PART 1: "NAOMBA NIMUONE RAIS KAMA NISIPOMUONA BORA NINYWE SUMU"-MZEE MFUGAJI ATOA MACHOZI HADHARANI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 фев 2025

Комментарии • 718

  • @fatumamohammed4226
    @fatumamohammed4226 4 года назад +1

    Pole mungu akutie nguvu usikate tamaa mungu yupo pamoja nawe Daah mpaka nimeumia kwa kweli.

  • @dicksonjames1096
    @dicksonjames1096 4 года назад +306

    Kama machozi ya huyu mzee yamekugusa kama mimi tujuane

    • @rahmahrahmah6683
      @rahmahrahmah6683 4 года назад +1

      Atakutetea In sha Allah nimtetezi má sha Allah

    • @androydthegully6390
      @androydthegully6390 4 года назад +2

      Binaadamu sio watu

    • @jacoblukumay472
      @jacoblukumay472 4 года назад +3

      Kweli kuna miungu watu humu duniani? Mzee anatoa machozi kabisa Raisi tunaomba msikie baba huyu

    • @jacoblukumay472
      @jacoblukumay472 4 года назад

      Inauma sana! Kuna viongozi wanatesa wanyonge kama hao. Wakati rais anahangaika kutatua kero za wanyonge huku wengine waliopewa nafasi wanafanya kinyume. Hivi Huyu Rais atashika lipi aache lipi? Viongoz wanapewa nafasi ya kumsaidia lkn mkishakalia kiti mnakuwa Mbogo Taifa halijengwi na kiongozi mmoja bali na viongozi wote na wananchi Wa Taifa husika. Ahsante Millard Ayo kwa kumulika Jamii na kutupa picha kamili iliyoko kwenye jamii yetu

    • @jacoblukumay472
      @jacoblukumay472 4 года назад +1

      Ayo TV Mungu awazidishie wafanyakazi wote mnapambana sana kutuhabarisha

  • @athumanimvula3718
    @athumanimvula3718 4 года назад +10

    Allah akbar, mwenyezimungu akupe subra,na akufanyie wepesi upata hitajio lako inshaAllah.

  • @bonithamhagama7217
    @bonithamhagama7217 4 года назад +28

    Duuuh! Maisha haya jamani mungu yupo amsaidie baba huyu like my father at

  • @aminaabdiabdi7112
    @aminaabdiabdi7112 4 года назад +1

    Ooh my God am feel so painful.😥😥😥 Dhulma ya Allaah msaidie hyu mzee wa watu ameniliza pia mimi

  • @adventurekaskazini2238
    @adventurekaskazini2238 4 года назад +8

    Kama machezo ya huyuu mzee hayatamuacha mtu salama Gonga like tujuane

  • @abubakarhassan1915
    @abubakarhassan1915 4 года назад +1

    Mh raisi huyo masai anatia huluma sana mpaka machozi kunitililika kana kwamba mimi ndo mwenye hao ng'ombe hebu chunguza hilo jambo lake uone ukweli wake ukowapi ujue namna ya kumusaidia .mh raisi tunakupenda sana sisi wananchi wako .kutokana na utendaji mzuri unao unaofanya juu ya nchi yako. We love you baba.

  • @bintiiddy7043
    @bintiiddy7043 4 года назад +20

    😭😭😭😭Masikin pole sana baba Mungu akufanyie wepes

  • @israelimunuo3538
    @israelimunuo3538 4 года назад

    Naamin kwa jinsi raisi wetu asivyopenda vitu vya kona kona, kwenye hili hatamwacha mtu salama! Natamani kujua mwisho wake! Hongera Ayotv

  • @madamloveness7274
    @madamloveness7274 4 года назад +48

    Nimelia kwasababu nimefeel Kama baba angu 😭😭😭😭😭😭😭 ,pole Sana .

