Inauma sana! Kuna viongozi wanatesa wanyonge kama hao. Wakati rais anahangaika kutatua kero za wanyonge huku wengine waliopewa nafasi wanafanya kinyume. Hivi Huyu Rais atashika lipi aache lipi? Viongoz wanapewa nafasi ya kumsaidia lkn mkishakalia kiti mnakuwa Mbogo Taifa halijengwi na kiongozi mmoja bali na viongozi wote na wananchi Wa Taifa husika. Ahsante Millard Ayo kwa kumulika Jamii na kutupa picha kamili iliyoko kwenye jamii yetu
Mzee wangu mm ni muislamu ww ni mkristo lakini licha yakuwa na tofauti ya ya dini ila hili limenigusa.na kwenye maandiko ya mtume wetu muhammad (s.a.w) yanasema duwa yamwenye kudhulumiwa hairudi hata kama nikafiri.mwisho wa kunukuu.pole sana mzee ninakuonea huruma mzee wallahi ninatamani niwe kiondozi leo nikusaidie ila ninahakika raisi wetu nimsikivu lazima atatenda haki raisi wawote raisi wawanyonge pole baba nimeguswa na Allah atakusaidia utapata haki yako ww na wenzako imeandikwa kwenye qur'aan tukufu ya kwamba ""baada ya dhiki faraja"" pole baba ww nimfano wa baba yangu kwaumri ulio nao ninakutaki mwisho mwema wa kesi na Allah yuko pamoja naww na wenzako kwa ujumla haki itatendeka aamin.
Pole sana Ndugu,pole sana. Rais amekusikia na atakusaidia,pole sana Mtanzania mwezetu,pole sana,Mungu yupo,haki yako utapata,wala usijiue au kujidhuru kwa namna yoyote ile.
Haya nizaidi ya maumivu.. nimeangalia tu mwenyewe nimejikuta nalia muda wote. . sisi wamasai kitu tunakitegemea Sana Kama msaada wetu Ni ng'ombe kwani ndo chakula, na inayotupatia pesa za matumizi na Ada za shule. Sasa kumdhulumu mtu ng'ombe wake Ni Kama umemchukulia kila kitu chake😭😭 look baba ameachwa adi na wake zake umefika sehemu anawaozesha wanae bila kupenda 😭😭😭 .. pls mamlaka husika tunaomba mtoe sauti kwa hili, inaumiza sana Kama haya Mambo yakiendelea.. ukifkiri kwa upande mwingine unaona kua yawezekana wakawepo wengine wamenyanyashwa Ila nguvu ya kuendesha kesi hawana so wanaamua tu wanyamaze . .. Pls Mheshmiwa Rais JP.Maguful naomba utututazame jamii yetu ya wafugaji😭💔💔😭😭
This us more than pain jaman Apewe haki yake ameniliza, ikumbukwe wamasai kula kwao kuendesha familia ni mifugo yao lakin pia Masai ajui kusema uwongo ebu fikir watoto 40 wake sita atawaudumiaje, Mungu atusaidie sana mm ni mgumu wa kulia lakin kwahili nimemshindwa kuvumilia hiv leo akamuua kuvunja chungu walio kula mifugo yake watamezwa wote ile kitu aina mchezo ila Mungu nisamehe maana tayar mm ni mkristo
pole sana mzee.... Kushika Mifugo ya watu kwa muda wote huu sio haki, huyu mzee ameteseka, kulia kwake hadharani ni ushahidi tosha kwamba amepitia mateso mengi. Rais JPM amekusikia
Duh😥nimeumia Sana kumuona mtu mzima kama huyu akidhurumiwa mali yake mpk inafikia kuwauza wanae ili alipe madeni😫😭😭 rais wa wanyonge hebu fanya kitu mana hii imeniuma mpk nikatamani Mimi ndoningekuwa baba magufuli ili niwaoneshe hawa watu wanaotumia vyeo vyao kuwanyanyasa wananchi wasio na hatia
Kama tz ni mchi yahaki baba raisi jon pombe magufuli tunakuomba tunakuomba watanzania msaidie huyo mfugaji kwani hii serekali ni ya wanyonge na wewe ni raisi wa wanyonge😭😭🙏🙏
Kabla ya kumuona Rais awaone vioongozi wa ngazi nyingine kabla ya Rais kwasabsbu wanafanya kazi chini ya Rais pia wameteuliwa na Rais kwenda kumuona Rais kabla ya kuwaona wawakirishi wa Rais ni uchonganishi
@@edesmwanakulya6453 unasema awaone viongozi wengine wakati ameshawamaliza kuwaona hiyo dhulma itaisha lini kwa viongozi Wa cgini wakati wanalipwa mishahara kila mwezi?
@@kkhalifairumba2932 Tena hawa Viongozi wa ngazi za chini ndo wanaotindinganya mambo🤔tena me napendekeza wachapwe viboko maana hawajui wanachafua serikali.
