Wakazi wa Njiru, Chokaa na Mihango wasema watalipa familia ya Kirima
HTML-код
- Опубликовано: 9 окт 2024
- Mamia ya wakazi wa maeneo ya Njiru, Chokaa na Mihango wanaoishi ndani ya shamba la aliyekuwa mwanasiasa Gerishon Kirima wameanzisha mazungumzo ya kulipia vipande vyao vya ardhi ambavyo wanaishi. Runinga ya Citizen imedhibitisha kuwa familia 900 zinazoishi ndani ya shamba hilo zimeelezea nia yao ya kulipa shilingi laki tatu kwa ploti. Haya yanajiri huku viongozi wa makanisa wakitaka serikali kuu kuingilia kati na kufanya majadiliano kama ilivyofanyika katika shamba la Waitiki ambapo mmiliki alilipwa shilingi bilioni 1.2 .
Sawa kila mtu ako na haki kuishi pahari popote but sikunyakua mashamba ya watu by force
Hiyo familia wako na maringo sioni kama maoni yenu itasikika.nawajua vizuri sana.
Kwani mnaforce muuziwe kwa nguvu, nani amemwabia mwenyewe anauza?
Mbwa wewe huna pesa wewe
Kweli😅😅
Wafike bei 7m Kila mtu
Babu owino naye analeta siasa hapa, shame on you
On a light note well binadamu ni wale wale tu once they are given that period to pay and amount kuna obviously wale watasumbua sana kulipa and it will be a game of cat n Mouse 😮 na hii economy mtu anatoa wapi laki tatu a kawaida mwananchi.... Right now they can jitetea with all sorts of sweet things but kwa ground ku pay itakua ngori..... But all in all hopefully wataelewanwa
300k per plot kwa prime land😂😂😂😂they got jokes
Hiyo prime land aliipataje? Wote tunajuwa Karima alikuwa mayor wa Nairobi, land kwakwe ilikuwa ni kunyakuwa tu.. Hii ndiyo Kenya mnyonge hana haki.
I have worked with the Kirima family in kiambu...that is the most chaotic family i have ever seen in my life...There,s Even a Bishop there who does not listen unless you have money 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
rush to court for stay orders. That family may not entertain any talk considering how they were frustrated with the court process
Hata wenye wako na midomo hawezi kubali kwao kunyakuiwe
What about kirima family loose the case
Kwani mutaforce muuziwe cha nguvu namuwacha zenyu kisumu
Kila mtu ako na haki kuishi mahali anataka Kenya aki tuwache ukabila.....wakikubali kukaa chini well n good
BOMOA BOMOA BOMOA, KITWARAMBA !!! WANA AZIMIO !????😂😂😂😂😂😂😂😅😅😅😅😅😊😊😊😊😊😊😊😊😊
Ukabila haitakusaidia kwa chochote na si wajaluo pekee yao wamejenga huko
@@generalkago5361Usiongee vbaya huwez jua hio bomoa bomoa kesho itakuwa wapi...
Bona walijenga kwa wenyewe alafu eti 40*60 walipe 300000 ??
We toka hapa
Hizi kesi za shamba zimekuwa mingi sana,...sielewi
Start parking rather than arguing
Aki gosh kwanza kama the ruling was already given its triky they better also rush to court they try wapewe stay orders as they mediate ndio kusibomolewe
Mtu mmoja anachukuwa ekari zote hizo . Karima alikuwa mayor wa Nairobi, aliwezaje kununuwaekari zote hizo? Kweli Kenya ni man eat man society.
Lakini bona hua munanunua hii shamba namunajua tu hii sii mara ya kwaza hii shamba uuzwa tena inabomolewa
Mimi ni last born wa kirima before tuongee nirushieni deposit kwanza
Deuteronomy 27:17 cursed is the one who removes neighbor boundary mark and all people sa Amen. Proverb 22: 28 Do not move the ancient boundary or go into fields of the fatherless.
But it's justice to grab 😂 idiot
True
300k??? Wazimu nyinyi
Now they want Ruto to adopt uhuru's strategies? Hahaha
What's the market value per plot
1.5 per plot of 50by100
0
This are not squatters this are tycoons.manyumba tunaona ni za maskini?mnatu enjoy nyinyi
Walipiwe shamba?this are land grabbers church you're wrong on this.shame on you
Why didn't this same GOVERNMENT extend an olive branch to our inlaws, the KAMBAS dwelling in MAVOKO EAPC LAND ??? What's so special about these KIRIMA LAND THIEVES ?????
Hiyo ni shamba ya kampuni,hii ni ya mtu,ni rahisi hii kusolve
Watoke. Wajaluo wako na upuzi
Ukabila yako haikusaidii 😂
Don't be too quick to throw stones.
Kirima was a known thief how did he acquire massive tracks of land in Nairobi? The curse will forever haunt him to his grave
work hard, he bought the land 1971 with a bank loan, followup
you grandfather was poor man🤣🤣
I am willing to mediate between the Family and the land owners for free na kila Mtu aridhike let the land group team contact me