    • @foncetec
      @foncetec 4 года назад +1

      Daaaaah pole

    • @victoriabayo7704
      @victoriabayo7704 4 года назад +2

      Pole sana ndugu yangu jamani mimi huyu amenigusa kwani mimi pia mtoto wa mfugaji ombi langu serikali imsaidie huyu mzee

    • @lamecknkila3291
      @lamecknkila3291 4 года назад

      upendo Enock Duuuh kweli

    • @jacksonmesaya3145
      @jacksonmesaya3145 4 года назад

      upendo Enock vip mama

    • @madamloveness7274
      @madamloveness7274 4 года назад +1

      @@jacksonmesaya3145 salama

  • @alirashid3239
    @alirashid3239 4 года назад

    Mzee wangu mm ni muislamu ww ni mkristo lakini licha yakuwa na tofauti ya ya dini ila hili limenigusa.na kwenye maandiko ya mtume wetu muhammad (s.a.w) yanasema duwa yamwenye kudhulumiwa hairudi hata kama nikafiri.mwisho wa kunukuu.pole sana mzee ninakuonea huruma mzee wallahi ninatamani niwe kiondozi leo nikusaidie ila ninahakika raisi wetu nimsikivu lazima atatenda haki raisi wawote raisi wawanyonge pole baba nimeguswa na Allah atakusaidia utapata haki yako ww na wenzako imeandikwa kwenye qur'aan tukufu ya kwamba ""baada ya dhiki faraja"" pole baba ww nimfano wa baba yangu kwaumri ulio nao ninakutaki mwisho mwema wa kesi na Allah yuko pamoja naww na wenzako kwa ujumla haki itatendeka aamin.

  • @gmdecoration6044
    @gmdecoration6044 4 года назад +1

    Yupo mungu ndugu yangu ukijiuwa utapoteza hakizako na utakuwa umemkosea mungu mungu anaenda kuku fungulia milango mingi ndugu yangu mpaka utashangaa mwisho waakilizetu mungu anaanzia hapo

  • @shamimushittindi1418
    @shamimushittindi1418 4 года назад +53

    Sijawahi ona masai analia kwanza hawajuagi uwongo jamani nimesikia uchungu

    • @blandinamnyinga8318
      @blandinamnyinga8318 4 года назад +1

      Yaani mbele ya ng'ombe lazima Alie Bora hata angekuwa mtoto labda asingelia hayo machozi.

    • @amosikabalata6381
      @amosikabalata6381 4 года назад +1

      For sure dada hii imewagusa wengi, na sisi wafugaji tunaonelewa Sana! Ng'ombe 311 sii mchezo

    • @godfreymahavile4688
      @godfreymahavile4688 4 года назад +1

      Blandina Mnyinga kweliii kabisa

    • @blandinamnyinga8318
      @blandinamnyinga8318 4 года назад

      @@godfreymahavile4688 yap!!!

    • @blandinamnyinga8318
      @blandinamnyinga8318 4 года назад

      @@amosikabalata6381 poleni Sana moja ya chamamoto za maisha

  • @naomyrunda5244
    @naomyrunda5244 4 года назад +1

    Haya nizaidi ya maumivu.. nimeangalia tu mwenyewe nimejikuta nalia muda wote. . sisi wamasai kitu tunakitegemea Sana Kama msaada wetu Ni ng'ombe kwani ndo chakula, na inayotupatia pesa za matumizi na Ada za shule. Sasa kumdhulumu mtu ng'ombe wake Ni Kama umemchukulia kila kitu chake😭😭 look baba ameachwa adi na wake zake umefika sehemu anawaozesha wanae bila kupenda 😭😭😭 .. pls mamlaka husika tunaomba mtoe sauti kwa hili, inaumiza sana Kama haya Mambo yakiendelea.. ukifkiri kwa upande mwingine unaona kua yawezekana wakawepo wengine wamenyanyashwa Ila nguvu ya kuendesha kesi hawana so wanaamua tu wanyamaze . ..
    Pls Mheshmiwa Rais JP.Maguful naomba utututazame jamii yetu ya wafugaji😭💔💔😭😭

  • @reginaandrew6891
    @reginaandrew6891 4 года назад

    Pole Sana baba Mungu akutie nguvu na akusaidie upate haki yako

  • @marykyusa8212
    @marykyusa8212 4 года назад

    Pole,Mbal na rais hata Mungu kakusikia,msubr akufanyie njia

  • @sadickkinghb126
    @sadickkinghb126 4 года назад

    Magufuli muone baba huyu anavyo teseka na maisha alio nayo sasa naomba msaidie juu ya mifugo yake aipate asante gonga like

  • @deusdebitkowa9657
    @deusdebitkowa9657 4 года назад

    Pole sana Ndugu,pole sana. Rais amekusikia na atakusaidia,pole sana Mtanzania mwezetu,pole sana,Mungu yupo,haki yako utapata,wala usijiue au kujidhuru kwa namna yoyote ile.