Mh raisi huyo masai anatia huluma sana mpaka machozi kunitililika kana kwamba mimi ndo mwenye hao ng'ombe hebu chunguza hilo jambo lake uone ukweli wake ukowapi ujue namna ya kumusaidia .mh raisi tunakupenda sana sisi wananchi wako .kutokana na utendaji mzuri unao unaofanya juu ya nchi yako. We love you baba.
I felt his pain you all know how hard it's for a simple person in Africa. He sold his kids jesus have mercy. The person responsible for his pain he will have more pain in life. For the cry of children sold and sleeping empty stomach.
Acha mkome. Rais alikutuma uachie ng'ombe ki holela? Wafugaji wajeuri Sana. Wana tabia zinazo fanana. Hadi mashamba ya watu wanachungia kwa nguvu wakati mwingine wanachungia usiku ukiamka unakutana na udongo mwekundu Hakuna mazao. Machozi ya mamba mzee
Daaàaa inauma sn ngombe 310 amepata ngombe 149 inauma kwakweli nyie mliochin ya rais achen kunyanyasa wanyonge na kumtupia mzigo rais wetu fanyen Kaz kwa uwadilif na mungu anawaonaa🙆🏼♀️🙆🏼♀️🙆🏼♀️
Ng'ombe 311 zimebaka 195....hizo zingine zimekwenda wapi?ni wafungwa magerezani wanakula ama?😓nimejaribu tu kwaza kwa sauti...halafu hizo ni 🐂jamani sio🐔kwamba kila mtu anauwezo wa kufuga na kuzimiliki.....mpeni ng'ombe zk!!
Daahh..so hurt...nilichokisikia pia kilichoniuma xn 😓😓watoto kuuzwa...halo walioshiriki katik ng'ombe kuwapoteza na kutofany hadilifu mungu anawaona hii ni dunia tu,,,am done😓😓
Mnaotoa hukumu za kunyonya wafugaji hivi mnajua uchungu wa kuchunga ng'ombe nyie hadi ziwe nyingn hasa kipindi cha masika 😭😭😭😭😭😭😭😭watu wa serikalin msiofata haki mnakera sana
Sasa huyu hadi ng'ombe zinafika 300 hamiliki hata heka 50 za kuchungia ndio shida kufuga kizamani. Pole zake lkn wafugaji wa Tz badilikeni, mna Uwezo hata Mh. Rais aliwaambia kwao kulikuwa na ng'ombe zaidi ya 300 lkn wamezipunguza zimebaki 70
Kumuona baba km huyu analia ni maumivu yaliyopitiliza,jamani waziri wa mifugo msikie huyu baba.Wote tulio comment humu tukumbuke kumuombea huyu baba, kwa maombi ya wote sisi Mwenyezi Mungu ameshasikia tayari.Jipe moyo baba,Mwenyezi Mungu alijua unaweza vuka hili jaribu na hakika umeshavuka.
Pole kwake mhusika!Lkn MTU wa kufuatilia hili kwa karbu ni mbunge kama naye kashindwa atakuwa ni mzigo!Pia kuna ngazi kadhaa b4 kwa Rais, mahakama zinapotoa hukumu ofisi za wakuu wa Wilaya zina mandate ya kutoa order ya m2 fulani kulipwa ama kukamatwa kwa mali hivyo ni vema angepitia level hizo!
Aisee nimejikuta machozi yananitoka,,....ukiona baba mtu mzima kama huyu anatoa machozi .....aisee nimekosa maneno ya kusema, pole baba Mungu akusaidie.
HIV kweli na mbunge unasaport dhuruma??wewe ni muwakilishi wa wananchi badala utetee masilahi ya wananchi wewe ndo unakuwa mwizi wa wananch.kilaza mkubwa Wewe pumbavu kabisa.
Kusema ukweli kama nisehemu mizizi ya rushwa imeota basi ni kiteto. Mimi ni mzaliwa wakiteto Lakini tangu nianze kujitambua kama mtu mzima nimeshuhudia madudu mengi yani kila sekta rushwa imetawala na viongozi wengu wanatuchukulia kama fursa hamna haki kabisa kiteto😷😂😂😂😂😂
Aisee, tatizo kubwa lililopo kwenye nchi mbali na sheria zilizopo ni kwamba watendaji wengi ambao wapo chini ya Raisi wengi wamejaa dhuluma za hali ya juu, yan Rais anamajukumu mengi hawezi akafanya close supervision kila mahali hivyo ilitakiwa wasaidizi wake wamsaidie. Yan dah nchi hii umasikini umejaa viongozi na tamaa pia
Ndio maana toka nizaliwe sijawahi kukutana na waziri ye yote au MTU ye yote aliyeteuliwa na Rais nikamwita Mheshimiwa.Kwa sababu ya mambo kama haya.Uongozi wote upo lakini wameshindwa kumsaidia mpaka anauza watoto.Rais wetu, ukiwasaidia hawa wafugaji,utakuwa umeisaidia Tanzania.
