katika ratiba tight kama hii watapata wapi muda wa kupumzika?.!Wachezaji wakipata majeruha au uchovu gharama kwa vilabu. Hapa kuna shida kubwa. Michuano ya Muungano haina tija wala maslahi kwa vilabu wala wachezaji. Michuano ya kombe la Mapinduzi inatosha kuliunganisha Taifa, TFF na ZFF acheni uchawa!
Kocha atalaumiwa Bure wachezaji hawako sawa . Ndg Saleh kama mchezaji unampamaelekezo hayatekelezi utafanya Nini kama kocha. Mf inonga Sasa hivi hana Nia na Simba
Ana wachezaji wengi sio Inonga peke yake kwanini asifanye mabadiliko ,mfano Chasambi alicheza lini? Kennedy Juma yupo kwanini asiwe anafanya mabadiliko wakati mwingine kila siku wale wale na hawafanyi vizuri kwani usiwatumie wengine, hivyo kocha nae mmmmhhhh😂😂
Kocha Hana shida mi namtetea kabisa kama viongozi wangempa uhuru kocha kwa kusign mikataba mizuri Saidoo hasingeanza kikosi Cha kwanza Cha Simba Miqson sio wa kukaa benchi ila kutokana na mikataba mibovu ya viongozi walioingia na wachezaji kulazimisha lazima waanze hivi kwa umri wa Saidoo ni WA kufundishika ule?
Wachezaji wanashida sana Koch anacho kisema yupo sahihi wachezaji wetu wamechoka wametumika sana kwenye mashindano tusimlaum kocha ili sio kweli
Duuuh
Wewe salehe kaz yako ni maneno polojo tu kocha ndo kaz yake bas wewe upewe iyo tim kwani simba itafukuza makocha mpaka lini wachambuz wengi nchi hii ni mapoyoyo tu
Wachezaji gan yanga kashinda,kizali,mpira wa Kaz,halafu,baka,kagaragazwa,c wa yanga,we hujaenda shule, Saleh uko saw,
Kwan ww ayubu hajagalagazw au hyo bacca hajawagalagaza chama na babu saido kwa wote
We ni fala mjinga ksbisa , pumbavu Jembe usimba umekuathili, unatukana kocha wetu , ongea Hovyo uone tukunyooshe
Kwani hapo ametukana kocha au ameongea lile analofikiria yeye?
Acha ushamba wazee wenge
Kocha mapungufu yake tumeyaona sana anashinwa kuwatumia wachezaji
Inomga auzwe tu hana mapenzi na simba
Kuanzia mechi zijazo asicheze
Dube atashinda lzma,sheria ya FIFA
Cocha mwongo sana
Ndugu yangu jembe viongozi wa simba wanakutumia kumponda benchika hapo hakuna wachezi wa ushindani kama viongozi wamekutuma na kukupa chochote kitu unazingua sana
Hakuna Cha KUTUMIWA hivi hata kama ukiangalia wale akina Chasambi walisajiliwa wa nini Simba Ina wachezaji wengi kwanini wengine hawapangi, kocha nae ana shida plan zake kila siku hazifanikiwi kwanini asibadili plan nae anatakiwa kulaumiwa pia
@@taseleli9181 tatizo waliosajili ni viongozi sio kocha huyo kocha ana viwango barani Africa tatizo mashabiki wa Simba mnawatetea viongozi wenu wa hovyo kwani ni makocha wangapi mnawaondoa na kuwatupia lawama kwa kuwalinda viongozi na wachezaji wenu wasio na viwango badilikeni angalieni wenzenu ifike kipindi mkubali ukweli wachezaji wa hovyo hawana viwango na wengine wamechoka benchika anawaambia ukweli hamtaki muacheni basi mlete kocha mwingine
jembe lawama kwa kocha tuu acha uzushi simba inawachezaji wabovu
Anacheza kinafiki sana