  • @ephraimkyando6331
    @ephraimkyando6331 4 года назад +15

    Amaa kweli,mnyonge mnyongeni haki yake mpeni!

  • @rosegrminder5702
    @rosegrminder5702 4 года назад +16

    I felt his pain you all know how hard it's for a simple person in Africa. He sold his kids jesus have mercy. The person responsible for his pain he will have more pain in life. For the cry of children sold and sleeping empty stomach.

  • @blackmamba7553
    @blackmamba7553 4 года назад +33

    Presedent do something😭😭😭

  • @kaeniyahya7536
    @kaeniyahya7536 4 года назад +1

    Yaani, inauma sana tena sana😭 ila Mungu yupo na ataukumu apa apa duniani agheira itapita esabu tu na haki ya mtu ailiki utapata tu aki yako insha Allah dah!

  • @Robust78
    @Robust78 4 года назад

    Pole Sana shujaa pamoja na mahakama kukupa haki bado hukupewa haki. Wamekudanganya Rais wetu haingiliagi maamuzi ya mahakama.

  • @rosaliembarikiwa592
    @rosaliembarikiwa592 4 года назад

    Pole sana ndugu yangu. Mungu akupiganie

  • @mariamfritsi9761
    @mariamfritsi9761 4 года назад +48

    Mheshimiwa Rais Tafadhali hebu Muone huyu Raia wako

    • @lucyshirima7862
      @lucyshirima7862 4 года назад +1

      Mm ninahasira sana

    • @edesmwanakulya6453
      @edesmwanakulya6453 4 года назад

      Kabla ya kumuona Rais awaone vioongozi wa ngazi nyingine kabla ya Rais kwasabsbu wanafanya kazi chini ya Rais pia wameteuliwa na Rais kwenda kumuona Rais kabla ya kuwaona wawakirishi wa Rais ni uchonganishi

    • @kkhalifairumba2932
      @kkhalifairumba2932 4 года назад +5

      @@edesmwanakulya6453 unasema awaone viongozi wengine wakati ameshawamaliza kuwaona hiyo dhulma itaisha lini kwa viongozi Wa cgini wakati wanalipwa mishahara kila mwezi?

    • @simonkaggwanjala9597
      @simonkaggwanjala9597 4 года назад

      Dah wala sio huyu tuu watu wanateseka sana hukoo😥mungu wasaidie hawa watu maana viongoz wetu bongo wanaangalia matumbo yao tuu😔

    • @rowdyrondarouseyfire9476
      @rowdyrondarouseyfire9476 4 года назад

      @@kkhalifairumba2932
      Tena hawa Viongozi wa ngazi za chini ndo wanaotindinganya mambo🤔tena me napendekeza wachapwe viboko maana hawajui wanachafua serikali.

  • @davidkihiga3531
    @davidkihiga3531 4 года назад +24

    jamani mwenye kuweza kumsaidia amfikie raisi , this is painfull

  • @emmanuelmsanga7627
    @emmanuelmsanga7627 4 года назад

    Aisee inauma saana yan unazurumiwa hv hv. Pole sana mzee hao ng'ombe wako watarudi rais wetu hachekag na watu kama hao.

  • @bosslilyg4390
    @bosslilyg4390 4 года назад

    Aisee nimejikuta machozi yananitoka,,....ukiona baba mtu mzima kama huyu anatoa machozi .....aisee nimekosa maneno ya kusema, pole baba Mungu akusaidie.

  • @jenymtafya3430
    @jenymtafya3430 4 года назад +45

    Jamani pole sana mzee, Rais atakusaidia naamini hivyo maana ni mtetezi wa wanyonge

    • @said306nyatu9
      @said306nyatu9 4 года назад +1

      Magufuli. Nakuaminia. Na. Makonda. Mpo wapi. Majaliwa. NawAaminia

    • @said306nyatu9
      @said306nyatu9 4 года назад +1

      Kesi. Imeisha apo mifugo yako utaipata. Raisi wetu. Tunamuaminia

    • @mursalseleman2174
      @mursalseleman2174 4 года назад +1

      @@said306nyatu9 sana sana mtetezi wawanyonge atamsaidia hakika

    • @mariamfritsi9761
      @mariamfritsi9761 4 года назад +1

      Mheshimiwa Tafadhali wewe ndie Baba yetu mtetezi wetu.hebu muone Raia wako hebu mfute machozi yake.