Hizo ni dhulma za kifara-fara. Mpeni mzee wa watu ng'ombe zake. Msilete ufara. Utajiri hauji kiuni uni tena mnatumia jina la Amir jeshi!!! Dk Magu! Mmeishaaaaa!!! Someni alama za nyakati mbwa nyie.
Duniani kumjaa dhuruma .. haki ipo kwa Mungu tu kikubwa usikate tamaa mzee wangu.... Usifikirie kukatisha maisha yako kisa tu mali wamekunyanganya ..ipo siku utapata zaidi ya hao ng'ombe wako.
Ngombe 300 embu piga hesabu ungeuza bei ya hasara ata kwa laki laki ungekuwa na mil 30 saivi ungeenda kufungua biashara pale kariakoo ungedhalisha hiyo hela na ungeacha kusumbua na serikali kuhusu malisho...Dunia ya ajabu sana unakuta masai anagombe 300 alafu watoto wake wanaishi kwenye nyumba ya tembe na hawajasoma hawa watu wanatakiwa waelimishwe waache kufanya kwa utamaduni badala yake wafanye kwa biashara
Moja kati ya wakuu wa mikoa ambao wakomakini wanatekeleza majukumu yao vizuri na kumsaidia Raisi pasipo kumshirikisha au kumsumbua kwa matatizo madogo madogo kama haya mhe AllyAppy tatizo ni kwamba viongozi wengi wana tamaa wanapenda rushwa ,dhuruma Happy anasimama kama mfano
Millard nimelia Sana Sana Sana nimepiga magoti hiki kilio cha huyu mlemavu nae ameniwazisha mengi Sana ninavyoomba Rais wetu atayapokea haya maombi ili awatetee hawa wanyonge. Ee baba namuombea RAIS wetu mema ya nchi ili atetee hawa wanyonge Amina
Watu wabaya njo wanatuleteya Corona.pole sana usinywe sumu kwasababu ya wanadamu wewe zidi kumuomba Mungu ipo siku walio kuzulumu watajikuta wako matatani.🙏
Watumishi wachache wa namna hii ndio wanao sababisha wananchi waliowengi wanyonge kuichukia serikali iliyopo madarakani. Na wakuu wengi huko juu hawajui haya yanayotokea huku kwenye maisha yakawaida. Hilo chozi ni baya sana kibinadam
Mumtumee wangu watot 46 wake 6 mzee maguu muinee huluma huyu baba ameozesha watot bado wadog magufuli mtetez wa wanyonge msaidie jamani hii nilaan kubwa saan akijiuwa kisa tamko lako
Yaani hapa ndo tunaona kuwa Rais ana kazi kubwa bado, atafanya mangapi sasa jamani, wasaidizi wake bado wanaishi na kutenda yale yale ya kale, hawataki kubadilika. Mahakama inaonekana imeamua kwa haki kuwa arudishiwe mifugo yake, sasa hao manyang'au wanaomzungusha washughulikiwe na Rais tu, hakuna namna.
Machozi yame nitoka kwakweli hii ndio Tanzania jamani mtu anatafuta mali kwa nguvu zake maskini lakini kuna watu wachache wame jificha kwenye kivuri cha serikali kwa ajili ya dhuruma hakika Mungu atasimama na ww atakulipia hapahapa duniani
Father John raisi wa Tanzania najua unaona pamoja na hali ngum unayo pitia juu ya Tanzania na watuwake pamoja na matatizo mbali mbali ya family pia napenda kusema pole na majukum lakini hombi langu mtuhuyu asaidiwe kunashida sana juu ya watuhawa kwani wanaonewa sana mimi ua natembea sana vijiji mbalimbali naona uanasikia uchungu lakini kwahili lililo jitokeza naomba, mkono wako uudike kutoa msaada ua naumia sana juu ya watendaji waselikali nazani awajui raikwao ninani.
Yaaan taabu ya kufuga ng'ombe mpaka wafikee 311 afuu wanapotea kijanja janja tuu?mungu akutie nguvuu na mheshimiwa amekusikiaa atalifanyia kazi bila shakaa ilaa mkuu wa mkoa anatosha kabsaa kutolea majibu
Kama machozi ya huyu mzee yamekugusa kama mimi tujuane
Atakutetea In sha Allah nimtetezi má sha Allah
Binaadamu sio watu
Kweli kuna miungu watu humu duniani? Mzee anatoa machozi kabisa Raisi tunaomba msikie baba huyu
Inauma sana! Kuna viongozi wanatesa wanyonge kama hao. Wakati rais anahangaika kutatua kero za wanyonge huku wengine waliopewa nafasi wanafanya kinyume. Hivi Huyu Rais atashika lipi aache lipi? Viongoz wanapewa nafasi ya kumsaidia lkn mkishakalia kiti mnakuwa Mbogo Taifa halijengwi na kiongozi mmoja bali na viongozi wote na wananchi Wa Taifa husika. Ahsante Millard Ayo kwa kumulika Jamii na kutupa picha kamili iliyoko kwenye jamii yetu
Ayo TV Mungu awazidishie wafanyakazi wote mnapambana sana kutuhabarisha
Sijawahi ona masai analia kwanza hawajuagi uwongo jamani nimesikia uchungu
Yaani mbele ya ng'ombe lazima Alie Bora hata angekuwa mtoto labda asingelia hayo machozi.
