Kibibi apata mtoto wake - Huba | Maisha Magic Bongo
HTML-код
- Опубликовано: 2 июл 2020
- Kibibi anachukua mtoto wake kutoka kwa Bi Habiba. Doris anamuelezea Tima ukweli kuhusu vile Rani alivyopangia Tima kuhusu sumu.
---
Endelea kutizama DStv chaneli 160
Official Website: maishamagicbongo.dstv.com/
Watch more series and movies on Showmax, start your 14 day free trial here: bit.ly/36PFSr0
Instagram: / maishamagicbongo
Twitter: / maishamagictz
Facebook: / maishamagicbongo Развлечения
Duhhhh mambo ni 🔥🔥🔥🙄🙄🙄 Miraj Umeyatak mwenyewe Kibibi umekua jambazi sas Doris usaliti wako huwezi kukufanya uwe mwema kwa Tima
Doric anataka kujisafisha kwa Tima anahisi kama Tima ni mtoto mdogo?? Nampa pole asifikiri kama Usaliti wake unaweza kumfanya Tima kumuamini tena hilo asahau Tangu zamani Doric amekuwa msaliti Sana Kwa Tima
mashallah asante dj mwendelezo dj wetu nambonautumi linki dj jamani mwendelezo dj
Asantee jmn hubaaaaa inanogaa
Shukran sana
Hapo inatufundisha tujue kuishi na watu wa aina tofauti.tusiwachukie hata wale wabaya, huenda sku moja mbaya wako akawa mwema kwako kwa kukufanyia kitu fulan.dorice kamwambia tima jinc vip angekufa yy....
Huba imekuwa Moto Moto big love guys
Doris mnafiki wew tena Sana
Mambo 🔥🔥🔥🔥kibibi ni noma
waaa gud sana
Hataree
Mwendelezo plz
Dorice mnoko sana
Waaaaaaaah yani inakuaga ivyo ukimtakia mwenzio ubaya unakurudia tuu
Doris nimekupenda sana
Nice
Huba nomaa a
Asante muko vizuri leta kwawakati...jamani
Asante
Hahaha Dav.. Eti Tima mpenzi wangu 🤣🤣🤣🤣
Kibibi mtoto wa ghetto, miraj weeeee😂😂😂
Ameyatafuta na atayapata.kwa kibibi ni yuko chonjo
Hawa wawili wanacheza na kibibi wanajuwa aliko tokea??
Ongera kibibi
Kibibi napenda unavyoigiza,uko juu na jinsi unavyoshika it's like u have experience. Ila Doris anaboo Sana,huo umbea unafiki ndio atakupa kazi au muwe marafiki? Ama walipwa. Yani tabia zako mbaya
Kibibi wanyooshe haoo😂 ila doric nawe ume mpata loy c utulie una hangaika na umbey yata kushinda 🤸
Kweli kabisa atue
Tima weeeeee😂😂😂😂😂 usinipake majasho😂😂😂😂
Daaah
Belita jamani
Hi
Shukuran
Ivi jaman huyuu dev ndo saut yake amaa
😘😘😘😘😘
Doris umefanya vzr kumwambia Tima
Angalau kibibi leo umewaonyesha rangi yako halisi
Doris umbea huuachii🤣🤣
Kibibi wanyooshe hawakujui!!hahaha
Kibibi wanyohoshe na wewe Doris acha umbeya umempata Roy tulia sasa
Duuu
Abiba 🤣🤣🤣🤣
Miraj wee unatafuta shari kwakibibi na kibibi hanashida nawee
Yaani kamchokoza kweupeee,alikuwa anampenda sana,lakin Habiba nae anamjaza ujinga
Kimenuka heee,hee
Safi kibibi muonyeshe huyo biba mtu mzm ovyo
walikua hawamjui kibibi vizur
Md
Doric umejua kujisafisha
Chezea Kibibi 😃😃😃
Kibibi waonyeshe wajue ww sio mtu wa mchezo
Mtoto amelitendea haki scene yake
Mmeona.ndotoya.idriss
Huba kipande cha pili
..
😂
Mbona fupi jomani