    • @kaeniyahya7536
      @kaeniyahya7536 4 года назад

      Kabisa yaani

  • @salimzaidi9203
    @salimzaidi9203 4 года назад

    Daah pole sana baba mungu akupe wepes rais tuomba usikie kilio cha huyu baba

  • @sellah4603
    @sellah4603 4 года назад +14

    Daaah inauma San
    Rais wetu msaidie uyo ndugu hap wauni wachache wameuza ngombe zake ban
    Leo ndiy maraa ya kwanza kuona Masai mtu mzima analia
    😭😭😭😭😭😭😭😭

    • @sakinat2527
      @sakinat2527 4 года назад

      Yani kweli masai alii bure bure inauma

    • @purple4463
      @purple4463 4 года назад

      @@sakinat2527 Ni kweli kabisa

  • @queensjuma1832
    @queensjuma1832 4 года назад +2

    Dah Masai analiaa aisee,, pole babaangu,, 😭😭😭

  • @chungwenlameck1048
    @chungwenlameck1048 4 года назад +1

    Daaaah Mungu amsaidiee serikari iweze kuingilia Kati swala Hilo mtanzania mwezetu aludishiwe Mali zake

  • @deborahrehema5819
    @deborahrehema5819 4 года назад +4

    Yoh daddy don’t cry 😢 it’s painful God finish them this son of. Babylon put them to shame haki not fair 😢😢😢

  • @jumamaduhu5598
    @jumamaduhu5598 4 года назад

    Pole mzee. Nenda kwa waziri mifungo na uvuvi. Mheshimiwa mpina atakusaindie

  • @ramadhaniyusphu7674
    @ramadhaniyusphu7674 4 года назад

    Pole mzee wangu haki itatendeka umesikikaa

  • @fredrickserafin4510
    @fredrickserafin4510 4 года назад +1

    Usikat tamah mapema bab yang we endel kumlia mungu wako hatakusaid tu usijl mweny mungu hakupe tumain ya kupat ngombe wako rais wetu hatakusikiza na hatakusaidia mim nakuaombe kwa mungu hawez kurudisha family yako na watoto wako huweze kuludi kweny maisha yenu yeny fuhar na aman ombaa mlilie mungu wako 😭😭😭😭😭

  • @rubeniharuna1874
    @rubeniharuna1874 2 года назад

    pole sana mungu tazama haki zawatu hawa watawala hawa wasiojua haki zawatu

  • @libraindavie
    @libraindavie 4 года назад

    waziri fanya kazi yako sio mpaka raisi aangaike!

  • @richardkaijage1557
    @richardkaijage1557 4 года назад

    Dah mpaka na mimi nimelia jamani msaidie huyu mzee haki ya mungu machozi ya huyu mzee hayatowaacha salama

  • @winniefrancis4541
    @winniefrancis4541 4 года назад

    😢😢😢😭😭😭pole baba Mungu ndiye hakimu imeniuma sana na hao watoto jamani 😢😢😢😭😭😭

  • @shubebunyesi542
    @shubebunyesi542 4 года назад

    Moja kati ya wakuu wa mikoa ambao wakomakini wanatekeleza majukumu yao vizuri na kumsaidia Raisi pasipo kumshirikisha au kumsumbua kwa matatizo madogo madogo kama haya mhe AllyAppy tatizo ni kwamba viongozi wengi wana tamaa wanapenda rushwa ,dhuruma Happy anasimama kama mfano

  • @سلمىسيف-غ7خ
    @سلمىسيف-غ7خ 4 года назад

    Mungu yupo na ww Rais wetu akatujibu tu Inshaallaah watanzania wote tupo naww

  • @isasora4846
    @isasora4846 4 года назад

    pole sana mzee.... Kushika Mifugo ya watu kwa muda wote huu sio haki, huyu mzee ameteseka, kulia kwake hadharani ni ushahidi tosha kwamba amepitia mateso mengi. Rais JPM amekusikia

  • @happyluka586
    @happyluka586 4 года назад

    This us more than pain jaman Apewe haki yake ameniliza, ikumbukwe wamasai kula kwao kuendesha familia ni mifugo yao lakin pia Masai ajui kusema uwongo ebu fikir watoto 40 wake sita atawaudumiaje, Mungu atusaidie sana mm ni mgumu wa kulia lakin kwahili nimemshindwa kuvumilia hiv leo akamuua kuvunja chungu walio kula mifugo yake watamezwa wote ile kitu aina mchezo ila Mungu nisamehe maana tayar mm ni mkristo

  • @julianammbaga137
    @julianammbaga137 4 года назад +17

    Mungu uliye hai upo , yaone Haya. Mtendee huyu mwanao ajue upo.