For sure dada hii imewagusa wengi, na sisi wafugaji tunaonelewa Sana! Ng'ombe 311 sii mchezo
Blandina Mnyinga kweliii kabisa
@@godfreymahavile4688 yap!!!
@@amosikabalata6381 poleni Sana moja ya chamamoto za maisha
Subhannallah
Ooh my God am feel so painful.😥😥😥 Dhulma ya Allaah msaidie hyu mzee wa watu ameniliza pia mimi
Mzee wangu mm ni muislamu ww ni mkristo lakini licha yakuwa na tofauti ya ya dini ila hili limenigusa.na kwenye maandiko ya mtume wetu muhammad (s.a.w) yanasema duwa yamwenye kudhulumiwa hairudi hata kama nikafiri.mwisho wa kunukuu.pole sana mzee ninakuonea huruma mzee wallahi ninatamani niwe kiondozi leo nikusaidie ila ninahakika raisi wetu nimsikivu lazima atatenda haki raisi wawote raisi wawanyonge pole baba nimeguswa na Allah atakusaidia utapata haki yako ww na wenzako imeandikwa kwenye qur'aan tukufu ya kwamba ""baada ya dhiki faraja"" pole baba ww nimfano wa baba yangu kwaumri ulio nao ninakutaki mwisho mwema wa kesi na Allah yuko pamoja naww na wenzako kwa ujumla haki itatendeka aamin.
Pole sana Ndugu,pole sana. Rais amekusikia na atakusaidia,pole sana Mtanzania mwezetu,pole sana,Mungu yupo,haki yako utapata,wala usijiue au kujidhuru kwa namna yoyote ile.
Mungu uliye hai upo , yaone Haya. Mtendee huyu mwanao ajue upo.
juliana mmbaga amen
Amina
Mwnyez mungu hakuzaa wala hakuzaliwa ss hyu masai mtafutien babaake ila ng'ombe zake mrejeshen jaman cry forever
Mungu hakuza wala Haku zaliwa SURATUL IKHLAS
Dah Masai analiaa aisee,, pole babaangu,, 😭😭😭
Daah pole sana baba mungu akupe wepes rais tuomba usikie kilio cha huyu baba
Haya nizaidi ya maumivu.. nimeangalia tu mwenyewe nimejikuta nalia muda wote. . sisi wamasai kitu tunakitegemea Sana Kama msaada wetu Ni ng'ombe kwani ndo chakula, na inayotupatia pesa za matumizi na Ada za shule. Sasa kumdhulumu mtu ng'ombe wake Ni Kama umemchukulia kila kitu chake😭😭 look baba ameachwa adi na wake zake umefika sehemu anawaozesha wanae bila kupenda 😭😭😭 .. pls mamlaka husika tunaomba mtoe sauti kwa hili, inaumiza sana Kama haya Mambo yakiendelea.. ukifkiri kwa upande mwingine unaona kua yawezekana wakawepo wengine wamenyanyashwa Ila nguvu ya kuendesha kesi hawana so wanaamua tu wanyamaze . ..
Pls Mheshmiwa Rais JP.Maguful naomba utututazame jamii yetu ya wafugaji😭💔💔😭😭
Umejitahidi lalashe kujieleza
Mungu akusimamie upate haki yako
This us more than pain jaman Apewe haki yake ameniliza, ikumbukwe wamasai kula kwao kuendesha familia ni mifugo yao lakin pia Masai ajui kusema uwongo ebu fikir watoto 40 wake sita atawaudumiaje, Mungu atusaidie sana mm ni mgumu wa kulia lakin kwahili nimemshindwa kuvumilia hiv leo akamuua kuvunja chungu walio kula mifugo yake watamezwa wote ile kitu aina mchezo ila Mungu nisamehe maana tayar mm ni mkristo
pole sana mzee.... Kushika Mifugo ya watu kwa muda wote huu sio haki, huyu mzee ameteseka, kulia kwake hadharani ni ushahidi tosha kwamba amepitia mateso mengi. Rais JPM amekusikia
Mpeni ngo'mbe wake jaman ongopen dhuruma, 🙄 MUNGU AWE MSIMAMIZI WAKO IN SHALLAH
Mambo
Dah mpaka na mimi nimelia jamani msaidie huyu mzee haki ya mungu machozi ya huyu mzee hayatowaacha salama
Naamin kwa jinsi raisi wetu asivyopenda vitu vya kona kona, kwenye hili hatamwacha mtu salama! Natamani kujua mwisho wake! Hongera Ayotv
Kiteto home kbs ❤️pole mzee raisi atakusaidia inshaalah
Hii kitu inauma sana pia inatia sana uchungu mkumwa sana Mungu mtie nguvu aweze pata haki yake na aweze kurudi katika maisha yake ya sikuzote
Aseee hv wazir wa mifugo yupo au kafa au yupo karantin msaidien mzeee
OOh, pole sana mzee. Jameni mzee huyu asaidiwe kupata ngombe zake. Naumwa sana nikimuona huyu mzee akilia machozi. Kweli anaumwa zaidi.
Pole Sana mungu atalipa
Kwann watu wapo hivi dunian hawan huruma jmn
Aki ya Mungu
Aiseee mpni ng'ombe wake yaan mmekula mpka wamebki hao na bado mnae ndelea kula....Mungu awalaani wote mnaozulumu
Mwanaume akilia ujue limemfika magufuli baba msaidie raia wako
Hao wahusika kazi wanayo kwa ninavyomjua President wetu
Millard ayo ubarikiwe kwa kutuletea mambo muhimu kama haya ramadhan kareem but inauma kwa kweli 😭😭😭
Pole Sana baba
Duh😥nimeumia Sana kumuona mtu mzima kama huyu akidhurumiwa mali yake mpk inafikia kuwauza wanae ili alipe madeni😫😭😭 rais wa wanyonge hebu fanya kitu mana hii imeniuma mpk nikatamani Mimi ndoningekuwa baba magufuli ili niwaoneshe hawa watu wanaotumia vyeo vyao kuwanyanyasa wananchi wasio na hatia
Huu ni mnyororo mrefu sana zulma haweizi kwasha tanzania kama hatuja ng,oa mashina yote
Kama tz ni mchi yahaki baba raisi jon pombe magufuli tunakuomba tunakuomba watanzania msaidie huyo mfugaji kwani hii serekali ni ya wanyonge na wewe ni raisi wa wanyonge😭😭🙏🙏
Raisi wetu kwahiari yako msikilize huyu
Pole San baba uaijali Allah yu pamoja na wew na jembe ataku kusaidia
Machozi yam2 mzima yakidondoka kunam2 haachwi salama 😭
Nimependa kasura kako njoo nkuwowe
Mpk nmelia jmny kwnn wanafany iv ngombe zte izo jmny hawajarudisha hata moja jmny 😭😭😭😭😭😔😔
haya machozi yana gharama sana mungu amekusikia malipo duniani
Umeonewa ndugu yetu ninaamini mh. rais wetu atakusaidia
Mh Raisi Wangu baba yangu msaidie uyoo mzee
Duuuh! Maisha haya jamani mungu yupo amsaidie baba huyu like my father at
Mheshimiwa Rais Tafadhali hebu Muone huyu Raia wako
Mm ninahasira sana
Kabla ya kumuona Rais awaone vioongozi wa ngazi nyingine kabla ya Rais kwasabsbu wanafanya kazi chini ya Rais pia wameteuliwa na Rais kwenda kumuona Rais kabla ya kuwaona wawakirishi wa Rais ni uchonganishi
@@edesmwanakulya6453 unasema awaone viongozi wengine wakati ameshawamaliza kuwaona hiyo dhulma itaisha lini kwa viongozi Wa cgini wakati wanalipwa mishahara kila mwezi?
Dah wala sio huyu tuu watu wanateseka sana hukoo😥mungu wasaidie hawa watu maana viongoz wetu bongo wanaangalia matumbo yao tuu😔
@@kkhalifairumba2932
Tena hawa Viongozi wa ngazi za chini ndo wanaotindinganya mambo🤔tena me napendekeza wachapwe viboko maana hawajui wanachafua serikali.
Mh raisi huyo masai anatia huluma sana mpaka machozi kunitililika kana kwamba mimi ndo mwenye hao ng'ombe hebu chunguza hilo jambo lake uone ukweli wake ukowapi ujue namna ya kumusaidia .mh raisi tunakupenda sana sisi wananchi wako .kutokana na utendaji mzuri unao unaofanya juu ya nchi yako. We love you baba.
Allah akbar, mwenyezimungu akupe subra,na akufanyie wepesi upata hitajio lako inshaAllah.
Amin
I felt his pain you all know how hard it's for a simple person in Africa. He sold his kids jesus have mercy. The person responsible for his pain he will have more pain in life. For the cry of children sold and sleeping empty stomach.
Rose Grminder ameeeeennn
Nimelia kwasababu nimefeel Kama baba angu 😭😭😭😭😭😭😭 ,pole Sana .