    • @IreneCtz
      @IreneCtz 4 года назад +1

      juliana mmbaga amen

    • @lonsmanempire9627
      @lonsmanempire9627 4 года назад +1

      Amina

    • @khamisfaki4640
      @khamisfaki4640 4 года назад

      Mwnyez mungu hakuzaa wala hakuzaliwa ss hyu masai mtafutien babaake ila ng'ombe zake mrejeshen jaman cry forever

    • @mamymdogomamy3670
      @mamymdogomamy3670 4 года назад

      Mungu hakuza wala Haku zaliwa SURATUL IKHLAS

  • @fredytarimo9107
    @fredytarimo9107 4 года назад

    Poleni sana rais wetu ni msikivu naamini haki itatendeka

  • @wemakalamu3538
    @wemakalamu3538 4 года назад +2

    Subhannallah

  • @kenethnkota6022
    @kenethnkota6022 4 года назад

    Daaaah poleh xnaaaa mzee mungu yupo atakuxaidia

  • @abedichande2497
    @abedichande2497 4 года назад

    Hii inch hii nasema hii inchi mdomo wangu koma lkn hii inchi hii.. Mdyo maana mungu anakuwa mgumu sana kutoa maamuzi kwenye maombi kwa sababu anatujua kabisa miyoni mwetu 🙏

  • @lilatito2816
    @lilatito2816 4 года назад

    Jamani ukiona mzee kalia mbele ya nchi ujue laana zinashuka mwenyezi mungu tusaidie

  • @jackyluns8224
    @jackyluns8224 4 года назад

    Millard nimelia Sana Sana Sana nimepiga magoti hiki kilio cha huyu mlemavu nae ameniwazisha mengi Sana ninavyoomba Rais wetu atayapokea haya maombi ili awatetee hawa wanyonge. Ee baba namuombea RAIS wetu mema ya nchi ili atetee hawa wanyonge Amina

  • @muuhhb4787
    @muuhhb4787 4 года назад

    Daahh..so hurt...nilichokisikia pia kilichoniuma xn 😓😓watoto kuuzwa...halo walioshiriki katik ng'ombe kuwapoteza na kutofany hadilifu mungu anawaona hii ni dunia tu,,,am done😓😓

  • @ronaldmassanga8386
    @ronaldmassanga8386 4 года назад +1

    pole mzee magufuli kasikia

  • @farajalaizer4669
    @farajalaizer4669 4 года назад

    Umejitahidi lalashe kujieleza
    Mungu akusimamie upate haki yako

  • @subirambao5762
    @subirambao5762 4 года назад +4

    Chozi lako halijadondoka bure Baba😭😭 pole sana

  • @ashazaharan1750
    @ashazaharan1750 4 года назад

    Subuhanallah. pole saana mzee wangu.

  • @khadijatonge3636
    @khadijatonge3636 4 года назад +21

    Machoz yamenitoka jaman😭😭

    • @sakinat2527
      @sakinat2527 4 года назад

      Wallah tena amenitoa machozi kweli

  • @masaimediagroup3146
    @masaimediagroup3146 4 года назад

    Kiteto kuna machafu sana rushwa unyanyasaji wa hali ya juu. Ngoja ninyamaze kwanza.
    Pole mzee

  • @felistermbua4703
    @felistermbua4703 4 года назад +1

    Hii haijakaa vizuri imenifanya nimelia ameozesha watoto kisa pesa ya riba dunia huna huruma ww