Daaaaah pole
Pole sana ndugu yangu jamani mimi huyu amenigusa kwani mimi pia mtoto wa mfugaji ombi langu serikali imsaidie huyu mzee
upendo Enock Duuuh kweli
upendo Enock vip mama
@@jacksonmesaya3145 salama
Kama machezo ya huyuu mzee hayatamuacha mtu salama Gonga like tujuane
Presedent do something😭😭😭
Inauma aise jamani vp mnakula majasho yawatu nyie viongozi msio nasifa bora kwanini mnaidhalilisha sheria
Idd Sempay g
Hii haijakaa vizuri imenifanya nimelia ameozesha watoto kisa pesa ya riba dunia huna huruma ww
Pole mungu akutie nguvu usikate tamaa mungu yupo pamoja nawe Daah mpaka nimeumia kwa kweli.
Daaah inauma San
Rais wetu msaidie uyo ndugu hap wauni wachache wameuza ngombe zake ban
Leo ndiy maraa ya kwanza kuona Masai mtu mzima analia
😭😭😭😭😭😭😭😭
Yani kweli masai alii bure bure inauma
@@sakinat2527 Ni kweli kabisa
😭😭😭😭Masikin pole sana baba Mungu akufanyie wepes
Amin
jamani mwenye kuweza kumsaidia amfikie raisi , this is painfull
Ukitak ujuwe kama viongozi wetu wengi ni madhalim ona vitu kama hvi
Daaaah Mungu amsaidiee serikari iweze kuingilia Kati swala Hilo mtanzania mwezetu aludishiwe Mali zake
Jamani pole sana mzee, Rais atakusaidia naamini hivyo maana ni mtetezi wa wanyonge
Magufuli. Nakuaminia. Na. Makonda. Mpo wapi. Majaliwa. NawAaminia
Kesi. Imeisha apo mifugo yako utaipata. Raisi wetu. Tunamuaminia
@@said306nyatu9 sana sana mtetezi wawanyonge atamsaidia hakika
Mheshimiwa Tafadhali wewe ndie Baba yetu mtetezi wetu.hebu muone Raia wako hebu mfute machozi yake.
Kabisa yaani
Yoh daddy don’t cry 😢 it’s painful God finish them this son of. Babylon put them to shame haki not fair 😢😢😢
Nahisi kama hyu ni my really father...i feel painful in my heart. 😂😂😂😂😂
Sasa unacheka nini nijambo la kucheka hilo?? Km kweli umeumia hebu jaribuni kutumia emoji zenu vinzuri
@@niaanthony9588 nahis hajaelewa maana ya iyo emoj ndiomaana wengi huzichanganya
kwakweli hiikazi
@@niaanthony9588 Huyu kweli hafahamu hizi emoji.
@@Siasia209 mpuuzi uyu a nacheka nini
Acha mkome. Rais alikutuma uachie ng'ombe ki holela? Wafugaji wajeuri Sana. Wana tabia zinazo fanana. Hadi mashamba ya watu wanachungia kwa nguvu wakati mwingine wanachungia usiku ukiamka unakutana na udongo mwekundu Hakuna mazao. Machozi ya mamba mzee
Nina uhakika hujafikisha miaka 30...u dont know what is life
Acha upumbavu ww. unaropoka usichokijua
Daaàaa inauma sn ngombe 310 amepata ngombe 149 inauma kwakweli nyie mliochin ya rais achen kunyanyasa wanyonge na kumtupia mzigo rais wetu fanyen Kaz kwa uwadilif na mungu anawaonaa🙆🏼♀️🙆🏼♀️🙆🏼♀️
Ng'ombe 311 zimebaka 195....hizo zingine zimekwenda wapi?ni wafungwa magerezani wanakula ama?😓nimejaribu tu kwaza kwa sauti...halafu hizo ni 🐂jamani sio🐔kwamba kila mtu anauwezo wa kufuga na kuzimiliki.....mpeni ng'ombe zk!!
Kuna Viongozi/Watumishi malimbukeni wala hawana hofu ya Mungu.. .... Huyu tumeyaona machozi yake...lakini wapo ambao machozi Yao yanadondokea tumboni.
Daahh..so hurt...nilichokisikia pia kilichoniuma xn 😓😓watoto kuuzwa...halo walioshiriki katik ng'ombe kuwapoteza na kutofany hadilifu mungu anawaona hii ni dunia tu,,,am done😓😓
Mnaotoa hukumu za kunyonya wafugaji hivi mnajua uchungu wa kuchunga ng'ombe nyie hadi ziwe nyingn hasa kipindi cha masika 😭😭😭😭😭😭😭😭watu wa serikalin msiofata haki mnakera sana
Sasa huyu hadi ng'ombe zinafika 300 hamiliki hata heka 50 za kuchungia ndio shida kufuga kizamani. Pole zake lkn wafugaji wa Tz badilikeni, mna Uwezo hata Mh. Rais aliwaambia kwao kulikuwa na ng'ombe zaidi ya 300 lkn wamezipunguza zimebaki 70
Kumuona baba km huyu analia ni maumivu yaliyopitiliza,jamani waziri wa mifugo msikie huyu baba.Wote tulio comment humu tukumbuke kumuombea huyu baba, kwa maombi ya wote sisi Mwenyezi Mungu ameshasikia tayari.Jipe moyo baba,Mwenyezi Mungu alijua unaweza vuka hili jaribu na hakika umeshavuka.
daah mzee wngu pole sana.yaan watu wanaitwa wasomi kumbe usomi wao ndo unafanya RAIA watowe machozi????Oh my GOD. pole mzee
Hii inauma snaaa dhuluma haijengi wahuska mrudishieni mifugo yake😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Amaa kweli,mnyonge mnyongeni haki yake mpeni!
Pole kwake mhusika!Lkn MTU wa kufuatilia hili kwa karbu ni mbunge kama naye kashindwa atakuwa ni mzigo!Pia kuna ngazi kadhaa b4 kwa Rais, mahakama zinapotoa hukumu ofisi za wakuu wa Wilaya zina mandate ya kutoa order ya m2 fulani kulipwa ama kukamatwa kwa mali hivyo ni vema angepitia level hizo!
Aisee nimejikuta machozi yananitoka,,....ukiona baba mtu mzima kama huyu anatoa machozi .....aisee nimekosa maneno ya kusema, pole baba Mungu akusaidie.
HIV kweli na mbunge unasaport dhuruma??wewe ni muwakilishi wa wananchi badala utetee masilahi ya wananchi wewe ndo unakuwa mwizi wa wananch.kilaza mkubwa Wewe pumbavu kabisa.
Machoz yamenitoka jaman😭😭
Wallah tena amenitoa machozi kweli
Kusema ukweli kama nisehemu mizizi ya rushwa imeota basi ni kiteto. Mimi ni mzaliwa wakiteto Lakini tangu nianze kujitambua kama mtu mzima nimeshuhudia madudu mengi yani kila sekta rushwa imetawala na viongozi wengu wanatuchukulia kama fursa hamna haki kabisa kiteto😷😂😂😂😂😂
Aisee, tatizo kubwa lililopo kwenye nchi mbali na sheria zilizopo ni kwamba watendaji wengi ambao wapo chini ya Raisi wengi wamejaa dhuluma za hali ya juu, yan Rais anamajukumu mengi hawezi akafanya close supervision kila mahali hivyo ilitakiwa wasaidizi wake wamsaidie. Yan dah nchi hii umasikini umejaa viongozi na tamaa pia
Ndio maana toka nizaliwe sijawahi kukutana na waziri ye yote au MTU ye yote aliyeteuliwa na Rais nikamwita Mheshimiwa.Kwa sababu ya mambo kama haya.Uongozi wote upo lakini wameshindwa kumsaidia mpaka anauza watoto.Rais wetu, ukiwasaidia hawa wafugaji,utakuwa umeisaidia Tanzania.
Hizo ni dhulma za kifara-fara. Mpeni mzee wa watu ng'ombe zake. Msilete ufara.
Utajiri hauji kiuni uni tena mnatumia jina la Amir jeshi!!! Dk Magu!
Mmeishaaaaa!!!
Someni alama za nyakati mbwa nyie.
Duniani kumjaa dhuruma .. haki ipo kwa Mungu tu kikubwa usikate tamaa mzee wangu.... Usifikirie kukatisha maisha yako kisa tu mali wamekunyanganya ..ipo siku utapata zaidi ya hao ng'ombe wako.
Hii ni dhuluma na ukatili wa hali ya juu...ng'ombe 311 ni utajiri kwake na zilitosha kumtunza ktk uzee huu anaouendea....