  • @annekayi273
    @annekayi273 4 года назад

    Oooh my God nilikua nafikiri ni kenya tuu haina haki jameni saidieni mzee aki

  • @elizabethkizota3474
    @elizabethkizota3474 4 года назад

    Pole mzee aisee nimelia daaaa

  • @munaaabdillah9097
    @munaaabdillah9097 4 года назад +5

    Kiteto home kbs ❤️pole mzee raisi atakusaidia inshaalah

  • @kassimomar7589
    @kassimomar7589 4 года назад +1

    Ukitak ujuwe kama viongozi wetu wengi ni madhalim ona vitu kama hvi

  • @shabanbetram7698
    @shabanbetram7698 4 года назад +2

    Inasikitisha sana yaa sisi kwa sisi tuna nyanyasana kwasababu ya vyeo vyeo ambavyo wanyanyaswaji ndio tuliowaweka mungu atunusuru

  • @rhodatoroka2627
    @rhodatoroka2627 4 года назад

    Mungu akupiganie babaangu

  • @madamchecked6416
    @madamchecked6416 4 года назад

    Mungu musaidie huyu Baba ! Kiukweli nimeumia Sana naona kama vile nimetendewa mimi

  • @barakamollel2109
    @barakamollel2109 4 года назад

    Sad sad sad....uonevu huu na unyanyasaji huu...hakika hakika...Kama Mungu aishivyo....

  • @CoachYusuphMagige
    @CoachYusuphMagige 4 года назад

    Pole sana naamini suala hili wahusika wameliona na wanalifanyia Kazi. Msaidieni huyu Mzee maana haki ipo upande wake kulingana na hukumu zote zilizotolewa

  • @elisulle1478
    @elisulle1478 4 года назад

    Hii kitu inauma sana pia inatia sana uchungu mkumwa sana Mungu mtie nguvu aweze pata haki yake na aweze kurudi katika maisha yake ya sikuzote

  • @salumkhamis7818
    @salumkhamis7818 4 года назад

    Inauma sana kuna watu wanatumia nafas walizopewa kuumiza wanyonge kutoka ng'ombe 300 mpaka 0 pole sana mzee

  • @neemamaisely308
    @neemamaisely308 4 года назад

    😢😢😢😢😢😢😢inaumiza sanaaa Mungu atakuonekania baba yangu

  • @petermende5153
    @petermende5153 4 года назад +1

    Kilio cha mtu mzima ujue kina jambo. ..Pole sana baba Mungu atakupgnia ..Rais usichoke kuwatetea wanyonge

  • @emmykiwelu6932
    @emmykiwelu6932 4 года назад +8

    so painfully it hit me like ooh those tears.... jmn kuoza watoto apate hela😭😭😭😭

  • @iFly-t9b
    @iFly-t9b 4 года назад +6

    maskin huyu mzee mungu amsimamie, nchi hii dhulma imetawala, binaadam wamekosa imani

  • @danielmtena9167
    @danielmtena9167 4 года назад

    Millard barikiwa sana

  • @zubemiloneamohamedizahera6231
    @zubemiloneamohamedizahera6231 4 года назад

    Pole sana mzee wangu

  • @husnarams3698
    @husnarams3698 4 года назад

    Pole San baba uaijali Allah yu pamoja na wew na jembe ataku kusaidia

  • @faridamkesso97
    @faridamkesso97 4 года назад +13

    Imeniuma sana 😭😭😭😭

  • @roseuwambe8089
    @roseuwambe8089 4 года назад

    Kesi imeisha iyo baba yamaza kulia atakusaidia magu ni jembe awezi kukuacha mungu akutie nguvu katika hili🙏🙏🙏

  • @rowdyrondarouseyfire9476
    @rowdyrondarouseyfire9476 4 года назад +29

    Nahisi kama hyu ni my really father...i feel painful in my heart. 😂😂😂😂😂

    • @niaanthony9588
      @niaanthony9588 4 года назад +2

      Sasa unacheka nini nijambo la kucheka hilo?? Km kweli umeumia hebu jaribuni kutumia emoji zenu vinzuri

    • @Siasia209
      @Siasia209 4 года назад +1

      @@niaanthony9588 nahis hajaelewa maana ya iyo emoj ndiomaana wengi huzichanganya

    • @masungasitta2058
      @masungasitta2058 4 года назад

      kwakweli hiikazi

    • @purple4463
      @purple4463 4 года назад

      @@niaanthony9588 Huyu kweli hafahamu hizi emoji.

    • @zakyahya4645
      @zakyahya4645 4 года назад

      @@Siasia209 mpuuzi uyu a nacheka nini

  • @RomwardWM
    @RomwardWM 4 года назад

    Duniani kumjaa dhuruma .. haki ipo kwa Mungu tu kikubwa usikate tamaa mzee wangu.... Usifikirie kukatisha maisha yako kisa tu mali wamekunyanganya ..ipo siku utapata zaidi ya hao ng'ombe wako.

  • @beautywithnay5974
    @beautywithnay5974 4 года назад

    Watoto 42 duh 🙄🙄🙄🙄🙄 ila pole Sana mzee wangu mungu atakulipia jmn

  • @dottomakanyanga5214
    @dottomakanyanga5214 4 года назад +23

    Hivi huyu rais si anawasaidizi jaman mbona wanampa mzigo mawazir wako wapi

  • @mucomwizaruqaiyah4064
    @mucomwizaruqaiyah4064 4 года назад

    Mungu akupiganiye inauma

  • @hadijaangura6572
    @hadijaangura6572 4 года назад +3

    duh mtu mzima yuwalia kwa uchungu 😢😢inshallah nguvu yko utaipata

  • @devothaignatus5911
    @devothaignatus5911 4 года назад

    Dah mungu mkumbuke uyu mzee anateseka sana atakufa kabla ya mda wake jmn dah hivi kwann watu kma mashetan??

  • @nasrakhamis6430
    @nasrakhamis6430 4 года назад

    Mungu yupo atakufanyia wepesi

  • @nicholausmushi44
    @nicholausmushi44 4 года назад

    Pole sana Mzee Mungu atakutetea

  • @joshuasamson4174
    @joshuasamson4174 4 года назад

    Yesu wangu kuitoa hiyo

  • @machumurobert2754
    @machumurobert2754 4 года назад

    Daa! Uongozi ni kazi ngumu sana.

  • @queenmaya8022
    @queenmaya8022 4 года назад +14

    Mpeni ngo'mbe wake jaman ongopen dhuruma, 🙄 MUNGU AWE MSIMAMIZI WAKO IN SHALLAH

  • @purple4463
    @purple4463 4 года назад

    OOh, pole sana mzee. Jameni mzee huyu asaidiwe kupata ngombe zake. Naumwa sana nikimuona huyu mzee akilia machozi. Kweli anaumwa zaidi.

  • @Jordan_g9
    @Jordan_g9 4 года назад

    Duh😥nimeumia Sana kumuona mtu mzima kama huyu akidhurumiwa mali yake mpk inafikia kuwauza wanae ili alipe madeni😫😭😭 rais wa wanyonge hebu fanya kitu mana hii imeniuma mpk nikatamani Mimi ndoningekuwa baba magufuli ili niwaoneshe hawa watu wanaotumia vyeo vyao kuwanyanyasa wananchi wasio na hatia

  • @fundimudy6325
    @fundimudy6325 4 года назад

    Daa inauma sana pole sana ndugu zetuuu

  • @rogegamongateko3725
    @rogegamongateko3725 4 года назад

    Pole sana mzee ni tumaini langu haki yako utaipata.

  • @tedymwandara5480
    @tedymwandara5480 4 года назад

    Kumuona baba km huyu analia ni maumivu yaliyopitiliza,jamani waziri wa mifugo msikie huyu baba.Wote tulio comment humu tukumbuke kumuombea huyu baba, kwa maombi ya wote sisi Mwenyezi Mungu ameshasikia tayari.Jipe moyo baba,Mwenyezi Mungu alijua unaweza vuka hili jaribu na hakika umeshavuka.

  • @neemamkami2029
    @neemamkami2029 4 года назад

    😭😭😭😭pole sanaa ila haki ya mtu haipotei muombe mungu utapata haki yako 😭

  • @saimonmwansile6101
    @saimonmwansile6101 4 года назад

    Pole kwake mhusika!Lkn MTU wa kufuatilia hili kwa karbu ni mbunge kama naye kashindwa atakuwa ni mzigo!Pia kuna ngazi kadhaa b4 kwa Rais, mahakama zinapotoa hukumu ofisi za wakuu wa Wilaya zina mandate ya kutoa order ya m2 fulani kulipwa ama kukamatwa kwa mali hivyo ni vema angepitia level hizo!

  • @happyjustine3364
    @happyjustine3364 4 года назад

    Inatia uchung jamn Mungu amsaidie hy bab jaman