Ngombe 300 embu piga hesabu ungeuza bei ya hasara ata kwa laki laki ungekuwa na mil 30 saivi ungeenda kufungua biashara pale kariakoo ungedhalisha hiyo hela na ungeacha kusumbua na serikali kuhusu malisho...Dunia ya ajabu sana unakuta masai anagombe 300 alafu watoto wake wanaishi kwenye nyumba ya tembe na hawajasoma hawa watu wanatakiwa waelimishwe waache kufanya kwa utamaduni badala yake wafanye kwa biashara
Moja kati ya wakuu wa mikoa ambao wakomakini wanatekeleza majukumu yao vizuri na kumsaidia Raisi pasipo kumshirikisha au kumsumbua kwa matatizo madogo madogo kama haya mhe AllyAppy tatizo ni kwamba viongozi wengi wana tamaa wanapenda rushwa ,dhuruma Happy anasimama kama mfano
,mama Samia tuma tanga timu kuchuñguza kuna taasisi mona inawazulumu Sana wañyonge WA mji huu
Millard nimelia Sana Sana Sana nimepiga magoti hiki kilio cha huyu mlemavu nae ameniwazisha mengi Sana ninavyoomba Rais wetu atayapokea haya maombi ili awatetee hawa wanyonge. Ee baba namuombea RAIS wetu mema ya nchi ili atetee hawa wanyonge Amina
Watu wabaya njo wanatuleteya Corona.pole sana usinywe sumu kwasababu ya wanadamu wewe zidi kumuomba Mungu ipo siku walio kuzulumu watajikuta wako matatani.🙏
ee mungu wangu......unausa paka watoto....plz Rais muone uyo mzee😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Watumishi wachache wa namna hii ndio wanao sababisha wananchi waliowengi wanyonge kuichukia serikali iliyopo madarakani. Na wakuu wengi huko juu hawajui haya yanayotokea huku kwenye maisha yakawaida. Hilo chozi ni baya sana kibinadam
Arejeshewe haki yake msidhulumu wanyonge ndio maana afrika hatuendelei kwa kudhulumu raia wake,wachukuliwe hatua za kisheria hao waliomdhulumu
Hivi kila kitu tukimuachia mh rais hawa wanaoteuliwa huwa wanafanya kazi gani? tufanye kazi wateule JPM tumuonee huruma ana mambo mengi jamani
Mumtumee wangu watot 46 wake 6 mzee maguu muinee huluma huyu baba ameozesha watot bado wadog magufuli mtetez wa wanyonge msaidie jamani hii nilaan kubwa saan akijiuwa kisa tamko lako
Hivi huyu rais si anawasaidizi jaman mbona wanampa mzigo mawazir wako wapi
Wakitumbuliwa wanachanganyukiwa
Tunakula ng'ombe unaweza kuta za dhurumaa daaa
Yaani hapa ndo tunaona kuwa Rais ana kazi kubwa bado, atafanya mangapi sasa jamani, wasaidizi wake bado wanaishi na kutenda yale yale ya kale, hawataki kubadilika. Mahakama inaonekana imeamua kwa haki kuwa arudishiwe mifugo yake, sasa hao manyang'au wanaomzungusha washughulikiwe na Rais tu, hakuna namna.
Pleeeeeaaaseeee Mr president please tupo chini ya miguu yako tunaooooombaaa uuuuuuwiiiiii ukasimamie hili pleaaaaseee nimepiga magoti hapa nilipooo please please 10 milion timeeee please,,, inaumaaaaaaaaaaaaa uuwiii jamaniiiii machozi hayaendi bure.
Jamani so kila Mtu mwenye kitambi ana hela wengine wameshiba nyama ya ng'ombe ya dhuruma, magufuli atakusaidia baba utapata haki yako.
What a hell 😡😠😠 Meamia sana yaani mpaka machozi
Machozi yame nitoka kwakweli hii ndio Tanzania jamani mtu anatafuta mali kwa nguvu zake maskini lakini kuna watu wachache wame jificha kwenye kivuri cha serikali kwa ajili ya dhuruma hakika Mungu atasimama na ww atakulipia hapahapa duniani
Imeniuma sana hii habari,hasa pale anapoozesha watoto ili aendelee na kesi ,daaah Dunia simama nishuke👆👆mahakama ya Tz🖕🖕🖕
Nimesikitika Sana. Kweli mzee anafanyiwa hivyo. Kama anachosema ni kweli hatua zichukuliwa.
Father John raisi wa Tanzania najua unaona pamoja na hali ngum unayo pitia juu ya Tanzania na watuwake pamoja na matatizo mbali mbali ya family pia napenda kusema pole na majukum lakini hombi langu mtuhuyu asaidiwe kunashida sana juu ya watuhawa kwani wanaonewa sana mimi ua natembea sana vijiji mbalimbali naona uanasikia uchungu lakini kwahili lililo jitokeza naomba, mkono wako uudike kutoa msaada ua naumia sana juu ya watendaji waselikali nazani awajui raikwao ninani.
Yaan nchi hii rahisi wetu anakazi kweli kweli bila rahisi hata haka kakesi kanamtegemea yeye duhhh usichoke mtetezi wetu wa wanyonge Jpm
Aisee inauma saana yan unazurumiwa hv hv. Pole sana mzee hao ng'ombe wako watarudi rais wetu hachekag na watu kama hao.
Yaaan taabu ya kufuga ng'ombe mpaka wafikee 311 afuu wanapotea kijanja janja tuu?mungu akutie nguvuu na mheshimiwa amekusikiaa atalifanyia kazi bila shakaa ilaa mkuu wa mkoa anatosha kabsaa kutolea majibu
nchi ya visasi na dhulma... heri yenu mlio na mamlaka ya kudhulumu wenzenu ila Mungu yupo!!!
Kutamka ng'ombe mia3 ni simple,usiombe kazi yake ya kufuga hafi wafikie idadi hiyo,